bila

The Battalions of Light Infantry of Africa (French: Bataillons d'Infanterie Légère d'Afrique or BILA), better known under the acronym Bat' d'Af', were French infantry and construction units, serving in Northern Africa, made up of men with prison records who still had to do their military service or soldiers with serious disciplinary records.

View More On Wikipedia.org
  1. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu Kuheshimu mawazo ya wengine bila chuki!

    Ilikuwaje mpaka ukakubali kwamba watu tuna mitazamo tofauti, na kwamba hata iweje hatuwezi kufanana mawazo? Hapa naongelea kujifunza kuheshimu mitazamo ya watu wengine, hasa ile yenye upande chanya na isiyoleta madhara kwa jamii Kwa mfano, kuna mtu anaamini Mungu yupo, na mwingine anaamini...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Miaka 13 Bila Albert Mangweah: Bongo Flavour Artists wamejipangaje kumuenzi 2026

    28 Mei 2013 Msanii Maarufu enzi hizo wa Bongo Flavour alitutoka Duniani akiwa kwenye Matibabu huko nchini Afrika Kusini. Wasanii wa Bongo Flavour wamejipangaje kumuenzi? Naona kimya sisikii watu wakimzungumzia namna ya kumuenzi mwaka huu wa 2026. Kwangu Binafsi nitamkumbuka kwa nyimbo ya ni...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Shabiby: Nitagombea Urais 2030, nitaleta Sheria ya kunyonga Watu kupambana na Rushwa

    "Tukija kwenye mitaji... hii mitaji, twende kwenye uwekezaji. Nyinyi biashara ndio mnaotakiwa mtoe ushauri. Mgeni anakuja, anatoa dola laki tano, eti huyo ni mwekezaji. Hivi Watanzania wangapi wana dola laki tano? Si wengi hapa! Alafu anakuja na briefcase, anaenda kuchukua ukandarasi wa...
  4. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba: Ninaomba Serikali ichukue hatua ngumu kukomesha hii 'narrative' ya utekaji. Tutaharibu Nchi yetu nzuri bila sababu za msingi!

    Watanzania ni watu wanaopenda amani na hawajazoea kuishi kwa hofu. Niwapongeze Polisi kwa kujibu haraka kwamba wanachunguza tukio la 'kutekwa' Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, ndugu Djumbe. Nitoe pole kwake na kwa familia yake! Kuna maadui zetu wanaweza kutumia mwanya wa...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya maji Njiro (Arusha), wiki 2 bila huduma! Tukiwaita AUWSA wanatuzungusha

    Mimi ni mkazi wa Njiro, Arusha katika maeneo ya kwa Msola na kwa Mrimba karibu na Climax Resort. Tumekaa karibu wiki mbili sasa bila maji, na hali hii imekuwa ikijirudia mara kwa mara tangu mwezi Januari. Kila tunapowasiliana na Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA)...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Bila Mkataba: Haki za Wafanyakazi wa Kampuni ya Temboking yupo gizani

    Kero yangu ni kuhusu ajira katika kampuni binafsi. Nimefanya kazi kwenye kampuni inayoitwa Temboking Limited, lakini sikuwa na mkataba wa ajira licha ya kukatwa makato ya NSSF kama kawaida. Hii inanifanya nisiwe na uhakika wa kazi, maana mwajiri anaweza kunisimamisha kazi muda wowote bila...
  7. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Tabia 7 zinazokuchelewesha maisani bila wewe kujua!

    Watu wengi huamini kwamba kuchelewa kufanikiwa ni bahati mbaya, ukosefu wa connection, au mazingira magumu pekee. Lakini ukweli ni kwamba kuna tabia ndogo ndogo ambazo watu huzifanya kila siku bila kujua ndizo zinazowarudisha nyuma polepole kwenye maisha. 😳 👉 Kwanini baadhi ya watu wana...
  8. Nyendo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi gani ya kutoka kwenye mahusiano bila vurugu?

    Wakuu, haya mahusino naona kabisa hatuna future, ila tumezoea kuwa pamoja na ndio kitu pekee kinatubakisha. Kwa namna nilivyoishi na huyu bibie sihitaji kuachana naye kwa vurugu, nahitaji tuachane kwa amani kila mtu ashike lake. NIpeni mbinu wakuu, nifanyaleje? Maana kama ni kupunguza...
  9. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania 🧠⚡ JE, MAAMUZI YAKO NI YAKO KWELI… AU UBONGO WAKO UNAONGOZWA NA PSYCHOLOGY BILA WEWE KUJUA? 🤯

    Kila siku binadamu hufanya maamuzi kuhusu pesa, mahusiano, biashara, afya, kazi, na maisha kwa ujumla. Lakini ukweli wa kushangaza ni kwamba watu wengi hawaamui kwa logic pekee — akili, mazingira, emotions, habits, na psychology vina influence kubwa sana kwenye choices tunazofanya kila siku. 👉...
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Trump kavurugwa. Vitu gani anapost bila caption?

    Nani anamchanganya huyu mzee? Ni AI generated lakini hadi rais wa nchi kubwa hivi anapost? Tf? Source: https://truthsocial.com/@realDonaldTrump/posts/116591901587847680
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyenyere hajawahi na hatowahi kua Mwanasiasa, Alikua ni Chawa, along'ang'ania Nguoni kwa Mbowe , Bila Mbowe ,Hapana Yericko!!

    Wenyewe somnaona sasa aina yake ya Maisha na Maandiko yake !! Dhahiro shahiri ni Pro Chawa !!. Bila kubeba, haonekani.
  12. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania 🚨 JE, KWELI UNAWEZA KUJIFUNZA ONLINE BILA ADA YEYOTE NA UKAJIAJIRI? 💻🔥💰

    Katika dunia ya sasa, watu wengi wanaamini lazima uwe na pesa nyingi ili ujifunze skills zinazoweza kukuletea kipato. Lakini ukweli ni kwamba internet imefungua milango mikubwa ya elimu ya bure ambapo unaweza kujifunza skills mbalimbali ukiwa nyumbani kwa kutumia simu au laptop tu. 🌍 Swali...
  13. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof Issa Shivji: Watanzania sio wajinga. Kiungo kati ya AMANI na HAKI ni UWAJIBIKAJI. Hatuwezi kupiga hatua bila viongozi wakosaji kujiwabika!

    https://youtu.be/0niFxKMdOSI?si=AQnb1lDVaELvbk05 ANASEMA: Nchi hii si mara ya kwanza kushuhudia ukatili na mauaji ya watu (raia) wasio na hatia uliofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama chini ya usimamizi wa viongozi wa kiraia ma RCs, DCs au Mawaziri Tofauti na wakati ule, katika matukio ya...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Wapya VETA: Miezi 2 Bila Kazi Wala Mshahara

    VETA Habari za wakati huu. Mimi ni mmoja wa watumishi wapya walioajiriwa na Veta tarehe 19/02. Baada ya kufika makao makuu Dodoma na kukamilisha zoezi la kusaini mikataba ya ajira, tuliombwa kusubiri maelekezo ya kupangiwa vituo vya kazi. Hata hivyo, hadi sasa zimepita takribani miezi miwili...
  15. Joannah

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    Shalom Shalom taifa la Mungu. Leo natamani tupige mastory ya jiji la Dar es Salaam.Kwanza kabisa nataka kuweka wazi kwamba hii habari ni kweli ila angalizo ni kwamba kuna baadhi ya mambo kama majina halisi ya wahusika, majina ya maeneo,majina ya taasisi n.k nitabadilisha kutokana na nature ya...
  16. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwa nini utahisi ngozi ya tumboni na Kifuani kuwasha unapoanza Kukimbia baada ya Kukaa muda mrefu bila Matizi?

    Ukikaa muda bila kufanya mazoezi halafu siku ukirudi kukimbia ukaanza kuhisi kuwasha tumboni au kifuani mara nyingi ni mwili wako una-react na kitu kinaitwa histamine. Hii ni chemical ambayo mwili huwa nayo naturally na huwa inahusika kwenye allergy au kuwashwa kwa ngozi. Unapoanza kukimbia...
  17. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Putin atoa onyo ole wake atakayethubutu kuchukua uranium ya Iran bila ruhusa ,,kumekucha!

  18. R

    JamiiForums Tanzania Askofu Kisare: Huwezi kuwa na haki bila amani, na huwezi kuwa na amani bila haki, haiwezekani

    Akizungumza Machi 27, 2026 katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 uliofanyika Mkoani Mwanza, Amesema Askofu Mkuu wa Kanisa la Mennonite Tanzania, Askofu Nelson Kisare, amesisitiza kuwa Haki na Amani vinaambatana kwa pamoja. "Haki...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Pesa zinazokusanywa ni kwajili ya kuendeleza Dar, Dodoma na Zanzibar ? mikoa mingi imekuwa vyanzo vya mapato bila kupewa umuhimu kwenye maendeleo

    Kuna mikoa huchangia mamia ya mabilioni ya kodi kila mwaka kupitia biashara, kilimo, madini na shughuli nyingine za kiuchumi. Lakini ukifika hata makao makuu na majiji ya mikoa hiyo, maendeleo hayaendani kabisa na mchango wao, Inasikitisha kuona kuwa sehemu kubwa ya mapato hayo yanaelekezwa...
  20. Stephen Ngalya Chelu

    JamiiForums Tanzania Sikuwahi kufiriki kuna siku ingepita bila kuingia JF

    Kweli zama zinabadilika. Zamani nisipoingia jf hata kwa masaa manne tu nahisi nimepoteza kitu fulani muhimu. Sikuwahi kufikiri kama ningeweza kupita siku nzima bila kuingia jf. Ila ndo hivyo, leo nimeingia baada ya miezi mingi kupita, jf kama kumepoa hivi, hakuna sarakasi nyingi kama zamani. Au...
Back
Top Bottom