dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. M

    JamiiForums Tanzania Turahisishe maisha: Stendi ya Magufuli isiwe mwisho wa ubunifu wa usafiri Dar es salaam

    TURAHISISHE MAISHA: STENDI YA MAGUFULI ISIWE MWISHO WA UBUNIFU WA USAFIRI DAR ES SALAAM Na GULATONE MASIGA Uamuzi wa Serikali wa kuimarisha matumizi ya Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli iliyopo Mbezi kwa shughuli za kupakia na kushusha abiria ni sehemu ya juhudi za kupanga upya mfumo wa usafiri...
  2. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Nawauliza tena watu wa Dar es salaam hivi kweli Sheta ni meya wa Jiji la Ilala aka Dar es salaam?

    Naomba majibu tafadhali na mtuambie watu wa mikoani imekuwaje kuwaje mpaka kumpa nafasi kubwa namna hiyo mpaka Rais analalamika mji wenu ni mchafu mpaka aibu.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekemea hali ya uchafu uliokithiri katika miji, hususan jiji la Dar es Salaam. Akizungumza Septemba 2, 2026, katika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, wakati akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Rais Samia ameeleza kuwa...
  4. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Unatafuta Warehouse Dar Es Salaam?

    Need a secure, spacious, and strategically located warehouse for your business? Kitomai Properties connects you with warehouses for rent and sale across: Ubungo | Chang’ombe | Mikocheni | Nyerere Road | Mbagala | Kigamboni & More Perfect for: Storage Logistics Distribution Manufacturing...
  5. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata Mbolea ya Ng’ombe ya Kutosha Dar es Salaam?

    Nina shida ya Mbolea ya Kutosha , mwenye nayo tufanye biashara
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Serikali za Wanafunzi kutoka Vyuo 12 vya Elimu ya juu Mkoa wa Dar es Salaam washangazwa na mradi wa SGR-watoa pongezi kwa Serikali

    Viongozi wa Serikali za Wanafunzi kutoka Vyuo 12 vya Elimu ya Juu Mkoa wa Dar Es Salaam wameanza ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo hapa Nchini Ili kuangalia namna Nchi yetu ilivyopiga hatua kubwa katika Uwekezaji wa fedha nyingi kwenye Miradi ya Maendeleo. Wakiwa katika...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mwili wakutwa ukining'inia kwenye mti eneo la Makangarawe Yombo Dovya, Dar es Salaam

    Mwili wa mtu mmoja mwanaume ambaye hajafahamika jina umekutwa unaning'inia kwenye mti eneo la Makangarawe Yombo Dovya jijini DSM akidaiwa kujinyonga. Polisi wamechukua mwili huo kwa ajili ya uchunguzi
  8. T

    JamiiForums Tanzania I am All In..! Liwalo na liwe, nimewekeza Tshs 70m leo na kununua hisa za NMB soko la hisa la Dar es salaam, let's see

    Habari wakuu, Kuna windfall nilipata sehemu fulani, nikapiga mshindo wa 75m. Nimeamua kujilipua na kununua hisa za NMB za 70m kwa bei mpya ya leo baada ya split ambayo NMB walifanya, nimenunua kwa Tshs 1,850. Wacha tuone, liwalo na liwe tu! Malengo yangu ni long game. Naangalia kuanzia miaka 5...
  9. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya bongo fleva, Dodoma yaipiku Dar es salaam mbali sanaaaaa, ili bidi ukuta uvunjwe, ili watu wapate nafasi

    Sio poa Dodoma wameweka historia ya kipekee unaambiwa chinangali ili pelea kutokana na mauzo ya TIKETI kuwa makubwa kilicho fuata ikabidi ukuta uvunjwe pia kuunganisha Hadi parking, ili watu wapate nafasi. Ikumbukwe Diamond katoka kufanya show juzi kwenye tour yake lakini haikua nyomi ka Hil...
  10. sunny360

    JamiiForums Tanzania Nauza containers 4 za futi 20 (20FT), ziko kwenye hali nzuri

    CONTAINERS 4 ZA 20FT ZINAZUUZWA — DAR ES SALAAM Nauza containers 4 za futi 20 (20FT) zilizopo Dar es Salaam. Ziko kwenye hali nzuri Zinafaa kwa storage, biashara, warehouse na matumizi mbalimbali Zinapatikana Dar es Salaam Zinauzwa moja moja au zote 4 kwa pamoja Bei: TSh 4,800,000 kwa...
  11. MSUKUMA02

    JamiiForums Tanzania Je, hii kauli aliyotamka mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ni sahihi kwa taifa?

    Shalom shalom watanzania! Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja. Hivi ni sahihi kwa mkuu wa mkoa wa mji mkubwa wa Dar es salaamu tena uliojaa matukio ya watu kutekwa, kupotezwa Hadi kuuliwa kutoa kauli hiyo mbele ya kadamnasi ya umma? Hivi hii kauli angeitoa kiongozi yeyote wa upinzani...
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania Mabasi yote yaende Stendi ya Magufuli, kama huwezi ondoka Dar Es Salaam hupawezi

    Duniani kote majijini kuna maisha ghali sana. Sio kila mtu anaweza kumudu gharama za kuishi kwenye majiji. Kilichokuwa kinafanywa na wamiliki wa mabasi ya mikoani ni kulazimisha watu wenye uwezo mdogo kuishi DSM waweze kuishi DSM kwa gharama ndogo. Yaani wanamrahisishia mtu atoke na kifurushi...
  13. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Yajue maeneo ambayo ni marufuku kupiga picha Dar es Salaam

    Kabla sijaenda naomba kwanza nisahihishe jambo moja muhimu: si sahihi kusema kwamba kila eneo hapa chini lina sheria ya jumla inayosema “hairuhusiwi kupiga picha.” Baadhi ni maeneo nyeti ambayo hupaswi kupiga picha bila ruhusa, na baadhi yana restrictions maalumu, hasa maeneo ya kijeshi na...
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa Stendi Kuu na Vituo vya Makontena (ICD) vya Kimkakati kama Suluhisho la Kudumu la Msongamano Dar es Salaam

    Jiji la Dar es Salaam linakabiliwa na changamoto kubwa ya msongamano wa magari na foleni za muda mrefu zinazosababisha hasara kubwa ya kifedha kila siku na kuchelewesha shughuli za kiuchumi. Sababu kuu ya changamoto hii ni mfumo wa sasa wa miundombinu unaolazimisha mabasi mengi ya mikoani na...
  15. K

    JamiiForums Tanzania HOJA Dar: Mtaa wa kidosho - Mikocheni uchafuzi wa daraja linalopitisha maji taka ni chanzo cha malaria

    Wananchi wanaoishi mtaa wa Kidosho Mikocheni jijini Dar es salaam wanawalalamikia baadhi ya watu wanaotumia daraja linalo pitisha maji taka mpaka baharini kama sehemu ya kutupa takataka, hali inayopelekea daraja hilo kusongamana na uchafu na kufanya maji yatuame kwa muda mrefu. Aidha...
  16. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Boda , Bajaji na Maguta Walalama kudharauliwa Dar es salaam!

    Wamiliki na waheshimiwa maafisa usafirishaji wanaotumia Bodaboda, Guta na Bajaji walalamikia dharau dhidi yao kuonekana hawawezi kulipa tozo za maegesho . Wamesema kwa siku wanaingiza zaidi ya Elfu 50 na kiwango cha chini ni elfu 30 kwa siku , tajiri anapewa 15 na dereva anakula 30. Kwa Bajaji...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Heche: Dar es Salaam karibu kila sehemu imegeuzwa kuwa bandari kavu

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema licha ya Serikali kujenga Bandari ya Kwala bado Jiji la Dar es Salaam sehemu nyingi kumegeuzwa kuwa bandari kavu (ICDs). "Kuna watu wanahujumu uchumi wa nchi. Kwa sababu kwa mfano, Dar es Salaam sasa hivi...
  18. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar es salaam linatakiwa kuwa na stendi 7 au 8

    Kama isemavyo kichawa cha habari kisemavyo Dsm kunatakiwa kuwe na stendi kama 7 au 8 Mbezi Ubungo Chanika Mbagala Kigamboni Kigamboni Tegeta bunju Kinondoni Na hizo stendi kuwe na private terminal mfano wa zile zilizopo shekilango
  19. dvj nasmiletz

    JamiiForums Tanzania Ni maeneo gani jijini Dar es salaam umewahi kupotea, na mpaka leo bado yanakuchanganya?

    Mimi kuna siku nilizunguka kariakoo karibu masaa matano natafuta njia ya kutokea ili nije nipande gari nirudi mbagala.. wakati naenda nilikuwa na mwenzangu ambaye tuliachana katikati pale mitaa ya azam icecream sijui pale..maana kila mtu alifata mahitaji yake... Sasa mimi baada ya kupata...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania DAWASA yaja na suluhisho huduma mitaa ya Tabata

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imekutana na wananchi wa Mtaa wa Tabata, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, na kutoa ufafanuzi kuhusu hatua zinazochukuliwa kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji katika maeneo mbalimbali ya mtaa huo. Akizungumza katika kikao...
Back
Top Bottom