azam

  1. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Je, mgeni wa Azam anayetangazwa ni nani?

    Ni nani huyu mgeni ambae atapokelewa kesho? Je ni Ayoub Rioba?
  2. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Azam vs Pamba dakika ya 90, 0-0 nyongeza dk 7. Lakini baada tu ya Azam kufunga goli zikapunguzwa mpaka dak 3

    Nani mwingine aliona hio kitu
  3. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania rita hongera kuifanya BSS kuwa east africa wise ila ingefaa ionekane DSTV maana inatazamwa Africa nzima, hapo azam ni watalaam wa etugru uswahilini

    Kura zingepigwa fairly na squarely kutoka kwa wana EA kila mahalai ila hii ya azam kura zitaishia kulimbikizwa kwa wabongo hata kama hawajui.
  4. Marcovicsavic

    JamiiForums Tanzania AZAM PAY, SELLCOM , SNIPPE NA ZENO PAY ZOTE NA INTERGRATE WITHIN 24 HRS

    Hello mambers kama una mfumo , website au App unayo hitaji kuifanyia intergration ya malipo ya moja ya API mojawapo nio itaja hapo juu basi karibu sana PUSH USSD and automatic payme kwenye site kama e commerce na services
  5. Mzee makoti

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 2-1 Azam FC| Muungano Cup| New Amaan Complex| Yanga anafuzu Fainali

    Mchezo wa Nusu Fainali ya Muungano Cup Kati ya Mabingwa watetezi Yanga SC dhidi ya Azam FC unachezwa saa 2: 15 usiku uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Updates zote utazipata hapa! Dakika 8, Mwanamfalume anaweka goli safi kabisa
  6. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Ni kweli filamu ya Ottoman inaoneshwa Azam tv ili kuudhalilisha ukristo?

    Mdau ametufata inbox na kutoa dukuduku lake kama ifuatavyo:- "Tamthilia ya Kituruki Ottoman, ambayo inaoneshwa kupitia Az@m Media, imekuwa gumzo kubwa miongoni mwa watazamaji wengi nchini Tanzania. Licha ya kuvutia kwa hadithi yake ya kihistoria, baadhi ya watu wameanza kuhoji maudhui yake na...
  7. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Azam Wasipoifunga Simba Nitafadhaika Sana

    .... kwa sababu nimebeti hela nyingi sana Azam ishinde mchezo huo.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Azam waliondoa youtube mechi yao ya shirikisho mwaka 2020 na Simba

    Mnaojua kiswahili mtasahihisha kichwa cha habari. Mwaka 2020 katika mashindano ya shirikisho Simba iliyokuwa ya moto ikitembeza pira biriani iliwapa vipigo Azam Fc 4-0 na Yanga 4-1. Cha ajabu mechi ya yanga wameiacha ila mechi yao waliyobamizwa wameiondoa hii inamaanisha nini ina maana wanataka...
  9. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Azam TV kwenye application sio poa

    Mafundi wenu sijui ndio wanafanyia majaribio ya kurekebisha sauti huku. Application mara nyingi imekuwa kama second option kwenu ingali watu tunalipia!?, kwa kuwa customer desk lenu halifikiki kirahisi chukueni ujumbe wenu hapa, tunao subscribe kwenye Application yenu tutendeeni haki the...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

    Timu ya soka ya Azam leo inaikaribisha timu ya Yanga kwrnye mechi ya NBC PL kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
  11. Mzee makoti

    JamiiForums Tanzania Yanga na Azam wanacheza lini?

    Hivi Azam na yanga wanacheza lini?
  12. Eswa

    JamiiForums Tanzania Azam Marine Zanzibar wekeni huduma ya Lipa namba

    Habari za asubuhi. Imenishangaza sana alfajiri hii, nafika kwenye ofisi za Azam Marine hapa Zanzibar kukata tiketi eti hawana huduma za Lipa namba na kuna mlinzi ana huduma za wakala so unatakiwa utoe kwake kisha ulipie tiketi. Cha ajabu Zan Fast Fery wao Lipa namba. Kilichoniponza ni kataka...
  13. Scott junior

    JamiiForums Tanzania Nataka kubadilisha kifurushi cha Azam 19,000 kwenda 28,000,

    Wakuu habari Nina shida moja hivi, nataka kubadilisha kifurushi cha azam 19,000 kwenda 28,000, nililipia 2 weeks iliyopita Je nafanyaje? najua 19,000 haijaisha Ila nataka niongezee ifike 28,000. Napia kujua imetumika kiasi gani nafanyaje?
  14. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Wydad AC 2-0 Azam FC, Safari ya Wanalambalamba Michuano yha CAF imefikia mwisho Februari 15, 2026

    Timu ya Azam FC imekamilisha Michezo ya Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho kwa kufungwa Magoli 2-0 dhidi ya Wydad AC ya Morocco na hivyo kukwama kuingia Hatua ya Robo Fainali kwa kuwa imeshika nafasi ya 3 katika Kundi B. Matokeo mengine ya Kundi hilo, Maniema Union ya DRC nayo imeingia...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Compliance Officer Job at Azam Media – February 2026

    Job Summary Job Title: Compliance Officer The Compliance Officer is responsible for ensuring that the organisation maintains full compliance with applicable standards and regulatory requirements, including data protection obligations. The role oversees the effective implementation of the...
  16. USSR

    JamiiForums Tanzania Ushamba: Inakuwaje Azam anashindwa kuonyesha mashindano ya Olimpiki ya majira ya baridi yanayoendelea kule Italy

    Hadi leo hakuna michezo/mashindano hayo huku dunia ikiyajadili kila saa ,hapa ndio unaona tofauti ya azam media na makampuni mengine Startimes ,dstv, kanal na wengine wanaonesha ila hawa jamaa wa buguruni bado sana Wako busy na simba na Yanga kila siku na vitu muhimu wanashindwa USSR
  17. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania Azam sports wabaguzi

    Si shabiki wa ligi hii ya hapa nchini ila naishi na watazamaji wa hiyo ligi. Kila ikifika mechi za timu ndogo hakuna watangazaji ila Simba ama Yanga wakiwepo hapo wapo sasa kuna maana ipi ya kurusha hizo mechi kama hamuwezi kuweka watangazaji. Au ndio soka letu kivyetu vyetu maana hata...
  18. B

    JamiiForums Tanzania CAF CONF. CUP : NAIROBI UNITED 1 - 2 AZAM FC

    25 January 2026 Nairobi, Kenya Nairobi United 1 - 2 AZAM FC , Chiefs yapata ushindi Ndola https://m.youtube.com/watch?v=eXeSXYEB-7s Mechi za Kombe la Shirikisho la TotalEnergies CAF ziliendelea tena Jumapili alasiri 25 January 2026 huku mbio za kuelekea robo fainali zikiendelea kote barani...
  19. stakehigh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyayo Stadium shortcomings cloud Nairobi United’s CAF Confederation Cup match against Azam

    https://www.citizen.digital/article/nyayo-stadium-shortcomings-cloud-nairobi-uniteds-caf-confederation-cup-match-n376141#google_vignette
  20. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania FT | Azam FC 0-0 Yanga SC (Pen 4-5) | Mapinduzi Cup | Gombani Stadium | Fainali | 13.01.2026

    Fainali ya Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, kupigwa katika Uwanja Mpya wa Gombani Kisiwani Pemba, Mechi kali kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC Kikosi kazi dhidi ya Azam FC #MapinduziCup2026Final Mpira umeanza Dakika ya 10 Yanga SC wanafanya mashambulizi Dakika ya 15 Dube anakosa nafasi...
Back
Top Bottom