Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie...
DART Tumeanzisha ukurasa huu rasmi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kwa lengo la kupata maoni, ushauri , mrejesho na hata malalamiko yanayohusu huduma zetu. Aidha tunawahakikishia...
Habari mwanajukwaa wa JamiiForums,
Hii ni akaunti yetu rasmi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ambapo kupitia uzi huu, tunakukaribisha kupata taarifa mbalimbali kuhusu huduma zetu, kuuliza...
Habari wana JamiiForums,
Hii ni Akaunti rasmi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), kupitia thread hii, tunakukaribisha tuzungumze na tutambue haki zetu sote
Utangulizi
Ni Idara...
Ndugu wana JamiiForums,
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), kupitia thread hii, tutapokea Maoni, Ushauri, Malalamiko, Mapendekezo yako Mwananchi. Tunakuhakikishia...
Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki...
JamiiCheck ni Moja kati ya Majukwaa yanayopatikana ndani ya tovuti ya JamiiForums.com. Jukwaa hili limewekwa mahsusi kwa ajili ya kufanya uhakiki, kutafuta uthibitisho au uhalisia wa habari...
Heri ya Pasaka wana JamiiForums,
Mimi ni Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Makundi Maalum.
Ninayo furaha kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nimekuwepo...
Ndugu wana jukwaa, Leo naomba nilete hii hoja kwenu.
Sisi waganga wa Tiba asili au waganga wa Kinyeji Mkoa wa Simiyu, tumechoka na michango ya lazima Kwa ajili ya Mwenge.
Kila Mwaka tumekuwa...
Kuna movement inaendelea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii duniani ambako kumekuwa na watu wengi wenye kutoa maoni kwamba " God Is Evil " ( Mungu ni Muovu) . Asilimia kubwa ya watu hawa ni...
Naomba kusikia kutoka kwa watu wengine ambao labda wamepitia maumivu makubwa ya kupoteza wapendwa wao au kuona ndugu zao wakiteseka hospitalini. Mliwezaje kukabiliana na hali hiyo?
nimekuwa...
The Diplomat
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anaelezea mapokezi ya heshima aliyopata akiwa katika ziara rasmi ya kitaifa nchini Urusi.
Mapokezi aliyopewa...
Huu nao ni mjadala ambao unachukua nafasi kubwa sana miongoni mwa " Thinkers" Kama inavyo jidhihirisha kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii duniani. Mjadala huu unaenda kwa title ya " Human...
Bodaboda
Bodaboda ni kimbilio la waliofeli maisha, wananuka vumbi, akili za kuku, na kazi yao kubwa ni kuacha wajane na mayatima mjini
Mada
Wakuu, habari za muda huu.
Leo nataka niteme nyongo...
kuna redio iliyowahi kutawala maisha ya vijana wa Tanzania kama Clouds FM enzi zile? Ukiamka asubuhi mapema tayari unakutana na Power Breakfast ya kina Masoud Kipanya,official cza,bonge ,tei khan...
Watu wengi wanachukulia wema na uungwana kuwa ni udhaifu au uzembe. Hilo linafanya wamdharau na wamtumie mtu anayeonyesha hizo sifa.
Watu wengi bado zile sifa za wanyama hazijawatoka. Za kuishi...
Vyoo vingi vya umma kama kwenye ma bar, vyoo vya stend kubwa, sehemu za starehe na hata kwenye vyoo vya ofisi nyingi zenye mkusanyiknwa watu wengi je ipi sababu?
Wakuu,mimi ni mlokole,nimebatizwa ubatizo wa maji mengi, lakini licha ya kuwa mlokole na ubatizo wa maji meji hainizuii mimi kuhoji na kuwa na mtazamo tofauti na dini yangu. Iko hivi, wachungaji...
Watu hulalamika kuwa kama Mungu yupo mbona kuna kuteseka na kuoneana sana hapa duniani? Hii inatokana na kudhani kuwa Mungu anatakiwa awe mwema.
Kuna ulazima wa Mungu kuwa mwema? Kwani akiumba...
Hii ni kumbukizi ambayo natamani kusherehekea nanyi wana JF. Hili ni tukio binafsi lililonikuta miaka 15 iliyopita. Nitasimulia kwa ufupi nanyi mjifunze kitu, pia hata kama utakuwa unanifahanu au...
Siku hizi kumekua na wimbi kubwa la kuibwa nyota kwa njia ya mapenzi.
Hemu jichunguzeni kuna watu ambao umefanya nao tu mapenzi na kila kitu kinaanza kuharibika kiuchumi nukhsi na ukosefu wa...
Moja ya makosa makubwa ambayo wanaume hasa wakiafrika tuna fanya ni kulazimishwa kupendwa ,
Unamtongoza mwanamke Kwa ahadi au kutoa Pesa na mali ili akukubalie ombi lako. etii uta mnunulia Nguo...
Mjukuu wangu ananijuza, babuuu kuliko kuweka fedha bank na kununua ma hisa. Kwa nini watu wasinunue Dhahabu na ardhi tu?
Nikafikiria nikataka kumjibu nikanyamaza.....kwa hiyo na mimi namiulizeni...
Kijana , umri miaka 30 , alifiwa na mke wake ambaye walikuwa na mtoto mmoja tu wa kike umri wa miaka 2.
Mwana-uume huyo alikuwa akiishi nyumba moja na mama mkwe wake pamoja wamashemeji zake...
Kwa nini watu wengi wa mataifa yanayopinga ushoga hasa kutoka Africa na Asia huwa wanakimbilia mataifa yanayoruhusu ushoga badala ya yale yasiyoruhusu ushoga?
Mfano Ghana imepitisha Sheria kali...
Zaidi ya wadau 50 kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania na Kenya wamekutana wilayani Tarime, mkoani Mara, kushiriki Mkutano wa Tano wa Tanzania School of Community Networks (TSCN 2026) uliolenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.