Askofu Dk. Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, akizungumza na Sauti Digital Ijumaa Julai 24, 2026 amehoji kuhusu kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi kuhusu kuipigania KATIBA MPYA amehoji haya kuhusu KATIBA MPYA...
Pia soma Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria...
Karibu namaliza mwaka 1 nikiwa Mwalimu wa Chuo Kikuu. Kimsingi, kila Askofu ni Mwalimu lakini si kila Mwalimu ni Askofu. Kwa bahati mbaya nina vyote! Tangu Septemba 2025 nafundisha somo la POLITICAL PHILOSOPY kwa wanafunzi wanaosoma Sayansi ya Siasa.
Hapa mezani kwangu, nina nyaraka za...
UONGOZI UNAOACHA ALAMA
Uongozi wa awamu ya tano uliacha alama. LAKINI njia zilizotumika kuacha alama, pia njia hizo ziliacha alama.
Unatakiwa uongozi unaoacha alama bila kutumia njia zinazoacha alama.
Mwachieni tu. Anazo alama za utawala ulioacha alama. Nimjuavyo, atafanya makosa...
Nyerere, Amani Karume wote walikuwa wanaharakati na ndio Mababa wa Taifa letu, tunaanzaje kushetanisha uwanaharakati wakati Taifa letu limejengwa na wanaharakati." Askofu Bagonza akichangia kwenye kongamano la Demokrasia linaloendelea muda huu Zanzibar.
Kama kawaida kwa viongozi wa kiroho wamekuwa wakiipatia jamii ya watanzania kupitia majukwaa mbalimbali hapa nchini.
Naomba tumsikikize...
Akizungumza katika Jukwaa la Demokrasia Tanzania kuhusu Gen-Z na Hatma ya Demokrasia Nchini leo Julai 9, 2026 lililofanyika visiwani Zanzibar, Askofu wa...
Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe, Askofu Benson Bagonza leo Julai 09, 2026 amehoji kuwa Mwalimu JK Nyerere na Karume walikuwa wanaharakati au si wanaharakati.
"Naomba niwaulize kwa unyenyekevu, Nyerere alikuwa Mwanaharakati au si Mwanaharakati?, Karume alikuwa mwanaharakati au si...
Askofu Dkt. Bagonza amesema viongozi wengi wa vijana wamejaa uoga unaoitwa utii, hali inayowafanya washindwe kusimamia maslahi ya wenzao. Amesema viongozi hao wanaongoza vijana wengi waliokata tamaa na wanaokimbilia majibu mepesi, ikiwemo kutegemea miujiza, njia rahisi za kupata utajiri na...
MIMI ni tunda la Azimio la Arusha. Chini ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kupitia Azimio hilo, tulijenga taifa kwa sera ya Ujamaa na Kujitegemea.
Ujamaa ulishindwa, lakini katika kujitegemea tulipiga hatua kubwa. Natetea hoja yangu
kama ifuatavyo;
Kwanza, tulijitegemea kifikra na...
Askofu Bangoza na safari yake huko Sweden anasema,
Tarehe 16 na 17/6/2026 nimetembelea Bunge la Sweden (Riksdag), Wizara ya Mambo ya Nje na makazi ya kifalme. Nilialikwa, sikwenda kutalii na kushangaa kama Wajaluo wanaolipa kiingilio ili kuona binti mweupe.
Nimekutana na kufanya maongezi na...
Anaandika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook
Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuiandikia barua Chadema. Barua hiyo inatafsriwa kuwa ina lengo la kuifuta...
Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuiandikia barua Chadema. Barua hiyo inatafsriwa kuwa ina lengo la kuifuta CDM au kuifungia. Maoni yangu yanapendekeza njia rahisi na SALAMA ya kuifungia au hata kuifuta Chadema.
1...
NJIA RAHISI YA KUIFUTA CHADEMA: AANDIKA ASKOFU BAGONZA
Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuiandikia barua Chadema. Barua hiyo inatafsriwa kuwa ina lengo la kuifuta CDM au kuifungia. Maoni yangu yanapendekeza njia rahisi...
Tafadhali tuliza akili unaposoma makala hii.
1. Kuna mjadala unaendelea kuhusu dini zetu na sasa KKKT inatuhumiwa sana. Kanisa linahusishwa na siasa za urais, kulambishwa asali na misimamo ya watu binafsi lakini Walutheri inaelekea kutumiwa ili kupata upenyo wa kulikashifu kanisa zima. Tunavuka...
Askofu Dkt. Benson Bagonza wa KKKT Dayosisi ya Karagwe ameandika haya katika mtandao wa FaceBook
NASIKIA WAJALUO WANASUBIRI..
Iko hivi:
Siwezi kusema kuwa NI NZURI au ni MBAYA maana siyo yetu. Yeye kasema ni ya kwake.
Msimsumbue.
Nasubiri ya kwetu.
Msinisumbue tena nyie Wajaluo. Babu yenu...
Katika nchi yetu, hoja inayotolewa na Askofu Bagonza kuhusu sekta binafsi ni ukweli ambao baadhi ya viongozi bado hawapo tayari kuupokea. Kumekuwa na mtazamo kuwa mwajiri mkuu na pengine wa pekee—ni serikali, huku sekta binafsi ikiwekwa pembeni kana kwamba mchango wake hauonekani.
Hali halisi...
Ni katika Salamu za Pasaka za mwaka huu wa 2026 Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt. Benson Bagonza amesema kwamba kwa sasa vijana hawana cha kujifunza kutoka kwa viongozi wao. Anahoji: Wajifunze Uongo? Wizi? Rushwa? , kuteka watu, ubabe...
ASIYEUTAKA URAIS CCM HAJAZALIWA!
Wakristo tumo kwenye juma takatifu. Tunaalikwa kutohukumiana katika habari ya vyakula na vinywaji (Wakolosai 2: 16-17).
Ndani ya CCM tusihukumiane kwa habari ya kuutaka urais au kutoutaka. Urais ni sehemu ya CCM na CCM ni sehemu ya urais. Asiyeutaka urais CCM...
NAIPONGEZA JAMHURI na KUISHAURI
Wale mnaopenda kuwapopoa kwa mawe wale msiokubaliana nao, nawaomba mnipopoe.
Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili “Mtundu” wa Taifa, Tundu Lisu, imeamua kukata rufaa kwa kesi ambayo haijahukumiwa au haijafika mwisho. Wamejuaje kuwa wameshindwa na kuamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.