Salaam Wakuu,
Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi.
Tuzujane hapa kianachojiri..
Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
Niaje waungwa
Iran huwa hailali na deni, ikiahidi inalipa kwa muda sahihi. Leo hii wanajeshi wa Marekani hawatolala kwenye kambi zao kamwe.
Njia nyingine ya bahari ya Bab el Mandeb kufungwa, na...
Vita yoyote iliyofanikiwa duniani hutokana kwa kiasi kikubwa na upangaji wa mashambulizi unaofanywa na makamanda kimedani. Marekani iliingia vita ya Vitenama ikiwa haina plani za kivita ikitegemea...
Masaa machache yaliyopita Israel imefanya mashambulizi ya nguvu Beirut Lebanon
Iran walisema kuwa endapo Israel watashambulia Beirut basi wao Watajibu kwa kushambulia ndani ya Israel.
Iran...
GUYS NAOMBENI UFAFANUZI WA MASWALI HAYA MAANA PENGINE SULUHISHO LA MGOGORO WA MAREKANI, ISRAEL NA IRANI NDO UKO HAPA.
1.Kwa muda sasa tumekuwa tukishudia uchokozi wa USA katika mataifa...
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Naim Qassem, anakataa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa na Israeli na Lebanon:
Tunakataa jaribio lolote la kuhusisha kuwepo kwa upinzani na kukomeshwa kwa...
My Take
Naunga mkono hoja ya China.Dini ni scum na inawafanya watu kuwa wajinga , mbumbumbu na wasio shirikisha ubongo kutatua Changamoto zao badala yake wanategemea miujiza ya Mungu wao wa Israel...
Vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa Waziri wa Hazina wa nchi hiyo, Scott Bessent, anazingatia uwezekano wa kutumia mali za Iran zilizozuiwa kufidia uharibifu unaodaiwa kusababishwa na...
Rais wa Lebanon Joseph Aoun alitoa kwa mara ya kwanza kauli kali zisizo za kawaida dhidi ya Hezbollah na Iran katika mahojiano na CNN. Hakukataa mkutano na Waziri Mkuu Netanyahu lakini alibainisha...
Baada ya BBC kutembelea viwanda vya magari ya umeme Beijing na Hefei kisha ikatembelea Beijing Auto Show 2026, maonyesho makubwa zaidi ya magari duniani:
"China imepiga hatua kubwa ya...
Tangu mwendo wa saa 10 asubuhi ya leo, Israel ilishambulia Hezbollah kusini mwa Lebanon kama ifuatavyo:
● Mashambulizi ya angani ya ndege za kivita au ndege zisizo na rubani: Al-Mansouri, Deir...
Nchi ya Kenya imefanya marekebisho ya kanuni mpya ya mishahara ya wafanyakazi wa majumbani
wafanyakazi hao watatakiwa kulipwa $140 kwa mwezi sawa na Tsh. 372,000 kwa mwezi hapo awali walikuwa...
Taifa teule tukufu, takatifu na teule la Mungu wa kweli linazidi kuimarika kiuchumi.
Licha ya vita mashariki ya kati uchumi wake mwaka huu tu umekua 3.5%.
Israel haina mafuta kama wenzake...
Ilikuwa ni miaka ya 90 kuelekea 2000. Pale Liberia kulikuwa na Rais mmoja mbabe sana, anaitwa Charles Taylor. Huyu jamaa alikuwa haambiliki, alikuwa anafadhili vita vya Sierra Leone wapigane...
Wanaukumbi.
Iran inaripotiwa kusimamisha mazungumzo na Marekani kuhusu mashambulizi ya Israeli dhidi ya Lebanon
——
Timu ya mazungumzo ya Iran inasimamisha mazungumzo yote ya moja kwa moja na...
Christian-Shola Royal Ascension to the Throne Of The Atse Oritse, the Oki-Atsé, omó n'atsé mudiará himself. Established since 1800.
Royal Succession:
Dr. Christian Shola announced plans to step...
Kwa miaka mingi dunia ya kutengeneza semiconductors (chips) za hali ya juu imekuwa ikitumia kanuni inayoitwa Moore’s Law.
Moore's Law — Kadiri ukubwa wa chips ukipungua zaidi na zaidi ndivyo...
🇮🇱 BREAKING: MADAKTARI WA ISRAEL WAMFANYIA UPASUAJI MTOTO HUKU AKIWA BADO TUMBONI KWA MAMA YAKE. Akiwa na ujauzito wa wiki 25 tu, uchunguzi wa kawaida ulibaini kuwa uvimbe adimu ulikuwa...
Trump confirms calling Netanyahu ‘f***ing crazy’
The US president says he confronted the Israeli prime minister over Israel’s attack on Lebanon
US President Donald Trump
US President Donald...
Israel imetoka ONYO Kali kwa maadui zake kutoka nje kwa kuwaambia Shambulio moja la kigaidi, roketi, kombora au ndege isiyo na rubani na utapata kuonja utamu wa kombola letu pendwa la Jericho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.