bado

Julio Gil Bado (born 3 June 1983) is a Spanish-Gibraltarian footballer who currently plays for Gibraltar National League side Europa Point, where he plays as a midfielder. He has one cap for the Gibraltar national team.

View More On Wikipedia.org
  1. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Usiku ni wa kupumzika, kwanini bado tunakesha?

    Kwa nini huwa unachelewa kulala? Kawaida siku inapoanza kwa kuchomoza kwa jua, watu wengi huanza pilika za kutafuta riziki na kutimiza majukumu yao ya kila siku Wengine huenda kazini, vibaruani, mashambani, sokoni, huku watoto nao wakielekea shuleni Kwa kifupi, siku huwa imejaa shughuli...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Stephen Wasira: Ujamaa bado ni msingi wa maendeleo ya Nchi

    MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, Stephen Wasira, amesema ujamaa bado ni msingi mkuu unaoendesha sera na mipango ya maendeleo nchini. Akizungumza na wanachama wa CCM mjini Moshi, leo Juni 6 2026, Wasira alisema alikana madai kuwa mfumo huo umepitwa na wakati. "Wale...
  3. Mtukutu Mkuu

    JamiiForums Tanzania HIVI BADO MNAAGIZA KIKUU

    wakuu tumaini ni wazima afya nilikuwa nauliza hivi kuna watu wanaagiza mizigo kikuu nilikiwa nataka kuagiza external driver naona kule 4tb wanauza 35k hivi naomba kujua bidhaa ni Og au
  4. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Hiki kizazi kinachofanya siasa miaka ya sasa bado kina fikra za miaka ya 70's zenye roho ya u Swahili Swahili mostly hata ibada hawafanyi

    Siku wakizeeka hawa wanaofanya siasa sahz ndipo Tanzania tutakuja kuwa na kizazi chenye siasa za malengo na kizalendo (functional politics) Kitakuja kizazi ambacho hakitataka kijue hata historia ya Tanzania kitaanzisha siasa za kisasa ambazo zitajikita zaidi kwenye kulinda heshima ya nchi...
  5. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Hivi bado bwana Putin ni mseja?

    Napenda nitambue iwapo bado Putin ni rais kapera ama la. Moisemusajiografii.
  6. The lastborn9319

    JamiiForums Tanzania Nimefika Moshi nimezunguka club zote maarufu toka juzi hakuna warembo kwenye club zao

    Dah,yan nimefika Moshi nimezunguka club zote maarufu toka juzi Moshi pazuri,grand nolasco,redstone,amuz,..lakini club hazina pisi wala nini..yan tunawashinda, hata Njombe,nenda club zetu nenda Mwechimupya,nenda Emirates makambako,nenda sundowns,HD,unakutana na pisi kali..nenda mwendo wa ngiri...
  7. Website Tanzania

    JamiiForums Tanzania Biashara Yako Bado Haina Website? Wateja Wengi Wanakutafuta Mtandaoni na Hawakupati! Website Kamili Kwa Tsh 300,000 Tu (Domain + Hosting Vimejumuishwa

    Habari wanajukwaa, Leo nataka kuzungumzia jambo ambalo wafanyabiashara wengi bado wanalipuuzia lakini lina athari kubwa sana katika ukuaji wa biashara zao – kuwa na website ya biashara. Watu wengi wanaamini kuwa Facebook, Instagram au WhatsApp zinatosha. Ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii ni...
  8. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Huu ugonjwa bado unaogopeka na wagonjwa bado wananyanyapaliwa

    Jana katika tembea tembea zangu nikakutana na mmama anatembea kwa miguu, tukiwa umbali wa meter kama 100 hivi yule mmama alidondosha kitu akaacha kukiokota akawa anaendelea kutembea, kwa mbali naona ishara za watu wakistua nimstue yule mama arudie kitu alichodondosha nami sikuelewa tukapishana...
  9. ngara23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Bado una namba ya EX wako?

    Naomba jibu
  10. robbinhood

    JamiiForums Tanzania Bado mnatumia Excel kufuatilia mali (Asset) za kampuni?

    kampuni nyingi bado kufuatilia laptop, printer, furniture au vifaa vya kazi kwa makaratasi au Excel. Changamoto inaanza vifaa vinapopotea au kukosekana kwa taarifa nani anatumia kifaa gani. Asset Management System inasaidia, 1. Kufuatilia vifaa vyote kwa urahisi 2. Kujua nani amepewa kifaa...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Wabongo mbona hatujifunzi na utapeli wa dini? Wanaibuka wahuni wanawapiga hela majitu yamezubaa. Leo Mwamposa anatangaza Keki ya Upako. Majitu yananua kwa bei kubwa kipande! Eti atapata mimba akila kipande hicho! Ndiyo maana ukombozi wa TANGANYIKA unakuwa mgumu kwa aina ya watu kama hao!
  12. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Wabunge waliopo Dodoma wanastahili kuitwa waheshimiwa Bado?

    Wachangiaji wote waliochangia bajeti ya mambo ya nje Kila mtu alimsifia Samia Nape Samia Bulaya Samia Kingu Samia Samia Samia Samia Wao wanafanya kazi Gani Sasa kama Kila kitu anafanya Samia? Kwani huwezi ongea bila kutaja jina la raisi? Kwann waitwe waheshimiwa Hawa ?
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Unamkuta mwanamke amezaliwa mweupe kabisa, halafu tena bado anajichubua, hivi hali hii huchochewa na nini?

    Binafsi hua najiskia kunyaa sana nikimuona mwanamke wa aina hiyo. Na kabisa siwezi kumtazama tena na ninaweza hata kubadili uelekeo au kuondoka kabisa mahali nilipomuona. Ni kitu gani hasa wanawake wa aina hii huhitaji? Kama ni uweupe, si wamezaliwa nao kabisa? Unakuta binti kaiva sura...
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Deep down ni kweli Wanawake bado wanataka 50/50?, uhalisia Makazini na Majumbani ukoje?

    Wakuu habari, So nimerudi tena baada ya mazungumzo mengine marefu na rafiki yangu aliyeniita 'Toxic' Wakati huu tulikua marafiki kadhaa wanaume kwa wanawake tukipiga stori hasa Ubingwa wa Arsenal na baadae mada ikafikia huku baada ya jamaa yetu mmoja kuuliza "Hivi kwa nini wanawake mliamua...
  15. Echolima1

    JamiiForums Tanzania IDF bado inawapelekea moto makali magaidi wa Hezbollah huko Lebanon!!!

    Magaidi wa Hezbollah bado wanapata kipondo ki Takatifu kutoka majeshi hodari ya Israel!!!
  16. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Makonda huwezi kuwa Rais, Mafwele huwezi kuwa IGP. Bado US/EU yuko njian KUDEAL na Wauaji wa Okt 29, Wanaopiga Vita UKRISTO, Kuteka na Kuua MAPADRE

    US kadeal na MAFWELE ,sababu alousema ni "Kuwateka akina Agatha". Sasa Kuna wale walikua Wanapiga Vita UKRISTO, Waloua watu Okt 29, Wanaomfunga Lissu na kuanzisha vita dhidi ya DEMOKRASIA. Na nyinyi Jiandaeni, Tena nyinyi Kipigo Chenu ni Cha Mbwa Koko Soma pia Mafwele azuiwa kuingia...
  17. Stability

    JamiiForums Tanzania Hivi mpaka sasa sub-saharans bado tunaamini sababu ya tabu zetu ni wazungu?

    Mimi nafikiri ni mengi tumefichwa na tukaruhusu kufichwa zaidi Ila naamini hadi sasa mnaelewa mchawi wenu ni nani
  18. K

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Chatanda ikemewe, imeonesha dharau kwa Mwenyekiti wa CCM

    Natumia jukwaa kuelezea kauli tata ya Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Chatanda na kumtaka aliyoitoa kuomba radhi kwa kauli hiyo na akemewe. Sina mashaka na uwezo na uzalendo wa Mhe.Chatanda katika kazi zake za kukiimarisha Chama lakini kauli zenye mashaka daima lina chimbuko la kusudi la kauli...
  19. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Mpaka Saa Hizi Bado Uko Macho?

    Kawaida usiku huchukuliwa kama muda wa mapumziko muda wa kuipumzisha akili na ubongo ambao pengine umefanya kazi kutwa nzima Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na wengine ambao kwao muda huu ndio kama kumekucha Lakini kama wewe haupo kwenye kundi hilo halafu mpaka...
  20. contask

    JamiiForums Tanzania Kwanini bado unajaza mamilioni benki wakati kuna USDT na other stable coins?

    Wakuu salama. Kuna mada naona inabidi tuichambue kwa jicho la kisomi kidogo, hasa kuhusu jinsi tunavyouza jasho letu wenyewe kwa kuziachia benki za kiasili zishikilie akiba zetu za muda mrefu. Ukiweka akiba ya Shilingi benki leo, kiuchumi unakutana na vitu viwili vinavyokula mtaji wako kimya...
Back
Top Bottom