zaidi ya

Zaidiyyah, Zaidism, or Zaidi Shiasm (Arabic: الزيدية‎ az-zaydiyya, adjective form Zaidi or Zaydi (occasionally known as Fiver Shias) is one of the Shia sects closest in terms of theology to the Ibadi and Mutazila schools. Zaidiyyah emerged in the eighth century from Shi'a Islam. Zaidis are named after Zayd ibn ʻAlī, the grandson of Husayn ibn ʻAlī and the son of the fourth Imam Ali ibn 'Husain. Followers of the Zaydi Islamic jurisprudence are called Zaydi Shia and make up about 50% of Muslims in Yemen, with the greatest majority of Shia Muslims in that country being of the Zaydi school of thought.

View More On Wikipedia.org
  1. X

    JamiiForums Tanzania Je, ulijua kuwa China inazalisha umeme mwingi zaidi ya Marekani, Ulaya na India kwa pamoja?

    China imeongeza sana uzalishaji wa umeme wake tangu mwaka 2014. Katika kipindi cha miaka 10, uzalishaji wa umeme umeongezeka kwa karibu 74%, jambo ambalo ni ongezeko kubwa sana. Mwaka 2014, China ilizalisha takriban 5,795 TWh ya umeme, na tayari ilikuwa mbele ya Marekani. Kufikia mwaka...
  2. Wong Fei

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kero soko kuu la vitunguu la kimataifa singida

    1. Mwenyekiti anaomba pesa washonaji ili awapangie Hela ya kushona magunia ya vitunguu. Kila jumamosi washonaji Kila Mmoja anatoa 5,000 (wapo zaidi ya 100) kwa mwenyekiti wa soko la vitunguu. Zaidi ya laki 5 anachukua mwenyekiti na kundi lake 2. Washushaji wa vitunguu kwenye magari nao...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuna mtumishi aliyekubalika na watawala CCM na kudumu muda mrefu zaidi katika nafasi yake zaidi ya Jaji Mutungi?

    Amehudumu katika nafasi moja tangu mwaka 2013(miaka 13!). Amefanya kazi chini ya marais watatu bila kuondolewa kwenye kiti chake au hata kunyooshewa kidole na mtawala yeyote wakati wowote. Wote wameipenda na kuridhishwa na kazi yake Jaji Francis Mutungi, msajili wa vyama vya siasa!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Bafu la kuchangia wapangaji wote, ila mtu unaoga zaidi ya nusu saa, unatuchelewesha wenzako kwenda mihangaikoni

    Wa kishua mtuache kwanza, Wa Uswazi tuna jambo letu. Ndugu wangai, Nina jambo linanikaba koo mwenzenu, Hivi umewahi kukutana na kero kwenye hizi nyumba zetu za kupanga ambapo unakuta mpo wapangaji zaidi ya familia moja na mnachangia choo na bafu? Basi mwenzenu kuna linalonikaba koo, yaani...
  5. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Nimeamini hakuna anaekujua zaidi ya wewe

    Kadri umri unavyozidi kusogea, nimekuja kutambua ukweli mzito kuwa no one knows who you are. Unazaliwa, unapewa jina, unaanza kufunzwa emotionally, matukio yatokeayo na namna ya kurespond. Unapata ufahamu unaenda shule, unamaliza unapata kazi, uaoa au kuolewa, unazaa then na wewe unaanza...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Amani ya Tanzania: Zaidi ya Watu

    Tunaposema Tanzania Hatumaanishi Watu Tu Bali Tunaenda Mbali Na Kuangalia vilivyomo pia. Kulinda Tanzania Sio Tu Namna Tujuavyo Tutambue pia mchango Wa Wengine Ambao wao Hawajiwezi Katika Misukosuko,karaha,kimbiakimbia na Mateso Mengine. Kwa Nini Tanzania Tunaitwa Nchi Ya Amani? 1. Tunao...
  7. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi zaidi ya 41 wakamatwa huko Bahrain kwa tuhuma za kuisaidia iran

    Bahrain iliwakamata watu 41 waliohusishwa na Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran, baada ya uchunguzi wa usalama kubaini shirika lililohusiana na IRGC na itikadi ya Wilayat al-Faqih. Kesi hizo zilihusisha mawasiliano na vyombo vya kigeni, shughuli zinazohusiana na ujasusi na...
  8. X

    JamiiForums Tanzania Marekani ina mradi wa reli uliokwama zaidi ya miaka 10 + Daraja lililoanguka | China inajenga mtandao mpya wa miundombinu kila kukicha

    Tangu 2008 serikali ya Marekani kupitia jimbo la California, iliidhinisha ujenzi wa California High Speed Rail (San Francisco–Los Angeles) mpaka leo miaka 18 mradi haujakamilika. Zimejengwa km 192 tu kwa zaidi ya USD 100 billion. USD 100 billion China wanaweza kujenga km 1600-4000 ikitegema...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Chadema huwezi kuiweka pembeni ni watu zaidi ya 9 M

    Arusha, asanteni sana. Baada ya muda mrefu bila kukutana, leo mmekuwa mashuhuda wa upendo wa demokrasia na haki katika nchi yetu. Pamoja na hofu iliyojengwa juu ya maumivu makali, mateso na mauaji, bado mmejitokeza kwa matumaini makubwa.
  10. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa anadai watu 80 wamekamatwa na wapo vituo vya polisi. Kama wana hatia kwa nini zaidi ya masaa 24 hawajapelekwa mahakamani?

    Msigwa amejitapa kuwa dunia ya sasa ipo juu kiteknolojia. Ndio maana waliomkamata wametiwa mbaroni na polisi. Haya sasa hivi ni zaidi ya masaa 24 kwq nini hawajap3lekwa mahakamani kwa mujipu wa sheria? Kama hawana hatia waaachiwe.
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Makamanda zaidi ya 14 waangamizwa huko Zanjan-Iran!!

    Wanachama 14 wa IRGC waliuawa na wengine 2 walijeruhiwa katika mlipuko wakati wa kubomolewa kwa mabaki ya mashambulio ya Marekani na Israeli katika Mkoa wa Zanjan. Mmoja wa waliouawa ni kamanda mkuu wa IRGC Ali Mousavi-Havaei. Watetezi wa magaidi njooni mkanushe hii habari tuone kama mna ubavu...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Prof. Nagu: Serikali imewekeza zaidi ya Shilingi Trilioni 1.34 kuboresha Huduma za Afya Msingi

    Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia afya Prof. Tumaini Nagu amesema kuwa, Serikali imewekeza zaidi ya Shilingi Trilioni 1.34 kuleta mageuzi katika utoaji wa huduma za afya msingi ndani ya kipindi cha miaka minne iliyopita ya uongozi wa...
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Tetesi: AZAKI ndiye mpangaji na mfadhili mkuu wa matukio ya kigaidi na vurugu za Okt. 29.2025

    Asasi za Kiraia hususani zile zilizotajwa na tume ya jaji chande ndie mpangaji, mratibu na mfadhili mkuu wa magaidi na wa matukio yote ya vurugu za Okt 29.2030. Ndizo zilizotoa mafunzo ya nadharia na vitendo kwa magaidi waliosababisha uharibifu na maafa mabaya sana yaliyotokea nchini kuanzia...
  14. B

    JamiiForums Tanzania KERO Kutokulipwa pesa za kujikimu zaidi ya miezi 10 sasa Halmashauri ya manispaa ya Geita

    Ni zaidi ya miezi 10 sasa tangu tuajiriwe katik halmashauri ya manispaa ya geita. Kila tukiuliza wanasema hela hazijatolewa kutoka serikali kuu. Muda mwengine tukiuliza wanatujibu kikejeli sana kwamba "kwani mshahara si mnapata?, kama mnashida na hela mkakope si vigezo mnavyo" Hii ni kuonesha...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Said Mwema: Tulibaini zilipangwa mbinu zaidi ya 16 ili jambo hili (maandamano) liweze kufanikiwa

    IGP mstaafu Said Mwema ameyasema hayo wakati tume ikitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali katika ripoti hiyo iliyowasilishwa Aprili 23, 2026
  16. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Hata Marekani watu wanapotea

    Jaji chande ameyasema hayo leo, Aprili 28, 2025, wakati akizungumza kwenye mkutano wa tume ya uchunguzi na waandishi wa habari kuhusu matukio ya Vurugu za Oktoba 29, 2025 kabla na baada ya uchaguzi Mkuu.
  17. O

    JamiiForums Tanzania Kutokana na vifo zaidi ya 500, baadhi ya viongozi wa juu wa serikali na vyombo vya ulinzi walipaswa kujiuzulu.

    Haijalishi nani mhusika au nani mwenye makosa; kitendo cha viongozi wa juu wa serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kushindwa kujiuzulu kufuatia vifo vya Watanzania zaidi ya 500 kinaweka mfano hatari sana kwa siku zijazo linapokuja suala la uwajibikaji katika kulinda uhai wa raia.
  18. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Sheria ya kunyongwa mpaka kifo na kifungo zaidi ya miaka 20 visiwepo

    Habari Tanzania !. Nawaomba watanzania wenzangu tuamue kwa pamoja kuwa katika Sheria zetu hasa upande wa Jinai; tuondoe vifungo vya zaidi ya miaka 20 pamoja na kufuta kifungo cha maisha jela au kunyongwa mpaka kufa. Uhalisia ni kuwa; hakuna aliyemkamilifu isipokuwa ni Mungu pekee. Ikumbukwe...
  19. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel yaangamiza Zaidi ya wanamgambo 250 huko Lebanon

    Kufuatia ufuatiliaji endelevu wa kijasusi wa IDF tangu shambulio kubwa zaidi nchini Lebanon wakati wa Operesheni ya Kunguruma Simba - Operesheni ya Eternak Darkness, mnamo Aprili 8, 2026, IDF sasa inathibitisha kwamba zaidi ya magaidi 250 wa Hezbollah waliangamizwa wakati wa shambulio hilo kote...
  20. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni zaidi ya hofu ya kupoteza pesa au mali

    Ndoa si Biashara: Kujibu Hoja za Wanaokimbia Ndoa kwa Hofu ya Kiuchumi Katika miaka ya hivi karibuni, kumezuka Wimbi jipya la wanaume wanaopania kukaa mbali na ndoa. Hoja yao kuu? "Wanawake wanatumia ndoa kama mradi wa kujitajirisha." Ingawa ni kweli kuwa kuna visa vya watu kutumia vibaya mfumo...
Back
Top Bottom