john mnyika

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mnyika CHADEMA: Tunakemea hotuba zinazoremba hali ya siasa nchini kuwa ni nzuri wakati wanachama wa CHADEMA wako magerezani

    Maneno anayoongea Mnyika kwa maandishi. "Aidha, CHADEMA kwa niaba ya Watanzania, tunalaani na kukemea hotuba mbalimbali zinazoonyesha kuremba hali ya kisiasa nchini kuwa ni nzuri wakati hali hivi sasa wanachama na viongozi wa CHADEMA wanakamatwa na wako magerezani kwa kusingiziwa kesi mbaya za...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mnyika: CHADEMA Haijafanya Mazungumzo na Serikali, Yapinga Kauli ya Rais Samia Lissu kutafakari

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika amesema kuwa chama hicho na Mwenyekiti wake Tundu Lissu mpaka hivi sasa hakijafanya mazungumzo yoyote na serikali huku akiipinga kauli iliyotolewa na Rais Samia Julai 30, 2026. Kupitia mkutano wake na waandishi wa habari leo Agosti 3...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mchange: Mnyika amepotosha, Kamati Kuu haikumhoji Heche kuhusu suala la 'ToneTone' bali tuhuma za ubadhirifu wa fedha za wadau

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Habibu Mchange amesema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amepotosha, Kamati Kuu haikumhoji Heche kuhusu suala la 'ToneTone' bali tuhuma za ubadhirifu wa fedha za wadau. Soma: Mnyika afafanua tuhuma za Heche na matumizi ya fedha za ToneTone
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mnyika afafanua tuhuma za Heche na matumizi ya fedha za ToneTone

    Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amethibitisha kuwa fedha zote zinazochangwa na wananchi pamoja na wanachama, ikiwemo mifumo ya kielektroniki na zile za "tonetone" zinazokusanywa mikutanoni, ziko salama kabla na baada ya matumizi. Mnyika aliongeza kuwa, kwa mujibu wa taratibu za kifedha za...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Bajeti 2026/2027 ni ya uongo ina lengo la kumtumbukiza Mtanzania kwenye umaskini, haijaweka fungu la Katiba mpya

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 10, 2026, amesema Kamati kuu ya Chama imepitia Bajeti kuu ya serikali ya mwaka 2026/2027 na kwamba haikisi maisha halisi ya Mtanzania, pia haijaweka fungu la gharama ya Katiba...
  6. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania Makatibu Wakuu wa CHADEMA tokea chama kianzishwe mwaka 1992 mpaka sasa; Unamkubali nani zaidi?

    Tangu kuanzishwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mwaka 1992, nafasi ya Katibu Mkuu imekuwa na mchango mkubwa katika kusimamia shughuli za kila siku za chama, kuratibu utekelezaji wa maamuzi ya uongozi na kuendesha sekretarieti ya chama. Hawa ni makatibu wakuu wa CHADEMA tangu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Siyo kweli kwamba Mwigulu na Serikali hawana Mgogoro na Sisi, ndiyo maana wamezuia ruzuku ya mil. 500

    Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kinakataa kauli ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Serikali haina mgogoro na vyama vya siasa(ikiwemo CHADEMA), akidai kuwa kauli hiyo sio ya kweli. Mnyika amesema kauli ya serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi...
  8. figganigga

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Kama Tanzania kuna hali ya hatari, Mikusanyiko yote ya dini, michezo, mazishi nk, ipigwe marufuku, sio siasa tu

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema Kama Tanzania kuna hali ya hatari, Mikusanyiko yote ya dini, michezo, mazishi nk, ipigwe marufuku, sio siasa tu. Kasema katambi kavunja katiba. Anayetangaza hali ya hatari ni Raisi sio Waziri.
  9. W

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Jeshi la Polisi limkamate Kenani Kihongosi aelezee kikao cha CHADEMA kilikaa wapi kupanga vurugu

    'Wamkamate Kihongosi akaieleze Polisi kikao cha siri cha CHADEMA kilikaa wapi kupanga vurugu' Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, ameyasema haya Juni 17, 2026, kupitia mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam. Aidha, John Mnyika...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Kuna njama Polisi kujiandaa kutumia silaha na nguvu kisingizio cha kudhibiti vurugu zilizotengenezwa kesho target ni viongozi wa CHADEMA

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, akijibu swali la Mwandishi leo Juni 10, 2026 kuhusu taarifa ambazo chama hicho zimeeleza kuwa kufuatia kusikilizwa kwa kesi ya Tundu Lissu kesho Polisi inajiandaa kushambulia wanachama na viongozi wa CHADEMA kwa kisingizio...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Jeshi la Polisi lipuuze taarifa za uongo za Polisi zinazodai CHADEMA itafanya vurugu kumuokoa Lissu

    Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA John Mnyika, akizungumza na Vyombo vya habari kuelekea kusikilizwa Kesi ya Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu kesho Juni 11, 2026 Mahakama ya Rufaa, ametoa wito kwa Jeshi la Polisi kuacha taarifa za uongo zinazoendelea ndani ya Jeshi...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mnyika: Barua ya Msajili ni Hila za Kuizuia CHADEMA, Tuendelee na Ajenda ya Katiba Mpya! Free Lissu! Mpaka kieleweke!

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, leo Mei 16, 2026 akiwa Katoro amesema; "Niseme mambo machache mawili tu. Moja, niseme ni kweli tumeandikiwa barua hiyo na msajili wa vyama. Ni mwendelezo wa hila za kutaka kuizuia Chadema kuendelea kuwaunganisha Watanzania...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika unapotosha Watanzania

    KATIBU MKUU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO NDUGU, JOHN MNYIKA, UNAPOTOSHA WATANZANIA. Na David Maphone. Nimebahatika kusikiliza vizuri sana, Katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA kilicho sajiliwa nchini Tanzania . Akizungumza nje ya mahakama, Katibu Mkuu wa CHADEMA...
  14. R

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Kwa ukubwa wa mapito tuliyopitia Aprili 28-29 Kamati kuu itafanya kikao maalum

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akizungumza na vyombo vya habari leo Jijini Dar es Salaam, John Mnyika ametangaza Kamati kuu ya chama hicho kufanya kikao maalum Aprili 28-29, 2026 ikiwa ni mara baada ya Mahakama ya Rufaa kuondoa zuio la chama hicho kutofanya shughuli...
  15. figganigga

    JamiiForums Tanzania Picha: John Mnyika, Rugemeleza Nshala Wakiwa Umoja wa Mataifa na Onanga-Anyanga Mwakilishi Maalum

    Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika pamoja na Mwanasheria Mkuu wa chama, Rugemeleza Nshala wakiwa kwenye picha pamoja na mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa United Nations, Parfait Onanga-Anyanga, baada ya kufanya mazungumzo katika ofisi za Umoja wa Mataifa zilizopo Dar es Salaam tarehe 10 Machi...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Jamii ya Kimataifa isisikilize upotoshaji wa Rais Samia, hali ya kisiasa nchini bado si shwari

    "Jana Samia Suluhu Hassan wakati anazungumza na Rais wa Ghana amesema hali ya kisiasa Tanzania ni shwari, anaiambia dunia hali ya kisiasa Tanzania ni shwari. Nataka kusema kwamba jamii ya kimataifa isisikilize upotoshaji huo, hali ya kisiasa Tanzania haiwezi kuwa shwari wakati kiongozi Mkuu wa...
  17. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mnyika ameamua kuwa mwanachama wa kawaida ndani ya CHADEMA

  18. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI John Mnyika amesema 'tusipo muangukia mbowe wanachadema hatutoboi'

    kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mitandao ya kijamii likimunukuu John mnyika kutoa kauli inayosema kuwa tusipo muangukia mbowe wanachadema hatutoboi Baada ya kufanya ufuatiliaji wa kina kwa kutumia njia ya utafutaji wa maneno tumebaini kuwa taarifa hiyo nipotoshi na ina nia ya...
  19. The Watchman

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Sihusiki na mauaji ya Ali Kibao

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amekanusha vikali tuhuma zinazomhusisha na mauaji ya aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya chama hicho, Ali Mohamed Kibao, akitaja majaribio hayo kama mkakati wa kisiasa wa "kubambika kesi" na kuhamisha lawama kutoka kwa...
  20. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Mnyika: Askari wa Magereza wamenizuia leo kumuona Mwenyekiti Tundu Lissu. Kuna maelekezo asikutane na kiongozi yeyote wa CHADEMA

    Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, amesema Askari wa magereza wamemzuia kuingia Gereza la Ukonga kumuona mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. "Askari wa Magereza wamenizuia kuingia gereza la Ukonga leo kumwona...
Back
Top Bottom