namba

Namba (難波, Nanba, IPA: [namba]) is a district of Osaka, Japan. It is located in Chūō and Naniwa wards. Namba is regarded as the center of so-called Minami ("South") area of Osaka. Its name is one of variations on the former name of Osaka, Naniwa. Namba is best known as the city's main south-central railway terminus: JR, Kintetsu, Nankai, Hanshin, and three Osaka Metro subway lines have stations there.
Some of the most famous images of Osaka, including the Glico Man and the Kani Doraku Crab, are located around the Dōtonbori canal in Namba. Namba is also known as an entertainment district, and hosts many of the city's most popular bars, restaurants, nightclubs, arcades, and pachinko parlors. The area is also known for shopping, with the Takashimaya department store (for older styles) and the sprawling underground Namba City shopping mall (for newer styles).
Namba Parks is a new development consisting of a high office building, called "Parks Tower," and a 120-tenant shopping mall with rooftop garden. Various kinds of restaurants (Japanese, Korean, Italian, etc.) are located on the 6th floor, and shops on the 2nd to 5th floors. Parks Garden features enough greenery to help visitors forget that they’re in the middle of the city. There is also an amphitheater for live shows, as well as space for small personal vegetable gardens and wagon shops.
Namba was once the city of adult deliquents.Now,namba gathers some of the young deliquents.
There are sex trade shops and discos,but namba is also the pub restaurants city.
The namba's amusing commerce culture gathers many people.
canals in osaka created the commere culture.namba was near the center of osaka in Edo.
namba is also the center of owarai culture.
NMB48 bases in Namba.

View More On Wikipedia.org
  1. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashika namba 9 kwa kuwa na bei kubwa ya mafuta Afrika

    Tanzania imeshika nafasi ya tisa barani Afrika na ya 67 duniani kwa bei kubwa ya mafuta mwezi huu wa Mei 2026, ikisajili wastani wa $1.587 kwa lita. Kulingana na takwimu za GlobalPetrolPrices, hali hii inatokana na kupanda kwa gharama za nishati duniani, jambo linaloongeza gharama za maisha...
  2. ngara23

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Baada ya taarifa kutoka Mwanza ya kuwa kijana ameuliwa na mabaunsa wa Bar, nimeona nitoe elimu kidogo ambayo haitolewi popote Hii ni elimu ya mtaa 1. Bar sio sehemu ya watu wanyonge. Ukijua wewe ni mlaini usikanyage bar au night clubs, watakupiga wakuuwe 2. Hakikisha una kampani. Kampani...
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kwanini ChatGPT ukimuambia achague random namba, kati ya 1 na 100, mara nyingi atachagua 73?

    Kavurugwa. Gemini yeye anapenda 42.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Rekodi ya Karne: Rais Samia Ahudhuria Kikao Cha Shina Chamwino Dodoma kilichoitishwa Na Balozi Wa CCM Shina.

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Ameonyesha unyenyekevu wa kiwango cha Juu sana ambacho hakijawahi kutokea. Hii Ni Baada ya Kuhudhuria kikao cha Shina kilichoitishwa na Balozi wa Shina Chamwino...
  5. M

    JamiiForums Tanzania FT: Manchester United 3-2 Liverpool | EPL | Old Trafford | 3 May 2026

    Macho yote leo yako Manchester United na Liverpool watakapokutana katika dimba la Old Trafford kwenye mchezo wa English Premier League. Huu ni mtanange wa kihistoria wenye ushindani mkubwa, kila timu ikihitaji pointi muhimu ili kujihakikishia nafasi ya tatu na kushiriki mashindano ya Ulaya...
  6. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mnaweka namba za watu hadharani mkihamasisha watukanwe ila mnakana kuhusika na jaribio la mapinduzi Oktoba 29

    Haingii akilini makada wa CHADEMA kuweka namba za watu binafsi mtandaoni na kuhamasishana kuwatukana hao watu huku wakiendelea kupinga kutohusika na jaribio la mapinduzi October 29. Kijana unajisikiaje kuingia mtego wa kutumia simu yako na kuanza kuwatukana kina Mzee Chande na wenzake? Sidhani...
  7. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA kemeeni tabia za wafuasi wenu za kutukana viongozi wetu kupitia namba za simu

    Wote tunajua kuwa kwa Chadema matusi ni sehemu ya Siasa zake. Lakini jueni kuwa ulimwengu wa sasa umehama kutoka kwenye siasa za matusi kwenda kwenye siasa za hoja. Hii tabia za kuwatukana viongozi wetu IKOME! Tunaomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama viwapate wachacche kama sample tu ili...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Siwezi kupingana na uhalisia ikitokea CHADEMA ikawa namba 2 CCM ikiongoza

    Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026,
  9. Tumbili in town

    JamiiForums Tanzania Mwenye kuzifahamu hizi saa namba ushauri

    Casio ABL-100WE
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kadi za Mabasi ya Mwendokasi ziboreshwe, lamination ikitoka, namba zinapotea

    Hizi Kadi za Mwendokasi inabidi ziboreshwe, unakuta ikiwa mpya au haijapata shuruba zozote inaonesha Namba ya Card ambayo Imeprintiwa juu ya lamination... Sasa lamination ikitoka Namba ya Kadi nayo inaondoka, hali hiyo imekuwa kesho hasa kwa sisi ambao wengi tunatembea nayo mfukoni muda mwingi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto yupo Form 1 na likizo imeisha, Je arudi shule ya boys inayoshuka namba 1 hadi 3 kimkoa au ahamie mchanganyiko inayoshika nafasi ya 4 hadi 6?

    Umri ni miaka 14, Mtoto ana uwezo mzuri darasani wala sina shaka juu ya uwezo wake. ana uwezo wa ziada wa kulisakata gozi (mpira) Shule ya msingi alisoma mchanganyiko ya kutwa. Katika likizo hii ya wanafunzi wa sekondari, nilipata wazo la kumpeleka mtoto kufanya interview katika shule ya...
  12. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Tulia kashaanza kutoa mlio tumsamehe au tumwache aisome namba?

    Msikilizeni ana jambo lakini anashindwa kufunguka. Akae kwa kutulia wanamtandao wasije wakapita nae. Wabunge wa CCM ni mateka wa wanamtandao hawana uhuru.wa kufanya lolote wanamaisha magumu sana.
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Utapeli wa "Ile fedha tuma kwenye namba hii" umeshuka kwa kasi

    TAARIFA KWA UMMA TAHADHARI KUHUSU VITENDO VYA UTAPELI. Hali ya Usalama nchini inaendelea vizuri kutokana na jitihada za Jeshi la Polisi zinazo saidiwa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi katika kubaini na kuzuia uhalifu. Pamoja na ushwari huo, yapo matukio mengine yanatendeka kutokana na...
  14. McLaren

    JamiiForums Tanzania Lee Min Ho kashika namba 1 tena kama msanii wa Kikorea anayependwa zaidi Kimataifa

    Hivi huyu jamaa ana dawa gani? Sidhani kama kuna msanii wa Kikorea anapendwa kama huyu jamaa Muigizaji Lee Min-ho ameshika namba 1 tena Kwa mujibu wa matokeo ya ‘Utafiti wa Hallyu (Wimbi la Kikorea) wa Kimataifa wa Mwaka 2026’ yaliyotangazwa mnamo Machi 30 na Wizara ya Utamaduni, Michezo na...
  15. Kingsmann

    JamiiForums Tanzania Radio 47 ndiyo Radio Namba 1 hapa Tanzania kwa sasa

    Hii yote ni kwa sababu media karibia zote za Tanzania zimeacha PROFESSIONALISM, zimeacha kuipasha jamii habari ambazo ziko balanced, wameleta censorship kwenye uhabarishaji wa jamii. Kibaya zaidi, wame-side na chama tawala (CCM) na kukubaliana na kila wanaloambiwa. Matokeo yake media za nje ya...
  16. Barakha John

    JamiiForums Tanzania Tumia Hizi Siri 7 Kukagua Simu Ili Usitapeliwe na Kuuziwa Feki / Grade Namba 2

    Tanzania kila inayo itwa leo watu hutapeliwa ,wengi hupotezea kwa sababu ya udogo wa pesa wanazo tapeliwa …. Fikiria kama ukitapeliwa laki 3,4 au MILLIONI. Ni pesa nyingi eeh…. Kama haupo makini unapo enda kununua simu au Laptop hasa kariakoo na wewe ni suala la muda tu kutapeliwa… Kwanini ...
  17. Eswa

    JamiiForums Tanzania Azam Marine Zanzibar wekeni huduma ya Lipa namba

    Habari za asubuhi. Imenishangaza sana alfajiri hii, nafika kwenye ofisi za Azam Marine hapa Zanzibar kukata tiketi eti hawana huduma za Lipa namba na kuna mlinzi ana huduma za wakala so unatakiwa utoe kwake kisha ulipie tiketi. Cha ajabu Zan Fast Fery wao Lipa namba. Kilichoniponza ni kataka...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Kwa rank yetu jeshini namba 6 duniani, tukirushiwa bomu na mataifa tuliyoyazidi kama Uturuki, Israel, Pakistan, Misri, n.k. Tutajibu au kufunika kombe

    Kwa ranks tunazozisikia Jeshi letu lipo fiti sana ni la sita dunioni hao wanyonge namba saba na kuendelea wakirusha bomu tutajibu au ?
  19. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Je inawezekana kubadilisha namba niliyounganisha na NMB Acc. Ilhali hiyo laini nilishaipoteza na aliyenisajilia yupo mbali na nilipo?

    Habari za muda huu kama kichwa cha habari kinavyojieleza Je! Naweza kuunganisha namba mpya ninayoitumia kwenye NMB kwa sababu namba ya simu niliyounganisha mwanzoni wakati nafungua Account haipo yaani ilishapotea na aliyenisajilia yupo mbali na nilipo
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuhusu Watumishi wa Mikataba Ilala. Mkurugenzi amedanganya!

    Mkurugenzi wa Ilala kasema uongo. Kwanza watumishi wa mikataba ni robo tatu ya watu wa cheki namba. Hao watumishi wa mikataba ndio wanaokusanya mapato yote ilala. Wanalipwa mpaka sasa 340,000 na serikali ilipitisha 500,000. Mshahara wanalipwa mpaka mwezi upinduke, kati ya tar 4, 6, au 8...
Back
Top Bottom