chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Chama rafiki CHADEMA mfukuzeni Malisa, ni pandikizi la Mbowe

    Stori ya kukamatwa na kuachiwa kwa kada wa CHADEMA inaacha maswali mengi sana. Kiufupi ni jambo linalonuka harufu kali ya usaliti. Pia kitendo cha Malisa kupokelewa na James Mbowe wa CHAUMMA hakiingii akilini kabisa. Tuliona Malisa kaongea na waandishi wa habari bila uwepo wa kada yoyote wa...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lisu jinsi inavyowapa CHADEMA jukwaa la kupelela madai Yao mazito duniani

    Kupitia kesi ya Lisu CHADEMA wamepata nafasi sahihi kabisa ya kueleza mateso Yao,kudai haki za wananchi,kupelela hoja zao za msingi kabisa Kwa MAHAKAMA na Dunia nzima. Kupitia kesi hii ya kijinga CHADEMA wamepata uwanja mzuri sana wa kuifahamisha Dunia rangi Halisi ya Tanzania ya CCM. Kupitia...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Chama kinachokubalika ni Chadema maana kinaonekana kama chama cha ukombozi kwa sasa

    Angekuwa ni kiongozi mwenye aibu asingekuwa anatoa hotuba za kujionyesha kama mkuu wa nchi anayekubalika. Watumishi wa umma maofisini hawampendi na hawamtamki vizuri Chama kinachokubalika ni Chadema maana kinaonekana kama chama cha ukombozi kwa sasa. Samia na genge la wanaCCM mtandao ni...
  4. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Wanasheria wa CHADEMA , Wakili Uchwara Mrema, Jana alitoa Tuhuma za Uongo wakati wa Dodoso , et Million 39 za tonetone zimetolewa kwenye Akaunti !!

    KATIKA Kile kinachoonekana Propaganda, Huyu Wakili kilaza wa Serikali, hakutoa Hilo Ulizo kwa Bahati mbaya !. Ulizo lake, Lengo lake lilijikita kwenye KUAMINISHA UMMA WA WATANZANIA, KUA FEDHA ZA TONETONE ZINALIWA. Kwa unafiki wake , akajifanya Kuishia kwenye Swali, Zilitolewa?. Kama Lengo...
  5. Parabolic

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Mara wamkana kiongozi aliyehamasisha maridhiano

    Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mara kimemkataa Katibu wa mkoa huo Donald Felix Mwembe aliyesema kuwa chama hicho kikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake John Heche kinatakiwa kuzungumza na watawala ili kufikiwa kwa muafaka wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu. Soma pia...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ukiwatazama kwa makini sana viongozi wa chadema taifa, utagundua baadhi yao wako pale kimkakati na hao ndio wana hujumu mipango ya CHADEMA

    Kwasababu haiwezekani kila kampeni ya kiuchumi, kijamii au kisiasa wanayoianzisha chadema lazima ikwame na kuyeyuka katika mazingira ambayo hayana maeleo. Mathalani, michango ya tonetone ya sasa imebuma na na hutasikia kikielezwa chochote, sawa sawa na tonetone ile ya awali iliyobuma kifudifudi...
  7. Hidden Diamond

    JamiiForums Tanzania CHADEMA nguvu kubwa sana ya Watanzania iko nyuma yenu msijemkarudia makosa mliyofanya chini ya mwenyekiti wenu aliyepita

    Watanzania hakika tunafurahia sana kuona jinsi mnavyopambana bila kukata tamaa mungu aendelee kusimama na nyie katika kila jambo Hakika hii ndo chadema ambayo nilikuwa natamani itokee siku zote comb ya lisu na john heche nafikirii ndo combination bora ambayo mimi nimeiona tangu nianze...
  8. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Henry Kilewo: CHADEMA ya sasa sio ile iliyopita, hii achaneni nayo

    Kada wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa ni Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Henry Kilewo, amewataka wanaojiita watawala kuachana na madalali wa kisiasa wanaowadanganya kuwa wanaweza kukigawa chama hicho. Kupitia chapisho aliloliweka katika...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA haitafanya maridhiano na CCM bila mpatanishi wa kimataifa

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche Juni 25, 2026 kwenye mahojiano na kituo cha Redio, cha VOS amesema kuwa chama hicho hakiko tayari kuingia kwenye maridhiano yoyote na Chama Cha Mapinduzi (CCM) bila uwepo wa mpatanishi wa kimataifa (mediator) asiyekuwa na upande, akitolea mfano wa...
  10. shonkoso

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Ingefaidika vipi wakati nchi ikipinduliwa, jeshi ndo huchukua nchi

    Tuchukulie kwa mantiki ya hoja, bila kuamua kwanza kama tuhuma hizo ni za kweli au za uongo. Ikiwa kweli CHADEMA ingekuwa imepanga kuipindua Serikali, swali muhimu sana ni: CHADEMA INGEPATA FAIDA GANI?Kwa sababu kuipindua Serikali hakumaanishi kwamba CHADEMA moja kwa moja ingeichukua...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Ni Halali kabisa Kuyumba Na Kupoteza Muelekeo kwa CHADEMA. Mnyika Elimu Kidato cha 6 Huku Heche Akiwa Na Elimu ya Hapa na pale. Wafuasi nao sifuri

    Ndugu zangu Watanzania, Ni halali kabisa CHADEMA kupoteza muelekeo na kukosa Msisimko wa hoja na sera pamoja na ajenda zenye Kugusa Mioyo ya watu. Chama kwa sasa kimejaa watu wenye akili ndogo ,Elimu ndogo na ya kuunga unga kwa gundi na supagluu. Chama kimejaa na kusheheni wanachama ambao...
  12. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI CHADEMA yaanza mazungumzo serikali kuelekea maridhiano

    Kumekuwepo na chapisho linalosambazwa kwenye mitandao ya kijamii likiwa na nukuu inayodai kuwa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeingia katika mazungumzo na Serikali kwa lengo la kuangalia namna ya kuanza mchakato wa maridhiano, hatua inayolenga kujenga Tanzania yenye...
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Watafute sababu nyingine ya kutofanya kikao cha baraza kuu, wasiisingizie mahakama

    Na Dr.Zack Sababu zilizoletwa na CHADEMA ili kushinikiza kusitishwa kwa kikao cha Baraza Kuu la chama hicho imeibua maswali mengi kwa Wajumbe kikao hicho wakidai kuwa suala la viongozi kuitwa mahakamani hazionekani uhalisia wa kuhairishwa kwa kikao hicho muhimu cha Kikatiba. Baadhi ya wajumbe...
  14. Li ngunda ngali

    JamiiForums Tanzania Dada yangu kipenzi Rais Samia, bila kuwa sawa na CHADEMA utaendelea kutawala kwa tabu mno

    Huenda nisieleweke, lakini ujumbe wangu wa wazi kwa dada yangu Rais Samia, kwa maslahi ya amani ya moyo wake akiwa Mtawala ni muhimu azungumze na Chadema na waelewane Pamoja na kwamba dada Samia ni Rais lakini haiondoi ukweli kwamba papo pahali Chadema hawatendewi haki Binafsi, kwa nia njema...
  15. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kamati kuu chadema yaahirisha kikao baada ya katibu mkuu kujiuzulu

    Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeahirisha kikao chake kilichokuwa kimepangwa kufanyika, kufuatia taarifa ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa chama hicho Ndugu John John Mnyika. Hatua hiyo imekuja wakati chama hicho kikikabiliwa na mabadiliko ndani ya uongozi wake, huku...
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Chadema andeni mikakati ya kushika dola kabla ya 2030.

    CCM imekwama kila kona utawala huu haukubaliki ndani na nje ya CCM. Kuna dalili huu utawala usifike 2030 maana hata Mzee Warioba alishatamka haukuwekwa na wananchi. Je, mmejipanga kukamata dola? Je, mnaviongozi ambao watatosha kukamata nafasi zote muhimu?
  17. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iwashughulikie Wanachama/Viongozi wanaojifanya kumtaka HECHE akubali MARIDHIANO , hawa ndio walipangwa kufanya Fujo siku ya Baraza Kuu

    Hawa wapumbavu hawatikiwi kuonewa huruma. Kwanini wasimtake LISSU mwenyewe kukubali MARIDHIANO ili aachiwe ??. Kwann badala yake wanalazimisha HECHE wewe ndio ukubali MARIDHIANO ?. Kwani ni Ofa ngapi ambazo LISSU kaletewa akiwa Jela ili awe Huru ?? Kama LISSU mwenyewe hajazikubali hizo...
  18. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Ilifanya Uchaguzi Wa Mwenyekiti Chama Kikapasuka na Kusambaratika . Halafu Utaona Wanabetua Midomo wanasema Wanaweza Kuongoza Nchi.

    Ndugu zangu Watanzania, Uimara ,Ushupavu na Umadhubuti Wa Chama cha Siasa na kilicho tayari kuongoza Na kushika Dola ni Pamoja na ukomavu wake wa kuhimili mikiki mikiki ya ndani ya chama . Ni Pamoja na kuweza kujiongoza chenyewe kama Taasisi ,Ni Pamoja na Kuweza kutatua migogoro yake bila shida...
  19. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA toa msimamo/utaratibu kuhusu waliiohongwa kuropoka hovyo hovyo

    Erythrocyte msipokuwa wakali na tabia hii ya kuhongwa na kuwapa mwanya wa kuropoka we are heading to a disaster! Heche alikemee hili wazi wazi kuwa mwenye mamlaka ya kutamka contents of that nature ni Makamu Mwenyekiti/Heche peke yake! Toeni "Executive order" kuwa issue za maridhiano and the...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wa maridhiano unaonesha kuwa ni kati ya watawala ambao ni serlikali na vyombo vya dola na watawaliwa ambao ni wananchi wakiongozwa na CHADEMA

    Hilo kwasasa halipingiki kuwa, unapozungumzia maridhiano pande zinazohusika ni:- kundi la kwanza linaundwa na watawala, serikali na vyombo vya dola na wafanyabishara wakubwa ambao wamehozi CCM na wanaushawishi juu ya serikali. Kwenye kundi hili pia zipo baadhi ya Taasisi za dini kikristo...
Back
Top Bottom