lissu

Tundu Antiphas Mughwai Lissu (born 20 January 1968 in Ikungi district, Singida) is a Tanzanian lawyer, CHADEMA politician and Member of Parliament for Singida East constituency since 2010. He is also the former President of Tanganyika Law Society (TLS), the bar association of Tanzania mainland, and Chief Legal Officer for Tanzanian opposition party CHADEMA.
Over the years Lissu has built a reputation as a prominent lawyer, fierce opposition figure and outspoken government critic, especially with his repeated confrontations with the government in President Magufuli's tenure in the country. Lissu was responsible for the research and preparation of the document that revealed the involvement of the state's high ranking officials in plundering of public funds, famously known as the LIST OF SHAME. The fierce lawmaker has been arrested at least six times in 2017 alone, accused of insulting the president and disturbing public order, among other charges. On 23 August 2017 his home was searched by the police after he was arrested and questioned over allegations of sedition and insulting President John Magufuli, calling him a 'petty dictator'. His arrest came after he revealed to the public that a plane bought for the national carrier had been impounded in Canada over unpaid government debtsIn the afternoon of September 7 2017 during a parliamentary session break, Tundu Lissu, whilst in his car, was shot multiple times and seriously injured by unknown assailant (the so called unknown people who engaged in many kidnaping and assassinate opposers) in the parking lot of his parliamentary residence in Area D, Dodoma. This happened merely weeks after Lissu declared publicly that certain people instructed by IGP Sirro and the Head of National Intelligence unit Mr Kipilimba, had been stalking him for weeks. Tundu Lissu received emergency treatment for some hours at Dodoma General Hospital before, in fear of his safety, was air-lifted to Aga Khan Hospital in Nairobi, Kenya where he was hospitalized for months before being flown to Belgium to undergo further treatment and rehabilitation . He was hospitalized at the Leuven University Hospital in Gasthuisberg, where he has reportedly undergone nineteen (19) operations to date. Until today, it is still uncertain when Lissu will return home; his brother and family spokesman, advocate Alute Mughwai added that the family would prefer his young brother to stay in Belgium for treatment until he fully recovers.
With his preceding political stance, the recurring arrests plus the recent attack on Lissu have been condemned as 'cowardly', 'heinous' and 'an attack on democracy' by political, human rights and religious organizations. Lissu's party officials openly addressed their concerns to the public and to President Magufuli, who is also Chairman of the nation's ruling party CCM, that the attempt on Lissu's life was politically motivated and just another retaliation on the lawmaker's repeated run-ins with the government. While President Magufuli said on Twitter that he was 'shocked' and 'saddened' by the shooting and was praying for Lissu's 'quick recovery', a number of Tanzanian politicians have aired their comments on the attack, with CHADEMA Chairman Freeman Mbowe and opposition figure Zitto Kabwe hinting on the necessity of having a foreign body man the investigation on the brutal attack.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    JamiiForums Tanzania Heche hataki Lissu atoke, anachekelea umaarufu wa kufa kufaana

    Heche alikuwa akimnanga Rais Samia kuwa amefurahia kuwa Rais baada ya Rais JPM kupata shida iliyomuondoa. Sasa hivi Heche nae hataki kusikia kabisa Mwenyetiki Lissu anatoka nje haraka. Nadhani anaomba Mungu ikiwezekana aishie hukohuko ili chama "kimsamie" kama wenzao wa CCM walivyofanya. Anatoa...
  2. F

    JamiiForums Tanzania Kati ya Samia na Tundu Lissu nani Kila mmoja anajionyesha kama mwokozi wa taifa letu

    Hilo swali hapo juu huwa linanisumbua. Nikiwaangalia wawili tajwa, na;pata taabu kidogo. Kila mmoja anajionyesha kama mwokozi wa taifa letu. Wawili hawa wametawala siasa za nchi yetu hadi kuanza kuvutia mataifa na mashirika ya nje. Lissu ni mfungwa. Samia ni rais. Lissu anajionyesha kama...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ila Msigwa Sasa Documentary ya BBC kumuhusu Lissu na Maisha yake , nayo unaitolea Ufafanuzi ? Uwe unatumia Akili

    HIi Documentary kihalisia imezungumzia Lissu na Madhira yake Kwan ni uongo Lissu amekua anaharasiwa na Polisi? Ni uongo Lissu amekua hakamatwi? Ni uongo Lissu amekua anafunguliwa Kesi? Ni uongo Lissu hakupigwa Risasi ili auwawe?. Ni uongo Lissu amepewa Kesi ya Uhaini? Ni uongo mpaka sasa Yuko...
  4. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wana Matatizo Kichwani. Wanataka Mahakama Ziwe huru Bila Kuingiliwa Halafu Hapo hapo wanataka Lissu Achiliwe Kwa Matakwa yao Na Hisia tu

    Ndugu zangu Watanzania, Kuna watu wana Akili Za Nyumbu Sijapata Kuona . CHADEMA wana Matatizo makubwa sana vichwani Mwao. Ni watu ambao hawajua wanapigania nini na wanataka nini. Ni watu wasio na Dira wala Muelekeo wala kujua wana pigania Nini na wanaelekea wapi. CHADEMA ni chama ambacho ni...
  5. C-C Daily Stories

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: ni heri Tundu Lissu afungwe maisha jela ili tupate Katika Mpya iliyo bora, hata kuandamana kutakuwa sahihi.

    Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar zinamapungufu upande wa sifa za wagombea Urais na Ubunge hata Udiwani. Tatizo wao Chadema wanataka Katiba ya KUINGIA IKULU na CCM wanataka Katiba yakuendelea kubaki madarakani nao makapuku wenzangu wao ndio hawajui chochote zaidi ni...
  6. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania BBC News Africa: Tundu Lissu: A Fight Too Far?

    Ahsante BBC. Endeleeni kumuangazia mwanga huyu dikteta muuaji Samia. Hii makala imerushwa mapema leo Jumapili, Julai 12, 2026. https://youtu.be/9V11iRcPX1A?is=XxVPX6elzuSWUZI-
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hii ya Lissu na Heche ichangiwe kwa moyo mweupe. Fedha zipo salama hii sio ile SACCOS ya Mbowe.

    Natoa wito kwa Watanganyika wote na Wazinzabari kuichangia Chadema hii maana ipo kwa ajili ya ukombozi wa taifa letu. Kutoa ni moyo. Watu wachangie bila kuwa na hofu . Pesa na michango ipo salama tofauti na zama za Mbowe. Propaganda mfu za wanaCCM waliokosa sera zisisikilizwe. Mimi binafsi...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete Apinga KATIBA Mpya, Apinga kuachiwa kwa Lissu , yote haya ni sababu ya 'Urais' aloandaliwa anaona unapepea peeeee

    Huyu Jamaa Sasa ndio kajionyesha yeye ni Mtu wa Aina gan. Tulidhani labda ni Matumizi tu mabaya ya Nafasi ya Baba yake... Huyu Mtu ana uchu wa Madaraka, Mtu aliyetayari kufanya lolote ili mradi Awe Rais.
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa Heche ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA hadi Lissu atakapokuwa huru. Utake usitake

    Sasa Heche ndo mwenye kauli ya mwisho CHADEMA. Anafanya chochote kutokana na Vikao vya chama. Hii taarifa kwa CCM wote wanaohisi Heche ni Makamu mwenyekiti. Kwa katiba ya Chadema, kwa sasa ndiye Mwenyekiti. Mlingoti chuma bendera chuma. Heche mnamuona mdogo lakini kiti chake kikubwa. Ndiye...
  10. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Walishindwa kumng'oa Lissu, sasa wamehamia kwa Heche ili waweke pandikizi akubali Maridhiano! Hamtafanikiwa!

    Script ni ile ile! Walishindwa kufanya Mbowe apate wapinzani dhaifu kwenye uchaguzi wa chama, Lissu akatia ngumu. Wamepambana weee, wamemwaga hela lakini wapi! Eti watu wa kumbackup Mbowe ndo akina Yericko Nyerere😂, mweupe utafikiri kichwani kuna pamba ndo apambane na mtu ka Lissu? Zikawekwa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Musiba alisema wamechaguliwa Lissu na Heche CCM wajipange

    Ninakumbuka Musiba aliwahi kusema baada ya Lissu na Hche kuchaguliwa na Mkutano mkuu wa Chadema kuwa CCM wajiandae na siasa ngumu kutokana na haiba ya hawa watu. Ni kweli tumeyaona utabili wake ulikuwa sahihi. wacha tuone
  12. K

    JamiiForums Tanzania Piga picha Lissu angewa mwenyekiti na Wenje makamu wake, mind you that Lisuu angewa gerezani kama ulivyo sasa

    Jamani nauliza, mmewahi kujiuliza kama Wenje angewa makamu wa Lissu wakati kama huu chama kingewaje?
  13. venchwa

    JamiiForums Tanzania Samia muachie Tundu Lissu

    Yaan unaweka akina babu tale Bungeni unemfumga Lissu huu ni upuuzi Likitokea jambo tusianze kufufua nyuzi achia Lissu
  14. K

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo’s touching Tribute to Hon. Tundu Lissu: A Debt of Fellowship and Unbending Fortitude

    "To my learned friend and compatriot, the Hon. Tundu Lissu… .. There was a season, not so distant in memory, when I myself stood in the storm; and in that season you were among those who took up my cause, lending your learning and your labour to my defence when such service carried neither...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hizi tetesi kuwa wajumbe wa Kamati kuu Chadema wamehongwa ili kukisariti chama na kumeuka Heche na Lissu zina ukweli?

    Tetesi zimezagaa mitaani kuwa wapo wajumbe wa kamati kuu ya Cdm wamekula mlungula ili kumsaliti Lissu na Heche. Hii yote wanatala Chadema imeguke na msimamo wa Lissu na Heche uyeyuke Kama.ni kweli hatufiki mbali.
  16. P

    JamiiForums Tanzania Kunani ya Msaidizi wa Lissu hadi Msaidizi wa Heche

    Wakuu umuofia kwenu! Nawasilimu kwa jina la Tanzania...... Leo Watanzania wameionyesha dunia kuwa sio "cheap" Watanzania huwa hawashirikiani na jambo wasilolijua mzizi wake, unaweza ukawanunua/wadanganya baadhi kwa mara ya kwanza ila hawawezi kurudia kosa! Kongole na kazi iendelee Nirudi...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mchome: Serikali imwachie Tundu Lissu, amekaa gerezani mwaka mmoja na nusu kwa kesi ya mchongo

    Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye amewahi kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Mwanga, Mchome Lemburus, ameiomba Serikali na mamlaka husika kumuachia Mwenyekiti wa CHADEMA,, akidai kuwa chama hicho kinamhitaji ili kurejea kuongoza shughuli zake na kusaidia...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Sigrada: Vita uchaguzi wa Lissu na Mbowe ulitengenezwa lengo CHADEMA ipasuke

    Mbunge wa Viti Maalum mkoani Njombe kupitia chama cha CHAUMMA, Sigrada Wilhem Mligo, amefunguka kuhusu changamoto zinazovikabili vyama vya upinzani nchini, akidai kuwa kuna njama za makusudi zinazofanywa na serikali ili kuvigawa na kuvidhoofisha vyama hivyo. Amesema hayo katika mahojiano...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Kutoka X: Eti kaiweka akili kama ya Mhe. LISSU pale Ukonga GEREZANI halafu kaliacha BUNGE liwe na akili kama za binti yake

    Eti samia kaiweka akili kama ya Mhe. LISSU pale Ukonga GEREZANI halafu kaliacha BUNGE liwe na akili kama za WANU binti yake make hapo kwanza nicheke😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  20. R

    JamiiForums Tanzania Kapanya: Samia mwachie huru Tundu Lissu taifa inamuhitaji. Acheni kufungia Mikutano watu waseme wakombolewe

    Mwenyekiti wa CHAUMMA Jimbo la Tarime Mjini, Butiku Masaku Mwita maarufu kwa jina la Kapanya akizunguma leo Julai 5, 2026 katika Mazishi ya aliyekuwa Dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche Soma pia TANZIA - Dereva wa John Heche akutwa amefariki...
Back
Top Bottom