International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

  • Sticky
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
112 Reactions
150K Replies
12M Views
Niaje waungwa Iran huwa hailali na deni, ikiahidi inalipa kwa muda sahihi. Leo hii wanajeshi wa Marekani hawatolala kwenye kambi zao kamwe. Njia nyingine ya bahari ya Bab el Mandeb kufungwa, na...
6 Reactions
12 Replies
58 Views
Vita yoyote iliyofanikiwa duniani hutokana kwa kiasi kikubwa na upangaji wa mashambulizi unaofanywa na makamanda kimedani. Marekani iliingia vita ya Vitenama ikiwa haina plani za kivita ikitegemea...
20 Reactions
57 Replies
2K Views
Masaa machache yaliyopita Israel imefanya mashambulizi ya nguvu Beirut Lebanon Iran walisema kuwa endapo Israel watashambulia Beirut basi wao Watajibu kwa kushambulia ndani ya Israel. Iran...
0 Reactions
14 Replies
127 Views
GUYS NAOMBENI UFAFANUZI WA MASWALI HAYA MAANA PENGINE SULUHISHO LA MGOGORO WA MAREKANI, ISRAEL NA IRANI NDO UKO HAPA. 1.Kwa muda sasa tumekuwa tukishudia uchokozi wa USA katika mataifa...
1 Reactions
4 Replies
153 Views
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Naim Qassem, anakataa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa na Israeli na Lebanon: Tunakataa jaribio lolote la kuhusisha kuwepo kwa upinzani na kukomeshwa kwa...
1 Reactions
11 Replies
107 Views
My Take Naunga mkono hoja ya China.Dini ni scum na inawafanya watu kuwa wajinga , mbumbumbu na wasio shirikisha ubongo kutatua Changamoto zao badala yake wanategemea miujiza ya Mungu wao wa Israel...
12 Reactions
113 Replies
675 Views
Vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa Waziri wa Hazina wa nchi hiyo, Scott Bessent, anazingatia uwezekano wa kutumia mali za Iran zilizozuiwa kufidia uharibifu unaodaiwa kusababishwa na...
2 Reactions
8 Replies
152 Views
Rais wa Lebanon Joseph Aoun alitoa kwa mara ya kwanza kauli kali zisizo za kawaida dhidi ya Hezbollah na Iran katika mahojiano na CNN. Hakukataa mkutano na Waziri Mkuu Netanyahu lakini alibainisha...
2 Reactions
7 Replies
191 Views
Baada ya BBC kutembelea viwanda vya magari ya umeme Beijing na Hefei kisha ikatembelea Beijing Auto Show 2026, maonyesho makubwa zaidi ya magari duniani: "China imepiga hatua kubwa ya...
10 Reactions
27 Replies
661 Views
Tangu mwendo wa saa 10 asubuhi ya leo, Israel ilishambulia Hezbollah kusini mwa Lebanon kama ifuatavyo: ● Mashambulizi ya angani ya ndege za kivita au ndege zisizo na rubani: Al-Mansouri, Deir...
2 Reactions
4 Replies
130 Views
Nchi ya Kenya imefanya marekebisho ya kanuni mpya ya mishahara ya wafanyakazi wa majumbani wafanyakazi hao watatakiwa kulipwa $140 kwa mwezi sawa na Tsh. 372,000 kwa mwezi hapo awali walikuwa...
1 Reactions
5 Replies
70 Views
NETANYAHU ANUSURIKA BAADA YA SHAMBULIO LA DRONE YA MAGAIDI WA HEZBOLLAH WAKATI WA ZIARA YAKE KASKAZINI ‘YA ISRAEL. Waziri Mkuu wa 'Israel' Benjamin...
2 Reactions
3 Replies
235 Views
Taifa teule tukufu, takatifu na teule la Mungu wa kweli linazidi kuimarika kiuchumi. Licha ya vita mashariki ya kati uchumi wake mwaka huu tu umekua 3.5%. Israel haina mafuta kama wenzake...
5 Reactions
36 Replies
666 Views
Ilikuwa ni miaka ya 90 kuelekea 2000. Pale Liberia kulikuwa na Rais mmoja mbabe sana, anaitwa Charles Taylor. Huyu jamaa alikuwa haambiliki, alikuwa anafadhili vita vya Sierra Leone wapigane...
8 Reactions
13 Replies
438 Views
Wanaukumbi. Iran inaripotiwa kusimamisha mazungumzo na Marekani kuhusu mashambulizi ya Israeli dhidi ya Lebanon —— Timu ya mazungumzo ya Iran inasimamisha mazungumzo yote ya moja kwa moja na...
5 Reactions
95 Replies
866 Views
Christian-Shola Royal Ascension to the Throne Of The Atse Oritse, the Oki-Atsé, omó n'atsé mudiará himself. Established since 1800. Royal Succession: Dr. Christian Shola announced plans to step...
0 Reactions
1 Replies
39 Views
Kwa miaka mingi dunia ya kutengeneza semiconductors (chips) za hali ya juu imekuwa ikitumia kanuni inayoitwa Moore’s Law. Moore's Law — Kadiri ukubwa wa chips ukipungua zaidi na zaidi ndivyo...
10 Reactions
48 Replies
732 Views
🇮🇱 BREAKING: MADAKTARI WA ISRAEL WAMFANYIA UPASUAJI MTOTO HUKU AKIWA BADO TUMBONI KWA MAMA YAKE. Akiwa na ujauzito wa wiki 25 tu, uchunguzi wa kawaida ulibaini kuwa uvimbe adimu ulikuwa...
7 Reactions
12 Replies
227 Views
Trump confirms calling Netanyahu ‘f***ing crazy’ The US president says he confronted the Israeli prime minister over Israel’s attack on Lebanon US President Donald Trump US President Donald...
5 Reactions
35 Replies
568 Views
Israel imetoka ONYO Kali kwa maadui zake kutoka nje kwa kuwaambia Shambulio moja la kigaidi, roketi, kombora au ndege isiyo na rubani na utapata kuonja utamu wa kombola letu pendwa la Jericho.
9 Reactions
62 Replies
792 Views
Back
Top Bottom