nafasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi ya Kujitolea: Wahariri na Waandishi Wakuu wa Habari (Editorial Volunteers) - Global Primegates Limited

    Habari za majukumu wana-JF, Kampuni ya Global Primegates Limited inatarajia kuzindua mtandao mpya wa kijamii ulioundwa maalum kwa ajili ya kuunganisha jamii, kukuza mazungumzo yenye tija, na kuwapa sauti Watanzania nchi nzima. Ili kuhakikisha mtandao wetu unadumisha viwango vya juu vya...
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Malaika Jibril achukue nafasi ya Israel mtoa roho

    Kosakosa zimekuwa nyingi sana. Huyu Israel Doumbia atolewe nafasi yake ichukuliwe na Jibril Kalala Mayele. Tunataka goli la mapema.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Interview za ajira Tanzania: Je, waombaji wanapewa nafasi ya kweli ya kushindana?

    UZOEFU WANGU KATIKA MCHAKATO WA AJIRA BENJAMIN MKAPA HOSPITAL NA MASWALI NINAYOAMINI YANASTAHILI MAJIBU Ninaandika makala hii si kwa sababu nimekosa kazi, wala si kwa sababu nina malalamiko binafsi dhidi ya Benjamin Mkapa Hospital (BMH). Ninaandika kwa sababu nilishiriki katika mchakato wa...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Dini -TEC,BAKWATA,CCT chini ya mwamvuli wa Interfaith Committee wana nafasi kubwa ya kuchangia kupatikana Maridhiano na Mufaka wa Kitaifa

    Viongozi wa Dini Baraza la Maaskofu Katoliki,Baraza Kuu la Waislamu Tanzania,Jumuiya ya Wakristo Tanzania ,wanayo nafasi kubwa sana kuchangia upatikanaji wa Mazungumzo,Maridhiano na Muafaka wa Kitaifa na hatimaye Taifa kuanza safari ya kupata Katiba mpya. Tukumbuke kwamba kwenye mapendekezo ya...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ingekuwa Sugu au Lema ndio wanashika nafasi ya Heche, siasa za Tanzania zingekuwaje?

    Natafakari hapa, Kwa hali ilivyo je wanasiasa kama vile Sugu au Lema wangeendelea kukomaaa kama aivyokomaa Heche Wegesa Kuna mwanasiasa yeyote ndani ya CHADEMA anaweza kuwa na msimamo kama Heche na Lisu
  6. Ponjoro namba moja

    JamiiForums Tanzania Kwanini, nauliza kwanini wahindi hawapewi nafasi kugombea Urais?

    Bana sikiliza. Nchi hii haina ubaguzi wa rangi, dini au ukabila! Ssa wana JF hebu kumpa mimi rejesho , kwa nini sisi wahindi hapana kumpa nafasi gombea urais nchi hii? Ze Ponjoro
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Marais ambao ndugu zao walishika nyadhifa za juu serikalini wakati wa utawala wao

  8. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Kuna nguvu kubwa sana inatumika kumuhallaisha huyu dogo wao kwenye nafasi ya umakamu wa Rais

    Kuna jambo linafichwa ndio maana kuna nguvu kubwa sana inatumika kumpamba huyu dogo wao. Wanamjua mama yake ni Mzanzibar ila Kabudi alisema mama yake ni mchaga....🤣🤣 Hii nchi ina watu wapumbavu kwenye nafasi za muhimu sana
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi , Mkuu wa Kanda ya Mauzo Vodacom Dodoma kanda ya Mvumi (Css) Anayofuraha kutangaza nafasi za kazi ya Team Leaders na Freelancers.

    Nafasi hizo ni kwaajili ya kukuza mauzo katika kanda ya Mvumi Territory ya Dodoma Vigezo 1. Ajuwe kusoma na kuandika 2. Awe na smartphone 3. Awe na akili timamu 4. Umri kuanzia miaka 18 na kuendelea 5. Upande wa Tl Awe na uwezo wa kusimamia timu Elimu zaidi ya kidato cha 4 ama sawa na...
  10. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Dini Katika Mgawanyo wa Madaraka

    https://youtu.be/Q_j7NyVC3YY?si=-X0zBb0EkA17D6K0
  11. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya makamu wa Rais ilitumika kama kipozeo cha mtu aliyeuchukia muungano ILA akitokea zanzibari,Mungu aligeuza baada ya kifo cha Magu je walijua?

    Hii Nafasi ilikuwa ikitumika kama Nafasi ya kumpooza uchungu,mzanzibari yoyote AMBAE atagombea uraisi zanzibari na akakatwa na halimashauri kuu ya ccm baada ya kubaini yakuwa mgombea aliyekatwa alikuwa miongoni mwa wagombea lakini wenye vinasaba vya kutoupenda muungano WA Tanganyika na...
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Hawa hawawezi kushika madaraka ya Makamu wa Rais wa JMT kwa sbb zifuatazo

    Baada ya Dr Emmanuel Nchimbi kubwaga manyanga (kutema mbungo), Ramli chonganishi zinapigwa sana kutabiri nani atachukua nafasi yake Pamoja na uharamu wa serikali hii, lakini by all means necessary nafasi ya VP mwingine haramu ni lazima ijazwe.. Hawa hawawezi kuwa na sababu anuwai za kwanini...
  13. KUKULU- KAKALA

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Freeman Mbowe na Lazaro.NYALANDU kuchukua nafasi ya Umakamu wa Rais

    Za Ndani kabisa Freeman Mbowe na Lazaro.NYALANDU... ni miongoni mwa majina yanayotajwa kwenye kurithi nafasi iliyoachwa wazi..... TEETH wanamtaka mtu wao mwana mpotevu ( FAM) wakati CCM mtandao wanamtaka NYALANDU.... Shida ipo kwa Lameck hamtaki NYALANDU maana ni moja ya competitors wake kwenye...
  14. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA wanapambana kuiomba CCM wampe Tundu Lissu nafasi ya Umakamu ili waunde Serikali ya mseto

    Friends and Our Enemies, Ukistaajabu ya Nchimbi utayaona ya Chama Cha Maandamano, Kuna taarifa zinazagaa zagaa zikielezea kuwa John Heche na Genge lake linahaha kuwatafuta CCM ili wawashawishi wamtoe lupango Tundu Lisu ili waunde serikali ya mseto wao na CCM ili kushughulikia masuala ya nchi...
  15. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania UVCCM wameandika barua kwa niaba ya NCHIMBI ikasambazwa kwa kutumia pesa, Nchimbi kanyimwa nafasi ya kukanusha.

    Barua FEKI, haina hata sifa za kuitwa ni barua ya Makamu wa rais Nimedokezwa mbinu yao ni ile ile waliyotumia kwa Ndugai. Wamewatumia akina Ayo, Kitenge, na wote wanaosambaza habari kwa malipo ili ionekane ni barua halali. Wanachohakikisha ni kwamba Nchimbi hapati nafasi ya kuzungumza jukwaani...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndio list ya candidates wanaomfaa Rais kukaimu nafasi ya Vice President, Hawana Dramas, watakwenda nae bega kwa bega

    N:B: inawezekana kwa mara ya kwanza Rais na Makamu wake wakawa wote wanawake kama Namibia. Kwavile Rais ni Mkristo, kuna uwezekano mkubwa ataweka balance kumteua Makamu wake Mksristo MWIGULU GWAJIMA PAUL MAKONDA RHIMO NYANSAHO
  17. M

    JamiiForums Tanzania Hongereni Wazanzibari! hatua zenu si za kubeza; mnasuka usawa ndani ya Muungano. CCM Bara hatuna wasiwasi, kiongozi yeyote anaejiuzulu nafasi itajazwa

    Tunaendelea kuuenzi Muungano wetu wa Tanzania, ambao baba yetu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye Muasisi. Zanzibar kama upande mmoja wa Muungano tunawapa pongezi kwa kuendelea kuunogesha Muungano kwa kuweka mifumo yenye kujali usawa zaidi. Na huo ndio Muungano tunaoupenda...
  18. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Makosa makubwa sana yalifanyika 2015 pale Dodoma kumpa nafasi Magufuli na kumuacha lowassa

    Hili lilikuwa jaribio hatari la usalama na ndilo pigo kubwa zaidi tulilopata kama taifa.
  19. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Huenda Abdul mtoto wa Samia akachukua nafasi ya Nchimbi

    Nawaza tu.
  20. G Sam

    JamiiForums Tanzania Samia mpe tu hiyo nafasi Mbowe kama ulivyodhamiria ili mpango wako ukamilike

    Nimedokezwa kuwa upo mpango mahususi unaandaliwa ili bwana Mbowe apewe ile nafasi. Mpeni tu maana hamna tena aibu kuficha mauchafu yenu. Litakuwa ni pigo kwa yule bwana kuondoka.
Back
Top Bottom