azam

  1. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Azam FC wamewaiga CHADEMA

    Kitendo cha Azam FC kusema kuna upendeleo kwenye ligi ya Tanganyika hivyo wanaona ni bora kuhamisha timu yao na kuipeleka Zanzibar ama kwingineko, ni kama kuitikia wito wa CHADEMA kuhusu haki kwenye changuzi za Tanzania. Sababu zilizotolewa na Azam FC kuhusu upendeleo kwenye ligi ya Tanganyika...
  2. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uongozi: Klabu ya Azam kwetu ni hasara sana. Haina faida yoyote ndo maana ni bora tujitoe tu

    "Pesa nyingi tunawekeza Azam. Nyingi sana lakini hamna la maana. Mashabiki wa Azam ni mashabiki wa Simba na Yanga. Huwa wanakuja kwetu kwa Mkopo na pia wanajua wanalipwa hawana moyo wa upendo kwa Azam. Kiukweli hakuna faida kwa hii team. Tumefanya uwekezaji mkubwa sana kwa team lakini ndo...
  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba haiwezi chukua Ubingwa kwa Azam Zanzibar

    Nilisema na nasema tena. Simba haimfungi Azam Zanzibar. Kupeleka kule ni mkakati Maalum Azam kwao ni Zanzibar kama hamjui. Nimekaa hapa
  4. Kichuguu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Azam wasiponyakua Kombe la CRDB basi ni Wafu

    Kati ya Timu nne zitakazoiwakilisha Tanzania kwenye mechi za CAF ni Azamu tu ndiyo hadi sasa hivi haina tuzo yoyote. Angalia (1) YANGA: Community Shield, Mapinduzi, na NBC Premier (2) SIMBA: Muungano (3) AZAM: ................. (4) SINGIDA BS: CECAFA Itapendeza sana iwapo Azam nayo angalau...
  5. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CRDB FED. Fainali ikipelekwa Zanzibar Simba hatoboi. Nawaambia kabisa hili Muelewe. Simba hamfungi Azam Zanzibar

    Mpango wetu ulienda kama ambavyo tulipanga. Scratch my back and i will scratch yours. Azam atufunge Shirikisho apite akapambane na Simba akachukue kombe akashiriki Kimataifa. Maana amewekeza sana kwenye usajili. Ni aibu akikosa shiriki CAF. Na ushindi wake kwetu usingemsaidia kitu kwenye ligi...
  6. Mzee Wa Kaliua

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Link gani nje ya fawa news naweza kuzipata chanel za azam sport ?free website ama app

    Naomba kwa mwenye kujua free website nazoweza kupata chanel za azam sport ama app
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mdau; amehoji kwanini? Azam tv hawaonyeshi channels za mpira kifurushi cha 7,000 cha wiki

    Honla Kwanza ameanza kulalia kwake kuwa hali ni mbaya ya kiuchumi pili kawapongeza azam tv kwa utashi na muono wao wa uongozi mzuri wa vipindi vyao” nyama nyama Akahoji kuwa elf 7 mara 4= 28 yaani ukiwa unanunua kifurushi cha elf 7 kila wiki cha elf mara nne yaani mwezi mzima inakuja elf 28...
  8. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka nilipigika hasa. Mpaka nikaanza kuwa natumia Decoder ya Azam

    Acheni kabisa nlishindwa kuwa nalipia DSTV Explorer. Nikajikuta nami naanza kuangalia king'amuzi cha Azam. Jambo hilo nlisema halitatokea tena. Nikapata kazi nikaanzisha na biashara. Mwaka huu natumia DSTV EXPLORER sitaki tena Uswahili swahili. Ile decoder nliiipasua pasua since then na dish...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wachambuzi lukuki kombe la dunia Azam: Sura nyingi hazitii moyo na hazifahamiki!

    Sura nyingi za wachambuzi wa kombe la dunia kupitia Azam TV mwaka huu hazitii moyo wala hazifahamiki. Tutegemee kuwa "bored" au? Tuwachambue hapa! Dr Leakey sawa, Kumwembe sawa, Meena sawa lakini Sura nyingi hazivutii kiuchambuzi
  10. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Azam TV inawameza wengine

    Huku Mwanza DSTV NA STARTIMES wamefunga ofisi wamebakisha mawakala tu. Wamemezwa na Azam.
  11. Wakusoma 12

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Azam media wapo biased sana kwenye matangazo yao, kila siku ni marudio ya Highlights za Feisal tu

    Hii media ni unprofessional sana ndiyo maana bado nina mashaka kama kweli wataonyesha World cup 2026, maana washawahi kutudanganya Mwaka 2022 kule Qatar.
  12. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Je, mgeni wa Azam anayetangazwa ni nani?

    Ni nani huyu mgeni ambae atapokelewa kesho? Je ni Ayoub Rioba?
  13. goodhearted

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Azam vs Pamba dakika ya 90, 0-0 nyongeza dk 7. Lakini baada tu ya Azam kufunga goli zikapunguzwa mpaka dak 3

    Nani mwingine aliona hio kitu
  14. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania rita hongera kuifanya BSS kuwa east africa wise ila ingefaa ionekane DSTV maana inatazamwa Africa nzima, hapo azam ni watalaam wa etugru uswahilini

    Kura zingepigwa fairly na squarely kutoka kwa wana EA kila mahalai ila hii ya azam kura zitaishia kulimbikizwa kwa wabongo hata kama hawajui.
  15. Marcovicsavic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Azam pay, Sellcom , Snippe na Zeno pay zote na Intergrate within 24 hrs

    Hello mambers kama una mfumo , website au App unayo hitaji kuifanyia intergration ya malipo ya moja ya API mojawapo nio itaja hapo juu basi karibu sana PUSH USSD and automatic payme kwenye site kama e commerce na services
  16. Mzee makoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 2-1 Azam FC| Muungano Cup| New Amaan Complex| Yanga anafuzu Fainali

    Mchezo wa Nusu Fainali ya Muungano Cup Kati ya Mabingwa watetezi Yanga SC dhidi ya Azam FC unachezwa saa 2: 15 usiku uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Updates zote utazipata hapa! Dakika 8, Mwanamfalume anaweka goli safi kabisa
  17. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Ni kweli filamu ya Ottoman inaoneshwa Azam tv ili kuudhalilisha ukristo?

    Mdau ametufata inbox na kutoa dukuduku lake kama ifuatavyo:- "Tamthilia ya Kituruki Ottoman, ambayo inaoneshwa kupitia Az@m Media, imekuwa gumzo kubwa miongoni mwa watazamaji wengi nchini Tanzania. Licha ya kuvutia kwa hadithi yake ya kihistoria, baadhi ya watu wameanza kuhoji maudhui yake na...
  18. Kichuguu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Azam Wasipoifunga Simba Nitafadhaika Sana

    .... kwa sababu nimebeti hela nyingi sana Azam ishinde mchezo huo.
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Azam waliondoa youtube mechi yao ya shirikisho mwaka 2020 na Simba

    Mnaojua kiswahili mtasahihisha kichwa cha habari. Mwaka 2020 katika mashindano ya shirikisho Simba iliyokuwa ya moto ikitembeza pira biriani iliwapa vipigo Azam Fc 4-0 na Yanga 4-1. Cha ajabu mechi ya yanga wameiacha ila mechi yao waliyobamizwa wameiondoa hii inamaanisha nini ina maana wanataka...
  20. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Azam TV kwenye application sio poa

    Mafundi wenu sijui ndio wanafanyia majaribio ya kurekebisha sauti huku. Application mara nyingi imekuwa kama second option kwenu ingali watu tunalipia!?, kwa kuwa customer desk lenu halifikiki kirahisi chukueni ujumbe wenu hapa, tunao subscribe kwenye Application yenu tutendeeni haki the...
Back
Top Bottom