International Forum

News and Stories from rest of the World
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
103 Reactions
124K Replies
6M Views
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum (73) ndie Mtawala wa Dubai na pia Ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Ndie aliyefanya mageuzi makubwa...
0 Reactions
0 Replies
75 Views
Seven African presidents to meet Putin and Zelensky An African peace delegation will visit Kiev and Moscow, the Brazzaville Foundation has confirmed FILE PHOTO: Russian President Vladimir Putin...
0 Reactions
21 Replies
663 Views
FAHAMU: Kairan Quanzi ametengeneza historia ya kuwa binadamu mwenye umri mdogo zaidi kuajiriwa na kampuni ya Space X inayomilikiwa na Elon Musk. Tofauti na watoto wengine, Inasemwa alipokuwa na...
1 Reactions
6 Replies
282 Views
Wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Hawa watoto wa wameweza kunusurika na mazingira hatarishi ya msitu mkubwa wa Amazon kwa siku 40 bila chakula wala malazi yoyote hadi walipopatikana leo...
2 Reactions
17 Replies
584 Views
Mataifa tano yenye jeshi lenye nguvu duniani: 1. USA 2. Israel 3. Russia 4. China 5. India...
1 Reactions
50 Replies
2K Views
Wakuu ni hivi nilivyoona wanavyoonyesha javelin inavyofanya kazi nilijua Russia ni Kwa heri mara HiMRS sijui nilikataa tamaa sikutaka hata kuangalia. Mara kulipua Bomba la mafuta nikajua ndio basi...
14 Reactions
24 Replies
884 Views
Rais Zelensky wa Ukraine alipigia debe sana kupewa vifaru vya ujerumani vinavyoaminika sana ulaya. Ujerumani ilikuwa haitaki kutoa vifaru vyake. Lakini mwisho wa siku ujerumani ikakubali kuipa...
8 Reactions
41 Replies
2K Views
Hawa jamaa hadi wanatia aibu.. https://apnews.com/article/ukraine-russia-tank-leopard-blew-up-tractor-2824d17105d3cfb875a5306acd2c9089 A grainy black-and-white gunsight video Russia released...
3 Reactions
20 Replies
832 Views
Baada ya Rais Biden kuapa kuweka Vikwazo vya kiuchumi kwa Saudi Arabia kwa kufyeka uzalishaji wa mafuta mwaka jana, Mohammed bin Salman alitishia kwa faragha kuvunja uhusiano na kulipiza kisasi...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Around mwezi uliopita mfumo wa anga wa USA ulipo washwa moto na makombora ya Urusi Ukraine walipinga baadae USA akakiri ni kweli Patriot imewashwa moto! Juzi mfumo wa anga wa Ujerumani umetiwa...
14 Reactions
25 Replies
2K Views
Nina mashaka sana na huyu Rais wa Ukraine kuwa anaweza kuwa anatumika na Urusi hili KUIDHOOFISHA ULAYA KIUCHUMI NA TECHNOLOGIA YA SILAHA ZAO. Mfano Himars zimeundwa 2012, Uwezo wa Patriots, Uwezo...
6 Reactions
16 Replies
743 Views
Hayawi hayawi huwa, wazalendo wapasua ngome ya kwanza, Warusi washindwa kuhimili mapigo....twende kazi ========= Ukraine has broken through Russia’s first line of defence in several places, 48...
2 Reactions
10 Replies
711 Views
Wachina walivyojazana kwenye mitaa ya Marekani wakipiga deiwaka, kwenu mnaoijua mitaa ya China nako Wamarekani wamejazana huko?
13 Reactions
114 Replies
3K Views
Well, what’s really new here? Zilch. Nothing. Nada. Another day, another Donald Trump so called controversy. For as much as he claims to dislike the mainstream media, the swamp and its...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Gazeti kongwe, maarufu na linaloheshimika linalichapishwa kila siku iitwayo leo kwa lugha ya Kiebrania chini Israeli limechapisha habari isemayo kuwa Jeshi la Israeli limeanza kujiandaa katika...
0 Reactions
7 Replies
412 Views
Wakuu habari zenu Muongozo kwa wanaofahamu sheria za immigration nina overstay in my passport harafu nataka kuludi nyumbani je nikivuka ile inchi bila bann nikifika home bado wataitambua kama...
1 Reactions
33 Replies
727 Views
Bado imeshindikana kuwapatanisha, ni fulu mnyukano kwa kwenda mbele tena wana mizuka ya kiwaki waki..... A massive fire erupted at the gas depots in southern Khartoum on Wednesday, following...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Mwaka 2021 Augustin kabuya msemaji wa serekali alipo ulizwa je Kuna mpinzani yeyote ambaye anaweza kumshinda felix Tshisekedi kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2023 Augustin kabuya alijibu Moise...
1 Reactions
3 Replies
178 Views
Kwanza lazima tujue misaada yooote inayotolewa na NATO kwenda kuipa nguvu Ukraine haitolewi ili kuisaidia Ukraine bali kuwasaidia NATO kibiashara. Kwa kifupi watu wanapata faida pale wanajeshi wa...
1 Reactions
2 Replies
258 Views
Back
Top Bottom