nani

Luís Carlos Almeida da Cunha ComM (born 17 November 1986), commonly known as Nani (Portuguese pronunciation: [naˈni]), is a Portuguese professional footballer who plays as a winger and captain for Major League Soccer side Orlando City SC. He represented Portugal in international football, and has played over 100 times for the senior national team.
Nani was born in Amadora, Portugal, and is of Cape Verdean descent. He began his football career playing for local side Real Massamá. At the age of nine, he began training with Sporting CP and S.L. Benfica on alternate days, eventually joining Sporting's youth squad after they offered him pre-season training.Nani made his professional debut with the club in 2005 and won the Taça de Portugal during his second season with them. Nani was named the SJPF Young Player of the Month for May 2007 and his performances with Sporting culminated into a move to English club Manchester United in July 2007 for a fee of €25 million.Nani won the Community Shield on his competitive debut at Manchester United and added a number of trophies, including the Premier League and Champions League during his debut season at the club. He established himself as first-choice winger at United and won a further three Premier League titles, the Football League Cup, one FIFA Club World Cup, and three Community Shield titles. Individually, Nani was included in the Professional Footballers' Association (PFA) Premier League Team of the Year on one occasion and was a nominee for the PFA Young Player of the Year in 2011. Following a loan back to Sporting, in which he won the Taça de Portugal, he was signed for £4.25 million by Fenerbahçe in July 2015, and a year later he signed for Valencia. He rejoined Sporting CP in July 2018.
Nani is also a Portugal international. After first playing at under-21 level, he made his debut for the senior Portugal team in September 2006 in a friendly match against Denmark and scored his first goal during the 4–2 defeat in Copenhagen. Nani has represented his country at four major tournaments, including three European Championships: he took part at the 2008, 2012 and 2016 European Championships, reaching the semi-finals of Euro 2012, and winning Euro 2016; he also participated at the 2014 FIFA World Cup with Portugal. Since his debut, he has made over 100 international appearances and scored 24 goals.

View More On Wikipedia.org
  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hivi Mwanasiasa akiwekwa kifungo cha nyumbani wananchi huwa hawapewi taarifa? Nani huwa anatoa hii adhabu na kwa kosa gani?

    Ninashangaa juu ya hizi habari kuwa Nchimbi wa CCM yupo kifungo cha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Abdul Jumbe. Hii adhabu hutolewa na nani? Na kwa nini wananchi hawana taatifa kam
  2. Gunner11

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni Kurudisha Nywele Zilizopotea!

    Nimekuwa nikipata hair loss kipindi cha miaka ya hivi karibuni! Nashangaa hili kwa sababu katk ukoo wetu hakuna mwenye uwalaza. Hii husababishwa na nini, na ni supplements gani nitumie kurudisha nywele? Je, kuna natural remedies (tiba au vyakula vya asili yenye kusaidia kurudisha nywele...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kesi Imeshakuwa Ngumu: Jezi ya Taifa Msuluhishi Nani???

    Hii meza ambayo Boss kubwa wa Serikali Sekta ya Michezo aliyoitikisa Ina vinywaji vya gharama sana. Unaweza ikamgharimu, yasije yakamkuta kama yaliyomkuta Nape na Kamati yake ya Uchunguzi kuhusu Mawingu FM Kilichomkuta Nape aliishia kutumbuliwa na report ya kamati haikusomwa. Wanasema Dunia...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Wizi wa dini, kwanini mapadre na wachungaji huwa hawatoi sadaka na nani huzila?

    Kichwa cha habari kiko wazi. Kwanini Mungu ambaye haonekani wala hana uhitaji asanye sadaka? Tuzinduke. Nawasilisha. Kama wahusika hawaibi wala kula sadaka, huu utajiri wanaupata wapi na lini? Kwanini wanapenda sana kuweka matajiri hata wanaopingana na itikadi zao mbele? Kwanini wengi wamo...
  5. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya mfanyabiashara na afisa biashara nani ni boss

    Nauliza ili nitoe ujinga, kati ya mfanyabiashara na afisa biashara nani ni boss kwa mwingine?
  6. H

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Rais: Epuka Doa Jipya

    Nani wa kumshauri Rais la kutojiongezea doa jingine. Kwa yale yaliyotokea 29 octoba inatosha kuwa fundisho kwake. Kumfunga Lisu kwa uhaini litakuwa ni doa jingine ambalo litamtesa na kumtengenezea kumbukumbu mbaya kwa kizazi kijacho. Atafananishwa na Ma Rais wengine hata pata wa kufanana nae...
  7. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa Simba aliye mleta Doumbia sijui alikuwa anamkomoa nani?

    Huu si uhujumu uchumi au uhujumu timu jamani. Angalieni wenyewe. https://youtube.com/shorts/GbyyrFPBhrs?si=kPuSA8DDXrH5NXIw
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani Anagrab Nani? Gachagua Amtuhumu Rais William Ruto kwa Muthaiga Golf Club huku KFS Ikisema Club Imeingia Karura Forest

    Former Deputy President Rigathi Gachagua amemshutumu Rais William Ruto kwa kile anachodai ni kutumia Kenya Forest Service (KFS) kuchukua sehemu ya Muthaiga Golf Club. Gachagua alisema members wa club walimtafuta baada ya KFS officers kuingia kwenye Holes 2 hadi 9, na akaeleza hatua hiyo kama...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Swali kwa IGP, nani aliyeruhusu askari polisi kuingia mitaani na silaha za kivita

    Swali la pili. Nani alikupa ruhusa ya kutangaza hali ya hatari. Tanzania, mtu mwenye mamlaka ya kutangaza hali ya hatari ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mamlaka haya yamefafanuliwa kisheria chini ya Ibara ya 32 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Mambo ni...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Nani kununua kesi ya Uhaini ya TAL

    Nawaza tu ni kama kesi inalipa ile inaweza pata mnunuzi..
  11. Gilbert A Massawe

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Lema Na Waandishi wa Habari umezuiwa , Nani Kauzuia?

    Mjumbe wa Kamati Kuu Cdm Godbless Lema alitangaza leo atafanya Mkutano na Waandishi wa Habari Hotel X na Kuwaalika Waandishi lakini Leo Alfajiri Hoteli Maarufu anaoishi Godii yalionekana magari 4 yenye ulinzi mkali yenye Namba za usajili T.... ADD , Lingine ni Customerzed LC 200 ( Amo.. Vehcle...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nani mkandarasi wa makundi ndani ya JF?

    Je yuko peke yake!? Ama ni kikundi cha watu? Wanajuana? Wanafahamiana!? Hivi wakojee? Je wanafaidikaje na makundi?
  13. technically

    JamiiForums Tanzania Marry Nchimbi ni nani?

    Kuna kada wa CCM anaitwa Marry Nchimbi kafariki kibaha Je Marry Nchimbi ni nani? Mwenye CV yake
  14. TheMaster

    JamiiForums Tanzania JE HUYU SALMAN NILESH NI NANI

    Naomba kujua huyu Salman Nileshi anaehusishwa kwenye sakata la John Heche n nani hasa na kwann anamsaidia Heche
  15. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Soma kisa hiki kisha sema nani mwenye kosa na kwanini?

    Mimi na rafiki yangu mmoja tulienda sokoni wote na kila mmoja alikuwa na shughuli yake japo wote tuliambatana katika safari Tulipofika sokoni tuliamua kila mmoja wetu amsindikize mwenzake sehemu anapoenda Wakati tukiendelea na mizunguko yetu tulikutana na rafiki yetu mwingine anayeuza viatu...
  16. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Bifu la kisiasa baina ya team Lema dhidi ya team Heche, nani hasa ni changamoto baina ya mafahali hawa wawili ndani ya CHADEMA?

    Kwa maoni na mtazamo wako, unadhani vita hivi baridi vya maneno kisiasa, baina ya mafahali hawa wawili wa kitaifa ndani ya chadema, Je, inakwenda kukigawanya na kukisambaratisha chama au inakwenda kukimarisha chama na kua imara na bora zaidi? Kivipi kwa mfano? Nani anaweza kua changamoto zaidi...
  17. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Identity ya mtu — wewe ni nani hasa?

    IDENTITY YA MTU — WEWE NI NANI HASA? Swali linaonekana rahisi: “Wewe ni nani?” Jina lako? Mwili wako? Kumbukumbu zako? Personality yako? Au kuna kitu kingine kinachokufanya uwe wewe? Twende deep. Fikiria umeingia hospitali na kuna mtu anayefanana nawe kabisa. Ana DNA yako, uso wako...
  18. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania KERO Nimelipia Airtel 5G, Lakini Internet Haipo — Nani Atanilipa Hasara?

    Jamani, nimelipia router ya Airtel 5G, lakini mpaka sasa sipati internet kabisa. Nimewasiliana na 100, nikaambiwa kuna tatizo la mtandao lililowakumba watumiaji wote na kwamba internet itarudi, na kwamba siyo tatizo la kifaa wala ufundi. Sawa, nikasema ngoja nisubiri. Lakini cha ajabu, mpaka...
  19. I

    JamiiForums Tanzania Hao 'wengine watatu' ni kina nani? Au ataenda kuwatajwa akiingiziwa spoko sehemu za siri?

    https://www.instagram.com/p/DdOPhefAU0w/?stkn=MWgyZ3U3bWs2dTRtaw==
  20. min -me

    JamiiForums Tanzania Nani alitudanganya sisi wamatumbi kuwa AZUMA , ni dawa ya U.T.I?

    Kumekua na wimbi la wadanganyika wakiamini kuwa AZUMA ( Azithromycin ) ni dawa za kutibu UTI . Hii kitu imesambaa sana kiasi cha wimbi kubwa la watu wakizibugia kama pipi , huku wakiamini watapona UTI. Sijui maamlaka zipo wapi , au labda na mimi ni mlevi na mjinga tu , sijui kama...
Back
Top Bottom