"Mwaka Moon" is a song by French rapper Kalash featuring Damso and Sfera Ebbasta released in October 2017. The song reached number one on the French Singles Chart.
Kuna tatizo kubwa la upungufu na ukosefu wa maji kwa vitongoji kadhaa kwenye vijiji hivi viwili ambapo baadhi ya wananchi wanapata maji kwa mgao na wengine hawapati kabisa.
Mamlaka ya maji (IRUWASA) haipokei wala kuunganisha maji kwa wateja wapya wa Kijiji cha Luhindo kwa maelezo ya upungufu wa...
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha kiasi cha Shilingi trilioni 1.8 kwa ajili ya Matumizi ya Wizara hiyo katika mwaka wa fedha 2026/27 Fungu 52.
Mchengerwa ameyasema hayo leo Mei 11, 2026 Bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha...
tokea masaa 5
Dar es Salaam. Zaidi ya mabasi 150 ya mwendo wa haraka (mwendokasi) yaliyoletwa kwa ajili ya kutoa huduma katika barabara ya Mbagala, yamekaa kwa zaidi ya nusu mwaka bila kuanza kazi.
Hayo yameelezwa leo Jumatano, Mei 6, 2026 na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya...
Walimu tulioajiriwa mwaka Jana ngazi ya Sekondari tulipewa Hela ya kujikimu nusu (Laki Nne) mwaka huu na hatujui nyingine tunamaliziwa lini.
Lakini pia kwa Wale walio ajiriwa mwaka huu (January 2026 ) hawajapewa Bado na haijulikani wanapewa lini.
Anonymous
Thread
hela
jana
kujikimu
mwakamwaka huu
mwaka jana
ngazi
sekondari
walimu
wilaya
"Kwa baraza la watalamu waalamu wa radiografia (MPIRC) tunaomba ufafanuzi juu ya ucheleweshaji wa utoaji wa leseni za awamu ya pili kwa mwaka huu wa 2026.
Tulio wengi tumekamilisha taratibu zote za maombi na malipo kupitia mfumo wa HPRS (Tanzania Health Practitioner Registration System), lakini...
Anonymous
Thread
awamu
awamu ya pili
baraza
leseni
mwakamwaka huu
pili
ucheleweshaji
ufafanuzi
https://youtu.be/dytqapjk4Qw?si=8FYtt5wPiJNBozBu
Kwa mujibu wa mitandao hilo ndio goal la Puskat kwa mwaka jaza. Ukilinganisha goal la Chama ni hatari kuliko hili
https://youtu.be/YeFifs15d8I?si=oelqqxCQEKTT4cA0
Hellow habari za Majukumu...
Naomba mtusaidie kupaza Sauti sisi waajiliwa wapya wa kada ya AFYA katika halmashauri ya wilaya Butiama Hatujapewa Hela ya Kujikimu tangu tumepata Ajira mwaka Jana mwezi wa Nane 2025 Mpaka Sasa.
Tulifatilia kwa Katibu wa Halmashauri hii Yeye kila tukimtafuta...
Anonymous (b5ce)
Thread
afya
butiama
hela
jana
kujikimu
mwakamwaka jana
mwezi
NOTE
Changamoto ni kwamba waafrika wengi hawana malengo ya mwaka sasa ni ngumu sana kukuelewa kama unamipango ya miaka 9 ijayo
Nchi zilizoendelea maandalizi binasi sio muhimu sana sababu mifumo yao imenyooka ila kwa nchi kama Tanzania ambayo mifumo yake sio mizuri maandalizi binafsi ni muhimu...
Mwaka jana na hata mwaka huu baada ya straight of hormuz kufungwa nilitoa maoni yangu binafsi, Tuanze mchakato wa crude oil refinery haraka sana nashukuru dangote alikuwa na mawazo kama yangu na mchakato utaanza
Kwanza ijengwe integrated refinery kama ile ya gujarati ambayo itakuwa na crude...
🔥Pata website Hosting ndani ya dakika 1 Tu (Netfasta.Com)🔥
Tunatoa huduma za web hosting na usajiri wa domains kwa gharama nafuu sana na sasa tuna ofa
Kwa Tsh 45,000 tu unajipatia hosting kwa mwaka mzima itakayokuwezesha ku-host hadi website 10
Express Plan ( Tsh 45,000 ) - 1 Year ( kuhamisha...
Mimi niliajiriwa Mwaka 2025 katika Halmashauri ya Ngara Mkoani Kagera lakini hela zetu za kujikimu mimi na wenzangu hatujapewa, tupo Kada ya ELIMU ila wenzetu Kada ya AFYA walivyofika tu wakapewa sisi mpaka leo kimya.
Mwaka huu 2026 wameleta ajira mpya wengine wa Elimu na Afya lakini afya...
Anonymous (c258)
Thread
ajira
ajira mpya
hazina
hela
kimya
mpya
mwaka
ngara
walimu
walimu ajira mpya
wilaya
wilaya ya ngara
Mimi ni Mtumishi nipo Kada ya Afya Mkoani Tabora, nimeajiriwa tangu Mwaka 2024, changamoto ipo Kada ya Ualimu na Afya intake moja
Barua za uthibitisho imekuwa kero lakini mikoa mingine walishapata hatujui kwa Tabora changamoto ni ipi.
Anonymous (0c95)
Thread
ajira
ajira mpya
barua
kero
mpya
mwakamwaka 2024
tabora
uthibitisho
🔥Pata website Hosting ndani ya dakika 1 Tu (Netfasta.Com)🔥
Tunatoa huduma za web hosting na usajiri wa domains kwa gharama nafuu sana na sasa tuna ofa
Kwa Tsh 45,000 tu unajipatia hosting kwa mwaka mzima itakayokuwezesha ku-host hadi website 10
Express Plan ( Tsh 45,000 ) - 1 Year ( kuhamisha...
Walidanganya watu kwa kupitia watangazaji wao maarufu, walitangaza kwamba kuna sehemu watu wanavuna Tambi,
Walielezea kwa kina kilimo cha Tambi kiasi kwamba ma milioni ya wasikilizaji wakaanza kupiga simu kuulizia jinsi ya kupanda tambi nyumbani kwao.
Hii inaonyesha jinsi ambavyo watu...
Huyu mama hata hesabu za darasa la pili zinamshinda
Hivi kweli nusu ya laki moja ni 556? Hebu msikilizeni wenyewe
Na bado anaendelea kukopa na hajui hata kuchagua maneno ya busara ya kujustify upuuzi wake
Juzi tu katuambia Marekani mafuta lita moja ni dola 8000 sawa na Tsh milioni 20 😂😂...
Hivi ndivyo Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alivyokamatwa na Jeshi la Polisi, tarehe 09 Aprili 2025 katika Wilaya ya Mbinga, Mkoa wa Ruvuma wakati alipokuwa akiendelea na Oparesheni #NoReformsNoElection.
Leo Aprili 9, 2026, Lissu ametimiza siku 365 (mwaka mmoja) tangu akamatwe.
===========...
Kuna dini zina mambo ya ajabu sana aisee yaani kila mwaka tunasikia Mungu wa wakristo Yesu anafufuka huu ni usanii aisee kwahiyo Mungu anayewezakana vp kila mwaka anakufa na kufufuka tu kwahiyo hizi siku zingine wakati amekufa nani ana control ulimwengu?
Nimeiambia Gemini itengeneze picha ya Dar jinsi itakavyokuwa miaka 10 ijayo kwa kuangalia kasi yake ya ukuaji wa sasa
Ikaleta hii picha
I can't wait to see Dar inafikia level za kimataifa
Salaam,
Makadirio ya karibu ya bajeti 2025/2026 Nchini Tanzania Tanzania ipo hivi.
1. Wizara ya Katiba na Sheria → ~ Tsh bilioni 80
2. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ni Tsh bilioni 120
3. Wizara ya Habari, Mawasiliano na TEHAMA ni Tsh bilioni 150
4. Mambo ya Nje na Ushirikiano ni Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.