Inajulikana kuwa nchi za Mashariki ya Kati zimejengewa misingi ya Ustaarabu wa kidini tangu enzi na tunapozungumzia dini tunajumuisha Ustawi na utulivu wa Mwanadamu.
Migogoro ya kihistoria hususani inahusisha ardhi ya israel-Palestina imeendelea kuwa nadharia kuu ya Kutoweka kwa Amani katika...
Mimi ambaye nipo kwenye utumishi wa umma mwaka wa 11 sasa ndani ya ofisi 3 tofauti za serikali inatosha kuitwa mkomavu.
WAFANYAKAZI wengi wa umma wanakwenda kazini aidha kupiga deal tu na wengine ambao ofisi zao hazina mafuta mafuta huenda kazini kutimiza tu wajibu ili wasifukuzwe kazi walijua...
Hawa ndio wabunge ambao hupata nafasi kwa namna ile ambayo siku zote tunaipigia kelele. Ukimsikiliza tu anaongea unajua kichwani hamna kitu isipokuwa ndio basi tena. Aina hii ya wabunge ni wengi sana.
Kuna wakati nilikuwa nadate dada mmoja mkali sana ana shape na mzuri. akaaanza kunambia...
Ciwaye Trading Co. Ltd inatangazia umma wanatoa nafasi kazi 4 za madereva wa malori ya mizigo
Sifa
1. Awe na vyeti vyote vya mafunzo na leseni halali
2. Awe hajashiriki kosa lolote la kijinai
3. Awe hana tabia za ulevi muda wa kazi
4. Awe na tabia ya kufanya kazi kwa kutunza muda
5. Awe...
Anahitajika Single Mama Madam wa chekechea awe na mtoto wake umri mwaka 1 au 2 au 3
Atakabidhiwa kusimamia shule na kupewa sehemu ya kukaa yeye na Mtoto wake
Atalipwa salary kwa makubaliano na Boss
Kipindi hichi cha likizo atapewa huduma za Tuition bure hela zake
Shule zikifunguliwa ataanza...
Ni suala la muda tu kuanzia sasa, kwa hilo kutokea kulingana na uelekeo wa siasa za Tanzania na ombwe la uongozi linaloonekana wazi hasa ndani ya Chadema taifa.
Joseph Selasini anaingia Chadema kama moja miongoni mwa viongozi nguli na waandamizi wa chama hicho cha siasa, wanaokwenda kujitoa...
Mkurugenzi Mtendaji na CEO wa Equity Group Holdings, Dr. James Mwangi, tarehe 23 Mei, 2026 aliwasilisha mada katika Jukwaa la Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi, akisisitiza umuhimu wa viongozi wa Taasisi barani Afrika kukumbatia uongozi wenye mabadiliko, ubunifu, ujumuishaji wa kifedha, na...
Je, una uwezo wa kupanga kazi vizuri, kuwasiliana kwa ufanisi, na kufanya kazi kwenye mazingira ya ofisi? Hii inaweza kuwa nafasi nzuri kwako ya kujenga experience, kukuza career yako, na kupata opportunity mpya ya kazi. 🔥
📌 Nafasi: Msaidizi wa Msimamizi wa Ofisi
Mtu atakayepata nafasi hii...
Najua huku kuna watu wengi, wanapenda kunukia vizuri..
Sasa hapa tutofautishe brand names na manukato mazuri ya bei ya kiTanzania..
Kama unataka brand kubwa kubwa wewe inbox unapata mzigo wako saafi kamili..
Lakini wale ndugu zangu mnaopenda uturi kama mimi
Njpe jina nikupe bei.. nauza Namba...
Wakuu naomba kujua kama tayari watu washaitwa zile kazi za zilizotangazwa april 14, 2026 ?
Maana naona tik tok vijana wanapongezana kana kwamba washaanza kuitwa au sisi wengine tuendelee kusubiri tukihitajika tutapigiwa simu kama tulivyoambiwa?
Speaking during the funeral of Ann Nyatoro Ndung’u, the mother of the East African Legislative Assembly (EALA) Member of Parliament, Nairobi Senator Edwin Sifuna and the Linda Mwananchi lead, delivered a direct message concerning President Ruto ahead of 2027 poll
"There is no other formula...
Amehudumu katika nafasi moja tangu mwaka 2013(miaka 13!). Amefanya kazi chini ya marais watatu bila kuondolewa kwenye kiti chake au hata kunyooshewa kidole na mtawala yeyote wakati wowote.
Wote wameipenda na kuridhishwa na kazi yake Jaji Francis Mutungi, msajili wa vyama vya siasa!
Habari wakuu,
Jina langu ni Jofrey, nina uzoefu katika masuala ya ukopeshaji na huduma kwa wateja.
Natafuta nafasi ya Credit Officer au Loan Officer hapa Tabora.
Niko tayari kuanza kazi mara moja na nina uwezo wa kufanya kazi chini ya pressure.
Nipigie: [0740 490 386, 0612945593 au watssap...
Wataalamu wa mahusiano na saikolojia wamekuwa wakieleza kwamba mwanamke hupata mafanikio ya mapema kuliko mwanaume, na kwamba dunia huwa rahisi zaidi kwa wanawake kuliko wanaume. Je, uhalisia wa hoja hizi ukoje ikiwa kati ya watu 10 maskini, 7 ni wanawake?
Nchini Marekani mwigizaji maarufu wa filamu ya Ant Man and the Wasp, Evangeline Lilly(pichani), amefunguka kuhusu hali ya sintofahamu inayoendelea studios kubwa za filamu kupunguza wafanya kazi na nafasi zao kuchukuliwa na AI.
Inadaiwa kuwa Disney sasa imeanza kutumia teknolojia ya AI kuchukua...
Job Advertisement
A Secondary School located in Dar es Salaam is URGENTLY looking for qualified teachers in the following areas:
1. Chemistry and Biology
2. ICS/Physics/Mathematics
3. English and Chinese
Qualified persons to submit their application letter and CV to 0717 905 715...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.