simba

  1. Chibike

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Timu ya PAMBA wachezaji walipewa maelekezo maalumu kuwaumiza kwa makusudi wachezaji wa SIMBA, Bodi ya ligi itoe adhabu Kali kwa timu na refa

    Hii ni kweli kabisa na limeonekana wazi kabisa katika mechi ya leo. Ni neema na kudra za Mwenyezi Mungu tu TUMETOKA salama Wana Simba wachezaji wametoka Salama uwanjani. Ilaaniwe timu ya PAMBA na waliowatuma kufanya UHUNI huo. Nasubiri kamati ya masaa 72 ifanye kazi yake.
  2. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanao-bet simba anafunga ama sare, muwe makini sana leo

    Leoo kazi ipo wakamariaa kaeni mbalili na Simba. Waashakata tamaaaa Leo msishangae wakifungwa ama Kudrow Sema Amina yaradiii
  3. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kwamba Morani mmoja angeweza kumkabili na kumuua simba peke yake?

    hii stori nimekuwa nikizisikia mara nyingi lakini mpaka leo sijawahi kuamini moja kwa moja. Simba ni mnyama mwenye nguvu, kasi, makucha na meno ya kutisha. Hata wawindaji wa kisasa wenye bunduki humheshimu sana. Naambiwa kwamba zamani au mpaka sasa kulikuwa na baadhi ya Wamasai ambao shujaa...
  4. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahojiano ya mwenyekiti wa bodi ya simba yabainisha hali ilivyo Simba

    🚨Magori anasema Barker alisema Uza. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba, Crescencius Magori, amefichua siri nzito ya jinsi klabu hiyo ilivyolazimika kufanya biashara ngumu ya kuwauza mastaa wao watatu, Jean Charles Ahoua, Kibu Denis, na Steven Mukwala, wakati wa dirisha dogo la...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wachokonozi wa mambo yasiyo wahusu Eti kati ya faly Ipupa na Simba wa tandale (Diamond platinum Madako masebu) Nani ana mkwanja mrefu?

    Nawauliza ninyi mnaojua mambo mengi ...Ni nani kati ya Faly Ipupa na Diamond platinum Madako masebu ana pesa mingi kuzidi mwenzie?
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba ijiongeze nje ya uwanja kwa gharama yoyote lasivyo Yanga anaenda kubeba kombe mara ya tano, aibu hii

    Itakuwa aibu kubwa kwa Simba kuendelea kushuhudia Yanga wakibeba kombe mara ya tano mfululizo. Simba wanapaswa kufanya kila linalowezekana nje ya uwanja kulinda heshima yao. Kama ni kuwavuruga Yanga kisaikolojia, kuongeza motisha kwa timu zinazocheza nao, kununua marefa, kuwashawishi baadhi ya...
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Simba 1 - 0 Dodoma Jiji | Uwanja wa KMC, Mei 24, 2026

    Mechi kati ya Simba na Dodoma Jiji inapigwa leo, Mei 24, 2026 kwenye uwanja Wa KMC, Simba inaingia kwenye mche huu ikiwa nyumba ya Yanga kwa pointi 2, Ikiwa na alama 55 ya pili kwenye msimamo huku Dodoma ikiwa na alama 33, na ya 8 kwenye msimamo. Nani kuongeza alama? Ni moja au 3 acha tuone au...
  8. Allen Kilewella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hizi mechi ndizo zitaamua nani anakuwa bingwa 2025/2026

    Bila ya kujali msimamo wa ligi ulivyo hivi sasa, mechi sita za mwisho za ligi kuu Tanganyika, ndizo zitakazoamua nani atakuwa bingwa Kwa msimu wa mwaka 2025/2026. Wakati Simba itaanza na Dodoma Jiji (24/05/2026) Yanga wao siku inayofuata itakutana na Namungo. Mechi ngumu kwa Simba, Yanga mechi...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba inajiamulia tu mambo yake! Yaipiga Coastal 2-1 na kuongoza Ligi Kuu, leo Mei 21, 2026

    Simba yawakanda Coastal kwao, mechi yaisha 2-1 na kuongoza Ligi Kuu, leo Mei 21, 2026 Mechi iliyopigwa Uwanja wa Mkwakwani Tanga imewafanya Simba SC Kuibuka na Ushindi baada ya kusawazisha na kisha kuongeza Goli baada ya kutanguliwa kwa Goli 1. Ushindi huu unaifanya Simba kuwa juu ya Msimamo...
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatumtaki Rio Ferdinand. Amelishwa maneno mengi kuhusu Simba. Kwa haya anayosema tutaonana wabaya

    Ijulikane kama mmemleta kwa ajili ya Simba au Tanzania. Maana naona ujinga mwingi sana unaendelea. Anasemaje anataka aonane na wachezaji wa Simba? Ili iweje? Itokeeje? Ikaaeje? Ni upuuzi hata kumwonesha goal la Chama. Kwani Ligi hii limefungwa goal moja tu? Serikali. Iangalie jambo hili tusije...
  11. Kichuguu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba hii ya Baker Inatisha: Yanga tujiandae kisaikolojia

    Simba hii ya Baker inainyesha kutisha kweli kweli; Yanga tujiandae kisaikolojia, Yanga hii tumekuwa butu sana kwenye kushambulia goli la mpinzani na vile vile tumekuwa lege lege sana kwenye kilinda goli let. Simba inaonekana kuwa imara sana kulinda goli lao na vile vile wana makali ya...
  12. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tatizo la Simba linaanzia hapa

    Nilikuwa namtetea sana Mangungu kwamba hana uwezo sababu katiba haimpi nguvu. Baada ya marekebisho ya katiba amekaa kimya na kuqcha bodi ambayo haitambuliki iendelee kufanya maamuzi ikiwemo kuingia mkataba wa kutengeneza kadi wakati swala la kadi za wanachama linatakiwa kuwa chini yake...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Vin Nkolomboka: Kinywaji Halisi Nguvu ya Simba

    Wazee wa ulabu, mjaribu hichi Kinywaji mtanishukuru baadae...wazee wa maji, Kinywaji kinawahusu hiki.
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashujaa FC Vs Simba Sc Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma, 14 Mei 2026

    Yap Yap ni Leo, Mei 14 2026 Simba ndani ya Msitu mzito wa Sokwe Aina ya Mashujaa FC, Mashujaa wamejiapiza kuikaanga Simba siku ya leo huku Simba wakiweka wazi kuwa kilichowapeleka Kigoma ni alama 3 tu na si vingine, kwani utalii wa kuona Sokwe si jambo lao. Simba leo watakuwa na Presha kubwa...
  15. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

    Viongozi wa Simba wanajua wanaenda poteza ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo. Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli. Hivi timu kubwa km Simba ni yakukaa na kuwa wanafurahia magoli ya wachezaji wao?? Turudi kwa kiwango cha chama...
  16. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Aisee hata simba wenyewe wamebaki wanashangaa🤣🤣

    https://youtube.com/shorts/ckpjnHkqa9E?si=mG_23v6OuBb17h3T
  17. Hance Mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Drafti: Ronaldo kaisha tangu arudi kutoka ughaibuni, kesho atacheza na Simba Dom kwa aibu atakayoipata hatokaa asahau

    Kuna wakati kulikuwa na ubishi nani mkali kati ya dogo Sisko(jini) na Ronaldo (mwanasayansi) kiukweli kwa kipindi kile angalau angalau angefurukuta ila alikuwa kila akiwekewa dau acheze naye anakimbia au akijua kwenye mashindano Sisko yupo jamaa hashiriki hayo mashindano. Sasa bwana jamaa hapa...
  18. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Derby kuchezewa Isamuyo kabla ya week kuisha watu wanahamia KMC- Simba na TTF ina viongozi wajinga sana

    Unangangania Derby kuchezewa kmc ukijua kabisa uwanja sio mzuri kwa sababu tu unataka tu kumkomoa timu fulani cha ajabu unapewa baraka na TFF kabla ya week haijaisha unarudi tena TFF unalalamika uwanja ni mbovu wanakukubalia kumbuka week iliyopita walikukingia kifua kwamba uwanja ni mzuri swali...
  19. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Simba 1- 0 JKT Tanzania; ni "Mzee " Chama tena

  20. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Adui yako ni kama simba, ukimfuga utageukakuwa kitoweo

    Kitu ambacho kinaweza kumfanya mtu aje ajute ni kufikiri mtu mbaya anaweza kubadilika , ukishamtambua mtu ni mbaya / adui yako take action fast otherwise u will be screwed first
Back
Top Bottom