Ndugu Wakuu,
Katika uzi wangu uliopita, tulijadili jinsi mzunguko usio na tija wa kodi ya mvuja jasho unavyoishia kufadhili anasa za wachache huku mtaani vijana wakipambana na ukata wa mitaji. Leo naomba tushuke chini zaidi kwenye mifumo ya kibajeti ya nchi yetu.
Tanzania ni nchi changa...
MAMBO MUHIMU KWAKO MWANAMKE; ELIMU +KAZI KISHA FAMILIA(MUME MWENYE AKILI ZA TIBELI)
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Baada ya afya bora. Kinachofuata kwenye maisha yako kwa umuhimu na lazima ukizingatie ni Elimu.
Lazima uwe na Elimu. Usikubali kuishi kama mbuzi. Kula kulala.
1. Tafuta...
# Ugonjwa wa Ngili (Henia)
Ngili ni hali ambapo sehemu ya ndani ya mwili—kama utumbo au tishu ya mafuta—hujitokeza kupitia sehemu dhaifu ya misuli au tishu inayoshikilia viungo vya ndani, hasa katika eneo la tumbo au kinena.
## Chanzo cha Ngili
Udhaifu wa misuli tangu kuzaliwa – baadhi ya...
Ukitaka kufahamu uhakika wa kichwa cha habari nilichoandika tafakari juu ya mtu anapokufa waliobaki huwa wanafanya nini? (Jiulize tu kwa dhati ya moyo wako na ujijibu). Jibu la swali hilo ndiyo uhakika wa maisha yalivyo.
Ni wewe tu umekaa unawawazia wao ila kwa hakika watu wana mawazo yao na...
MAKTABA YAPOKEA KALENDA INAYOELEZA HISTORIA YA UKOMBOZI WA AFRIKA KUSINI NA KITABU KUHUSU UBAGUZI KATIKA ELIMU
Mmoja wa wapenzi walio mstari wa mbele katika kuitia nguvu Maktaba ameitunuku calendar na kitabu.
Ingawa kalenda imekuja katikati ya mwaka lakini haikuwa shida kubwa kwangu kutambua...
African Education System has surprising outcomes. The smartest students pass with 1st class and get admission to Engineering and medical schools. The 2nd class students get MBAs and LLBs to manage the First Class students. The 3rd Class students enter politics, and rule both 1st and 2nd class...
Elimu ya uchumi nafikiri inatakiwa ianzie nyumbani, huko utaipata kwa vitendo na maneno, inaonyesha familia nyingi za uchumi wa kati na chini huwa haziwarithishi watoto elimu hiyo!, inaweza kuwa hawana ama ni kupuuzia mambo tu!.
Mtu mpaka anakuja kufika miaka 30 hivi ndio anaanza kujua afanye...
Mafanikio ya mtoto wako yanaanzia hapa!
Tunatoa huduma bora za Home Tuition kwa wanafunzi wa ngazi zote (One hadi Six) pamoja na wanaoanza kabisa (Beginners).
Tunafundisha:
✅ Mitaala yote ya shule
✅ Kiswahili
✅ Lugha za kigeni mbalimbali kwa wanafunzi wanaotaka kujifunza lugha mpya, mfano:
🇬🇧...
Mi bado na mashaka na hii elimu yetu inavyoelekea wala sio kwa ubaya.
Kila mwaka kasi ya ufaulu inaongezeka basi ingetupa chanya ya hawa wafauli kila siku idadi yao ikiongezeka kuona mfano kama wachina elimu ilivyo wafanya kuwa na bidhaa,wataalamu na n.k.
Unajua kwa nini mi na mfano tosha tuna...
Mwanachama wa JamiiForums, Jakamageta amesema Elimu yetu inaharibiwa na siasa, siku hizi tutashindwa kupata Madaktari wanaofanya right diagnosis and treatment.
"Hospital wamejaa Incompetent Doctors and other medical practitioners kwa sababu ya mfumo wa elimu yetu ni mbovu."
Wenye pesa...
Lengo lao wanataka waseme Mama anaupiga mwingi. Kwamba Ufundishaji umeongezeka. Kila kitu sasa ni kuchakachua kuanzia matokeo ya Urais hadi Matokeo ya Wanafunzi.
Shule hazina Waalimu, hazina Maabara, hazina Madawati hazina Madarasa halafu ufaulu unakuwa 99.9%.
Ni sawa na Mtoto ajisahihishie...
Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake;
------
Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant!
Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha...
Sifa Kuu ya Nafsi ni kujihesabia haki hata kama imekosea, ni vigumu kukubali makosa, Sio Ajabu ukaona Mtu badala ya kutengeneza Mambo, anazidi kuharibu, kwani tayari Moyo Umeumia. Na watu wanaomsikiliza Wanaambukizwa Roho YA Uchungu na Ukosefu wakifikiri wanakuwa empowerd. Kumbe Cheo na Nafasi...
Ina maana tunakuwa na wasomi wenye shahada 3,200,000
Basi tufanye na diploma 3,200,000
6.4M
Idadi ya watu ni milion 70
Au basi takwimu zinaonesha mambo mengii
Mwalimu anafanya kazi kituo kimoja mpaka anafanana na wanakijiji akiomba kuhama anaambiwa watumishi hawaatoshi
1. Huyo mtumishi amekaa kituo kimja zaidi ya miaka kumi, anaomba uhamisho tena anajigharamia mwenyewe na amekizi vigezo vya kukaa kituo kimoja zaidi ya miaka mitano. Hapewi na wakati...
Kuna Mwalimu chuo kikuu mzumbe ndani ya Morogoro anafanya elimu Kama Biashara anatoa assignment ambayo tunatakiwa kuondoka Zaidi ya page 80 Na haturuhusiwi kuprint eti tukusanye softcopy Kwa CR's ndio wakaprint kwenye stationary yake tu yeye bila kuprint kwake unapata ziro imagine me Na printa...
Nimejaribu kumsikiliza professor Tibaijuka ambaye anafanya constructive criticism juu ya mambo mbalimbali nchini pia kufuatia hali ya nchi sasa ilivyo nimekuja na mtazamo wangu binafsi.
1.Nchi yetu sasa hivi imeparanganyika .Hakuna ukaribu kati ya wananchi hasa tabaka la chini na watu wa tabaka...
Takriban mwezi mmoja uliopita, katika jukwaa hili kuliripotiwa malalamiko ya wadau wa elimu wa Wilaya ya Kigamboni Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwalalamikia wamiliki wa shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence' Girls' Islamic Seminary, kuwa wameweka Mkuu wa Shule anayetuhumiwa kwa vitendo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.