simba

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mashujaa FC vs Simba SC l Ligi Kuu ya NBC l Lake Tanganyika l 14.05.2026 l 04:00 Jioni

    Mashujaa FC wataikaribisha Simba SC leo Mei 14, 2026 katika Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, kuanzia saa 4:00 jioni, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC wenye umuhimu mkubwa kwa mbio za ubingwa. Kwa Simba SC, huu ni mchezo muhimu wa kurejesha kasi katika harakati za kutwaa taji la ligi, huku...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

    Viongozi wa Simba wanajua wanaenda poteza ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo. Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli. Hivi timu kubwa km Simba ni yakukaa na kuwa wanafurahia magoli ya wachezaji wao?? Turudi kwa kiwango cha chama...
  3. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Aisee hata simba wenyewe wamebaki wanashangaa🤣🤣

    https://youtube.com/shorts/ckpjnHkqa9E?si=mG_23v6OuBb17h3T
  4. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Drafti: Ronaldo kaisha tangu arudi kutoka ughaibuni, kesho atacheza na Simba Dom kwa aibu atakayoipata hatokaa asahau

    Kuna wakati kulikuwa na ubishi nani mkali kati ya dogo Sisko(jini) na Ronaldo (mwanasayansi) kiukweli kwa kipindi kile angalau angalau angefurukuta ila alikuwa kila akiwekewa dau acheze naye anakimbia au akijua kwenye mashindano Sisko yupo jamaa hashiriki hayo mashindano. Sasa bwana jamaa hapa...
  5. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Derby kuchezewa Isamuyo kabla ya week kuisha watu wanahamia KMC- Simba na TTF ina viongozi wajinga sana

    Unangangania Derby kuchezewa kmc ukijua kabisa uwanja sio mzuri kwa sababu tu unataka tu kumkomoa timu fulani cha ajabu unapewa baraka na TFF kabla ya week haijaisha unarudi tena TFF unalalamika uwanja ni mbovu wanakukubalia kumbuka week iliyopita walikukingia kifua kwamba uwanja ni mzuri swali...
  6. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania FT: Simba 1- 0 JKT Tanzania; ni "Mzee " Chama tena

  7. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Adui yako ni kama simba, ukimfuga utageukakuwa kitoweo

    Kitu ambacho kinaweza kumfanya mtu aje ajute ni kufikiri mtu mbaya anaweza kubadilika , ukishamtambua mtu ni mbaya / adui yako take action fast otherwise u will be screwed first
  8. uran

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Match Day Kariakoo Derby Vikosi VINAVYOANZA. Updates... Timu zote zimewasili tayari kwenye Uwanja wa Mchezo. Major Isamuhyo Mbweni... Kikosi cha Yanga kimegoma kuingia kwenye vyumba vyakubadilishia Nguo. Wameingia kwenye nyumba ya pembeni... Sasa ni saa 11:18jioni DK 1 Mpira umeanza kwa...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Dabi ya Simba na Yanga kesho mashakani

    Hizi ni za ndani kabisa kesho mechi ya Simba na Yanga iliyopangwa kufanyika katika uwanja wa Meja Isamuhyo ipo kwenye hati hati ya kutochezwa. 'Updates' zitakuja hivi punde au kesho asubuhi.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu aipongeza Simba kwa Ushindi wa mbinde dhidi ya Yanga

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza Bungeni leo Aprili 30, 2026, ameipongeza klabu ya Simba kwa ushindi wa bao 1 dhidi ya Yanga. Klabu ya Simba ilitwaa ubingwa wa Muungano mbele ya Yanga katika fainali iliyochezwa katika Uwanja wa New Amaan Complex...
  11. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Baada ya kombe la Muungano Simba atatwaa kombe lipi?

    Je, kuna uwezekano wa Simba kutwaa kombe lingine zaidi ya hili la muungano? Kama upo, niambie ni lipi
  12. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week

    Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week.. Kalikuwa kasehemu kadogo tu. Kuwa waingie vyumba vya kubadilishia jersey. Waligoma goma now wameshakubali. Watarudi kuja pokeay⁴
  13. C

    JamiiForums Tanzania Leo Simba ana uwezekano Mkubwa sana wa kushinda, nitawachambulia kwanini,

    Yanga Ameshinda mechi zake nyingi kila alikutana na simba. Fikiria interms of probability, una coin yenye pande 2, kichwa na mwenge.. umerusha mara ya kwanza ikatua kichwa, mara ya pili kichwa hadi mara ya sita zote mfululizo kichwa. hapa unajua kabisa chance ya kupata upande wa mwenge ni...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    MATCH DAY Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa LEO 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Yanga SC wanaingia...
  15. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Anaweza kuifunga Simba ni refa tu na sio Yanga

    Hapo vip! Ni wazi yanga wanalijua hili ndio maana huwa wanacheza na marefa na sio kcheza na Simba.Yanga hana uwezo wa kuifunga au kutoka sare na Simba ila refa na waamuzi wa pembeni ndio huwa wanamfunga Simba au wanasare na Simba mfano darby iliyopita Simba amenyimwa goli lake la halali na...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Simba 3-0 Mlandege | New Amani Zanzibar Kombe la Muungano | 26 Aprili 2026. Fainali ni Simba vs Yanga

    Mnyama anaunguruma Zanzibar, Dabi ipo pale pale hakuna kukimbia Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 inatarajiwa kuzikutanisha Yanga dhidi ya Simba, hiyo ni baada ya Simba kuitafuna Mlandege Magoli 3 -0 kwenye Nusu Fainali iliyopigwa Uwanja wa Amaan, Aprili 26, 2026. Fainali hiyo inatarajiwa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Ligi Kuu: Namungo 1-3 Simba. Majaliwa Stadium 19 Aprili 2026

    Namungo yuko nyumbani akimkaribisha Simba mechi ipo dakika ya 13 kwenye uwanja wa Majaliwa Stadium. Vikosi vya leo Gli kwanza la simba limewekwa ndani na Libesse Gueye 25' Simba wanapata bao la 2 mfungaji Oura 30' Namungo 0- Simba 2 33' Namungo wanapata bao la kwanza kwa mkwaju wa...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Ligi Kuu Bara. FT: Fountaain Gate 0 - 3 Simba uwanja wa Amri Abeid Aprili 15, 2026

    Mechi kati ya Simba inaendelea muda huu Simba wakiwa mbele kwa bao 2 dhidi ya Fountain gate. Simba yupo ugeninim, Goli kwanza limefungwa na Chama, la pili limefungwa na Gueye. Na sasa ni kipindi cha pili ----- Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Asha Baraka aomba Simba ipewe uwanja kama ilivyopewa Yanga. Hivi haya ndio mahitaji ya Watanzania wabunge wanayojadili?

    Mbunge wa Viti Maalum, Asha Baraka amemwomba Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba kutoa uwanja kwa ajili ya klabu ya Simba kama ilivyopewa klabu ya Yanga Kweli pamoja na kero chungu nzima mbunge anaenda kuomba Simba apewe uwanja kama alivyopewa Yanga, hivi ndio vipaumbele vya wabunge wa CCM...
  20. upupu255

    JamiiForums Tanzania KWELI Ukikutana na Simba silika ya kushambulia huongezeka ikiwa umewageuzia mgongo

Back
Top Bottom