vyuo vikuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania TAHLISO wameandaa Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu “Never Again” linalofanyika Ubungo Plaza, leo tar 16/05/2026!

    Jumuiya ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu (TAHLISO) wameandaa kongamano la wanafunzi wa vyuo walilolipa jina la Never Again, wakiwa na madhumuni ya kudumisha amani, hususani kwa wanafunzi Tanzania. Mgeni rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh Albert John Chalamila na viongozi wengine wa...
  2. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Mkenda lini utasimamia na kuondoa uzembe katika Uongozi wa Vyuo Vikuu?

    Waziri umeshirikiana na UD kutatua 'mgogoro' wa kijana aliyeshindwa kuendelea na masomo kwa faini ya kizembe. Au tuseme uonevu wa UD kwa wanafunzi. Hiyo ni ishara kwamba Vyuo vikuu vyetu vinaendeshwa kishenz. Nasema tena Kishenz! Ni aibu kuwa na viongozi wa aina hiyo, halafu ukasema ni chuo...
  3. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Wito kwa serikali kuhusu uzingatiaji wa sheria ya takwimu (sura ya 351

    Kwa kuzingatia masharti ya Kifungu cha 37 cha Sheria ya Takwimu, kinachokataza utoaji na upotoshaji wa takwimu rasmi kwa nia ya kuwahadaa wananchi, Serikali inapaswa kuimarisha usimamizi kwa wanasiasa na viongozi wa kijamii wanaotoa takwimu bila weledi. Nukuu ifuatayo inapaswa kuwa muongozo...
  4. Damaso

    JamiiForums Tanzania Vyuo Vikuu fanyeni mchakato wa kutoa Honoris Causa kwa waandishi wa vitabu vya kitaaluma

    Dar es Salaam – Katika kumbi za mihadhara za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na kote nchini, majina kama Angela Anselim Kiseku na Astrid Mushemba yanang’aa kama alama ya ubora wa elimu ya juu nchini Tanzania. Hawa ni wahitimu waliobeba tuzo za kimataifa katika uhandisi wa mafuta na jiolojia...
  5. CyberTz

    JamiiForums Tanzania Haja ya vyuo vikuu na vyuo vya kati kuandaa mazingira bora ya wanafunzi kujifunza kwa vitendo katika masomo yao

    Kumekuwa na wimbi kubwa la wahitimu wa vyuo vikuu na vya kati kuhitimu elimu zao bila kuwa na ujuzi wa kivitendo katika taaluma walizozichagua. Hali hii imesababisha changamoto kubwa mitaani, hasa katika mchakato wa kutafuta ajira. Nitazingatia zaidi upande wa kada za teknolojia. Hii ni...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko ya Nyongeza ya Ada ya EXTENSION kwa Wanafunzi wa Shahada ya Umahiri (MASTERS) – UDSM

    BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA NA TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) KUHUSU MALALAMIKO YA NYONGEZA YA ADA YA EXTENSION KWA WANAFUNZI WA SHAHADA YA UMAHIRI (MASTERS) – CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM YAH: MALALAMIKO KUHUSU NYONGEZA YA ADA YA EXTENSION KWA WANAFUNZI WA...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wizara ya Afya itusaidie tulipwe fedha tunaofadhiliwa sekta ya Afya katika Vyuo Vikuu nje

    Tunaomba Serikali kuwalipa hela za matumizi na ada wafadhiliwa wa kada za ubingwa na ubobezi katika sekta ya afya wanaosomeshwa katika Vyuo Vikuu nje ya nchi. Mwaka umepita tangu tumepatiwa hela za kujikimu. Tunaishi maisha magumu nje ya nchi kwa kucheleweshewa hela za matumizi. Tunaomba...
  8. Equation x

    JamiiForums Tanzania Walimu wa vyuo vya kati mpaka vyuo vikuu, kuna wazo la kujiongezea kipato huku

    Nimeamua kuja na wazo biashara kwa wale walimu wote wanaojituma kwenye kuandika makala mbali mbali hasa za kitaaluma. Fursa ipo kwenye kuandika na kutafuta walaji wa kile unacho kiandika. Equation x ameamua kuwa kati ya anayeandika (mwandishi) na mlaji, ili mwisho wa siku uweze kuona matunda...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosomea kozi ya kiswahili na mawasiliano wana nafasi ya kupata ajira

    Hivi wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosomea kozi ya kiswahili na mawasiliano wana nafasi ya kupata ajira katika ukufunzi wa ndani ya nchi na hata nje?
  10. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania BOT imepanga Kushirikisha vyuo vikuu ukuzaji wa akili Unde

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) leo tarehe 22 Januari 2026 imesaini Hati za Makubaliano ya Ushirikiano (MoUs) na taasisi tano za elimu ya juu kwa lengo la kukuza matumizi ya akili unde (AI), kuimarisha ubunifu katika matumizi ya data, na utafiti katika kuongeza tija kwenye uundaji wa sera na...
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini wakuu wa vyuo vikuu vya umma Tanzania huwa ni wanasiasa, viongozi wa serikali au majaji wastaafu wazee?

    UDSM-Rais mstaafu, JK Mzumbe-Rais wa Zanzibar mstaafu, Ali Mohamed Shein SUA- Jaji Joseph Warioba UDOM- Jaji mkuu mstaafu, Prof Ibrahim Juma Ardhi University- Jaji Mohamed Chande Muhimbili- Alikuwa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi Chuo Kikuu Huria- Mizengo Pinda MUST- Abeid Amani Karume
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Vyuo vikuu vikubwa sasa viwe mfano wa UDSM kupeleka mkoa wa kagera

    Kurundika wasomi wote wasome Dar kuna changia mazingira ya ushawishi wa vijana ambao wanatoka mikoani kutoshawishika na mikoa mingine. Hongera UDSM kufanya campus yenu kuwa mkoa wa kagera ili kuvutia wanaotoka mikoa ya kanda zaiwa na nchi jirani kusoma. Kuweka campus kubwa kuna saidia...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Uhuru wa Walimu vyuo vikuu unaingiliwa. Wakifundisha wanarekodiwa. Huu ni udikteta uchwara.

    Yaani tumefikia hapa?
  14. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kiliba: TAHLISO hatutoshiriki au kuunga mkono maandamano ya Disemba 9

    Wakuu, Rais wa TAHLISO Bw Godfrey Kiliba amesema jumuiya hiyo haitashiriki wala kuunga mkono maandamano yasiyo na ukomo yaliyopangwa kuanza Desemba 9, 2025, akitoa msimamo huo leo Desemba 7 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.
  15. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Serikali imejipanga kuweka complete lockdown D9 kwenye vyuo vikuu

    Hawa watu wamechanganyikiwa, vyuoni Kuna upungufu mkubwa wa wanafunzi, kuna wanafunzi wengi hawajaripoti vyuoni, mpaka vyuo vimeanza kuwapigia simu kuulizia kama ni wazima. Vyuoni now kila siku semina ,kuwashawishi vijana wasiandamane, Sasa wamepanga tarehe 8/12 wataweka curfew vyuoni na D9...
  16. mager6

    JamiiForums Tanzania Bora vyuo vikuu vingeanza baada D9

    Watoto wetu hatujui hatma yao
  17. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Vyuo vikuu vya UDSM/DODOMA/MBEYA KUMTUNUKU WANU HAFIDH SAMIA PhD ya Heshima Kwa Mchango wake katika Wizara ya Elimu 🤣🤣

    Ndivo vyombo vya habari Vitakavyoripoti !! Huyu Maza na watoto wake, Elimu zao ni za hapa na pale, ni za kuunga unga sana , Ugonvi wao na Elimu unaanza Wakifika Kidato Cha Nne. Dec 9 ni maandamano makubwa kwelikweli hayajawahi kutokea yaan ni makubwa Mnoo, ALAFU TUNAWAONYA MAPOLISI...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu yatangaza Vyuo kufunguliwa 24/11/2025 kwa Wanafunzi wanaoendelea na masomo na 17/11/2025 kwa wapya (1st yr)

    Wakuu Hatimaye Wizara ya Elimu imetoa tamko rasmi kwa vijana wa vyuo kurudi masomoni Taarifa hiyo iliyotolewa Novemba 8, 2025 kupitia mitandao ya kijamii ya wizara ya elimu Tanzania inaeleza kuwa; === Wizara ya Elimu, sayansi na Teknolojia inapenda kuutarifu umma kuwa, kwa mujiu wa kalenda ya...
  19. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wahadhiri wa Vyuo Vikuu Waanza Mgomo licha ya Serikali Kutoa KSh. 2.5 bilion wakidai ni kinyume na Makubaliano ya Mkataba

    Wanachama wa Chama cha Wahadhiri wa Vyuo Vikuu (UASU) wameanza mgomo wao licha ya Hazina ya Taifa kutoa KSh. 2.5 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa awamu ya pili ya mkataba wa pamoja wa 2021–2025. Wahadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi (UoN) na Chuo Kikuu cha Maseno waligoma Septemba 17, 2025...
  20. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vijana wa mama asemewe watinga Singida kuhamasisha vijana kushiriki uchaguzi mkuu

    Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe Taifa, Ndg. Geofrey Kiliba ameendelea na ziara yake mkoani Singida ambapo alikutana na vijana maafisa usafirishaji katika wilaya ya Manyoni. Soma pia: Kampeni ya mama asemewe kuandaa kongamano kubwa la wanavyuo Dodoma kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025...
Back
Top Bottom