Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
  • Sticky
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu karibuni. Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo; Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
24 Reactions
7K Replies
876K Views
  • Sticky
Hallow wana JF, weka bei, picha, mahali ulipo, contact zako na specifications za device yako.
60 Reactions
16K Replies
2M Views
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
80 Reactions
451 Replies
115K Views
  • Sticky
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo, Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara. Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
36 Reactions
85 Replies
51K Views
  • Sticky
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu. Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
63 Reactions
330 Replies
136K Views
  • Closed
  • Sticky
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF, Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni. Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
7 Reactions
102 Replies
86K Views
Habari ndg zangu wana jamii, nimekuwepo hapa kitambo, kwa nafasi hii ya matangazo naendelea kutangaza kazi zangu zinazo husiana na masuala ya rangi. Wasiliana nami kwa no 0766111212
2 Reactions
277 Replies
18K Views
Bedside size 4×6 Rangi zilizopo ni kijivu, ugoro, pink, nyeupe, samawati. Bei 35000 Material ni zuri sana, Kutoka Thailand na Uturuki Mawasiliano 0628935034
0 Reactions
2 Replies
126 Views
Nauza mkoba wa kuwekea documents na laptop. Umetemgenezwa na material safi na ndani una sponji nyepesi ambayo haivunji PC Yako na haiingizi maji kabisa. Bei ni 40000tshs Nipo Dar derivery ipo...
0 Reactions
2 Replies
70 Views
R J EDUCATION SERVICE. Ndugu Mzazi /mlezi ,Tunafurahi kukutaarifu uwepo wa walimu wabobezi ,wenye uzoefu wa miaka 15 katika ufundishaji.Tunafundisha wanafunzi wa Madarasa yote kuanzia Msingi...
0 Reactions
0 Replies
24 Views
Karibu sana kwenye ukulasa wa Dovillen Property. Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH...
2 Reactions
3K Replies
187K Views
NAUZA LAPTOP Lenovo Ideapad: Ram 4, Proc 2, HDD 500, 64 Bits, Better 3 Hours...Haina
1 Reactions
6 Replies
251 Views
Kuna tangazo humu niliona kuna kampuni wanauza site za migodi mbalimbali ya graphite na makaa ya mawe ila nimejaribu kusearch thread sijaipata. Well Nina offer hiyo kwa anayemiliki mgodi wa makaa...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
Ukurasa huu ni maalumu kwa ajili ya magari ya kukodisha ya aina mbalimbali kadri yanavyotufikia kwenye ofisi yetu ya ubungo Kwasasa huduma zetu za kiofisi zinapatikana Dar es salaam Dodoma Mwanza...
1 Reactions
18 Replies
816 Views
Kwa yeyote alie na kioo cha samsung not 20 ultra ninahitaji na bajet yangu ni 300,000 tsh.
1 Reactions
4 Replies
67 Views
Ni fundi ujenzi mahiri wa majengo ya kuishi, majengo ya biashara na majengo ya ibada. Kazi inafanywa kwa ubora wa viwango vya juu. Gharama zetu ni nafuu kulingana na uchumi wa mtanzania. Pia...
18 Reactions
928 Replies
104K Views
BRAND NEW 2023 HOWO 400HP DUMP TRUCK Bei: 156,000,000/= pamoja na usajili Gari 5 zipo njiani zinafika bandarini tarehe 20 mwezi wa sita. Weka order Mapema Piga/Whatsup: 0757930069
2 Reactions
16 Replies
385 Views
Kupitia uzi sasa unaweza kuagiza gari yoyote kutoka; Japan✔ UK✔ Singapore✔ Dubai✔ China✔ Thailand✔ Korea✔ n.k NB: Ukiagiza gari nasi tunakupa full package; yaani kuagiza, ku-clear bandarini na...
3 Reactions
37 Replies
684 Views
KARIBU SANA MPENDWA MTEJA WANGU Leo nimewaletea uzi huu kwaajili ya mashuka pekee, bei na size ni kama ifuatavyo;- [emoji837]Size 6"6 sh.22,000 (Shuka 2 na Pillowcases 2) [emoji837]Size 6"7...
15 Reactions
271 Replies
12K Views
Habari? Nafanya Ubunifu wa Logo katika ubora unaoridhisha.. na pia unapata na offer ya letterhed Design na Business card au Tangazo la kupost mtandaoni. BEI ZA LOGO 80K= Logo+B Card+Letter head...
2 Reactions
10 Replies
165 Views
Habari zenu Ndugu zangu, Nahitaj Gimbal ambayo Naweza kuitumia kwenye sim ,Km kuna mtu anajua duka zinako Uzwa Tafadhari Anisaidie,Hasa kwa MWANZA, SHINYANGA NA KAHAMA
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Nauza sungura hao nipo Mapinga jirani na Bunju. Simu: 0748288033
0 Reactions
3 Replies
124 Views
SIFA ZA KING'AMUZI CHA CANAL+ 1. Bei ya decorder pekee ni Tsh 130,000/=, bei ya decorder na dish(complete) ni Tsh 165,000/=. Vyote hivi vitakuwa na kifurushi cha Tsh 40,000/= kwa mwezi mmoja...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Nauza tractor John Deere Lina jembe full bei 41 million
3 Reactions
11 Replies
313 Views
Unahitaji huduma ya kuhamishwa kisasa, kufungiwa vitu kwa ustadi kama vyombo, nguo, na hata vifaa vya umeme kama dish au antenna la dstv au lolote ulionalo...karibu sana...tunapatikana kinyerezi...
7 Reactions
157 Replies
5K Views
Back
Top Bottom