dunia

  1. Red black

    JamiiForums Tanzania Kwanini hatuhisi kama Dunia inazunguka kasi ya maelfu ya kilomita kwa saa?

    Kwanini hatuhisi kama Dunia inazunguka kasi ya maelfu ya kilomita kwa saa?
  2. G

    JamiiForums Tanzania Siku ya hukumu ya kunyongwa Kwa Lissu kama wataamua hivyo itampa umaarufu Dunia nzima na chama chake huku ikiwachawachafua na nchi yetu ikipata aibu

    Kwa hatua aliyofukia Lisu akiachiliwa au akinyongwa Bado credits zote zinarudi kwake na chama chake maana wamechagua haki na ukweli Lakini waswahili wanasema heri nusu shari kuliko Shari kamili au heri aibu kuliko fedheha Hamna haja ya kumtumia Lisu kama kete ya kulazimisha maridhiano...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Dunia na jamii ya leo Inahitaji Kujua nini Kinachoendelea, Sio nini Kilichotokea

    Dunia Inahitaji Kujua Kinachoendelea, Sio Kilichotokea Katika ulimwengu wa teknolojia ya sasa, upatikanaji wa taarifa za moja kwa moja (live) na kwa wakati halisi bado ni changamoto. kutokana na uhaba wa teknolojia hiyo imechangia. Matukio mengi yanayoripotiwa kwa jamii kupitia vyombo vya...
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kufuata mafundisho ya Yesu Kristo na kuwa Mkristo katika dunia ya sisia?

    Mafundisho makuu ya Yesu Kristo ni Upendo. 1. Kuwapenda jirani kama unavyojipenda mwenyewe 2. Kuwapenda na kuwaombea maadui zako. 3. Ukipigwa shavu moja ugeuze na lingine 4. Kusamehe saba mara sabini 5. Kutopenda kujikusanyia mali/ kuwa tajiri bali kusaidia masikini na wahitaji. Haya...
  5. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Huyu hapa mwanasayansi aliyetaka dunia nzima ipate umeme wa bure na kilichomkuta!

    Wazia dunia ambayo huna haja ya kununua LUKU, kuweka bando la umeme, wala kuvuta mawaya ya hatari juu ya paa la nyumba yako. Dunia ambayo unachomeka kifaa chako chochote hewani na kinapata umeme bila kulipia hata shilingi moja! Hili halikuwa wazo la kusadikika au sinema ya Hollywood. Lilikuwa...
  6. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kama Lengo ni Kumfunga Kisha Msamaha, eti apoteze Haki zake za Kisiasa, futeni kabisa huo ujinga nyie Vilaza wa CCM !! Dunia haitokubali Kamwe

    Kama ambavyo alikataa Mabilioni ya kuachana na Siasa. Kama ambavyo alikataa kwenda Ulaya . Kama ambavyo amekataa MARIDHIANO ya Kiiinga . Ndivo ambavyo Dunia itasimama kwa ajili yake kukataa UHUNI wa Kumpora Lissu Hali yake ya Kisiasa !!. Hili liwakae kichwani !!.
  7. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afanya majadiliano na Bank kuu ya Dunia (WB)

  8. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Maajabu saba ya kale ya dunia

    Maajabu Saba ya Dunia ya Kale ni orodha ya majengo na sanamu za kustaajabisha zilizojengwa na wanadamu katika kipindi cha kale kuzunguka Bahari ya Mediterania. Kati ya maajabu haya yote, ni Piramidi Kuu ya Giza tu ndiyo bado ipo imesimama hadi leo, huku mengine yote yakiwa yameharibiwa na...
  9. Red black

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna mdudu msumbufu kama KUNGUNI?

  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Dunia ina rangi saba

    Msemo “Dunia rangi saba” (kwa Kihindi: Duniya saat rangon ki hai) kwa kawaida una maana ya maisha ya dunia yana sura na hali nyingi tofauti. “Rangi saba” ni mfano wa: 😊 Furaha 😢 Huzuni ❤️ Upendo 💔 Maumivu 💰 Utajiri 😔 Umaskini 🌟 Mafanikio na changamoto Kwa hiyo, unaposema “Dunia ina rangi...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya dunià kutoka Tanzania

    General elections in Africa Maajabu ya dunia kutoka Tanzania Data By Liberatus Mwang'ombe Registered voters: Zambia – 8.7 million Kenya – 22.1 million Tanzania – 37.6 million Counting speed: Tanzania “counted” 32 million votes in two days… with no internet and no electricity. Kenya needed...
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Hii sio Dunia ya Serikali kuhodhi ujenzi wa miradi yote mpaka choo- David Kafulila

    Kafulila: Serikali Haiwezi Kujenga Kila Kitu, Sekta Binafsi Ipewe Nafasi. == Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Serikali haiwezi kumudu kugharamia kila aina ya mradi nchini, hasa miradi ya kibiashara, wakati mahitaji ya...
  13. kaisar19

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Afariki dunia baada ya kugongwa Na lori lililo beba Ciment

    Tukio hili limetokea Asubuhi ya leo majira ya saa 3 katika Barabara ya kutoka kongowe kuelekea Twangoma. Ambambo lori lilifeli Breki likiwa kwenye mwendo kasi. Dereva wa Bodaboda alifariki mara tu baada ya ajali, Mpaka muda huu abiria alie panda pikipiki hiyo nae ni majeruhi na yupo...
  14. X

    JamiiForums Tanzania Dunia ya AI Yaanza Kugawanyika Katika Mifumo Miwili: Marekani 🇺🇸 au China 🇨🇳 — Tanzania Itaegemea Upande Gani?

    China imezidi kuikalia kooni Marekani kwenye vita ya teknolojia ya AI hivi kwamba Marekani imeanza kuhofia kukosa ushawaishi na kuanza kuyapiga mikwara mataifa mengine duniani Iko hivi: Kwa mujibu wa Reuters, Marekani inaandaa kuishinikiza takribani nchi 35 zinazohusishwa na mpango wake wa Pax...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Content Creator jamiiclub: Ajira Mpya Katika Dunia ya Kidijitali

    Habari wakuu, Ninaamini kuwa Content Creator ni aina mpya ya ajira katika dunia ya kidijitali, na inaweza kuwa fursa muhimu kwa vijana kujiajiri na kujenga vyanzo vyao vya kipato. Kwa sasa, mitandao ya kijamii imewezesha watu kushiriki mawazo, maarifa, vipaji na ubunifu wao kwa hadhira kubwa...
  16. O

    JamiiForums Kenya Kenya Yaibuka Nafasi ya Pili Dunia Katika Mashindano ya U20 Oregon

    Mashindano ya Dunia ya Riadha kwa wanariadha walio chini ya miaka 20 yaliyofanyika Eugene, Oregon, Marekani, ikimaliza nafasi ya pili kwenye jedwali la medali. Timu Kenya ilijikusanyia medali 11—dhahabu 4, fedha 3 na shaba 4—ikifuatiwa na wenyeji Marekani waliotwaa medali 24. Kenya pia ilikuwa...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Uislamu unavyozidi kuleta mugawanyiko na viongozi wao wenye imani.Je tunapoelekea ndio wanataka kuonesha dunia au ni imani.

    Matamko ya viongozi ambao wanaonesha wazi wazi sasa yanaonekana ghana na nageria kuwa hawataki imani imani nyingine zaidi ya wanao wasimamia wenye imani zao. Hii imekaaje maana dunia inapoelekea tunaenda sio ukabira ni udini hata hapa tanzania kashaonesha kuwa anafanya.
  18. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania DUNIA ITAZIKA WATU WAPI?

    Waungwana Habarini Za Asubuhi Kwamujibu Wa Takwimu za United Nations kwa Makadilio ya Mwaka Huu 2026 Dunia ina Jumla ya Zaidi ya Watu Billion 8.3 Na Inakadiliwa Itafikia Zaidi ya Watu Billion 10 Kufikia Mwaka 2050, Makadilo Ya Sasa Ya Umri Wa Kuishi/Life Expectancy Kwa Dunia Ni Miaka 73 Na Kwa...
  19. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Hivi dunia ina historia ya kuwa na Rais kichaa kama Trump? Sasa anajificha na kuzungukwa na silaha akihofia kuuliwa na muajemi halafu domokaya

    Wakati wa kampeni alipanga kupigwa shaba (kukunwa na shaba) akatamba si muoga, sasa anajificha... Ila kwa kweli huyu jamaa kama si mwehu basi uzee unamvamia vibaya mno na hastahili kubaki ofisini. Nilidhani ni sisi tu Afrika tuna maraisi wazee wang'ang'anizi wa madaraka hata akili...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Miaka zaidi ya 100 iliyopita, Kabla ya Vita vya Kwanza vya Dunia, Wajerumani walikuwa na mipango mikubwa ya maendeleo ya miundombinu Tanganyika. Baadhi ya mipango ilikuwa tayari imeshakamilika. Kwa mfano, reli inayotumika hadi sasa kutoka Dar es Salaam hadi Kigoma, yenye urefu wa takribani...
Back
Top Bottom