Binti mwenye umri wa miaka 19, Neema Phinias Eric (maarufu kama Anifa), mkazi wa Tarime Sirari, anadaiwa kutoweka nyumbani kwa dada yake alipokuwa amekwenda mapumzikoni tangu Siku ya Jumatatu, Julai 6, 2026, kufuatia kutoka kwa matokeo ya Kidato cha Sita.
Neema, ambaye alikuwa mwanafunzi wa...