Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Stori ya kukamatwa na kuachiwa kwa kada wa CHADEMA inaacha maswali mengi sana. Kiufupi ni jambo linalonuka harufu kali ya usaliti. Pia kitendo cha Malisa kupokelewa na James Mbowe wa CHAUMMA hakiingii akilini kabisa. Tuliona Malisa kaongea na waandishi wa habari bila uwepo wa kada yoyote wa...
Kupitia kesi ya Lisu CHADEMA wamepata nafasi sahihi kabisa ya kueleza mateso Yao,kudai haki za wananchi,kupelela hoja zao za msingi kabisa Kwa MAHAKAMA na Dunia nzima.
Kupitia kesi hii ya kijinga CHADEMA wamepata uwanja mzuri sana wa kuifahamisha Dunia rangi Halisi ya Tanzania ya CCM.
Kupitia...
Angekuwa ni kiongozi mwenye aibu asingekuwa anatoa hotuba za kujionyesha kama mkuu wa nchi anayekubalika.
Watumishi wa umma maofisini hawampendi na hawamtamki vizuri
Chama kinachokubalika ni Chadema maana kinaonekana kama chama cha ukombozi kwa sasa.
Samia na genge la wanaCCM mtandao ni...
KATIKA Kile kinachoonekana Propaganda, Huyu Wakili kilaza wa Serikali, hakutoa Hilo Ulizo kwa Bahati mbaya !.
Ulizo lake, Lengo lake lilijikita kwenye KUAMINISHA UMMA WA WATANZANIA, KUA FEDHA ZA TONETONE ZINALIWA.
Kwa unafiki wake , akajifanya Kuishia kwenye Swali, Zilitolewa?.
Kama Lengo...
Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mara kimemkataa Katibu wa mkoa huo Donald Felix Mwembe aliyesema kuwa chama hicho kikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake John Heche kinatakiwa kuzungumza na watawala ili kufikiwa kwa muafaka wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu.
Soma pia...
Kwasababu haiwezekani kila kampeni ya kiuchumi, kijamii au kisiasa wanayoianzisha chadema lazima ikwame na kuyeyuka katika mazingira ambayo hayana maeleo. Mathalani, michango ya tonetone ya sasa imebuma na na hutasikia kikielezwa chochote, sawa sawa na tonetone ile ya awali iliyobuma kifudifudi...
Watanzania hakika tunafurahia sana kuona jinsi mnavyopambana bila kukata tamaa mungu aendelee kusimama na nyie katika kila jambo Hakika hii ndo chadema ambayo nilikuwa natamani itokee siku zote comb ya lisu na john heche nafikirii ndo combination bora ambayo mimi nimeiona tangu nianze...
Kada wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa ni Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Henry Kilewo, amewataka wanaojiita watawala kuachana na madalali wa kisiasa wanaowadanganya kuwa wanaweza kukigawa chama hicho.
Kupitia chapisho aliloliweka katika...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche Juni 25, 2026 kwenye mahojiano na kituo cha Redio, cha VOS amesema kuwa chama hicho hakiko tayari kuingia kwenye maridhiano yoyote na Chama Cha Mapinduzi (CCM) bila uwepo wa mpatanishi wa kimataifa (mediator) asiyekuwa na upande, akitolea mfano wa...
Tuchukulie kwa mantiki ya hoja, bila kuamua kwanza kama tuhuma hizo ni za kweli au za uongo.
Ikiwa kweli CHADEMA ingekuwa imepanga kuipindua Serikali, swali muhimu sana ni:
CHADEMA INGEPATA FAIDA GANI?Kwa sababu kuipindua Serikali hakumaanishi kwamba CHADEMA moja kwa moja ingeichukua...
Ndugu zangu Watanzania,
Ni halali kabisa CHADEMA kupoteza muelekeo na kukosa Msisimko wa hoja na sera pamoja na ajenda zenye Kugusa Mioyo ya watu. Chama kwa sasa kimejaa watu wenye akili ndogo ,Elimu ndogo na ya kuunga unga kwa gundi na supagluu.
Chama kimejaa na kusheheni wanachama ambao...
Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii likiwa na nukuu inayodai kuwa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeingia katika mazungumzo na Serikali kwa lengo la kuangalia namna ya kuanza mchakato wa maridhiano, hatua inayolenga kujenga Tanzania yenye...
Na Dr.Zack
Sababu zilizoletwa na CHADEMA ili kushinikiza kusitishwa kwa kikao cha Baraza Kuu la chama hicho imeibua maswali mengi kwa Wajumbe kikao hicho wakidai kuwa suala la viongozi kuitwa mahakamani hazionekani uhalisia wa kuhairishwa kwa kikao hicho muhimu cha Kikatiba.
Baadhi ya wajumbe...
Huenda nisieleweke, lakini ujumbe wangu wa wazi kwa dada yangu Rais Samia, kwa maslahi ya amani ya moyo wake akiwa Mtawala ni muhimu azungumze na Chadema na waelewane
Pamoja na kwamba dada Samia ni Rais lakini haiondoi ukweli kwamba papo pahali Chadema hawatendewi haki
Binafsi, kwa nia njema...
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeahirisha kikao chake kilichokuwa kimepangwa kufanyika, kufuatia taarifa ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa chama hicho Ndugu John John Mnyika.
Hatua hiyo imekuja wakati chama hicho kikikabiliwa na mabadiliko ndani ya uongozi wake, huku...
CCM imekwama kila kona utawala huu haukubaliki ndani na nje ya CCM. Kuna dalili huu utawala usifike 2030 maana hata Mzee Warioba alishatamka haukuwekwa na wananchi.
Je, mmejipanga kukamata dola?
Je, mnaviongozi ambao watatosha kukamata nafasi zote muhimu?
Hawa wapumbavu hawatikiwi kuonewa huruma.
Kwanini wasimtake LISSU mwenyewe kukubali MARIDHIANO ili aachiwe ??.
Kwann badala yake wanalazimisha HECHE wewe ndio ukubali MARIDHIANO ?.
Kwani ni Ofa ngapi ambazo LISSU kaletewa akiwa Jela ili awe Huru ??
Kama LISSU mwenyewe hajazikubali hizo...
Ndugu zangu Watanzania,
Uimara ,Ushupavu na Umadhubuti Wa Chama cha Siasa na kilicho tayari kuongoza Na kushika Dola ni Pamoja na ukomavu wake wa kuhimili mikiki mikiki ya ndani ya chama . Ni Pamoja na kuweza kujiongoza chenyewe kama Taasisi ,Ni Pamoja na Kuweza kutatua migogoro yake bila shida...
Erythrocyte msipokuwa wakali na tabia hii ya kuhongwa na kuwapa mwanya wa kuropoka we are heading to a disaster! Heche alikemee hili wazi wazi kuwa mwenye mamlaka ya kutamka contents of that nature ni Makamu Mwenyekiti/Heche peke yake!
Toeni "Executive order" kuwa issue za maridhiano and the...
Hilo kwasasa halipingiki kuwa, unapozungumzia maridhiano pande zinazohusika ni:-
kundi la kwanza linaundwa na watawala, serikali na vyombo vya dola na wafanyabishara wakubwa ambao wamehozi CCM na wanaushawishi juu ya serikali. Kwenye kundi hili pia zipo baadhi ya Taasisi za dini kikristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.