nafasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Ni ipi nafasi ya Tanzania katika Migogoro unaoendelea Mashariki ya Kati?

    Inajulikana kuwa nchi za Mashariki ya Kati zimejengewa misingi ya Ustaarabu wa kidini tangu enzi na tunapozungumzia dini tunajumuisha Ustawi na utulivu wa Mwanadamu. Migogoro ya kihistoria hususani inahusisha ardhi ya israel-Palestina imeendelea kuwa nadharia kuu ya Kutoweka kwa Amani katika...
  2. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Baadhi ya Madaktari na Wafamasia wenye 'access' ya dawa kwenye maeneo yao ya kazi, hutumia fursa hiyo kuzidokoa na kupeleka kwenye maduka yao

    Mimi ambaye nipo kwenye utumishi wa umma mwaka wa 11 sasa ndani ya ofisi 3 tofauti za serikali inatosha kuitwa mkomavu. WAFANYAKAZI wengi wa umma wanakwenda kazini aidha kupiga deal tu na wengine ambao ofisi zao hazina mafuta mafuta huenda kazini kutimiza tu wajibu ili wasifukuzwe kazi walijua...
  3. monotheist

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi zilizotoka mwezi wa nne

    JE kuna yeyote aliyeitwa kwenye interview ya security guard (officer) GSM au GEITA GOLD MINE? Tangazo la kazi lilitoka mwezi wa nne mwaka huu
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Lucy Mayenga ni ushahidi wa nafasi za Ubunge kwa namna isiyo sahihi

    Hawa ndio wabunge ambao hupata nafasi kwa namna ile ambayo siku zote tunaipigia kelele. Ukimsikiliza tu anaongea unajua kichwani hamna kitu isipokuwa ndio basi tena. Aina hii ya wabunge ni wengi sana. Kuna wakati nilikuwa nadate dada mmoja mkali sana ana shape na mzuri. akaaanza kunambia...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi(madereva 4)

    Ciwaye Trading Co. Ltd inatangazia umma wanatoa nafasi kazi 4 za madereva wa malori ya mizigo Sifa 1. Awe na vyeti vyote vya mafunzo na leseni halali 2. Awe hajashiriki kosa lolote la kijinai 3. Awe hana tabia za ulevi muda wa kazi 4. Awe na tabia ya kufanya kazi kwa kutunza muda 5. Awe...
  6. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi kwa singo mama

    Anahitajika Single Mama Madam wa chekechea awe na mtoto wake umri mwaka 1 au 2 au 3 Atakabidhiwa kusimamia shule na kupewa sehemu ya kukaa yeye na Mtoto wake Atalipwa salary kwa makubaliano na Boss Kipindi hichi cha likizo atapewa huduma za Tuition bure hela zake Shule zikifunguliwa ataanza...
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Huenda Joseph Selasini akawa mwenyekiti wa CHADEMA taifa kwasababu hakuna wa kumzuia wala kumtatiza kuikwaa nafasi hiyo iliyowazi kwasasa.

    Ni suala la muda tu kuanzia sasa, kwa hilo kutokea kulingana na uelekeo wa siasa za Tanzania na ombwe la uongozi linaloonekana wazi hasa ndani ya Chadema taifa. Joseph Selasini anaingia Chadema kama moja miongoni mwa viongozi nguli na waandamizi wa chama hicho cha siasa, wanaokwenda kujitoa...
  8. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Dr. Mwangi: Zanzibar ina nafasi ya kipekee kuwa lango la biashara na uwekezaji kuunganisha Afrika na Asia siku zijazo

    Mkurugenzi Mtendaji na CEO wa Equity Group Holdings, Dr. James Mwangi, tarehe 23 Mei, 2026 aliwasilisha mada katika Jukwaa la Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi, akisisitiza umuhimu wa viongozi wa Taasisi barani Afrika kukumbatia uongozi wenye mabadiliko, ubunifu, ujumuishaji wa kifedha, na...
  9. neggirl

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi - Binti wa Kuuza Hardware

  10. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania 💼🚨 NAFASI YA KAZI: MSAIDIZI WA MSIMAMIZI WA OFISI IMETANGAZWA!

    Je, una uwezo wa kupanga kazi vizuri, kuwasiliana kwa ufanisi, na kufanya kazi kwenye mazingira ya ofisi? Hii inaweza kuwa nafasi nzuri kwako ya kujenga experience, kukuza career yako, na kupata opportunity mpya ya kazi. 🔥 📌 Nafasi: Msaidizi wa Msimamizi wa Ofisi Mtu atakayepata nafasi hii...
  11. Kelela

    JamiiForums Tanzania Toyota Vitz Vs Toyota Starlet-Ipi ina Nafasi Kubwa

    1. Ipi ina nafasi kubwa? 2. Ipi imara kwa masafa marefu yaani kupiga ruti hata za mkoani mara moja moja
  12. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: David Kafulila aifikisha Tanzania nafasi ya 9 Duniani kwa PPP.

    Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
  13. Hornet

    JamiiForums Tanzania Wapenda Kunukia .. nipen nafasi niwasanue vitu vizuri

    Najua huku kuna watu wengi, wanapenda kunukia vizuri.. Sasa hapa tutofautishe brand names na manukato mazuri ya bei ya kiTanzania.. Kama unataka brand kubwa kubwa wewe inbox unapata mzigo wako saafi kamili.. Lakini wale ndugu zangu mnaopenda uturi kama mimi Njpe jina nikupe bei.. nauza Namba...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza hivi zile nafasi za JWTZ watu washaanza kuitwa ??

    Wakuu naomba kujua kama tayari watu washaitwa zile kazi za zilizotangazwa april 14, 2026 ? Maana naona tik tok vijana wanapongezana kana kwamba washaanza kuitwa au sisi wengine tuendelee kusubiri tukihitajika tutapigiwa simu kama tulivyoambiwa?
  15. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Edwin Sifuna: Haiwezekani tumpatie Ruto nafasi arudi kwenye hiyo kiti

    Speaking during the funeral of Ann Nyatoro Ndung’u, the mother of the East African Legislative Assembly (EALA) Member of Parliament, Nairobi Senator Edwin Sifuna and the Linda Mwananchi lead, delivered a direct message concerning President Ruto ahead of 2027 poll "There is no other formula...
  16. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuna mtumishi aliyekubalika na watawala CCM na kudumu muda mrefu zaidi katika nafasi yake zaidi ya Jaji Mutungi?

    Amehudumu katika nafasi moja tangu mwaka 2013(miaka 13!). Amefanya kazi chini ya marais watatu bila kuondolewa kwenye kiti chake au hata kunyooshewa kidole na mtawala yeyote wakati wowote. Wote wameipenda na kuridhishwa na kazi yake Jaji Francis Mutungi, msajili wa vyama vya siasa!
  17. Jofreyma

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nafasi ya Credit Officer - Tabora

    Habari wakuu, Jina langu ni Jofrey, nina uzoefu katika masuala ya ukopeshaji na huduma kwa wateja. Natafuta nafasi ya Credit Officer au Loan Officer hapa Tabora. Niko tayari kuanza kazi mara moja na nina uwezo wa kufanya kazi chini ya pressure. Nipigie: [0740 490 386, 0612945593 au watssap...
  18. O

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa takwimu, kati ya Watanzania 10 maskini, 7 ni wanawake. Sasa kwa nini wanawake hupewa nafasi zaidi za kufanikiwa kuliko wanaume

    Wataalamu wa mahusiano na saikolojia wamekuwa wakieleza kwamba mwanamke hupata mafanikio ya mapema kuliko mwanaume, na kwamba dunia huwa rahisi zaidi kwa wanawake kuliko wanaume. Je, uhalisia wa hoja hizi ukoje ikiwa kati ya watu 10 maskini, 7 ni wanawake?
  19. 100 others

    JamiiForums Tanzania AI yaanza kuchukua nafasi za watu Marvel na Disney; wasanii wakubwa wapigwa chini

    Nchini Marekani mwigizaji maarufu wa filamu ya Ant Man and the Wasp, Evangeline Lilly(pichani), amefunguka kuhusu hali ya sintofahamu inayoendelea studios kubwa za filamu kupunguza wafanya kazi na nafasi zao kuchukuliwa na AI. Inadaiwa kuwa Disney sasa imeanza kutumia teknolojia ya AI kuchukua...
  20. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi ualimu

    Job Advertisement A Secondary School located in Dar es Salaam is URGENTLY looking for qualified teachers in the following areas: 1. Chemistry and Biology 2. ICS/Physics/Mathematics 3. English and Chinese Qualified persons to submit their application letter and CV to 0717 905 715...
Back
Top Bottom