Dah,yan nimefika Moshi nimezunguka club zote maarufu toka juzi Moshi pazuri,grand nolasco,redstone,amuz,..lakini club hazina pisi wala nini..yan tunawashinda, hata Njombe,nenda club zetu nenda Mwechimupya,nenda Emirates makambako,nenda sundowns,HD,unakutana na pisi kali..nenda mwendo wa ngiri...