chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. U

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mange Kimambi: kuna mpango wa kugawa CHADEMA utakaohusisha viongozi wakubwa wa CHADEMA, unapangwa na kuratibiwa na wanaCCM. Chama kipya?

    Mange kitambi amesema kuna mpango wa kugawa Chadema. Mpango huo utahusisha Freeman Mbowe na Viongozi wengine wakubwa wa Chadema. Pesa za opesheni hiyo itapita kwenye Bank M ambayo itatumika kupitisha fedha hizo. Bank hiyo itatangaza kufilisika kisha watainunua. Kupambana na ccm ni kazi ngumu...
  2. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA toeni kauli kupinga hii the so called Tume

    Silence means what? Consent? Tuanzie hapo
  3. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA hatuitambui Tume na matokeo yake yatakuwa feki

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche ametoa msimamo wa chama hicho hakitambui tume iliyounfwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kuchunguza ghasia za uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na hata matokeo yake yatakapptolewa hawatayatambua. Soma zaidi: Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu...
  4. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA hatuitambui Tume na matokeo yake yatakuwa feki

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche ametoa msimamo wa chama hicho hakitambui tume iliyounfwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kuchunguza ghasia za uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na hata matokeo yake yatakapptolewa hawatayatambua. Soma zaidi: Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu...
  5. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi ya Ujumbe ambao Hatari Mkapa aliwaambia CHADEMA

    My Take Chadema ni wapumbavu sijui wanahubiri ukombozi gani wakati Tanu ilishaleta ukombozi 😂😂👇👇 https://www.instagram.com/reel/DbsGl72oHQJ/?igsh=cXJvajNzaTVnZXd6
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Safari ya chadema kuchangisha milioni mia3.34 imefikia wapi ndugu wadau wa Jf?

    Naona hakuna updates tena kama awali, kuna changamoto yoyote?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Nilisema nimejiweka tayari kuzibua masikio yangu yote kumsikiliza Dr Nchimbi kama analo jipya la kuwaambia waTanzania juu ya ubovu wa chama chake. Hii ni bila kuathiri uamzi wangu niliokwisha hitimisha kwamba "Kupona kwa Tanzania, hakuna budi CCM yenyewe ife", kwanza. Nimemsikia Dr Nchimbi...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa Zushu Na Diamond Anakaribia Kufikisha Billion Moja Alizopewa Kama Zawadi Ndani ya Wiki Moja Wakati CHADEMA Wanaelekea Kukata Tamaa Kukimbia

    Ndugu zangu Watanzania, Dunia Ina vituko kwelikweli, watu wakikuchoka wanakuchoka kwelikweli. Watu wakikukataa wanakukataa kwelikweli. CHADEMA Imechokwaa ni haija pata kutokea kwa chama cha siasa kuchokwa namna hiyo. Yaani Ni aibu aibu aibu na Fedheha kubwa sana . CHADEMA Wameomba Michango na...
  9. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na watu wenye mapenzi mema, toa tamko kuhusu comedy hizi za tume toka Namibia na Uganda. Iambie dunia kinachoendelea ili kuficha ukweli

    Msiache comedy hizi zikapita bila kukemewa. Tafuteni wataalamu wa sheria, siasa, psychology, philosophy and the like fields to counter these movies. Msiache bila kutoa strong statements against these rubbish
  10. K

    JamiiForums Tanzania Bila Chadema ni maigizo tu na bila katiba hakuna Dira!

    Bila Chadema chama kikuu kwa mbali sana Tanzania hakuna maridhiano yeyote ya ukweli ni maigizo tu ya kujidanganya na kulaghai watanzania. Bila katiba hakuna Dira! yeyote inaweza kufanikiwa kwa katiba ya sasa ambayo haina uwajibikaji wowote pale ambapo sheria haifuatwi na watawala. Katiba...
  11. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao wakiona hivi wanapata hofu. Soon watasimamisha mikutano ya Chadema

    Mafisadi wa CCM wanaogopa👇
  12. R

    JamiiForums Tanzania Chadema toa TAMKO kuhusu hizi Tume zinazoundwa kuhusiana na mauaji ya 29.10.2026

    Huu ni mtegon mkubwa. Kujalalisha uovu.. Matais wa nchi zilizoleta majaji ni birds of the same feathers fly together! Uganda haina Independent judiciary, pia Namibia! Museveni ni dikitaita namba moka Afrika. Besigye anaozeamjela kwanuonevu kama Lisu.. Eti huyo atoe jJaji kuja kuona ukweli...
  13. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Heche akemea wimbi la utekaji nchini, atoa msimamo wa CHADEMA kwa maridhiano

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amekemea vikali wimbi la utekaji na kupotea kwa watu nchini wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji wa mpakani wa Sirari, wilayani Tarime mkoani Mara. Akihutubia mamia ya wananchi waliofika...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi CCM amtaka CAG kufanya ukaguzi wa fedha za Tone tone za Chadema

    Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jamal K. Ali, amemwomba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi wa masuala ya fedha ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa mujibu wa mamlaka yake kisheria. Akizungumza wakati wa...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Wakati wanaCCM wanahangaika kumparura Dk Nchimbi CHADEMA wao wanapambana kupata sapoti toka kwa wananchi.

    Mikakati ya CHADEMA ni kuhakikisha wananchi wanakiunga mkono kama wanavyofanya kwenye tonetone. CCM wao wanakata viuno vya kisiasa kwa kumparula Nchimbi kuwa anataka uraisi 2030. Hii inaonyesha namna gani CCM haipo kwa ajili ya wananchi bali kwa matumbo yao.
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Heche: Mama yangu anahofu, kaniambia niache kazi hii ya Siasa

    Serikali ya Samia acheni watu wafanye siasa kwa amani vitisho vyenu sio tija bali mnaendelea kujenga chuki zaidi. Shauri zenu ============ Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Heche amesema Mama yake mzazi amekuwa na hofu kutokana na taarifa anazozisikia na...
  17. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Uamuzi kuifungia CHADEMA kufanya siasa kutolewa Agosti 28

    Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar es Salaam inatarajia kutoa uamuzi wa maombi madogo ya zuio la kufanya shughuli za kisiasa kwa CHADEMA Agosti 28, 2026 saa tisa alasiri. Maombi hayo yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Said Issa Mohammed na Ahmed Rashid baada ya kesi waliyokuwa wameifungua...
  18. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Kesi ya ugaidi kwa viongozi 17 wa CHADEMA Shinyanga yaahirishwa hadi Agosti 17, 2026

    Kesi ya kupanga na kula njama za kufanya matendo ya ugaidi inayowakabili wanachama 17 wa CHADEMA, akiwamo Katibu wa chama hicho Kanda ya Serengeti, Jackson Mnyawami, imeshindwa kuendelea Agosti 4, 2026, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Shinyanga, baada ya upande Jamhuri kuieleza mahakama hiyo...
  19. L

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Saa 48 Mtoto Wa Diamond Na Zuchu Achangiwa Mamilioni Ya Pesa Kuzidi Walizopata CHADEMA kwa karibu Mwezi Mzima

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa Hakika kinachoendelea ndani ya CHADEMA ni aibu ,ni fedheha na Simanzi kubwa sana na masikitiko . Yaani hiki Chama kimejipatia Aibu ya karne ,aibu ambayo haijapata kutokea ,aibu ambayo haisemekani wala kupimika kwa kipimo cha aina yoyote ile. Kweli wana CHADEMA...
  20. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Heche: Wakiiacha CHADEMA kwenye maridhiano watakuwa wameacha robo tatu ya Watanzania

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema endapo chama hicho hakitashirikishwa kwenye maridhiano, maana yake itakuwa robo tatu ya Watanzania watakuwa hawajashirikishwa. Akizungumza Agosti 3, 2026, katika kikao na viongozi wa Chadema Wilaya ya Tarime, Heche alisisitiza msimamo wa chama...
Back
Top Bottom