Mashujaa FC wataikaribisha Simba SC leo Mei 14, 2026 katika Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, kuanzia saa 4:00 jioni, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC wenye umuhimu mkubwa kwa mbio za ubingwa.
Kwa Simba SC, huu ni mchezo muhimu wa kurejesha kasi katika harakati za kutwaa taji la ligi, huku...
Viongozi wa Simba wanajua wanaenda poteza ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo.
Wakaamua kuja na njia ya kusifia magoli ili mashabiki wahamishie furaha Yao kwenye kushabikia magoli.
Hivi timu kubwa km Simba ni yakukaa na kuwa wanafurahia magoli ya wachezaji wao??
Turudi kwa kiwango cha chama...
Kuna wakati kulikuwa na ubishi nani mkali kati ya dogo Sisko(jini) na Ronaldo (mwanasayansi) kiukweli kwa kipindi kile angalau angalau angefurukuta ila alikuwa kila akiwekewa dau acheze naye anakimbia au akijua kwenye mashindano Sisko yupo jamaa hashiriki hayo mashindano.
Sasa bwana jamaa hapa...
Unangangania Derby kuchezewa kmc ukijua kabisa uwanja sio mzuri kwa sababu tu unataka tu kumkomoa timu fulani cha ajabu unapewa baraka na TFF
kabla ya week haijaisha unarudi tena TFF unalalamika uwanja ni mbovu wanakukubalia kumbuka week iliyopita walikukingia kifua kwamba uwanja ni mzuri swali...
Kitu ambacho kinaweza kumfanya mtu aje ajute ni kufikiri mtu mbaya anaweza kubadilika , ukishamtambua mtu ni mbaya / adui yako take action fast otherwise u will be screwed first
Match Day
Kariakoo Derby
Vikosi VINAVYOANZA.
Updates...
Timu zote zimewasili tayari kwenye Uwanja wa Mchezo. Major Isamuhyo Mbweni...
Kikosi cha Yanga kimegoma kuingia kwenye vyumba vyakubadilishia Nguo.
Wameingia kwenye nyumba ya pembeni...
Sasa ni saa 11:18jioni
DK 1
Mpira umeanza kwa...
Hizi ni za ndani kabisa kesho mechi ya Simba na Yanga iliyopangwa kufanyika katika uwanja wa Meja Isamuhyo ipo kwenye hati hati ya kutochezwa.
'Updates' zitakuja hivi punde au kesho asubuhi.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza Bungeni leo Aprili 30, 2026, ameipongeza klabu ya Simba kwa ushindi wa bao 1 dhidi ya Yanga.
Klabu ya Simba ilitwaa ubingwa wa Muungano mbele ya Yanga katika fainali iliyochezwa katika Uwanja wa New Amaan Complex...
Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week..
Kalikuwa kasehemu kadogo tu. Kuwa waingie vyumba vya kubadilishia jersey. Waligoma goma now wameshakubali. Watarudi kuja pokeay⁴
Yanga Ameshinda mechi zake nyingi kila alikutana na simba.
Fikiria interms of probability, una coin yenye pande 2, kichwa na mwenge..
umerusha mara ya kwanza ikatua kichwa, mara ya pili kichwa hadi mara ya sita zote mfululizo kichwa. hapa unajua kabisa chance ya kupata upande wa mwenge ni...
MATCH DAY
Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji.
Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa LEO 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Yanga SC wanaingia...
Hapo vip!
Ni wazi yanga wanalijua hili ndio maana huwa wanacheza na marefa na sio kcheza na Simba.Yanga hana uwezo wa kuifunga au kutoka sare na Simba ila refa na waamuzi wa pembeni ndio huwa wanamfunga Simba au wanasare na Simba mfano darby iliyopita Simba amenyimwa goli lake la halali na...
Mnyama anaunguruma Zanzibar, Dabi ipo pale pale hakuna kukimbia
Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 inatarajiwa kuzikutanisha Yanga dhidi ya Simba, hiyo ni baada ya Simba kuitafuna Mlandege Magoli 3 -0 kwenye Nusu Fainali iliyopigwa Uwanja wa Amaan, Aprili 26, 2026.
Fainali hiyo inatarajiwa...
Namungo yuko nyumbani akimkaribisha Simba mechi ipo dakika ya 13 kwenye uwanja wa
Majaliwa Stadium.
Vikosi vya leo
Gli kwanza la simba limewekwa ndani na Libesse Gueye
25' Simba wanapata bao la 2 mfungaji Oura
30' Namungo 0- Simba 2
33' Namungo wanapata bao la kwanza kwa mkwaju wa...
Mechi kati ya Simba inaendelea muda huu Simba wakiwa mbele kwa bao 2 dhidi ya Fountain gate.
Simba yupo ugeninim, Goli kwanza limefungwa na Chama, la pili limefungwa na Gueye. Na sasa ni kipindi cha pili
-----
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC...
Mbunge wa Viti Maalum, Asha Baraka amemwomba Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba kutoa uwanja kwa ajili ya klabu ya Simba kama ilivyopewa klabu ya Yanga
Kweli pamoja na kero chungu nzima mbunge anaenda kuomba Simba apewe uwanja kama alivyopewa Yanga, hivi ndio vipaumbele vya wabunge wa CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.