Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Sticky
Hatimaye hii hapa wadau! Jisomeeni.
48 Reactions
301 Replies
187K Views
  • Sticky
Ukisikia neno Serikali unaweza kudhani wanajua kila kitu wanachokifanya kumbe...
10 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Sticky
Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania. Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia...
80 Reactions
7K Replies
619K Views
  • Sticky
  • Poll Poll
WanaJF Kwa mda mrefu sasa kuelekea utungaji wa katiba mpya kumekuwa na mjadala mkali kuhusu muungano wetu uwe wa muundo upi sasa ningependekeza tuwe na kura ya maoni hapa JF kuhusu muundo wa...
28 Reactions
1K Replies
183K Views
  • Sticky
Wanabodi ninakerwa na jambo hili naomba tujadili. Hivi serikali ni nani? Nilidhani ni wananchi ambao wanawakilishwa na Bunge? Kutokana na majadiliano yanayoendelea bungeni kuhusu mikataba ambayo...
20 Reactions
904 Replies
240K Views
  • Sticky
Ndugu wana JamiiForums, Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo...
59 Reactions
1K Replies
538K Views
  • Closed
  • Sticky
Hapana shaka kuwa kutakuwa na maoni na mawazo anuai juu ya masuala mbalimbali yanayojadiliwa katika Jukwaa hili. Washiriki hawatarajiwi kukubaliana na kila jambo linalojadiliwa! Kwa msingi huo...
302 Reactions
0 Replies
1M Views
Ndugu wana jukwaa, Leo naomba nilete hii hoja kwenu. Sisi waganga wa Tiba asili au waganga wa Kinyeji Mkoa wa Simiyu, tumechoka na michango ya lazima Kwa ajili ya Mwenge. Kila Mwaka tumekuwa...
1 Reactions
4 Replies
7 Views
Kuna habari nimeona ya watu wa sinza wanalalamika hawapewi ushirikiano juu ya mradi wa maendeleo wa sinza uliopendekezwa wa kuboresha eneo la sinza binafsi umenifikirisha sana Plus mwezi wa nne...
2 Reactions
33 Replies
72 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, yuko Kyela kwa akili ya Kampeni ya Katiba Mpya na Free Lissu. Kwa kadri ya...
6 Reactions
13 Replies
59 Views
TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pemba kinaujanisha umma na wanachama wake kuwa Kamati Tendaji ya Kanda ya Pemba iliketi katika kikao chake cha dharura tarehe...
17 Reactions
55 Replies
736 Views
Nimesikiliza hii video hadi nikatamani kulia, humu ndani ameeleza pia project Yao ya kutaka kumiliki dhahabu za maeneo yetu kama ufaransa anavyo fanya kwa yaliyo kuwa makoloni yake.
5 Reactions
11 Replies
56 Views
In fact, Maumivu makali wanayopitia kwa sasa, hayafichiki kabisa. Halafu wamekua wakali balaa. Shida zao wenyewe wanasingizia wengine. Hakika wanatia huruma mno. Ni rahisi mno kuwatambua na...
1 Reactions
36 Replies
153 Views
Wanabodi, Kama kawaida ya wewe mwana JF, pata ile the JF advantage, ya be the first to know!, Kuna breaking news ya good news Chadema, yule mwanamke wao wa shoka, shupavu, shujaa na chuma cha pua...
8 Reactions
69 Replies
535 Views
Wanabodi. Utambulisho. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za...
10 Reactions
117 Replies
10K Views
Naona wanaChadema wameanza kukubaliana na mimi juu namna hayati Magufuli alivyokuwa shujaa na mpambanaji kuzuia uzembe na ufisadi. Kwanza asingeweza kwenda Urusi na na mtoto wake au delegation...
7 Reactions
61 Replies
372 Views
Uzi wa matukio mbalimbali ya CHADEMA . Madhila wanayopitia.. Vita wanazopigana.. Mafanikio wanayopa .. Na namna wanavyomgaragaza adui kwenye kila kona.. Kila saa na kila wakati Karibuni wote...
20 Reactions
254 Replies
3K Views
MwanaJF maarufu ambaye pia ni mwanahabari na mwanasheria nguli, ndugu Pascal Mayalla ameonekana akilalamika hadharani kwamba kuna siku alimuuliza marehemu Magufuli swali gumu, akaishia kufungiwa...
12 Reactions
47 Replies
577 Views
04 June 2026 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam Tanzania MAKONTENA MAWILI WA MADAWA YA KULEVYA Mahakama yaelezwa kontena dawa za kulevya lilivyoingizwa Tanzania 57 minutes ago —...
15 Reactions
195 Replies
4K Views
Mimi ukinikuta mtaani ni kada wa chama kweli kweli huwa najitahidi kukusanya maoni ya wananchi wengi vijiweni kwa mabodaboda kwa mama ntilie machinga wafanya biashara maana Wakandarasi wanangu...
10 Reactions
78 Replies
503 Views
Hii ni kwa Sababu Ile kesi Yake ya UONGO imesababisha hasara ya mabilioni ya hela kwa Chadema baada ya Mali nyingi kuharibika kutokana na katazo la kuzitumia baada ya. hukumu ya kipuuzi ya Jaji...
5 Reactions
4 Replies
68 Views
Mawaziri na viongozi waandamizi wapo Morocco kuwapa hamasa U17
1 Reactions
6 Replies
123 Views
Ndugu zangu Watanzania, Najua Kila Mtanzania anafahamu ,kuelewa na kutambua Ya kuwa Ndugu Abdul Ni Mtoto Wa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...
9 Reactions
132 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mwenye Wivu ajinyonge Tu Maana habari ndio Hiyo Inayoendelea kutikisa Dunia Nzima . Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo...
1 Reactions
13 Replies
78 Views
Hili ni swali kwa wahenga wa jukwaa hili la Siasa. Naomba pia ufafanuzi wake. Ni Sura au Ibara gani ya Katiba ya JMT inayosema hivi: - Serikali ina Mihimili mitatu. 1. Bunge -Parliament 2...
6 Reactions
65 Replies
769 Views
The KM ndie alimtoa yule Blaza na kumuweka maza, na kwa vile Balozi ni mtu wake, Maza kaonyesha anamtaka Maskafu, hivyo wakamshauri akae mbali na The KM, maza akamuweka KM pembeni kiaina, ili...
25 Reactions
64 Replies
1K Views
Back
Top Bottom