CHAPA YA NDANI KWA NDANI😋
Kwenye kuta za faragha, penye sitara na siri, chanjo chini ya ushaga,
pasipo jicho la siri,Si jeraha la mahaba, bali pendo la fahari,
Chale yako kalioni, alama isofutika.
Hukuvaa kifuniko, kile cha asali wala kisepe angavu, Kwa mahaba ulinikaribishaa, hadi ndani...