dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. Melki Wamatukio

    JamiiForums Tanzania Wamasai wameanza kuogopeka jijini Dar es salaam

    Kufuatia tukio liliofanywa na member wa umasaini la kifo cha aliyekuwa mkurugenzi wa kiwanda cha kuchakata unga wa makopo ya plastiki, baadhi ya watu wanapata hofu wanapomuona mtu akiwa kwenye vazi la shuka, hususan kobeto likiwa linaning'inia pembezoni mwa kiuno Twende kwenye tukio halisi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tunasambaza mbao kavu moja kwa moja kutoka Njombe kwa bei ya jumla ndani ya Dar es salaam na Pwani

    KAMA WEWE: •Unauza mbao reja reja kwenye banda lako. •Una hardware pia unauza mbao za ujenzi. •Una workshop kwaajili ya kutengeneza furniture. •Una mradi wa ujenzi na unahitaji mbao za ujenzi kwa bei ya jumla. •Unahitaji mbao kwa matumizi yako mengine kwa bei ya jumla. •Kama upo kwenye...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa Kitanzania afuata ndoto ya Kichina kupitia shindano la lugha jijini Dar es Salaam

    Wakati mtoto wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 10, Ayubu Shaaban, alipopanda jukwaani katika Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, watu wachache tu katika ukumbi uliojaa watu ndio walitarajia mvulana huyo mpole angevutia hadhira kwa lugha fasaha ya Kichina. Akiwa amevalia...
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania TAAZIA: Khadija Said: Mtangazaji wa Sauti ya Dar es Salaam 1955

    https://youtu.be/zONxQNP3D4M?si=Eq8WdIr4a8JXqdTE
  5. B

    JamiiForums Tanzania Mkopo ili gati 10 zaidi kujengwa kupanua bandari ya Dar es salaam 2026

    05 May 2026 Tanzania yapanua miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam ili kukabiliana na ongezeko la mizigo Tanzania yapanua bandari ya Dar es Salaam ili kuimarisha biashara ya kikanda kwa kujenga gati 10 mpya https://m.youtube.com/watch?v=5KZlgZiaEhM Upanuzi huo utasaidia bandari kushughulikia...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Bandari ya Dar es Salaam yaboreshwa kwa Bilioni 24.08 kuongeza Ufanisi wa Mizigo

    Serikali imeidhinisha Shilingi bilioni 24.08 kupitia mradi wa Dar es Salaam Maritime Gateway Project kwa mwaka wa fedha 2025/26 ili kuboresha miundombinu ya Port of Dar es Salaam na kuongeza ufanisi wa huduma za mizigo pamoja na usalama wa bandari. Hadi Februari 2026, bilioni 11.31 zilikuwa...
  7. Driz de Mafwele

    JamiiForums Tanzania Lamine Yamal kaonekana Dar es Salaam

    hydroxo adriz de mbusii
  8. Kyungai

    JamiiForums Tanzania Foleni Challenge

    Leo amepatikana mshindi wa Foleni challenge Dae es salaam, Je unahisi nini hasa kilichoandikwa ndai kilichoshawishi wizara nzima ya ujenzi ?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Pesa zinazokusanywa ni kwajili ya kuendeleza Dar, Dodoma na Zanzibar ? mikoa mingi imekuwa vyanzo vya mapato bila kupewa umuhimu kwenye maendeleo

    Kuna mikoa huchangia mamia ya mabilioni ya kodi kila mwaka kupitia biashara, kilimo, madini na shughuli nyingine za kiuchumi. Lakini ukifika hata makao makuu na majiji ya mikoa hiyo, maendeleo hayaendani kabisa na mchango wao, Inasikitisha kuona kuwa sehemu kubwa ya mapato hayo yanaelekezwa...
  10. T

    JamiiForums Tanzania 💼 OTZ Solution Group: Supplier wa Resin & Hardener Dar es Salaam

    🚨 OTZ SOLUTION GROUP 🚨 Unatafuta bidhaa bora za Fiberglass kwa bei nafuu na uhakika? Sisi OTZ Solution Group tunakuletea suluhisho kamili kwa kazi zako zote za resin. 🔹 Tunauza: Resin (quality ya juu) Hardener Fiberglass Mat (Matt) Vifaa vingine vinavyohusiana na fiberglass ✅ Inafaa kwa...
  11. jimama26

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila, Dar es Salaam imekushinda, inakuwaje kuna foleni kiasi hiki huchukui hatua?

    Inasikitisha sana kuona hali ya foleni jijini Dar es Salaam imefikia kiwango hiki. Haiwezekani mtu kukaa sehemu moja kwa zaidi ya saa moja bila kusogea. Njia ya kutoka Morocco kuelekea mjini, kupita Serena Hotel hadi uwanja wa ndege, imekuwa ni mateso makubwa – asubuhi na jioni. Kwa wiki nzima...
  12. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Matukio mbalimbali ya ziara ya Rais Paul Kagame nchini Tanzania, Mei 3, 2026

    Matukio mbalimbali katika Ziara ya Kikazi ya Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Mei, 2026. Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame akizungumza na Waandishi wa Habari kufuatia Ziara yake ya Kikazi Jijini Dar es Salaam, tarehe 03 Mei, 2026. Rais wa...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mabafu na Vyoo vya Mabibo Hostel kukosa milango ni hatarishi kwa watumiaji

    Habari, Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na pia ni mkazi wa Mabibo hostel. Hii changamoto imekuwa ni kwa miaka sasa. Mabafu na vyoo havina milango na wala hakuna dalili za marekebisho kwa usalama wetu binafsi. Hilo suala ni kero kwa sisi tusiokuwa na makazi zaidi ya hostel...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Safari ya Jenerali Ulimwengu kutoka Ngara hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Kumekuwa na utata wa wasifu wa mwandishi wa habari mkongwe, Jenerali Ulimwengu, hasa baada ya kutakiw akuomba upya uraia, enzi za Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa. Akizungumza katika mahojiano maalum, Jenerali Ulimwengu anasimulia safari yake tangu alipozaliwa wilayani Ngara mkoani...
  15. BigTall

    JamiiForums Tanzania Maeneo mengi ya makutano ya barabara Dar es Salaam yamejaa askari wenye silaha; nini kinaendelea?

    Leo asubuhi, nikiwa natokea Bunju, nimekuta askari wengi wakiwa wamejaa kwenye mataa ya Tegeta. Pia, kwenye Kona ya Masana walikuwepo kwa wingi wakiwa na silaha, na hata maeneo ya Mwenge wameongezeka zaidi. Najiuliza, kuna nini kinaendelea? Au ni suala la ripoti ya Jaji Chande inayotarajiwa...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bonde La Msimbazi Jijini Dar Kuwa Sehemu Muhimu Kwa Uchumi Na Mazingira - Prof. Shemdoe

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amesema Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Mto Msimbazi utaleta mabadiliko ya kweli kwa kubadilisha eneo la bonde la msimbazi ambalo ni hatarishi kwa sasa na kuwa sehemu muhimu kwa...
  17. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Ratiba mpya ya treni za SGR Dar es Salaam - Morogoro, kuanzia Aprili 18, 2026

  18. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Nukuu za mhe Rais akifungua mkutano wa pili wa kitaifa wa WFNS leo tarehe 16/4/2026, Dar Es Salaam

    Tunapojenga miundombinu ya afya, tunapaswa pia kuzingatia ubora wa huduma kwa mgonjwa, Huduma za saratani zinahitaji uwekezaji mkubwa na usimamizi makini ili kuleta matokeo chanya " Rais Samia Suluhu Hassan
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Akifungua Mkutano Wa Pili Wa Kimataifa Wa WFNS, Aprili 16, 2026, Dar es Salaam

    https://www.youtube.com/live/zvViP7gngNM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Shirikisho la Dunia la Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu, tarehe 16 Aprili, 2026, Dar es Salaam
  20. V

    JamiiForums Tanzania Mpango Mkakati wa Kuhamisha Viwanda Dar es Salaam kwenda Pwani kwa Kupunguza Foleni na Kuboresha Mipango Miji

    Napenda kuishauri Serikali kuwa inaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa foleni sugu jijini Dar es Salaam na kuboresha upangaji wa makazi kwa kuchukua hatua ya kimkakati ya kuhamisha viwanda vikubwa, vya kati na vidogo kutoka katikati ya jiji kwenda mkoa wa Pwani, ambao unaweza kuandaliwa rasmi kuwa...
Back
Top Bottom