sheria

  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tanzania Nchi ya Ajabu?, Pamoja na Fursa Zote za Kidigiti, Mpaka Leo Bado Hatuna Sheria ya E-Commerce?!. Usikute Ndio Maana Tunachelewa Sana Kuendelea

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili ya leo nikiishangaa jinsi nchi yangu Tanzania tulivyo nchi ya ajabu!, pamoja na fursa zote za kidigiti, na biashara ya mtandaoni, lakini mpaka leo bado sisi Tanzania, kama nchi, hatuna Sheria ya biashara mtandao, E-Commerce...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Raia wema wote wako salama Tanzania, isipokuwa wahalifu na wakiuka sheria

    Ni muhimu kwa wananchi na waTanzania wote kujitenga na matukio au magenge ya kihalifu, lakini pia kujiepusha kabisa katika kukiuka sheria za nchi na vitendo vya uvunjifu wa amani. Ni vizuri kutii sheria bila shuruti na kuishi na watu vizuri na kwa upendo na amani. Hii itasaidia sana kila moja...
  3. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania Je viongozi wa Serikali wanajua sheria au tumeamua nchi iongozwe kwa mtizamo wa mtu?

    Je viongozi wa Serikali wanajua sheria au tumeamua nchi iongozwe kwa mtizamo wa mtu mmoja mmoja? Kumeibuka kasumba kwenye shule nyingi hapa nchini kuweka kambi za kitaaluma kwa kigezo chan "vituo vya mada tata" au bweni bubu na wanafunzi kufundishwa muda mrefu bila kupata nafasi ya kuchangamana...
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa sheria tupeni uelekeo wa kesi ya Lissu, tunaye au watamnyonga

    Kwenye betting tunasema cash out Ukiwa unatazama game inavyoenda unaweza kuona uelekeo na kutoa mzingo Mnyukano wa hoja unaendelea Namkumbuka 1. Walianza mashahidi wa Jamhuri 2. Ushahidi muhimu wa video na picha ulikataliwa, ambao ulikuwa muhimu 3 TAL akiwabana Mashahidi wa kubumba 4...
  5. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Kuzuia No Reforms No Election tubadilishe sheria tuwe kama Singapore?

    Nchini Singapore kwa mujibu wa sheria kupiga kura ni lazima. Kila mwananchi ana jukumu la kupiga kura na mwananchi ambaye hatashiriki kupiga kura bila sababu ya msingi kama vile ugonjwa au kuwa nje ya nchi jina lake linaondolewa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. Ili kulirudisha jina...
  6. kavulata

    JamiiForums Tanzania Barabara za mwendokasi zitungiwe sheria yake

    Usafiri wa mwendokasi kama hautatungiwa sheria zake itakuwa kazi bure. Hali ilivyo sasa ni vuluvulu
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mwanasheria au mwanasiasa msomi kabisa halafu anasusia uchaguzi au anakiuka sheria?

    Yaani unakuta kiongozi ni msomi kabisa, tena anaongoza chama cha siasa au taasisi halafu eti ni mropokaji na fisadi wa mali za chama chake. Hii imekaaje my friends, ladies and gentlemen? Je, mtu wa aina hii anakua bado hajajikimboa kifikra au elimu aliyonayo ni ya kukiuka sharia, kuomba...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mwenye kuielewa sheria hii ya mafuta na gesi anieleweshe. Sikiliza clip toka Bungeni

    Changu changu , chako chetu
  9. Trainee

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Baadhi ya maafisa wa serikali wanadhulumu sana watu kwa kigezo cha "kutekeleza majukumu ya kikazi"

    Nianze na tukio lililotokea juzi na likanihuzunisha mno. Watu wa maliasili wamepita barabara ya Nangurukuru-Liwale wakakusanya na kuchukua mkaa wa walalahoi wote wanaouza mkaa barabarani, wengi ni wanawake walioporwa mkaa wao aisee wamelalamika mno! Tukibaki na maliasili haohao, mtu akikutwa...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Sheria za Ardhi kwa Wawekezaji Wageni

    Sheria inasema foreigner anaweza kupewa derivative right ya kumiliki ardhi kwaajili ya uwekezaji tu. Kuhusu swala la disposition (kuuza/kurithisha) ardhi husika Sheria ya ardhi imewaka restrictions kwamaana kwamba mwekezaji atatakiwa kurudisha ardhi kwa wamiliki waliompatia haki ya kuwekeza...
  11. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Akikuahidi kukuoa halafu asikuoe, sheria inaruhusu kumshtaki dai fidia

    Nchini Nigeria sheria inawaruhusu wanawake kuwashtaki wanaume kwa kuvunja ahadi ya ndoa ikiwa uchumba utavunjika. Jambo hili huchukuliwa kama mkataba wa kisera (civil contract), mwanamke anaweza kudai fidia kwa hasara alizopata. Hii inajumuisha gharama zilizotumika katika maandalizi ya harusi...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria mkuu usitetee wavunja sheria ,ufafanuzi uliotoa naupinga kwa % 100

    *KATIBA inaweka sharti kwamba makamu wa Rais awe na sifa za kikatiba ikiwemo swala la uanachama wa chama Cha siasa *Mh nchibi aliandika kwamba kujiuzuru kwake kuanze tarehe 4 September na Rais alikubali tarehe hyo *Lakini ,kama tarehe 26 August ccm ilimuvua uanachama ndipo swali...
  13. John Haramba

    JamiiForums Tanzania Unajua nini maana ya Muswada wa Sheria? Hii hapa maana yake

    Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Uandishi wa Sheria Bungeni, Ndugu Agnes Ndumbati akielezea mchakato mzima wa Muswada wa Sheria kabla haujawa Sheria kamili.
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KSh8,000 Kupiga Shoot Nairobi? Sheria Mpya Yazua Gumzo

    Sheria hiyo mpya imeweka ada ya KSh8,000 kwa kila commercial filming session ya local production, huku production teams kutoka nje zikitozwa KSh50,000. Music video production itagharimu KSh10,000, huku content creation studios zikitozwa KSh40,000 kwa mwaka. Influencers wanaoandaa monetised au...
  15. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Siku Kukifanyika mabadiliko ya sheria na makosa yote kua na dhamana isipokua kosa la mauaji, hio ndio itakua mwisho wa ofisi ya DPP.

    Hii ofisi katika period ya Samia imetumika kihuni sana..saiv hata wakiona unaisema sana serikali wanakusingizia kosa wanalojua halidhaminiki ili ukae ndani uumie then utoke uwanyenyekee. Siku kukifanyika madiliko nahisi kuanzia hapo DPP atakua anaenda ofisini na kwenda Shamba..
  16. M

    JamiiForums Tanzania Kuishi kwa mazoea badala ya sheria

    Nimefuatilia sana mijadala mingi inaoendelea kuhusiana na tamko la Serikali juu ya mabus ya Usafiri Mikoani na matumizi ya Stendi ya Magufuli. Ni hivi, miji yote mikubwa duniani ina Kituo kikuu cha Usafiri wa mabus au treni (Central Station) ambapo mabus yote hufikia pale kisha kuna usafiri wa...
  17. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Hii ndo maana halisi ya "Rule of Law" tuheshimu Sheria za Nchi hakuna msalia mtume kwenye kusimamia maadili ya Taifa

    Kauli za wanasiasa wasio na Maadili zinaathari kubwa sana kwenye ustawi wa Taifa letu, Leo hii serikali imerudi nyuma kutengeneza miundombinu ambayo ilishamalizana nayo kitambo kwasababu ya kauli za hovyo za viongozi wajinga na wapumbavu so paining 😭 Sheria zipo na hazimuogopi mtu. Mtu mmoja...
  18. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Rais aliyeko madarakani ana kinga ya kutoshitakiwa/kuitwa mahakamani kutoa ushahidi isipokuwa kwa hiari yake. Lengo ni kulinda hadhi ya u-Rais

    Chini ya sheria na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais aliyeko madarakani hawezi kulazimishwa au kuitwa mahakamani kutoa ushahidi au kushtakiwa kwa sababu anapewa kinga kamili ya kikatiba kulinda hadhi na utendaji wa kiti cha urais. Kinga ya KikatibaKifungu cha Sheria: Ibara ya...
  19. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Kabla hujafikisha miaka 35, unapaswa kujua sheria hizi 10 za ndoa

    Ndoa haivunjwi kila mara na kukosekana kwa upendo. Wakati mwingine huvunjwa na ego, kutokuelewana, kinyongo na kushindwa kujifunza kukua pamoja. Ndoa yenye afya si ile ambayo haina migogoro, bali ni ile ambayo watu wawili wanachagua kusuluhisha matatizo badala ya kushindana. Usisubiri ndoa...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wabunge Wapitisha Sheria Kali Dhidi ya Urekebishaji wa Matokeo ya Michezo

    Bunge la Kitaifa limepitisha Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Michezo, 2026, unaolenga kukabiliana na visa vya kupanga au kuathiri matokeo ya mashindano ya michezo nchini Kenya. Mswada huo, uliodhaminiwa na Irene Nyakerario Mayaka, unapendekeza kuweka sheria kali dhidi ya vitendo...
Back
Top Bottom