Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
  • Sticky
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze...
52 Reactions
1K Replies
283K Views
  • Sticky
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe. Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe...
107 Reactions
27K Replies
3M Views
  • Sticky
Wakuu habari ya muda, Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania. Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya...
34 Reactions
577 Replies
189K Views
  • Sticky
Introduction Nimeamua kuanzisha uzi huu mahsusi unaohusu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kama njia ya kukienzi chuo hiki kikongwe na cha kipekee nchini Tanzania na duniani kwa ujumla...
13 Reactions
172 Replies
15K Views
  • Sticky
Kwa wale waliomaliza kidato cha nne na unapenda kutimiza ndoto za kielimu na chuo cha USTAWI WA JAMII-DSM nafasi za maombi ziko wazi kwa wale wa ngazi za cheti.SIFA STAHIKI :Passed nne(D) na...
2 Reactions
234 Replies
162K Views
  • Sticky
Kama ni mwanafunzi, au unatarajia kusoma Geology ila hujui uanzie wapi. Uliza chochote nitakusaidia. Asanteni sana
8 Reactions
545 Replies
97K Views
  • Sticky
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana, hasa kidato cha 5 au chini ya hapo, pia wanavyuo. Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu...
48 Reactions
2K Replies
280K Views
  • Sticky
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha uzi huu Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam. Nimeamua kuanzisha mimi kama Alumnus wa...
23 Reactions
803 Replies
132K Views
  • Sticky
HISTORY OF ARDHI UNIVERSITY The Ardhi University (ARU) was established after transforming the former University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS) which was then a constituent...
8 Reactions
429 Replies
145K Views
  • Sticky
The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) is the government Institution established in 1997 by Act of parliament."the DIT Act No 6 of 1997" to replace the Dar es Salaam Technical College...
10 Reactions
370 Replies
129K Views
Habari za kazi wana Jf, Tunajua kuna level nne za shule (secondary/Ordinal level) hapa kwetu Tanzania 1. Special (Vipaji maalumu) 2. Technical (Ufundi) 3. Boarding (Bweni kawaida) 4. Teule (shule...
10 Reactions
124 Replies
2K Views
Kuna mambo mengi sana yanasemwa kuhusu changamoto za walimu na taaluma yao, lakini kuna hili la Bango kwenye jengo la ghorofa Ilala hivi walimu mmeshindwa kabisa hata kukarabati hilo bango tuu la...
0 Reactions
0 Replies
10 Views
Naomba kujua kwa mwalimu mwenye degee anapoanza kazi mshahara wake ni Tsh ngapi na makato ni kiasi gani na take home inakua ni Tsh ngapi?
0 Reactions
6 Replies
165 Views
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha. Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza...
54 Reactions
368 Replies
16K Views
Habari wa wakati huu JF members. Na imani mkoa powa sana, niende moja kwa moja kwenye jambo lililonifanya nipost kwma mara ya kwanza humu JF. Mimi siyo mwalimu na sijawahi kuwa mwalimu na ndoto...
2 Reactions
29 Replies
297 Views
Kwa utafiti usio rasmi wanafunzi wengi hasa vijijini wamekua wakilikimbia somo la fizikia hasa wanapoingia kidato cha tatu, lakini pia ufaulu wa somo hili huwa hafifu hasa kidato cha pili...
4 Reactions
56 Replies
904 Views
Wakuu nimejikuta nimekuwa mvivu sana hasa kwenye mambo ya kusoma, sina mood kabisa sijui nifanye nini. Hamna ninachowaza useme hela au mapenzi, hamna chochote, nipo tu yaani sielewi japo...
4 Reactions
50 Replies
935 Views
  • Redirect
Habari za majukumu Mweny link ya waliochaguliwa ajira mpya tafadhali atuwekee humu
0 Reactions
Replies
Views
HABARI wadau KATIKA jukwaa hili adhimu, Mimi ni mwajiriwa KATIKA kada ya elimu kwa masomo ya English and literature in English na ufaulu wangu kwa chuo haukuwa mzuri sana nilipata GPA ya 2.8 lower...
1 Reactions
14 Replies
223 Views
  • Redirect
https://tamisemiblog.blogspot.com/2023/06/mpyahaya-hapa-majina-ajira-mpya-za.html
0 Reactions
Replies
Views
Baadhi ya wazazi wamemuomba Waziri wa Elimu kuingilia kati suala la wanafunzi kufukuzwa kiholela katika shule hiyo baada ya bodi ya shule chini ya shinikizo la Mkuu wa Shule hiyo anayefahamika kwa...
1 Reactions
5 Replies
195 Views
Suala la kumsaidia mtu au watu katika maisha ni jambo la kawaida kwa wanadamu, yaani ni kawaida kwa wanadamu kusaidiana. Kuna baadhi ya watu tendo la kumsaidia mtu au kitu kwao ni kama tendo la...
0 Reactions
1 Replies
37 Views
Samahani jamani iv zile posti za shule na chuo kwa wanafunzi wa kidato cha nne zinatoka lini wapendwa naomba mnisaidie Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
9 Replies
375 Views
Moja ya matukio yanayogusa vichwa vya habari duniani kote ni pamoja na kuwepo kwa nadharia ya mchakato mzima wa bara la Afrika kugawanyika kijiografia. Inakadiriwa miaka milioni ijayo Bara la...
0 Reactions
1 Replies
75 Views
Kwa wale ambao mmeshawahi kupitia na kupiga za CPA ambao upo chini ya bodi ya wahasibu Tanzania. Na wale ambao mmeshawahi kupitia kupiga Pepa za law school of Tanzania. Hebu tuambiane ukweli ni...
4 Reactions
25 Replies
912 Views
Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu. Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full...
49 Reactions
303 Replies
17K Views
Hapa huwa sielewi kabisa, yaani unakuta mnapeleka CV za elimu kwenye mataifa kama Marekani wao wanatambua form six ya Tanzania ni Sawa na form four ya Kenya how? Waache dharau haiwezekani mtu...
0 Reactions
26 Replies
445 Views
Salaam wakuu! Naomba kujua ni shule zipi bora kwa masomo ya Physics, Chemistry na Biology (PCB) kwa A-level. Mwanafunzi ni wa kike, kwahiyo shule inaweza kuwa mchanganyiko au girls tu. NB...
1 Reactions
6 Replies
127 Views
Chama Cha walimu TANZANIA na Chama Cha kutetea haki za walimu TANZANIA Hivi ni vyama vimeundwa Kwa mujibu wa Sheria Kwa lengo la kusimamia na kutetea haki na maslahi ya walimu. Tofauti yake: 1...
2 Reactions
16 Replies
655 Views
Wakuu salaam, Awali ya yote namshukuru sana M. Mungu kwa nafasi hii adhmu niliyobahatika kupata. Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikihangaika kuboresha maisha yangu ndani na nje ya nchi. Mara tu baada...
17 Reactions
127 Replies
9K Views
Back
Top Bottom