raisi

  1. Fbn

    kuna wabunge wanashangaza sana ana kwambia tumalize Gen z ndio kina sababisha uvunjifu wa amani.Hivi ana elewa ilo neno maana mtoto raisi yupo

    Bungeni kuna vituko sana yani ni vilaza wa kambare matopeni. Unaposema Gen Z ni kuingamiza hata uwelewi kuna mtoto wa raisi wako na mwanao. Ulijua ni chama kipya.
  2. Best home tutor

    Tumetenga milioni mia kwa ajili ya kuhamasisha Amani ,Ahsante Raisi wetu kwa kuliona hili hitaji la kila mmoja .

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali imetenga Shilingi milioni 100 kwa ajili ya kuwazawadia wananchi watakaotoa taarifa sahihi zitakazosaidia kubaini na kuzuia vitendo vya uvunjifu wa amani nchini. Amesema hatua hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano kati ya...
  3. S

    Waheshimiwa Spika na Wabunge semeni ukweli msipepese macho; Raisi huapa kuulinda muungano wa JMT; kwa yanayoendelea nchini, mnaona anafanya hivyo?

    Raisi anapoapishwa, anatamka kwa namna iliyo wazi sana kwamba ataulinda muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), na hiki ni kipengele kikubwa sana cha kiapo chake. Raisi ana mamlaka upande wa Tanganyika na Zanzibar, hivyo anapaswa kuuulinda muungano katika pande zote hizi mbili...
  4. Rev. Kishoka

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe. Lakini imekuwa ni dhambi, tena yenye sumu kali kwa mtu yeyote kuhoji au kutaka kuuchambua Muungano huu. Lengo langu si...
  5. Stability

    Watu weusi mlipigwa mchana kweupe na mkakubali

    Ukweli ni kuwa Obama hakuwa raisi wa kwanza mweusi hapo US bali Raisi wa kwanza chotara.
  6. MakinikiA

    Hormz ngoma nzito Rais wa Iran ambiwa na IRGC kaa pembeni..

  7. Best home tutor

    Wakili Pascal Mayala kwanini matokeo ya Raisi hayawezi kupingwa popote?

    Habari ya hasubuhi. Sio kwa nia mbaya ni vile watanzania wengi hatujui sheria na katiba kwa hyo ningependa kufahamu hasa majibu kutoka kwa huyu mwandishi wa habari na wakili wa kujitegemea. Kuna mambo mengi nahitaji ufafanuzi wa kisheria mfano Suala la Matokeo ya raisi kutopingwa popote...
  8. A

    Raisi Mpya wa Botswana: Kama umeshawahi kuiba mali ya Serikali anza kukimbia sasa hivi

    Rais Duma Gideon Boko wa Botswana ametoa onyo kali kwa watu wanaotuhumiwa kufuja rasilimali za umma, akitangaza kuwa serikali yake itafuatilia urejeshaji wa fedha zilizoibiwa bila kujali ni lini wizi huo unaodaiwa ulitokea. "Ikiwa umewahi kuiba kutoka kwa serikali, anza kukimbia sasa hivi!"...
  9. U

    Raisi wetu anastahili kupongezwa sikuhizi magereza mtu akitoka anatoka na ujuzi kamili wa kujiajili haji kuwa mzigo mtaani

    Nilifurahi kuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya kuwa Kinara wa Dhana ya Urekebishaji wa Wafungwa Magerezani kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Paschal Katambi kwenye hafla ya hafla ya kuhitimisha...
  10. U

    Raisi Samia ameonyesha utu kwa vitendo kutembelea magereza

    Watanzania tujisikie farari kumpata mama anatujari na ana utu
  11. Smartkahn

    Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii. Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani. Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu...
  12. Eli Cohen

    Hii ni aina gani ya bunduki alieonekana nayo mlinzi wa raisi mapema leo baada ya kashi kashi katika hafla ya chakula cha jioni?

  13. S

    Mtazamo: Inawezekana Samia aliwalenga zaidi ICC aliposema ripoti ya Jaji Chande ni mali ya Raisi na asitokee mtu wa kuidai

    Binafsi nafikiri hiyo ndio sababu kubwa ingawa mtazamo wa wengi ni kuwa anakwepa watu kuichambua na kuonyesha mapungufu yaliyomo katika hiyo ripoti. Inawzekana ICC wakaidai hiyo ripoti kabla ya kutoa uamuzi wao juu ya Samia na wenzake kama wsshitakiwe au laa kwahiyo wanakwepa /wanajihami
  14. Kijakazi

    Kulikoni Rais wa Syria na kiongozi wa zamani wa ISIS kucheza wimbo wa rapper wa Marekani Missy Eliot?

    haya hao ndizo leaders wa islam ambao wanachapa wengine viboko kwa kuvaa suruari, wanakataza watoto wasiende shuleni kwa sababu ni elimu wa "mfumo Kristo", kwamba wakakariri Kurani madrasa, sasa angalia yeye mkuu wa al-qaida na raisi wa mpito wa siria ahamed huseni Al-sharaa akijiburudisha na...
  15. K

    Tume ya Chade ni ya Rais na sio tume huru

    Tume ya Chade ni ya Rais na sio tume huru. Yaani anaweza kuamua chochote kuhusu hiyo tume anaweza kuamua kuiweka kwenye makabati na kufungia mandazi au kuchagua sentensi mbili za wapinzani wake au kujisafisha. Tunataka tume ya kitaifa
  16. Fbn

    Hivi inakuwaje kesi ambayo mpaka sasa inasema ni TZ wakati Zanzibar kuna raisi

    Muungano wa ajabu nchi hii.Yani kesi ya mwanadada mmoja wanatangaza ni tanzania ina maana tanzania ni znz.
  17. The Burning Spear

    Mkumbisheni Raisi kwamba Nguvu inayotumika kuwapeleka kaburini wateule wake inastahili

    Helolloooo Hizi off target hatuzipendi tunataka malaika watoa roho wapige panapostahili. Tutamaliza bia zote hadi tutaenda kunywea kwenye masufuria ya viwandani.
  18. Dalton elijah

    SI KWELI Raisi wa FIFA Ametoa Masaa 72 Uongozi wa CAF kujiuzulu

    kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya facebook likiwa na nukuu ya kuwa rasis wa fifa gian infantinho ameta masa 72 kwa uongozi wa caf kujiuzulu Katika chapisho hilo ambalo limesambazwa kwenye mtandao huwa facebook lia nukuu ya ujumbe kama ufuatavyo” BREAKING NEWS...
  19. NGAYANIMO

    Rais wa Manzese Madee

    MADEE Historia ya Pendo, aliyekuwa mpenzi wa msanii Madee, ni hadithi ya kusikitisha ya kifo chake kupitia ajali iliyotokea miaka mingi iliyopita,Ni miaka takribani 16 Tangu kifo cha pendo kitokee.. jambo lililoacha alama kubwa maishani mwa Madee. Madee alionyesha huzuni yake kwa kutunga wimbo...
  20. Dalton elijah

    SI KWELI Bobi Wine amekutana na Rais Donald Trump

    Kumekuwepo na machapisho kadhaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, yakimuonesha aliyekuwa mgombea wa urais nchini Uganda, Bobi Wine, akidaiwa kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump. Hata hivyo, ukweli ni kwamba picha hizo zinazosambaa mitandaoni zimetengenezwa kwa kutumia...
Back
Top Bottom