raisi

  1. A

    JamiiForums Tanzania Raisi Mpya wa Botswana: Kama umeshawahi kuiba mali ya Serikali anza kukimbia sasa hivi

    Rais Duma Gideon Boko wa Botswana ametoa onyo kali kwa watu wanaotuhumiwa kufuja rasilimali za umma, akitangaza kuwa serikali yake itafuatilia urejeshaji wa fedha zilizoibiwa bila kujali ni lini wizi huo unaodaiwa ulitokea. "Ikiwa umewahi kuiba kutoka kwa serikali, anza kukimbia sasa hivi!"...
  2. U

    JamiiForums Tanzania Raisi wetu anastahili kupongezwa sikuhizi magereza mtu akitoka anatoka na ujuzi kamili wa kujiajili haji kuwa mzigo mtaani

    Nilifurahi kuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya kuwa Kinara wa Dhana ya Urekebishaji wa Wafungwa Magerezani kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Paschal Katambi kwenye hafla ya hafla ya kuhitimisha...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Raisi Samia ameonyesha utu kwa vitendo kutembelea magereza

    Watanzania tujisikie farari kumpata mama anatujari na ana utu
  4. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii. Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani. Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu...
  5. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hii ni aina gani ya bunduki alieonekana nayo mlinzi wa raisi mapema leo baada ya kashi kashi katika hafla ya chakula cha jioni?

  6. S

    JamiiForums Tanzania Mtazamo: Inawezekana Samia aliwalenga zaidi ICC aliposema ripoti ya Jaji Chande ni mali ya Raisi na asitokee mtu wa kuidai

    Binafsi nafikiri hiyo ndio sababu kubwa ingawa mtazamo wa wengi ni kuwa anakwepa watu kuichambua na kuonyesha mapungufu yaliyomo katika hiyo ripoti. Inawzekana ICC wakaidai hiyo ripoti kabla ya kutoa uamuzi wao juu ya Samia na wenzake kama wsshitakiwe au laa kwahiyo wanakwepa /wanajihami
  7. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Kulikoni Rais wa Syria na kiongozi wa zamani wa ISIS kucheza wimbo wa rapper wa Marekani Missy Eliot?

    haya hao ndizo leaders wa islam ambao wanachapa wengine viboko kwa kuvaa suruari, wanakataza watoto wasiende shuleni kwa sababu ni elimu wa "mfumo Kristo", kwamba wakakariri Kurani madrasa, sasa angalia yeye mkuu wa al-qaida na raisi wa mpito wa siria ahamed huseni Al-sharaa akijiburudisha na...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tume ya Chade ni ya Rais na sio tume huru

    Tume ya Chade ni ya Rais na sio tume huru. Yaani anaweza kuamua chochote kuhusu hiyo tume anaweza kuamua kuiweka kwenye makabati na kufungia mandazi au kuchagua sentensi mbili za wapinzani wake au kujisafisha. Tunataka tume ya kitaifa
  9. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje kesi ambayo mpaka sasa inasema ni TZ wakati Zanzibar kuna raisi

    Muungano wa ajabu nchi hii.Yani kesi ya mwanadada mmoja wanatangaza ni tanzania ina maana tanzania ni znz.
  10. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Mkumbisheni Raisi kwamba Nguvu inayotumika kuwapeleka kaburini wateule wake inastahili

    Helolloooo Hizi off target hatuzipendi tunataka malaika watoa roho wapige panapostahili. Tutamaliza bia zote hadi tutaenda kunywea kwenye masufuria ya viwandani.
  11. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Raisi wa FIFA Ametoa Masaa 72 Uongozi wa CAF kujiuzulu

    kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya facebook likiwa na nukuu ya kuwa rasis wa fifa gian infantinho ameta masa 72 kwa uongozi wa caf kujiuzulu Katika chapisho hilo ambalo limesambazwa kwenye mtandao huwa facebook lia nukuu ya ujumbe kama ufuatavyo” BREAKING NEWS...
  12. NGAYANIMO

    JamiiForums Tanzania Rais wa Manzese Madee

    MADEE Historia ya Pendo, aliyekuwa mpenzi wa msanii Madee, ni hadithi ya kusikitisha ya kifo chake kupitia ajali iliyotokea miaka mingi iliyopita,Ni miaka takribani 16 Tangu kifo cha pendo kitokee.. jambo lililoacha alama kubwa maishani mwa Madee. Madee alionyesha huzuni yake kwa kutunga wimbo...
  13. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Bobi Wine amekutana na Rais Donald Trump

    Kumekuwepo na machapisho kadhaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, yakimuonesha aliyekuwa mgombea wa urais nchini Uganda, Bobi Wine, akidaiwa kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump. Hata hivyo, ukweli ni kwamba picha hizo zinazosambaa mitandaoni zimetengenezwa kwa kutumia...
  14. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Rais ajaye wa kutoka bara awe na degree ya Historia!

    Watanzagiza wanaangamizwa na kuangamia kwa kukosa uelewa wa historia, wengi hawaelewi historia ya hii nchi tuishio, muslim wanailewa vizuri na ndiyo maana wako ahead of the game, nashauri raisi ajaye (kama hata kuna kitu kama raisi ajaye tena ambaye siyo muslim) kama siyo mwana historia basi...
  15. Pakome

    JamiiForums Tanzania Orodha ya raisi wafuatano wanaweza kuingiza dunia kwenye vita kwasababu wana tatizo la wenge

    Donald Trump Ni raisi mwenye chokochoko hana tofauti na kidawa mpenda kufunua Makaburi na vyungu vya sumu ambavyo havikutakiwa kufunuliwa, kesha funua vyungu vingi vipo wazi vinatema sumu na sasa dunia nzima inakohoa Kim Jong Un Ni raisi mwenye mikono inayowasha sana anapenda kuchezea moto...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Rais kuwa mgeni rasmi kwenye mechi ya Yanga na Simba huko Zanzibar

    Raisi wa Tangabar anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye dabi ya kariakoo itakayopigwa tarehe 01/03/2026 katika uwanja wa Amaan huko Zanzibar.
  17. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Rais wa Taiwan ajitapikia akiwa kwenye maadhimisho ya sikukuu

    Hivi hawa wazee nilijua Afrika tu hadi hizi nchi za Taiwan Huyu mzee kajichokea amejitapikia dakika chache tu baada ya kusimama na wenzie kusimama kuadhimisha sikukuu yao.
  18. pulex

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

    Alikwenda kwenye mkutano wa AU pamoja na mambo mengi alitegemea kutambulishwa kama Rais aliyemaliza CHAGULIWA nchini TZ. Wenzake waliomaliza kushinda uchaguzi wakatambulishwa, yeye akaondoka kwa aibu kuliko hata alivyokwenda. Kwa M7 ni bado hajaapishwa hivyo alitambuliwa kama Raisi wa awamo...
  19. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ushauri wangu kwa Rais Samia na CCM kuhusu ushindi wao wa kidemokrasia katika Uchanguzi Mkuu 2025

    Napenda kuwakumbusha Raisi Samia na CCM wote kwamba neno demokrasia halina maana sawa na haki, na wala demokrasia haihalalishi haki, na pia inaweza kupindisha haki au hata kuhalalisha ukosefu wa haki. Hata siku moja msikate shauri kwamba mtu aliechaguliwa kidemokrasia na wengi ndio mwenye haki...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka kamzidi Samia kwa kipaji. Jifunzeni

    Kamzidi kwa uzoefu , elimu, kipaji na kujua kuongea https://youtu.be/pMynZNjFjf4?si=lC5nosA3JhoG4xny
Back
Top Bottom