dunia

  1. Vien

    JamiiForums Tanzania Dunia imebadilika: Leo unaweza kutoboa kwa njia ambazo miaka 20 iliyopita zisingewezekana

    Kwa miaka mingi tumekuwa tukifundishwa kwamba mafanikio yana formula moja tu. Soma kwa bidii, pata kazi, kuwa na nidhamu, vumilia kwa miaka mingi, halafu siku moja utafanikiwa. Ukweli ni kwamba njia hii bado ipo na bado inafanya kazi. Lakini dunia ya leo imebadilika kwa kasi ambayo wengi...
  2. venchwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimetembelewa na Mwingine tukaangalie Kombe la dunia tunaelekea sehemu inaitwa “The Penny Black”

    Ngoja apumue Pumue Kidogo Twende sehem yaitwa the Penny Black mtaa wa Robertson Quay baada ya mechi sasa twaenda Rooftop ipo Marina Bay Financial Centre , Maana masaa kadhaa yalopita shughuli ilikuwa moto Uzuri huyu aliielewa mwenyewe show show na anajiletaga Juzi nilimtembelea kwake leo...
  3. Tlaatlaah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huenda Kombe la Dunia 2026 likabaki Marekani

    Wana timu nzuri mno, haizungumzwi wala kufuatiliwa sana, lakini ina uwezo na uwezekano mkubwa sana wa kutwaa kombe hilo la dunia katika mpira wa miguu duniani. Ni wazi Rais Donald J. Trump atapendelea zaidi kukabidhi kombe hilo la dunia kwa timu ya mpira wa miguu ya taifa lake na si vinginevyo...
  4. Yoda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini nchi za Afrika zimeshindwa kutumia uchawi kufanikiwa kombe la dunia?

    Uchawi na uganga unaaminiwa sana Africa ila ajabu pale uchawi unapohitajika zaidi kufanikisha mambo kama kwenye hili kombe la dunia hauonekani kabisa kuleta matokeo, Hii inathibitisha uchawi ni porojo tu, ni kama Nyuki wa mashineni.
  5. Allen Kilewella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Timu za Afrika zimeonesha Uafrika wetu Kombe la Dunia

    Timu za Afrika kwenye Kombe la dunia zimeonesha tabia zetu halisi kwenye mashindano ya Kombe la dunia. 1. Wachoyo wa kupasiana (ubinafsi) 2. Wazito wa kufanya maamuzi Kwa wakati. 3. Kila anayepata mpira anatamani yeye pekee ndiyo afunge. 4. Uvivu kwenye kukaba adui. 5. Kutokufuatilia...
  6. Marry Diana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji kampani Leo, nani yupo tutokee viwanja

    Niko bored, Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo. Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane...
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tafrani kombe la dunia Marekani, mashabiki wageni walazimishwa kulipa tip 20% mighahawani na bar.

    Mashabiki wageni kutoka mataifa mbalimbali walioenda kuangalia weldi cup wamekumbana na usumbufu na sintofahamu nchini Marekani katika huduma za migahawa na bar kutokana na utamaduni wa Marekani wa mteja kulazimika kulipa 20% ya ziada juu ya gharama halisi kama tip/ ahsante/ bakshish kwa...
  8. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania TANZIA Prof. Pius Mbawala afariki dunia. Aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na Ushirika na Mbunge wa Namtumbo

    Kwakuwa hii sijaiona JF, nimeona niiweke for our records: Aliyekuwa Naibu Waziri wa Kilimo na Ushirika na Mbunge wa Namtumbo, Prof.Pius Mbawala, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa familia, Prof. Mbawala...
  9. bless on

    JamiiForums Tanzania Shapeshifters: Watawala wa Kweli wa Dunia?

    SHAPESHIFTER Hawa ni watu wenye nguvu kubwa za kichawi. Inaelezwa kuwa hawa ndio watu wenye kuongoza dunia hii. Mataifa makubwa yote yanamilikiwa na binadamu wa aina hii binadamu ambao kidunia wanatajwa kama wafu lakini uhalisia wapo hai. Mfano ziliwahi kuvuja taarifa za ndani kuhusu maraisi...
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Uzito wa dunia yetu ni 6 septrilion kgs..

    Hivi walipimaje uzito huu,nikuulizeni chadomo maana nyie ndiyo huwa mnajua saaana kila kitu. (Tafakuri)
  11. Damaso

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Mwanafunzi afariki dunia baada ya kunyongwa na watu wasiojulikana

    Mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa kati ya miaka nane hadi kumi, mkazi wa Mtaa wa Lilungu katika Manispaa ya Mtwara Mikindani, amefariki dunia baada ya kunyongwa na watu wasiojulikana. Tukio hilo limetokea jioni ya Juni 21, 2026, ambapo kwa mujibu wa mashuhuda, mtoto huyo...
  12. Stunnaman008

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo Ronaldo ataishangaza dunia

    Leo Ronaldo atafunga mabao 5 peke yake
  13. Labani og

    JamiiForums Tanzania Tafuta pesa Kwa nguvu, dunia ni katili Kwa maskini

    Kwanza nianze kuipongeza serikali ya awamu ya sita Kwa kuimarisha amani na democrasia Dunia ya Leo identity kubwa ya mwanaume inatokana kiasi Gani Cha pesa unachomiliki/ inatokana na the way unavyotegemewa kwenye maamuzi yatakayohitaji pesa ......... Mambo Yale ya mwanaume busara hayapo kwenye...
  14. political monger senior

    JamiiForums Tanzania DUNIA IMEBADILIKA KUTEGEMEA MISAADA KUMEPITWA NA WAKATI WAZIRI MKUU MWIGURU NCHEMBA AMEONGEA HAYO AKIWA ZIARANI..

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, amesema enzi za kutegemea misaada kugharamia maendeleo na huduma za kijamii zimepitwa na wakati, akisisitiza umuhimu wa Watanzania kujenga utamaduni wa kujitegemea na kuwajibika kutatua changamoto zao wenyewe. Dk Mwigulu amesema dunia ya sasa...
  15. puker

    JamiiForums Tanzania Kutamani Dunia ifike mwisho, Nani mwingine aliwahi pitia hali hii?

    Habari, za muda huu ndugu zangu wana JF. Kwenye maisha, kuna mambo mengi tunapitia mazuri na mabaya. Naamini sio wote tumewahi pitia mambo magumu kiasi cha kutamani kufa au Dunia ifike mwisho kulingana na sittuation ya wakati huo. Binafsi nimewahi pitia vipindi viwili vingumu sana kwenye maisha...
  16. 6 Pack

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Picha: Huu ndio ujumbe wa Israel ya leo kwa Dunia

    Niaje waungwana Aisee kuna mambo mengine yanachekesha, na kushangaza sana. Hebu ngoja nikupe mfano halisi hapo chini 👇 Mfano mtu anatoka kwake huko katika wilaya nyingine na kuja kwako straight kwa lengo la kuja kukushambulia na kukuchomea nyumba yako. Kweli ukiwa ndani huna hili, wala lile...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kombe la dunia wenye elimu ya ujumbe kuwa timu zitakazo kutana finali na kama sio fainali basi moja wapo ni hii

    Kama unajisumbukia kuwasikiliza CCM utapata shida sana. Hapa na zungumzia dunia ambayo ina watu nyuma ya dunia wanaweza kukupa signal,habari ambazo kwa mwenye akili ndogo unaweza kusema yule kichaa. Afrika inarudishwa kwa wazungu tena. Na kombe la dunia finali kutakuwa Portuguese vs...
  18. PureView zeiss

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Japan wanaenda kuishangaza dunia Kwa kubeba world cup 2026...Huu ni utabiri wangu

    Japan ndiyo timu ambayo itaenda kuishangaza dunia Kwa mara ya Kwanza usiku wa July 19 Kwa kubeba world cup. Nimeangalia mechi Yao moja Tu waliocheza na uholanzi nikapata jibu kuwa hawa jamaa wanaenda kubeba ndoo World cup ya mwaka huu haina mwenyewe zaidi ya Japan Tu....najua mada hii itapata...
  19. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Taja mechi zako tano bora za kombe la dunia mpaka sasa hivi

    Kwaupande wangu hizi apa 1. Ivory coast vs Equador 2. Morroco vs Brazil 3. England vs Croatia 4. Korea vs Czech Republic 5. France vs Senegal
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Dunia ya wajinga, ulimwengu wa werevu

    Rasilimali, fursa, au mazingira yaliyopo yanaweza kutumiwa vibaya au kupuuzwa na watu wasio na maarifa (wajinga), lakini watu wenye akili na busara (werevu) huyatumia hayo hayo kujipatia mafanikio na faida.
Back
Top Bottom