Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters.
The club formed in 1902.
Stadium: Santiago Bernabéu...
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
🌍 Waandaaji
Mashindano...
Full name: Liverpool Football Club
Nickname(s): The Reds
Founded: 3 June 1892
League: Premier League
Website: LiverpoolFC.com
Ground: Anfield, (Capacity: 61,276) - Pitch 105m x 68m...
Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com...
Full name: Arsenal Football Club
Nickname(s): The Gunners
Founded: 1 December 1886
League: Premier League
Website: arsenal.com
Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
Full name: Chelsea Football Club
Nickname(s): The Blues, The Pensioners
Founded: 10 March 1905
League: Premier League
Website: ChelseaFC.com
Ground: Stamford Bridge, (Capacity...
Full name: Manchester City Football Club
Nickname(s): The Citizens, The Blues, The Sky Blues
Founded: In 1880 as St. Mark's (West Gorton), became Ardwick Association Football Club in 1887 and...
Jina: Paris Saint-Germain Football Club.
P-A-R-I-S.: Five letters that resonate around the world. Historically incomparable, culturally unique, the City of Light shines in the sporting world...
yanga ilianzishwa mnamo mwaka 1935 na inasemekana ndo klabu kongwe na yenye mafanikio zaidi hapa nchini. klabu hii ilianzishwa na wazalendo halisi wa nchi hii waliokuwa wakiji shughulisha na...
Simba SC is a Tanzanian football club based in Dar es Salaam. Their home games are played at two stadiums Uhuru Stadium and National Stadium. Simba SC is one of two biggest football clubs in...
The Tanzania national football team represents Tanzania in association football and is controlled by the Tanzania Football Federation, the governing body for football in Tanzania. Tanzania's home...
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo:
▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
Hiki ndicho kikosi ambacho watu wengi wanasema kuwa ndio kikosi bora kabisa cha Brazil cha muda wote.
kikosi hiki ndicho kilichobeba kombe la dunia mwaka 2002 huko korea dhidi ya timu ngumu ya...
Gepu limepungua sana baina ya mataifa yalitokuwa yanatawala soka na mataifa mengine chipukizi katika kusakata kandanda.
Tutarajie matokeo yasiyotarajiwa maana kuna vigogo wataadhirika kwa...
BREAKING NEWS…!!
SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO
Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji...
Je kwenye soka umri ni namba tu kama ilivyo kwenye mahusiano? Je Ronaldo(41) na Messi(39) bado wana cha kuonesha na kuwakosha mashabiki kiukweli kabisa au watabebwa na majina tu bila kuonesha soka...
👉 Tarehe 30 Mei 2026 itabaki kuwa siku ya kukumbukwa kwa mashabiki wa Paris Saint-Germain baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Champions League kwa mara nyingine mbele ya Arsenal katika fainali...
Kombe la Dunia (FIFA World Cup) limechukuliwa na mataifa 8 tu tangu mashindano hayo yaanze mwaka 1930.
Brazil ndiyo nchi yenye mataji mengi zaidi ya Kombe la Dunia ikiwa na mataji 5. Bingwa wa...
Na Deus M Kibamba
Baada ya kutembelea Morocco na kushuhudia hamasa ya Wananchi wa taifa hilo kwenye soka na miundombinu mizuri na ya kisasa waliyonayo, nimeanza kushawishika kuwa inawezekana...
Miongoni mwa mabadiliko makubwa yatakayotumika katika Kombe la Dunia la 2026 ni:
1. sheria ya kuhesabu sekunde tano kwa mipira ya kurushwa. Ikiwa mchezaji atachelewesha kwa makusudi kuurudisha...
Huu ndiyo wakati muafaka wa Ureno kubeba kombe la dunia. Ina vipaji lukuki na bado wanaye veteran CR7 wa kuwahamasisha ndani ya uwanja! Bila shaka haya yatakuwa mashindano ya mwisho CR7 kushiriki...
1. Vilabu vya Yanga na Azam vinawania saini ya Ramadhani Chobwedo kutoka TRA United
2. Buba Jmameh ataachwa na Yanga mwishoni mwa msimu huu
3. Kelvin Nashon anatakiwa na Simba SC
4. Mohamed...
Magoli 13 katika Kombe la Dunia moja
Just Fontaine alifunga magoli 13 katika mashindano ya mwaka 1958 pekee. Kwa sasa hata washindi wengi wa Kiatu cha Dhahabu hufunga magoli 5–8 tu katika...
Nike hivi karibuni wametoa tangazo kubwa la kimataifa la mpira wa miguu linaloitwa "Rip the Script" likiwakutanisha mastaa wakubwa duniani kama Cristiano Ronaldo, Kylian Mbappe, Erling Haaland...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, akizungumza Bungeni leo Mei 29, 2026, Dodoma, kufuatia Mechi ya jana Mei 28, 2026 ambapo timu ya Serengeti Boys ilifanikiwa kutinga...
Kama Mada Inavyosema.
Mimi nimekulia Morogoro na nimecheza sana ndondo miaka ya late 1990's na 2000's nikitokea timu ya Ghetto Boys ya Mvomero.
Katika makuzi yetu tulikuwa tunacheza sana ndondo...
Baada ya mjadala kuwa mkali mtandaoni kuhusu ahadi ya serikali kwa timu hizo kugeuka hewa, Msigwa amekuja kutoa ufafanuzi, kuwa wanazifanyia kazi na mchakato unaendelea, huku kwa Tanzanite Queens...
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, anapaswa kusimama imara na kulinda misingi ya soka la kitaalamu kwa kukataa katakata kuingiza ushawishi wa kisiasa kwenye kanuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.