deni la taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Wewe kama kiongozi huoni aibu kutamka takwimu za deni la Taifa

    Nchi inaendeshwa na bajeti ya mikopo ,tutegemee siku moja mabeberu kuja kututawala tena . Watanzania ni lini wataambiwa takwinmu za deni na watasikia deni likishuka chini na siyo kila takwimu inapotolewa ni kuongezeka kwa namba tu hivi wewe kama kiongozi huoni AIBU. Zaidi ya Trilion 100........
  2. Mwanga wa Jua

    JamiiForums Tanzania DENI LA TAIFA: Wakati Tanzania likiwa chini ya 50% ya GDP Rwanda kufikia 79% waamua kuachana kabisa na mikopo na kujikita kwenye PPP tu

    Wasalaam, Mnaohusikia na mambo ya Uchumi wa Tanzania someni hii stari kwa mstari, Sikuwa naelewa anachofanya Kafulila kupitia hii taarifa nimeanza kumwelewa. Katika bajeti ya Rwanda ya mwaka wa fedha 2026/27 yenye thamani ya Rwf 7.8 trilioni ($5.3 bilioni), sekta ya Ushirikiano wa Sekta ya...
  3. Matata25

    JamiiForums Tanzania Wadau hivi deni LA taifa lina effects kweny uchumi WA mtu binafsi kama huyu mdau alivyoeleza Facebook kwenye hiyo comment yake baada ya Prof Tibaijuka

  4. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Hayati JPM alisimama kidete deni la taifa lilikuwa himilivu. Utawala huu umefeli sasa deni la taifa ni tril 114 na sio himilivu

    Hii ni kwa sababu alidhibiti ufisadi na akahakikisha kuwq pesa na makusanyo yana kwenda kwenye mfuko wa taifa yaani consolidated fund. Kama rejesho kwa sasa ni 45% wakati kiwango kilichotakiwa ni 18% basi Watanganyika wana hali ngumu. Nasema Watanganyika kwa sababu Wazanzibari hawaumii...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Deni la Taifa sioni kama 'Himilivu', kiwango cha chini cha IMF ni 18% sisi tuko 31%

    Mwanasiasa mkongwe Anna Tibaijuka, akizungumza kupitia The Chanzo, amesema deni la taifa linaonyesha dalili za kutokuwa himilivu kulingana na takwimu za bajeti ya hivi karibuni, akisisitiza kuwa maoni yake yanatokana na uchambuzi wa kitaalamu na si msimamo wa kisiasa. Prof. Tibaijuka amesema...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kama Zanzibar wana asilimia fulani ya mikopo/misaada toka nje wazitumie watakavyo, basi pia wapewe asilimia hiyohiyo ya deni la taifa walipe watakavyo

    Mara nyingi nimesema humu JF kwamba katika hali ya kuwa na raisi toka Zanzibar, waziri wa fedha toka Zanzibar, waziri wa miundo mbinu toka Zanzibar nk, kumekuwa na jitihada za makusudi kuchukua mikopo mikubwa mingi mlengwa hasa akiwa ni Zanzibar. Mpango uliopo ni kwamba ule mgao wa...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ndaki: Deni la Taifa linaweza lisiwe himilivu, Serikali ipunguze Ukopaji wa Ndani

    Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti Mashimba Ndaki amesema; "...Pamoja na kwamba deni la serikali limekuwa himilivu kwa viwango vyote vya kimataifa, kielelezo cha uwiano wa deni kwa mauzo ya nje hivi sasa ni 13.9% wakati ukomo ni 15%. Hivyo endapo hatutaimarisha mauzo yetu nje...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Deni la Taifa limefikia karibu Tsh. Trilioni 100, Miradi ya Kimkakati haionekani!

    Wakili Peter Madeleka amesema anaona kuwa nchi inakopa kupita kiasi chini ya uongozi uliopo, huku akidai kuwa deni la taifa limefikia takribani trilioni 100 lakini hakuna ulinganifu wa miradi ya kimkakati inayoonekana kwa wananchi. Amedai kuwa licha ya mikopo hiyo, maisha ya wananchi bado ni...
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Wakati Samia akisema Deni la Tanzania ni Sitahimilivu, Namibia wamaliza deni lao

    Rais wa Namibia mwanamama Netumbo Nandi-Ndaitwah ameiongoza nchi hiyo kufikia hatua muhimu ya kiuchumi kwa kukamilisha malipo ya deni la Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Namibia imelipa jumla ya dola za Kimarekani milioni 23.9, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa madeni ya nje na kuimarisha...
  10. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Deni la Taifa halikui kwa kasi kwasababu ya matumizi mabaya

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akihojiwa na Wasafi TV amesema kuwa Deni la Taifa linakua kwa kasi kwa sababu fedha hizo zinaenda kwenye miradi ila kuna watu wanapotosha kuonekana fedha hizo zinaliwa
  11. Foffana

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti ipi kati ya Deni la Taifa na Deni la serikali wasomi tupeni elimu

    Tupeni tofauti yake na sisi tuwape elimu tulio nao mitaani huku Manyanza zitto junior MALCOM LUMUMBA Kiranga
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Namibia yatoa somo la nidhamu ya fedha. Je, wamejiandaa na changamoto za kuathiri akiba ya fedha za kigeni?

    Namibia imekuwa mfano kwa jinsi nchi inavyoweza kuonyesha nidhamu ya kifedha kwa vitendo. Hatua ya hivi karibuni ya serikali ya Namibia kulipa deni la Eurobond lenye thamani ya dola milioni 750 imeweka rekodi kama ulipaji mkubwa zaidi wa deni katika historia ya taifa hilo. Kwa hatua hiyo...
  13. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 zinazoongoza kwa Deni Barani Afrika DENI LA TAIFA LA NJE (EXTERNAL DEBT🇹🇿)

    Nchi 10 za Africa zenye highest external debt kwa mujibu wa data za 2025 1. South Africa – USD 176,314 million (Sep 2024) 2. Egypt – USD 155,204 million (Sep 2024) 3. Tunisia – TND 128,856 million (Sep 2024) 4. Mauritius – MUR 96,713 million (Dec 2024) 5. Angola – USD 50,260 million (Dec 2023)...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Rostam ni mtu mwema sana, kama uliweza kufadhili Royale Tour, tulipie na deni la Taifa Trilioni 116 tafadhali

    Salaam! Tulipata msiba wa kufiwa na baba yetu, kiongozi wa shamba letu, Hata hatujapoa, akaibuka kibopa,tajiri mmoja mkarimu sana mwenye tabasamu la Mamba Rost Tamu,akaipenda familia yetu, akaahidi kutupenda Sisi na mama etu bila kutubagua. Aliweza kummsaidia sana mfiwa mamaetu kwa kumpeleka...
  15. OLS

    JamiiForums Tanzania Tukizingatia Exchange, deni la taifa ilibidi lipungue

    Deni la Taifa kwa sasa limepanda kutoka Trilioni 108 mwezi Mei hadi trilioni 116 Mwezi Agost. Hili ni ongezeko la 7.41% ndani ya kipindi cha miezi miwili tu. Deni hili linaweza kunasibishwa na taarifa kuwa exchange rate imezingua, lakini ieleweke kuwa thamani ya shilingi imeimarika kuanzia mwezi...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Deni la taifa limefikia Trilioni 116, Nafasi ya DP World iko wapi? Tuliambiwa mapato yataongezeka hivyo kupunguza deni

    Salaam! Rais Samia na serikali yake walitwambia kuwa ujio wa DP World utaongeza mapato ya serikali kwa kiasi kikubwa na kufadhili budget yetu. Sasa maswali yanakuja je! Ikiwa mapato yameongezeka serikalini,iweje deni likue, kwanini lisilipwe kwa amount kubwa ikibidi limalizwe sababu ya ujio wa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Siku si nyingi, huwenda ni ndani ya utawala huu, makusanyo yote ya TRA yatakuwa yakilipa deni la taifa peke yake

    Buriani Jobu Ndugai Deni T 116..? Maono yako juu ya nchi yetu, ni kweli na sasa karibu tunaanza kuyaishi Deni la Taifa linatishia uhai wa nchi yetu, Wakati tukielekea Uchaguzi magumashi, kila pembe ya nchi yangu, wabunge, mawaziri na wanaojitokeza kwenye vyombo mbalimbali vya habari, wote...
  18. didy muhenga

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Deni la Taifa lafikia trilion 116

    Tanzania imefikia deni la taifa la trilioni 116 (dola za Marekani bilioni 46.6) hadi Juni 2025, likiongezeka kwa asilimia 1 ukilinganisha na Mei. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ilieleza kuwa deni la nje linachangia asilimia 70.7 ya jumla, huku deni la umma likiwa sehemu kubwa zaidi kwa asilimia...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Kwa ile michango ya CCM jana, Nimegundua inawezekana kuwa na Harambee CCM kulipa deni la Taifa (Deni la Taifa Gala Dinner)

    Wakuu wa JF, Hawa ndugu zake Lucas Mwashambwa walipe tu deni la Taifa wenyewe Kwa namna ambavyo jana mawaziri, wafanyabishara na makundi mbalimbali ya CCM walivyokua wanataja kiasi cha fedha kwa ajili ya Michango ya kampeni za uchaguzi, nimewaza kuhusu Uongozi wa CCM ulivyochangia kuongezeka...
Back
Top Bottom