Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
  • Sticky
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana, hasa kidato cha 5 au chini ya hapo, pia wanavyuo. Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu...
48 Reactions
2K Replies
300K Views
  • Sticky
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe. Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe...
108 Reactions
28K Replies
3M Views
  • Sticky
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze...
59 Reactions
1K Replies
309K Views
  • Sticky
Kama ni mwanafunzi, au unatarajia kusoma Geology ila hujui uanzie wapi. Uliza chochote nitakusaidia. Asanteni sana
8 Reactions
549 Replies
104K Views
  • Sticky
Kwa wale waliomaliza kidato cha nne na unapenda kutimiza ndoto za kielimu na chuo cha USTAWI WA JAMII-DSM nafasi za maombi ziko wazi kwa wale wa ngazi za cheti.SIFA STAHIKI :Passed nne(D) na...
2 Reactions
247 Replies
178K Views
  • Sticky
Wakuu habari ya muda, Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania. Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya...
35 Reactions
596 Replies
219K Views
  • Sticky
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha uzi huu Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam. Nimeamua kuanzisha mimi kama Alumnus wa...
25 Reactions
830 Replies
146K Views
  • Sticky
Introduction Nimeamua kuanzisha uzi huu mahsusi unaohusu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kama njia ya kukienzi chuo hiki kikongwe na cha kipekee nchini Tanzania na duniani kwa ujumla...
14 Reactions
209 Replies
22K Views
  • Sticky
The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) is the government Institution established in 1997 by Act of parliament."the DIT Act No 6 of 1997" to replace the Dar es Salaam Technical College...
10 Reactions
376 Replies
139K Views
  • Sticky
HISTORY OF ARDHI UNIVERSITY The Ardhi University (ARU) was established after transforming the former University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS) which was then a constituent...
8 Reactions
428 Replies
153K Views
Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni...
24 Reactions
762 Replies
124K Views
A
Shule ya sekondari BUJINGA iko Tukuyu mkoa wa Mbeya wazazi tumeambiwa tuanze kuchangia sh. 60000/= kwaajili ya kambi kidato cha nne.. Hii ililetwa kama agenda ktk kikao kilichoitishwa na walimu...
2 Reactions
31 Replies
469 Views
Hello habari za majukumu. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha kikatoliki Ruaha (RUCU) kilichopo Iringa. Kwasasa changamoto ambayo wanafunzi wengi tunaipotia ni ucheleweshwaji wa pesa za...
1 Reactions
16 Replies
189 Views
Rejea kichwa habari hapo juu. Tukiwa tunasubiria Sekeseke la 'kupiga pepa' tufaulu ndio tuajiriwe hebu tupeane dondoo za hapa na pale. Pepa' itakuaje na labda itakuwa ni content based kwendana...
1 Reactions
1 Replies
70 Views
Habari wakuu Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika fani ya Computer science (degree mwaka wa pili), Naomba ushauri kutoka kwenu juu ya fursa ambazo naweza kujiajiri nazo ,( kwenye fani hii ya...
0 Reactions
10 Replies
311 Views
Niulize swali lolote linalohusu taaluma au nafasi za taaluma (academic positions)
4 Reactions
43 Replies
1K Views
Tanzania inakwenda kuingia kwenye medani za kisayansi kwa lile 'jaribio lake la nchi nzima la kujiachia badala ya kujifungia kipindi cha korona'. A nationwide display of herd immunity at its best...
0 Reactions
3 Replies
130 Views
Nakumbuka enzi hizo ugali tuliita ngunga(gima) wali uliitwa bee. Ugali ulikuwa ukilala kesho take unakuwa mweusi kama udongo was mbuga. Maharage yenye funza weupe na weusi yalinogesha mlo...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Short Courses Long course Welding and Fabrication level I and II Auto Electric level I and II Motor Vehicle Mechanics level I and II Truck Mechanics Plant Mechanics Short...
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Hapa kuna mazoea na vidokezo 20 vya kujisomea vinavyoweza kukusaidia kuzingatia masomo yako: 1. Unda ratiba ya kusomea na jishikilie nayo. 2. Tafuta eneo tulivu lisilo na vikwazo vya kusumbua. 3...
2 Reactions
11 Replies
136 Views
Kwenye hiyo roman yenye figure 1
0 Reactions
3 Replies
112 Views
Jamani ninaomba ushaur nina ufaulu wa Phy D math D chem C bios C na geo C na nahitaj kusoma mechanical maan advance combination zinabalance arts je nifanyeje? Na ufaul huo na nikipata two
0 Reactions
9 Replies
187 Views
Kuna kijana hapa alisoma BSc In mechanical Engineering, mwaka wa 3 semister ya 2 akaugua sana akashindwa kuendelea akaomba kuahirisha, mwaka uliofuata akaahirisha tena akae sawa kabisa. Alipotaka...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Natumaini ni buheri wa afya ndugu zangu katika jukwaa la elimu. Mimi ni mhitimu wa Stashahada ya Utunzaji wa Kumbumbu, Nyaraka na usimamizi wa Taarifa katika chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere...
0 Reactions
2 Replies
60 Views
Jamani naombeni munisaidie ushauri mwanangu amemaliza form four na amepata division two ya kumi Na nane masomo ya science. Je, nimpeleke chuo Moja kwa moja au aendele na form five.
0 Reactions
10 Replies
307 Views
Napata shida sana baada ya kuhamishwa kikazi kuja dodoma nahitaji international school mkoa wa Dodoma , Kwa mnaojua nisaidieni nipeleke wanangu
4 Reactions
49 Replies
1K Views
Ninafikiria mwanangu akimaliza darasa la saba nimsomeshe QT miaka 2 na form 4 mwaka mmoja kisha form 5&6 mwaka 1. Kikubwa ni kujitoa muhanga kumsimamia kwa ukaribu wa hali ya juu ili afanikiwe.
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5 Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi...
17 Reactions
152 Replies
6K Views
Habari wakuu!! Hadi Sasa nimejaribu Sana kuapply NACTE lakini nimeshindwa, Naomba msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia au amefanikiwa kumaliza kuapply NACTE!! Mpaka Sasa nimejisajili na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina miaka 26 Nimemaliza kidato cha nne 2016 na matokea n ina C flat 5 na D ya history na chemistry na F ya fizikia n hesabu ndoto yangu ni kuwa n bachelor ya it nifanyaje wakuu
1 Reactions
2 Replies
125 Views
Back
Top Bottom