nzuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    JamiiForums Tanzania Wadau wa Kariakoo napataje frem nzuri iliyopo mbele

    Mambo vipi wadau, natafuta frem nzuri iliyoko mbele Kariakoo. Karibuni wadau kwa maelekezo zaidi.
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Buzuruga Health Center (Buzuruga Hospital) hakuna dawa na huduma si nzuri

    Mwanza, Buzuruga Health Center (Buzuruga Hospital) hali mbaya sana, hakuna dawa wala huduma si nzuri, wagonjwa wanaelekezwa kununua dawa nje ya hospitali kuna duka husika, taasisi haina hata plasta. Upande wa wanawake wajawazito wanakutana na changamoto ya vifaa, havipo vya kutosha, wananunua...
  3. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania President Xi visits Egypt kapokewa na raisi Sisi, picha nzuri!

    hivi kwa nini viongozi wa afrika huwa hawapigi picha kama hizi? afrika sub-saharan tuko peke yetu dunia hii kwenye mambo mengi sana, tujaribu kuiga angalau wenzetu rest of world wanavyofanya mambo, dunia nzima viongozi huwaweka mbele wenza wao, ila afrika ni nadra sana kuona picha kama hii, ni...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kwanini asilimia kubwa ya "bosses" wa kizungu wana roho nzuri na waumgwana kuzidi Waafrika, waarabu, wachina na wahindi? Malezi bora au ni nini?

    NB: Nina Akili Ndogo Sana. Uliwahi kuwa na boss Mzungu, mchina, Mwarabu?? What was your experience?? Siku boss wangu Mzungu anaondoka mwaka 2018, alitupa staki zote kwa mujibu wa sheria plus 900,000/= kila mmoja wetu kutoka katika akiba yake baada ya kuuza assets zote na kurejea kwao Denmark...
  5. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania Hii si reflection nzuri kwa nchi yetu

    Wakuu Yan kwa tulipofikia kama nchi sasa hivi mtu(mwanaharakati) akikamatwa na polisi maombi yanabaki nyuma kwamba hasiuawe yn mtu anakamatwa na chombo chenye dhamana ya ulinzi na usalama lakin watu wanapata hofu na mashaka juu ya uhai wake na afya yake kwa ujumla hili jambo sio zuri kabsa...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Agiza tangawizi kutoka kwetu kwa wingi wowote ule! Karibu tufanye biashara

    Nipo Mkoa wa Kigoma, ambako tangawizi inapatikana kwa wingi. Kama unatoka mkoa mwingine na unatafuta chanzo cha uhakika cha tangawizi kwa ajili ya biashara, tufanye biashara! 🤝 Unachohitaji ni kufuatilia soko lako, kisha wasiliana nami na uagize kiasi unachohitaji—hata kama ni tani kadhaa...
  7. min -me

    JamiiForums Tanzania Vichupi kamba ( bikini) viheshimiwe

    Kwenye mapenzi, chupi naona ni mtego Mkubwa kuliko chochote, mara akae vibaya uone chupi 😋, mtu kuja uchi wa mnyama inakata kinouma🚮 Kwa uzoefu nimeona kama vijinguo kama hivyo , weka na vikanga vya kiuchokozi vina vibe kuliko, bidada akitokea kama alivyo zaliwa. Na lisiwe lile...
  8. Wakili wa shetani

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo ngoma za asili nzuri zaidi Tanzania.

    Japo kila watu na ladha zao. Kwa duniani ngoma za Japan(Taiko) hazina mpinzani. Hawa jamaa wapo serious sana na swala la ngoma. https://youtu.be/1HHic-ylhOE?si=zNbIbbQyO7OqByCn Kwa Afrika Waburundi hawana mpinzani. Hawa hata kwa dunia huwezi kuwatoa top 5. Hawa jamaa wanazunguka dunia nzima...
  9. sechala

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Shule nzuri ya msingi KIBAHA

    Habari wadau, Naomba kujua shule nzuri kitaaluma na kinidhamu kwa Kibaha. Kijana wangu yupo std3 nataka kumuhamisha shule hii aliyopo hapana.
  10. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Uzi wa picha nzuri, story nzuri na kumbukumbu za watoto

    Wale wapenzi wa WATOTO👭👬👶 Karibu kwenye uzi wa picha za watoto na simulizi zao Kama una story yeyote kuhusu watoto share iwe nzuri au ya kusikitisha Watoto wametokana na sisi wenyewe ni damu yetu, wanakuzwa ndani yetu na wao ni sehemu yetu Watoto wana uzuri wao wa kipekee sana...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Balozi Possi: Taswira ya Tanzania kimataifa ni nzuri sana

    Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Geneva, Dkt. Abdallah Possi, ameeleza kuwa taswira ya Tanzania kimataifa bado ni nzuri, licha ya matukio yaliyojitokeza nchini tarehe 29 Oktoba kutajwa kuwa ni ya kusikitisha na ya bahati mbaya. Akizungumza katika kipindi cha Jana na Leo cha...
  12. keepsake

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji unaofanana; agrovet na hardware ipi inafaida nzuri kwa mtu anayetaka kuanza biashara?

    Wanajamvi kama kichwa kinavyosomeka, natamani kujua biashara yenye mzunguko na faida nzuri kati ya agrovet na hardware kwa maeneo ya Mbeya. Kwa faida yangu na ya wengine naomba wazoefu na watalaamu mtupe dondoo kidogo hapa. Natanguliza shukrani
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Heche unafanya KAZI nzuri iliyotukuka ila unakipara

    Tundu Lissu akimtania Heche mahakamani leo akimaanisa ana kipara hajaunga kampeni ya kudai haki kwa kutokunyoa nywele kama ambavyo wengine kina Boni Yai wamefanya kushinikiza Lissu kuachiwa kutoka gerezani anakoshikiliwa kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.
  14. youngkato

    JamiiForums Tanzania Kazi moja nzuri ilimletea mteja mwingine… mteja mwingine akamletea mwingine. Hivi ndivyo Laurent alivyokuza biashara yake ya welding

    SIMULIZI YA LAURENT: KUTOKA KWA WELDER MDOGO HADI KUWA NA BIASHARA INAYOAMINIKA “Nilianza na mashine moja ya welding, lakini nilikuwa na kitu kimoja ambacho nilijua hakipaswi kukosekana—MPANGO.” Laurent alikuwa kijana aliyekuwa na ujuzi wa welding na fabrication, lakini kama wafanyabiashara...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Sio mzuri, Hana shepu nzuri bado hata mapenzi kitandani hajui, huyu unafanyaje?

    Mchagua Jembe sio Mkulima na wahenga wakaongeza kuwa penye Miti mingi hapana wajenzi. Wanaume halisi huwa hatuchagui wanawake kutokana na Genes zetu purely ni za Kiume hivyo basi kila kiumbe kinachoitwa Mwanamke ni halali yetu. Ni ktk mtindo huo tunawapa heshima na thamani wanawake wote, Sisi...
  16. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mazishi ya halaiki kwa Magaidi: Israel inafanya kazi nzuri sana kuwaua Magaidi huko Gaza!!

    Mazishi ya halaiki yamefanyika katika Jiji la Gaza, kaskazini mwa Gaza, leo, kwa ajili ya Magaidi 112 wa familia za Abu Sharia na Al-Hasaina, ambao miili yao ilipatikana katika wiki 2 zilizopita kutoka chini ya kifusi cha makazi katika kitongoji cha Sabra. Magaidi wa Hamas wanasema eneo hilo...
  17. Mike Moe

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa Hotel or lodge, Airbnb nzuri kwa Dar

    Hello guys habari za asubuhi Samahani naomba kwa wenye kufahamu hotel, lodge au airbnb kwa hapa Dar es salaam ambayo naweza kaa kwa usiku mmoja wa leo ila cost zisivuke 150,000 Naomba kuzifahamu kwa majina na maeneo zilipo zisiwe nje sana ya jiji ili iwe rahisi kwa asubuhi kureport kazini...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Ni mjinga tu anayefikiri kuna Dira nzuri ya 2050 kwa mfumo huu wa siasa (Katiba hii)

    Watanzania sasa mpaka dira za uongo tu. Hebu tujiulize kwa utaratibu wa sasa serikali yenyewe haifuati sheria, hakuna uwajibikaji na viongozi wala rushwa hivi . Kwa katiba hii na mifumo hii Dira ni kama vichekesho tu. Kila mwenye akili anajua ni kujidanganya tu kwa huyu Mama na kupenda kusifiwa...
  19. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Ramani nzuri ya nyumba

    Ndugu habari.. Angalieni hii ramani alafu mtoe maoni yenu ni nini cha kuboresha wakubwa
  20. M

    JamiiForums Tanzania Punguza presha ya kununua gari jipya, Unaweza kununua gari mtaani, ukalifanyia matengenezo ya kiwango cha juu na ulitumie kama jipya kwa bei ya chini

    1. Kuhusu "gari jipya" kwa maana ya watanzania wengi Ninapotumia neno gari jipya, simaanishi gari lililotoka kiwandani 0km moja kwa moja. Katika mazingira ya Tanzania, mara nyingi ni gari la mtumba lililoagizwa kutoka Japan au gari ambalo lipo showroom tayari limeagizwa. 2. Magari...
Back
Top Bottom