Akiongea mbele ya Rais Samia Ikulu leo July 26,2024 wakati wa uapisho wa viongozi walioteuliwa Makamu wa Rais Philip Mpango amesema;
“Niwapongeze wote walioteuliwa mmepewa dhamana kubwa ni matumaini ya Mh. Rais na Watanzania kwamba mtakwenda kucheza vizuri katika nafasi hizo niwaombe moja tu...
Katika nyakati za hivi karibuni, Yanga SC imekuwa ikipitia mabadiliko makubwa katika nafasi ya msemaji wa klabu. Baada ya kufungiwa kwa Haji Manara na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), nafasi yake ilichukuliwa na Ali Kamwe. Tunaamini kwamba Ali Kamwe ni chaguo bora zaidi...
Na tafuta sehemu ya kujitolea kwenye NGO yoyote. Nipo Dar es Salaam nimesoma Project Planning and Community Development.
CVkwa ufupi
Age 25
Place dar es salaam
Experience. Biko sales
Nom 0672885858
Email tylorchriss43@gmail.com
Kama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza
natafuta mwanamke wa kumuoa tujenge familia;
Awe na umri kuanzia 22-28
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
Awe na kazi halali ya kufanya
Asiwe mweusi sana, akiwa mweupe fresh
Asiwe mfupi sana kama ni mrefu hapo sawa.
Sifa zangu
Sina mke wala mtoto
Ni...
Yani huu mfumo unachanganya sana watu kwa mfano kwenye kujaza sehemu ya kujaza Professional qualifications kwa watu wa fani ya ualimu hususani Bachelor Degree
Tunashida na ajira lakini mifumo yenyewe ya kuombea ajira ni changamoto sana
Eeh Mungu baba tusaidie wanao wasaka tonge
Tunakosa tena...
Habari ya mchana wana jf
Mimi ni miongoni mwa member wachache ambao hatupendi kutoa mikasa yetu humu jf lakini kwa hili lililonipata nimeona tushare tunaweza jifunza vitu flani.
Mimi nina miaka 27, nilikua na mpnzi wangu ambaye tulianza uhusiano 2022 yeye sasa ana miaka 21, na pia yeye...
PART I: NAFASI YA WANALINDI KWENYE MRADI WA GESI LINDI.
Mradi wa kuchimba na kuchakata gesi asilia (LNG) Lindi mjini ni mradi ambao wakazi wengi wa Lindi wanautegemea uje ubadirishe maisha yao. Hata hivyo Wanalindi wengi hawajui mradi huu unahusu nini haswa na utaanza lini au kwanini haujaanza...
Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema.
Naona wazi akichukua nafasi ya pili.
Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni.
Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au DEBORA fc naona wakishika nafasi ya 6 hata shirikisho hawapendi tena.
Guede , Lyanga, Manura...
Ripoti inaonyesha kuwa Kiashiria cha Demokrasia nchini Kenya kinaendelea kuwa nyuma ya Tanzania kwa miaka minne mfululizo kutokana na alama duni kwenye mchakato wa uchaguzi na wingi wa vyama, uhuru wa raia, na utendaji wa serikali.
Ripoti ya Kiashiria cha Demokrasia 2023 kutoka Economist...
POST VILLAGE EXECUTIVE III – 13 POST
EMPLOYER Hai District Council
APPLICATION TIMELINE: 2024-07-07 2024-07-22
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Accounts Officer and chief executive of the village government;
To manage the protection and safety of citizens and their properties, to be...
POST DRIVER CLASS II – 7 POST
EMPLOYER Arusha City Council
APPLICATION TIMELINE: 2024-07-09 2024-07-22
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Checking the vehicle before and after the trip to determine the vehicle’s safety condition;
Sending employees to different places on business trips...
POST LOCAL EXECUTIVE III – 10 POST
EMPLOYER Ifakara Town Council
APPLICATION TIMELINE: 2024-07-09 2024-07-22
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
1. Secretary of the Local Committee
2. Local Chief Executive
3. Coordinator of the implementation of Policies and Laws implemented by the...
POST VILLAGE EXECUTIVE III – 9 POST
EMPLOYER Karagwe District Council
APPLICATION TIMELINE: 2024-07-09 2024-07-22
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Accounts Officer and chief executive of the village government;
To manage the protection and safety of citizens and their properties, to...
POST DRIVER CLASS II – 4 POST
EMPLOYER Karagwe District Council
APPLICATION TIMELINE: 2024-07-09 2024-07-22
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Checking the vehicle before and after the trip to determine the vehicle’s safety condition;
Sending employees to different places on business...
Nchi 10 zenye watu wengi zaidi barani Afrika
Nigeria inaongoza kwa takriban watu 223,804,6322 ikifuatwana na Ethiopia ikiwa na watu 126,527,060
• Kenya ni ya saba kwa watu 55,100, 58755,001 huku Tanzania wakiwa mbelekatika nafasi ya tano.
habarini Wana jf. mimi ni kijana wa miaka 23 nasoma bsc chemistry,Mwenge catholic university natalajia kumaliza chuo mwezi wa nane mwaka huu(2024). hivyo basi natafuta sehem ya kufany internship iwe kiwandan au migodoni kote nafany as quality controller, lab scientist and chemist.
mwenye kujua...
Zaidi sana utapoteza muda na fedha zako, tena kwa fedheha sana, ukiwa na elimu ya madigrii kadhaa ya kitaaluma wakati mganga hata darasa la saba hajamaliza.
Mganga hawezi na wala hana uwezo wa kukupatia uongozi wa wananchi, bali atakutisha tu kwa kukuhimiza kufanya bidii kutafuta kura kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.