Leo naomba tusiangalie matatizo ya nchi yetu kama matukio yaliyotengana. Naomba tuunganishe doti (connect the dots) kuona jinsi mzunguko wa fedha za umma (fiscal flow), ununuzi wa magari ya kifahari ya serikali, na uozo wa maadili mitaani na vyoni unavyohusiana moja kwa moja.
Ukweli mchungu ni...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimetoa documentary fupi ambayo inaonesha kuwa suala la changamoto ya usafi katika vyoo vya majengo ya chuo hicho umefanyiwa kazi na kwamba vyoo ni visafi.
Ikumbukwe kuwa mara kadhaa Wadau tofauti wa JamiiForums.com wamekuwa wakidai kuna changamoto ya usafi katika...
PADRE WABANHU ATEULIWA KUWA MAKAMU MKUU WA CHUO CHA SAUT
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambaye pia ni Kansela wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania (SAUT), na Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi, Mhashamu Wolfgang Pisa, OFMCap, amemteua Padri Profesa Emmanuel...
Kuna huyo mshikaji, amemaliza form four 2013, sasa alikua anataka kwenda chuo sasa diploma hapa zenji, Kwa bahati mbaya alipoteza vyeti vyake, na mwaka huu anataka anze mwaka wa kwanza diploma in clinical medicine.
Kuna watu wanadai atumie index no yake ya form four, ambayo anayo, Kuna wengine...
Naomba ufafanuzi kuhusu vigezo vya udahili wa kozi ya Doctor of Medicine (MD).
Mwongozo wa TCU unaeleza kuwa mwombaji anatakiwa awe alisoma somo la Physics katika ngazi ya O-Level. Je, wanafunzi waliosoma katika shule za ufundi (Technical Secondary Schools), wakasoma mchepuo wa Science...
Anonymous
Thread
chuo
doctor
kozi
kujiunga
medicine
physics
school
tcu
tcu guide book
waliosoma
Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) linashindwa na linatuchanganya kikawaida shahada ya uuguzi na ukunga ni miaka 4 na internship mwaka mmoja jumla mitano ila Chuo cha Agakhan wanatoa degree miaka 2 na wao wapo kimya bila ufafanuzi na hili limekuwa kero hata wauguzi kubadilishiwa madaraja...
Anonymous
Thread
chuo
gani
hii
kutoka
miaka
shahada
tofauti
vingine
Habari ndugu zangu !
Mdogo wetu wa kike amepata ufaulu huu hapa chini na tungependa kupata ushauri kwa next step.
GS - S
Physics - D
Chemistry- C
Bio - C
Bam - C
Anapenda mambo ya afya sana, sasa je ufaulu utamruhusu ?
Chuo gani bora kwa kozi hizo hapa Tanzania ?
Gharama / mkopo nini kifanyike...
Wakuu samahani
Nimesajili laini mpya ya HALOTEL ya chuo Ina wiki Sasa
Walinipa gb kama 5 hivi za ofa mwanzoni navosajili alafu wakasema Kuna ofa ukiunga kifurushi cha mb 980 cha 2000 na ukatumia ndani ya masaa SITA kikaisha wanakupa ofa ya gb 2.
Nataka kuuliza kama Kuna mtu ashawi fanya hii...
Kwa kijana mwenye umri wa 22yrs mwenye mtaji wa 3.5M apa mjini dsm ungemshauri ajikite kwenye biashara zipi zinakazomfanya atoboe kimaisha baada ya miaka michache?
Katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, hususan katika vituo vya mikoani, kuna malalamiko kuhusu mgawanyo wa baadhi ya nafasi za kazi ambazo zinaonekana kutotumika ipasavyo.
Kwa mfano, kuna vituo vyenye wafanyakazi watatu pekee lakini bado vina Afisa Rasilimali Watu (Human Resources Officer)...
Anonymous
Thread
chuochuo kikuu
chuo kikuu huria
huria
kikuu
mikoani
tanzania
vituo
Usalama wa Taifa si tu kutokuwepo kwa vita, usalama wa Taifa unahusu umoja wa Kitaifa, Utulivu wa kisiasa, uchumi, teknolojia, masuala ya kijeshi na mazingira.
Chadema kimekwisha kuwa chama cha kitaifa kutumia taasisi za serikali kama Jeshi, polisi na usalama kukizuia kufanya kazi ni...
Habari za asubuhi wadau
Nahitaji MSAADA wa kupata chuo huko kwenye mitandao mingine naona matangazo mengi kuhusu hiki chuo vipi wakuu kinafaa au ndoa kizuri chajiuza.......
KARIBU CHUO DIRECT*
Hiki ni Kikundi Rasmi cha Msaada kwa Waombaji wote wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati Tanzania.
Huduma Tunazotoa:
1. Mikopo ya HESLB- Maombi kamili, marekebisho ufuatiliaji
2. Uhakiki wa Vyeti - Vyeti vya kuzaliwa.
3. Namba za AVN & Loss Reports - Tunakusaidia kuipata kwa...
Kwangu mimi niliweza ku-save lakini sio kiasi kikubwa sana hadi namaliza chuo ni kama naanza upya
Sasa nimekutana na mdada katika story mbili tatu ananiambia pesa ya Boom ndio iliyomfikisha hapo, kiukweli na biashara anayofanya na zile pesa za kila baada ya miezi miwili ni mbingu na ardhi...
Habari, najua hii ni personal lakini nimemaliza chuo cha CBE Dar es salaam tangu mwaka 2021, nimekuwa nafuatilia matokeo yangu mpaka leo sijapata.
Nashindwa ku apply masters na ni vigumu kupanda cheo au mshahara sababu ya kukosa hayo matokeo ya bachelor.
Huwa nawaza kama hawa viongozi au...
Anonymous
Thread
baada
chuo
kufanya
matokeo
mrefu
muda
muda mrefu
stahiki
ufuatiliaji
Kutoka Chuo cha KIUT Dar es Salaam, wanafunzi wa corse ya Bachelor of Pharmacy mwaka wa 4 na 3 tunakumbana na changamoto ya mwalimu mmoja ambae somo lake (pharmacognosy)mpaka uzunguke mbuyu ndio ufaulu hata mitihani yake sio standard kabisa.
Anonymous
Thread
bachelor
changamoto
chuo
dar
dar es salaam
kutoka
mmoja
mwaka
mwalimu
pharmacy
somo
wanafunzi
Wadada wa IFM wanachakatwa aisee, serikali ya awamu ya 6 iingilie kati. Wasomi gani hawa?
Naomba mama yetu kipenzi toka kizimkazi aokoe hawa wake za watu watarajiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.