elimu

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kutoka Kwenye Maisha ya Anasa ya Serikali hadi Kwenye Uzalishaji: Kilimo, Elimu, na Afya Ndio Mkombozi wa Kijana wa Kitanzania

    Ndugu Wakuu, Katika uzi wangu uliopita, tulijadili jinsi mzunguko usio na tija wa kodi ya mvuja jasho unavyoishia kufadhili anasa za wachache huku mtaani vijana wakipambana na ukata wa mitaji. Leo naomba tushuke chini zaidi kwenye mifumo ya kibajeti ya nchi yetu. Tanzania ni nchi changa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu kwako mwanamke, Elimu +kazi kisha familia(Mume mwenye akili za Tibeli)

    MAMBO MUHIMU KWAKO MWANAMKE; ELIMU +KAZI KISHA FAMILIA(MUME MWENYE AKILI ZA TIBELI) Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Baada ya afya bora. Kinachofuata kwenye maisha yako kwa umuhimu na lazima ukizingatie ni Elimu. Lazima uwe na Elimu. Usikubali kuishi kama mbuzi. Kula kulala. 1. Tafuta...
  3. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Pata elimu kuhusu ugonjwa wa ngili au henia

    # Ugonjwa wa Ngili (Henia) Ngili ni hali ambapo sehemu ya ndani ya mwili—kama utumbo au tishu ya mafuta—hujitokeza kupitia sehemu dhaifu ya misuli au tishu inayoshikilia viungo vya ndani, hasa katika eneo la tumbo au kinena. ## Chanzo cha Ngili Udhaifu wa misuli tangu kuzaliwa – baadhi ya...
  4. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Watu wanajihusisha na mambo yao; Ni wewe tu unawawazia

    Ukitaka kufahamu uhakika wa kichwa cha habari nilichoandika tafakari juu ya mtu anapokufa waliobaki huwa wanafanya nini? (Jiulize tu kwa dhati ya moyo wako na ujijibu). Jibu la swali hilo ndiyo uhakika wa maisha yalivyo. Ni wewe tu umekaa unawawazia wao ila kwa hakika watu wana mawazo yao na...
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Maktaba Yapokea Kalenda Inayoeleza Historia ya Ukombozi wa Afrika Kusini na Kitabu Kuhusu Ubaguzi Katika Elimu

    MAKTABA YAPOKEA KALENDA INAYOELEZA HISTORIA YA UKOMBOZI WA AFRIKA KUSINI NA KITABU KUHUSU UBAGUZI KATIKA ELIMU Mmoja wa wapenzi walio mstari wa mbele katika kuitia nguvu Maktaba ameitunuku calendar na kitabu. Ingawa kalenda imekuja katikati ya mwaka lakini haikuwa shida kubwa kwangu kutambua...
  6. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Mfumo wa Elimu ya Kiafrika, ulioletwa na wakoloni

    African Education System has surprising outcomes. The smartest students pass with 1st class and get admission to Engineering and medical schools. The 2nd class students get MBAs and LLBs to manage the First Class students. The 3rd Class students enter politics, and rule both 1st and 2nd class...
  7. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kutokuwa na elimu ya uchumi ndio kunafanya wengi waishi maisha ya kwangu kukavu tia mchuzi!

    Elimu ya uchumi nafikiri inatakiwa ianzie nyumbani, huko utaipata kwa vitendo na maneno, inaonyesha familia nyingi za uchumi wa kati na chini huwa haziwarithishi watoto elimu hiyo!, inaweza kuwa hawana ama ni kupuuzia mambo tu!. Mtu mpaka anakuja kufika miaka 30 hivi ndio anaanza kujua afanye...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania ELIMU Mbalimbali ndio inafanya Uanaharakati uonekane ni Ugaidi

    Ni lazima kwanza uwe na ELIMU Mbalimbali ndio ikupe ujasiri wa kuwaona Wanaharakati kama Magaidi.
  9. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Sisi ndio mabingwa wa elimu bora Tanzania ,usisubirie kusimuliwa tupe mtoto wako leo uwe shuhuda wetu

    Mafanikio ya mtoto wako yanaanzia hapa! Tunatoa huduma bora za Home Tuition kwa wanafunzi wa ngazi zote (One hadi Six) pamoja na wanaoanza kabisa (Beginners). Tunafundisha: ✅ Mitaala yote ya shule ✅ Kiswahili ✅ Lugha za kigeni mbalimbali kwa wanafunzi wanaotaka kujifunza lugha mpya, mfano: 🇬🇧...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuhusu wasiwasi ne elimu yetu je ufaulu huu unavyozidi kuongezeka kwa kasi ina maana masomo yanazidi kuwa marahisi sana

    Mi bado na mashaka na hii elimu yetu inavyoelekea wala sio kwa ubaya. Kila mwaka kasi ya ufaulu inaongezeka basi ingetupa chanya ya hawa wafauli kila siku idadi yao ikiongezeka kuona mfano kama wachina elimu ilivyo wafanya kuwa na bidhaa,wataalamu na n.k. Unajua kwa nini mi na mfano tosha tuna...
  11. figganigga

    JamiiForums Tanzania Jakamageta: Elimu yetu Tanzania imeharibiwa na Wanasiasa. Hospital wamejaa Incompetent Doctors

    Mwanachama wa JamiiForums, Jakamageta amesema Elimu yetu inaharibiwa na siasa, siku hizi tutashindwa kupata Madaktari wanaofanya right diagnosis and treatment. "Hospital wamejaa Incompetent Doctors and other medical practitioners kwa sababu ya mfumo wa elimu yetu ni mbovu." Wenye pesa...
  12. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ufaulu Kidato cha 6 ni 99.9%. CCM na Samia Washaharibu Elimu ya Tanzania. Mlaaniwe hadi Kizimkazi pasiote nyasi

    Lengo lao wanataka waseme Mama anaupiga mwingi. Kwamba Ufundishaji umeongezeka. Kila kitu sasa ni kuchakachua kuanzia matokeo ya Urais hadi Matokeo ya Wanafunzi. Shule hazina Waalimu, hazina Maabara, hazina Madawati hazina Madarasa halafu ufaulu unakuwa 99.9%. Ni sawa na Mtoto ajisahihishie...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu mimba

    Je mwanamke akiwa na mimba hedhi inaweza kuendela kutoka?au imekaaje wakuu,naomba ufafanuzi Kwa madakitari na mtu yoyote mwenye uelewa humu JF
  14. R

    JamiiForums Tanzania Lema amjibu Rose Shaboka: Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu

    Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake; ------ Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant! Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha...
  15. V

    JamiiForums Tanzania Elimu, Fedha, Zisikutoe Kwenye Nafasi yako Mwanamke.

    Sifa Kuu ya Nafsi ni kujihesabia haki hata kama imekosea, ni vigumu kukubali makosa, Sio Ajabu ukaona Mtu badala ya kutengeneza Mambo, anazidi kuharibu, kwani tayari Moyo Umeumia. Na watu wanaomsikiliza Wanaambukizwa Roho YA Uchungu na Ukosefu wakifikiri wanakuwa empowerd. Kumbe Cheo na Nafasi...
  16. idiomer

    JamiiForums Tanzania Jumla ya watu wenye elimu ya shahada ni wangapi Tanzania kwa sasa?

    Ina maana tunakuwa na wasomi wenye shahada 3,200,000 Basi tufanye na diploma 3,200,000 6.4M Idadi ya watu ni milion 70 Au basi takwimu zinaonesha mambo mengii
  17. K

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu, walimu ni wa watanzania wote acheni kuwabania uhamisho, kama mtu amekizi vigezo na sababu anazo aruhusiwe kuhama

    Mwalimu anafanya kazi kituo kimoja mpaka anafanana na wanakijiji akiomba kuhama anaambiwa watumishi hawaatoshi 1. Huyo mtumishi amekaa kituo kimja zaidi ya miaka kumi, anaomba uhamisho tena anajigharamia mwenyewe na amekizi vigezo vya kukaa kituo kimoja zaidi ya miaka mitano. Hapewi na wakati...
  18. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mwalimu Mzumbe-Morogoro anafanya Elimu kuwa Biashara

    Kuna Mwalimu chuo kikuu mzumbe ndani ya Morogoro anafanya elimu Kama Biashara anatoa assignment ambayo tunatakiwa kuondoka Zaidi ya page 80 Na haturuhusiwi kuprint eti tukusanye softcopy Kwa CR's ndio wakaprint kwenye stationary yake tu yeye bila kuprint kwake unapata ziro imagine me Na printa...
  19. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Mchango wangu juu ya hali ya Tanzania hasa kipindi hiki kigumu.

    Nimejaribu kumsikiliza professor Tibaijuka ambaye anafanya constructive criticism juu ya mambo mbalimbali nchini pia kufuatia hali ya nchi sasa ilivyo nimekuja na mtazamo wangu binafsi. 1.Nchi yetu sasa hivi imeparanganyika .Hakuna ukaribu kati ya wananchi hasa tabaka la chini na watu wa tabaka...
  20. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mamlaka za Elimu Kigamboni zinaombwa kuchunguza shule hii na kuchukua hatua

    Takriban mwezi mmoja uliopita, katika jukwaa hili kuliripotiwa malalamiko ya wadau wa elimu wa Wilaya ya Kigamboni Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwalalamikia wamiliki wa shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence' Girls' Islamic Seminary, kuwa wameweka Mkuu wa Shule anayetuhumiwa kwa vitendo vya...
Back
Top Bottom