duniani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kesho 05/06/2026 ni siku ya mazingira duniani tuelekeze masikio yetu Dodoma kupitia ofisi ya Makamu wa Raisi akiwa Mgeni rasmi.

    Guys
  2. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini ili niwe tajiri number 1 duniani?

    Anayejua pakuanzia wadau natamani sana siku namimi niandikwe forbers kama tajiri number moja duniani naomba ushauri nadhani mimi ni mtanzania wapili baada ya ule kijana mwingine wa madale tunaomba ushauri kufanikisha ndoto zetu japo sijui pakuanzia
  3. R

    JamiiForums Tanzania JF ina raha yake! Unapata habari yoyote unayoihitaki duniani hasa baada ya kifunguliwa/ kuifungua, maana vpn kilikuwa ni kipengere

    ASANTE Maxence Melo and Team! Raha tupu!
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania World Meteorological Organization zinaonyesha kuwa hali ya El Niño inaendelea kujitokeza na inatarajiwa kuathiri mifumo ya joto na mvua duniani

    Jiandaeni kwa El Niño. Taarifa za hivi karibuni kutoka World Meteorological Organization zinaonyesha kuwa hali ya El Niño inaendelea kujitokeza na inatarajiwa kuathiri mifumo ya joto na mvua duniani, jambo ambalo linaongeza hatari ya matukio makubwa ya hali ya hewa katika miezi ijayo. Ingawa...
  5. gonya

    JamiiForums Tanzania DATA SCIENCE: NGUZO MPYA YA MAENDELEO YA KIUCHUMI TANZANIA NA DUNIANI

    Katika karne ya 21, dunia imeingia katika enzi mpya ya kidijitali ambapo kila kitu kinategemea taarifa (data). Kila unapotumia simu yako, kufanya malipo ya kidijitali, kuvinjari mitandao ya kijamii, au hata kutazama video mtandaoni, unazalisha data. Data hii, ikiwa itachambuliwa vizuri, inaweza...
  6. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Bruh jiheshimu kamwe usi Double text Huyo sio mwanamke peke yake Duniani

    Gentleman ijue thamani yako usitumie nguvu nyingi kwa mwanamke ambaye ha match energy yako . Statistics inaonesha wanawake ni wengi zaidi , look for the other , usizingue tutakuvua ubingwa
  7. D

    JamiiForums Tanzania Je, nini kifanyike ili kama Taifa tutoke kwenye mkwamo wa kidiplomasia duniani?

    Kama taifa tunapitia matukio magumu. Hayajawahi tokea huko nyuma. Kabla ya Okt29 hakuna aliyeamini kama yangeweza tokea machafuko ya vile, mimi ni mmoja wapo. Kuna wadau nakumbuka niliwakatalia kabisa kwamba baada ya uchaguzi hata kama kutatokea uonevu basi wananchi tutanywea. Kilichotokea baada...
  8. SAMBOZAM

    JamiiForums Tanzania Mbinu 75 za kuwa homeless duniani

    Achana na mkeo 2. Nenda ulaya urudi 3. Soma sana 4. Usisome kabisa 5. Jua kuandika 6. Uwe mwongeaji 7. Ujue hotuba za nyerere 8. Hamia mkoa nilioko kwa sasa 9. Usijue soko liko umbali gani 10. Safiri mikoa mingi 11. Ishi hotelini muda mrefu 12. Ishi lodge muda mrefu 13. Pata fedha usisafiri...
  9. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Jambau wa Singida apewe tuzo ya heshima na NCHI kwa kuvumbua vipaji vya watoto na kuhakikisha wanakuwa wanariadha wakubwa duniani

    Kuna watu wachache sana duniani ambao pesa sio kipaumbele chao cha kwanza maishani. Yaani wanaweza fanya kitu bila kuzingatia maslahi yoyote ya kifedha. Mwalimu Jambau wa shule ya msingi Lighwa huko Singida ni miongoni mwao. Hauwezi kuzungumzia mafanikio ya wanariadha wakubwa toka mkoani Singida...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Ford Foundation Misaada au Mtego wa Kimataifa? Historia ya FF je ina mchango wowote klatika uchochezi wa machafuko popote Duniani haswa Afrika

    Uchunguzi wa Kina · JICHO La Afrika 2026 | Makala ya Uchunguzi Uchunguzi Maalum NA ITS MALEKOGJ. malekoj27@gmail.com 0798888486 Ford Foundation: Siri Zilizofichwa kwa Miaka 70 — Jinsi Philanthropy Inavyoweza Kuwa Silaha ya Kisiasa Kipindi TUTAKACHOANGALIA 1936 – 2025 Nchi Zilizohusika...
  11. X

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Baada ya BBC kutembelea viwanda vya magari ya umeme Beijing na Hefei kisha ikatembelea Beijing Auto Show 2026, maonyesho makubwa zaidi ya magari duniani: "China imepiga hatua kubwa ya kiteknolojia, ubunifu, ufanisi na kasi ya maendeleo inayovutia na kutisha kwa wakati mmoja. Kiasi kwamba hata...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania Nchi 10 Bora kwa Ukuaji Uchumi Duniani

    Tanzania imeendelea kujiweka katika ramani ya dunia baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa nchi 10 zilizokuwa na ukuaji mkubwa zaidi wa uchumi duniani katika kipindi cha robo karne iliyopita. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Tanzania imeorodheshwa pamoja na mataifa kama China, India, Vietnam, Ethiopia...
  13. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel haijawahi kuvamia/Kuchokoza nchi yoyote duniani!!!

    Kumekuwa na dhana potofu zinazoenezwa na Wafuga Midevu na Majini wakiongozwa na Mzee wa UHARO Ritz na mjinga mwenzako zitto junior wakidai kuwa Israel ni wachokozi na wanavamia nchi zingine. Nami nimeamua leo kuwapa ukweli kuwa Israel haijawahi kuichokoza/kuishambulia nchi yoyote duniani...
  14. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Ukifa, hutatamani tena kuishi duniani!

    Ukifa hutatamani tena kuishi duniani. Hutatamani kuishi tena duniani kwa sababu utakuwa hujui chochote kinachoebdelea. Hali inakuwa sawa na vile ilivyokuwa kabla ya kuzaliwa. Ni hayo tu!
  15. L

    JamiiForums Tanzania Soko la Maua la Dounan ni pepo ya duniani inayovutia wageni kutoka nchi mbalimbali

    Soko la Maua la Dounan, lililoko Wilaya ya Chenggong, mji wa Kunming, Mkoa wa Yunnan, ni soko kubwa zaidi la biashara ya maua barani Asia. Soko hili lenye shughuli nyingi huvutia wageni kutoka nchi mbalimbali kutokana na aina zake nyingi na za kustaajabisha za maua. Wakati huohuo soko hili...
  16. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Sasa ni zamu ya cuba! Step by step wafadhili ugaidi wote duniani wanaondolewa

    Meli za kivita zimewasili hapo carribean, zikijiandaa kumuondoa castro na utawala wake wa unyama. Iran bado anapikwa, magaidi naijeria wanaoua wakristo wanaungua, etc. Ahsante Trump
  17. R

    JamiiForums Tanzania Sharpeville Masacre, March 21st 1962 kwanini inakumbukwa Duniani mpaka leo. October 29, 2025 itakumbukwa kwa mtindo huo milele na milele

    Inasikitisha.....Naona CCM inakwenda kwenye mkondo wa Sharpeville Masacre and here we are! Tume ya jana itakuja na mapendekezo ya kuifuta Sikiliza clip
  18. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wakimbizi wengi wa Kiislamu hawakimbilii kwenye nchi nyingine za Kiislamu?

    85% ya wakimbizi duniani ni waislamu ila hawakaribishwi na hawakimbilii ktk nchi 50 za kiislamu bali huenda katika mataifa wanayayo yaita ya makafir Dini ni illusion. Tuliundwa ili kutegemeana, ila hio dini inayokupasa kukufikisha kwa Mungu ndio hio tena inakutenganisha na wengine hapa duniani...
  19. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: David Kafulila aifikisha Tanzania nafasi ya 9 Duniani kwa PPP.

    Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
  20. X

    JamiiForums Tanzania Je, ulijua kati ya Benki 5 kubwa duniani 4 ni za China? Benki za Marekani zikifuata nyuma ya China

    The top 5 largest banks world largest banks by assets: 1. Industrial and Commercial Bank of China (ICBC) | China Assets: $7.30 trillion 2. Agricultural Bank of China | China Assets: $6.80 trillion 3. China Construction Bank | China Assets: $6.20trillion 4. Bank of China | China...
Back
Top Bottom