Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kinakataa kauli ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Serikali haina mgogoro na vyama vya siasa(ikiwemo CHADEMA), akidai kuwa kauli hiyo sio ya kweli.
Mnyika amesema kauli ya serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema Kama Tanzania kuna hali ya hatari, Mikusanyiko yote ya dini, michezo, mazishi nk, ipigwe marufuku, sio siasa tu.
Kasema katambi kavunja katiba. Anayetangaza hali ya hatari ni Raisi sio Waziri.
'Wamkamate Kihongosi akaieleze Polisi kikao cha siri cha CHADEMA kilikaa wapi kupanga vurugu' Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, ameyasema haya Juni 17, 2026, kupitia mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam.
Aidha, John Mnyika...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, akijibu swali la Mwandishi leo Juni 10, 2026 kuhusu taarifa ambazo chama hicho zimeeleza kuwa kufuatia kusikilizwa kwa kesi ya Tundu Lissu kesho Polisi inajiandaa kushambulia wanachama na viongozi wa CHADEMA kwa kisingizio...
Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA John Mnyika, akizungumza na Vyombo vya habari kuelekea kusikilizwa Kesi ya Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu kesho Juni 11, 2026 Mahakama ya Rufaa, ametoa wito kwa Jeshi la Polisi kuacha taarifa za uongo zinazoendelea ndani ya Jeshi...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, leo Mei 16, 2026 akiwa Katoro amesema;
"Niseme mambo machache mawili tu. Moja, niseme ni kweli tumeandikiwa barua hiyo na msajili wa vyama. Ni mwendelezo wa hila za kutaka kuizuia Chadema kuendelea kuwaunganisha Watanzania...
KATIBU MKUU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO NDUGU, JOHN MNYIKA, UNAPOTOSHA WATANZANIA.
Na David Maphone.
Nimebahatika kusikiliza vizuri sana, Katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA kilicho sajiliwa nchini Tanzania .
Akizungumza nje ya mahakama, Katibu Mkuu wa CHADEMA...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akizungumza na vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam, John Mnyika ametangaza Kamati kuu ya chama hicho kufanya kikao maalum Aprili 28-29, 2026 ikiwa ni mara baada ya Mahakama ya Rufaa kuondoa zuio la chama hicho kutofanya shughuli...
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika pamoja na Mwanasheria Mkuu wa chama, Rugemeleza Nshala wakiwa kwenye picha pamoja na mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa United Nations, Parfait Onanga-Anyanga, baada ya kufanya mazungumzo katika ofisi za Umoja wa Mataifa zilizopo Dar es Salaam tarehe 10 Machi...
"Jana Samia Suluhu Hassan wakati anazungumza na Rais wa Ghana amesema hali ya kisiasa Tanzania ni shwari, anaiambia dunia hali ya kisiasa Tanzania ni shwari. Nataka kusema kwamba jamii ya kimataifa isisikilize upotoshaji huo, hali ya kisiasa Tanzania haiwezi kuwa shwari wakati kiongozi Mkuu wa...
kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mitandao ya kijamii likimunukuu John mnyika kutoa kauli inayosema kuwa tusipo muangukia mbowe wanachadema hatutoboi
Baada ya kufanya ufuatiliaji wa kina kwa kutumia njia ya utafutaji wa maneno tumebaini kuwa taarifa hiyo nipotoshi na ina nia ya...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amekanusha vikali tuhuma zinazomhusisha na mauaji ya aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya chama hicho, Ali Mohamed Kibao, akitaja majaribio hayo kama mkakati wa kisiasa wa "kubambika kesi" na kuhamisha lawama kutoka kwa...
Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, amesema Askari wa magereza wamemzuia kuingia Gereza la Ukonga kumuona mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu.
"Askari wa Magereza wamenizuia kuingia gereza la Ukonga leo kumwona...
Ujumbe wa Katibu Mkuu Na. 3 wa 2025: Juu ya Hotuba ya Rais Haramu ya 3/11/2025 na maombolezo ya wafia demokrasia, uhuru na haki ya tarehe 5 mpaka 11 Novemba 2025.
Makamanda, wapendwa na ndugu nawasalimu kwa salamu zote za Chama na salamu za imani zenu kwa Mungu.
Naomba mrejee taarifa kwa umma...
Kutoka account ya X ya CHADEMA
WARAKA NAMBA 03 WA 2025
Ujumbe wa Katibu Mkuu Na. 3 wa 2025: Juu ya Hotuba ya Rais Haramu ya 3/11/2025 na maombolezo ya wafia demokrasia, uhuru na haki ya tarehe 5 mpaka 11 Novemba 2025.
Makamanda, wapendwa na ndugu nawasalimu kwa salamu zote za Chama na salamu...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika akizungumzia tukio la kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti, Bara wa chama hicho, John Heche, leo Asubuhi Mahakamani alipofika kwa ajili ha kusikiliza shauri la uhaini linalomkabili Tundu Lissu.
"Kama kukamatwa kwake John Heche...
Bado hali si rafiki kwa CHADEMA kila siku wao na mahakama, kesi zimezidi kulindima kila kukicha kwao>
Au tuseme serikali ya CCM imeendelea kuwazofisha tu, na ukizingatia Kuna mipango ya maandamano ya Oktoba 29
===============
FAHAMU kwamba shauri lililotajwa hapo juu limepangwa kuitwa kwa ajili...
Ameandika Hilda Newton kupitia mtandao wa X
TAARIFA KWA UMMA
Kuna Maombi Madogo ya kesi ambayo Said Issa Mohamed na Wenzake wamefungua kwa hati ya dharula dhidi ya
1. Mhe. John Heche
2. Mhe. John Mnyika
3. Hilda Newton
4. Twaha Mwaipaya
5. Board ya Wadhamini ya Chadema.
Maombi hayo...
amri
chadema
chama
heche
john heche
johnmnyika
kufanya
kufanya siasa
mahakamani
mnyika
saba
said issa mohammed
siasa
uchaguzi mkuu 2025
vigogo
viongozi chadema
Leo Septemba 26, 2025 Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika ametoa kauli kufuatia madai ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Zanzibar Said Issa Mohammed kuwa ni ya uongo, hii ikiwa ni muendelezo wa Kesi ya Mgawanyo wa Mali CHADEMA ambayo itasikilizwa tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.