ndani

The Dani people, also spelled Ndani, and sometimes conflated with the Lani group to the west, are a people from the central highlands of western New Guinea (the Indonesian province of Papua).
They are one of the most populous tribes in the highlands, and are found spread out through the highlands. The Dani are one of the best-known ethnic groups in Papua, due to the relatively numerous tourists who visit the Baliem Valley area where they predominate. "Ndani" is the name given to the Baliem Valley people by the Moni people, and, while they do not call themselves Dani, they have been known as such since the 1926 Smithsonian Institution-Dutch Colonial Government expedition to New Guinea under Matthew Stirling who visited the Moni.

View More On Wikipedia.org
  1. Stability

    JamiiForums Tanzania Hii picha moja tu imejumuisha tatizo kubwa lililopo ndani yetu vijana wa kileo

    Tume normalize mipaka iliowekwa kati ya ufuska na ukawaida Tume haribu kuta zilizokuwa zimewekwa kati ya utupu na watoto wetu. Hauwezi piga picha ya namna hii alafu mtoto wa umri huo mipaja imetoka na ameishikilia. Mipaja hii itaonekana katika public, yani akionwa huyu dogo anakumbukwa na...
  2. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Ni mtu gani anayekubalika na mwenye mvuto kwa watu ambaye anapendwa na anakubalika kwa watanzania ndani ya chama cha Mapinduzi?

    Habari wakubwa Napenda niulize swali sio kwa ubaya tu na nipewe majibu mazuri na sababu za kumtaja huyo mtu. Je kwa sasa ni nani ndani ya CCM ambaye watu wanampenda na kumwamini na akisimama kwenye jukwaa anaweza kuwajaza watu wakakaa na wakamsikiliza ? Isiwe huyu mtu amewalipa au...
  3. James Matamgazo

    JamiiForums Tanzania Njoo Nikuandikie Tangazo Na Wewe Mapato Yaongezeke Asilimia 102% Ndani Ya Siku 92

    Sio kwa ajili ya kila mtu. Ni kwa wale ambao umeshajaribu kila kitu. Na bado umekwama. Kama unahangaika kupata wateja online. Umetengeneza video yako. Umeandika caption. Umeweka pesa nyingi kwenye tangazo. Na matokeo bado ni hola. Huu ujumbe unakuhusu. Miezi mitatu iliyopita kuna mteja...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Na nyie vitu vya ndani huwa vinaisha kwa wakati mmoja kwa kufuatana?

    Kuna hili jambo la vitu kuisha kwa wakati mmoja, tena huwa vinaanza pale ambapo hata akiba ya pesa ipo kidogo. Mara Gesi imeisha, hujakaa sawa unga unakata, mchele, sukari yaani ni kama vinapeana taarifa ya kuisha unakuta ndani ya wiki moja vitu vitatu vinaisha ila ukiwa na hela vipo tu Hii...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Gen-Z wanaweza kufanikisha Maandamano ya 7/7. Kimsingi hayazuiliki kama yataanzia ndani ya viwanja vya Sabasaba

    Kabla ya kuendelea nianze kwa kusema, huu ni uchambuzi tu. Nitaanza kwa neno hili "herd behavior" hii ni tabia maalum ambayo kila binadamu anayo, kwa lugha ya kizungu hutafsiriwa hivi What herd behavior means: It's the tendency of individuals to copy what the crowd is doing rather than...
  6. majam19

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukioa au kuolewa hupaswi kulala na nguo za ndani?

    Hivi hili ni la kweli kwamba ukishaoa ama kuolewa hupaswi kulala na nguo au ni utaratibu mtakao amua kuuweka Kati mtu na mwenza wake Maana kiukwel sijajiandaa kisaikolojia kulala bila nguo hata za kulalia Hapa nataka watu wazima watuambie ukwel sis vijana wao
  7. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Ufalme wa Mungu upo ndani yenu – Luka 17:21

    Tumsifu Yesu Kristu......Ningependa kunukuu maandiko matakatifu ya Yesu mwenyewe katika injili ya Luka 17:21 "Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu unakuja lini? Aliwajibu akasema, Ufalme wa Mungu hauji kwa kuangaliwa; wala hawatasema, Tazama, upo hapa! Au, Upo pale! Kwa maana tazama...
  8. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Ofisa wa benki avunjwa mkono na mtumishi ndani ya benki wilayani Kilindi

    Ofisa mmoja wa benki inayoanzia na herufi A avunjwa mkono wa kulia na mtumishi wa kada ya ualimu.Tukio hilo limetokea jana asubuhi wilayani Kilindi ndani ya ofisi ya benki hiyo jina linahifadhiwa. Vurugu hiyo ilitokana na mwalimu huyo kuwalalamikia benki hiyo kushindwa kuondoa makato ya mkopo...
  9. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Kuna Mwanaume Katoka Leo kuendelea na Mikutano ya kisiasa? Baada la Katazo la Waziri wa Mambo ya Ndani?

    Vyanzo vyangu vya Taarifa vimejihakikishia hakuna Kunguni yoyote aliyetoka leo baada ya Katazo la Waziri wa Mambo ya Ndani Mheshimiwa sana Patrobas Katambi. Mikutano ya Chuki, Matusi, Uzandiki na Uchochezi hatimaye imekwisha kabisa. Kama ulikua hujui hiyo ndiyo Serikali.
  10. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Rais Samia suluhu Hassan Naomba mfukuze waziri wa mambo ya ndani huyu anakuhujumu mchana kweupe

    Kwa kipindi tulichopo nakushauri fukuza huyo waziri wako anaitwa Katambi huyu ni Kama anakuhujumu mchana kweupe. Kwa kipindi kama hiki joto ni kubwa kwenye nchi yetu liko juu sana sio ndani ya nchi tu mpaka nje ya nchi tumeona nchi za magharibi zinataka kutunyima...
  11. Magical power

    JamiiForums Tanzania Nini kilichopo ndani ya dawa za meno (toothpaste) na miswaki ya plastiki?

    Magical power!!!! SEHEMU YA KWANZA Leo Nataka Nizungumzie Juu ya Dawa Za Meno katika sehemu ya Kwanza na sehemu ya Pili Nitazungumzia Miswaki ya Plastiki !!!. Ninashukuru Mimi Nimezaliwa katika sehemu za Vijijini ,Kijiji kimoja kinaitwa Ngamboshi , Kimepakana na kijiji kinaitwa Miswaki ...
  12. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kwa matamko ya waziri wa ndani ni rasmi Tanzania imekwenda na maji. Tupo kwenye utawala wa kijeshi.

    Haiwezekani mtanzania kupata huduma ya kulala kwenye nyumba ya wageni lazima awe na NIDA tofauti na hapo inahesabika mhalifu. Haiwezekani mikutano ya kisiasa inazuiliwa tena na waziri wa mambo ya ndani bila kutoa sababu za msingi. Tangazeni hali ya hatari ili tujue tunabanana vipi maana maisha...
  13. idiomer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tunaenda kwako lakini siingii ndani

    Ipi kauli nyingine? Lakini hatufanyi kitu Tukutane sehemu iko wazi
  14. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiona mchumba wako ana sifa hizi oa na weka ndani

    Shikamoni wote humu natumai mu wazima wa afya. Kama hujaoa na una mchumba mwenye sifa hizi weka ndani 1.Mwenye heshima na adabu – Heshima ndiyo inabeba maana halisi ya wife material. Siyo yule anakudharau kwa kila unachofanya 2. Mwaminifu na mkweli – Ni mwadilifu katika mapenzi na maneno. Huwa...
  15. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Trillion iliyotengwa kwa kinachoitwa "safari za viongozi" ni Double Allocation. Kila wizara ya Kisekta ina fungu la OC ndani yake zimo safari

    Hii ni serikali ni wizi mtupu tena kwa kutumia mfumo rasmi ikiwemo Bunge.. Kinachogonga vichwa vya watu sana ktk bajeti hii ya 2026/2027 ambayo hawa hayawani waliookotana huko na kukutana Dodoma wakijiita "Wabunge" wamepitisha/wametia muhuri kuwapa idhini viongozi wa serikali hii haramu, ya...
  16. MSHUAH

    JamiiForums Tanzania Piga collagen ifute chunusi na ikupe glow ya ukweli kutoka ndani!"

    Piga collagen ifute chunusi na ikupe glow ya ukweli kutoka ndani!
  17. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Nyolodo Nongwa! Kuna msela flani hivi ndani ya dera hapo jijini kautaka

    Sometimes huwa najiuliza, kwa nn Nature inafeli kufata mkondo wake. Unakutana na jimama au jidada lina mitikasi, identity na personality na kiume kabisa. Kuanzia roho, akili na kiasi cha ujeuri kiko juu sana yani aggresive sio poa. Leo nimejidhatiti kulipandia boti kulifata hukohuko dar mana...
  18. E

    JamiiForums Tanzania Ndani ya miaka 10, Mawaziri wakuu 6 wa Uingereza wamejiuzulu

    Wakati Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer akijiuzulu leo Juni 22, 2026, historia inaonyesha kwa miaka 10, wameshajiuzulu mawaziri sita. Tatizo ni kwamba mfumo wa kisiasa wa Uingereza unafanya Waziri Mkuu abaki madarakani tu ikiwa anaungwa mkono na chama chake na anaweza kuongoza serikali...
  19. realMamy

    JamiiForums Tanzania Ubusy wa Baba Jinsi unavyopoteza thamani ndani ya familia.

    Baba wengi Sasa hivi wanafanya kazi kwa bidii sana. Wanaondoka alfajiri, wanarudi usiku. Wanahangaika, wanajitaidi, ili familia isikose chochote. Baba hawa wanajenga nyumba, wanalipia karo, wanakidhi mahitaji yote. Kwa macho ya watu huyu ni baba aliyefanikiwa. Lakini ndani ya kuta za nyumba...
  20. C

    JamiiForums Tanzania Habari zenu ndugu

    Habari zenu ndugu wangu ?
Back
Top Bottom