Najaribu kufikiri Mimi mswahili. Hivi kwa Nini Afrika hutuwezi kutumia akili nyingi kuwawezesha watu wetu.
Ishu ya mikopo hasa kwa watu walio na ajira, nimeona wengi pamoja na kuajiriwa kwao lakini hawawezi kudhaminika kwenye mabenki. Ofisi nyingi zinashindwa kudhamini wafanyakazi wake kupata...
Najaribu kufikiri kama Mswahili. Hivi kwa nini Afrika tushindwe kutumia akili nyingi zaidi kuwawezesha watu wetu kiuchumi?
Kwa mfano, suala la mikopo kwa watu wenye ajira. Nimeona wengi, licha ya kuwa wameajiriwa, bado hawawezi kupata mikopo kwa urahisi kwa sababu hawana dhamana zinazokubalika...
Sisi waombaji wa mikopo ya asilimia 10 kutoka Halmashauri ya Nyamagana tunakabiliwa na changamoto mbalimbali katika mchakato wa kupata na kutumia fedha hizo.
Baada ya kupitia ukaguzi wa kamati tatu (kamati ya kata, kamati ya halmashauri na kamati ya wilaya) na kikundi kupitishwa, husaini...
Kampuni ya kutoa mikopo ya BRAC kwa wajasilimali wadogo hapa Tz
Hii kampuni imekuwa ikitanabsisha kutoa ajira kwa vijana wetu wa kitanzania amabo kazi zao ni kusaidia kupata wateja wa kuwapa mikopo na mikopo hiyo Ina ya aina mbili
1.Mikopo ya vikundi
2. Mikopo binafsi
Changamoto wanayopitia...
Naandika waraka huu kwa masikitiko makubwa nikiwakilisha sauti za vijana wengi ambao wanapitia mateso na unyanyasaji ndani ya kampuni ya utoaji mikopo iitwayo Orbit Microfinance Services inayofanya shughuli zake Zanzibar.
Kampuni hii imekuwa ikiendesha utaratibu wa kuajiri vijana unaoambatana...
Anonymous
Thread
jinsi
kampuni
kampuni ya mikopomikopo
vijana
wafanyakazi
wake
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Hajjat Asia Juma Messos
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: MWAKA MMOJA WA MAFANIKIO YA SERIKALI WILAYANI MKALAMA (2025/26)
Ndugu waandishi wa habari, wageni waalikwa, mabibi na mabwana,
Awali ya yote namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema...
Kuna unyanyasaji mkubwa na wa kutisha unaoendelea katika Wilaya ya Rorya dhidi ya wazee wetu wastaafu, hususan walimu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu. Kuna mtu mmoja anaitwa Adriano, amekuwa akitumia mwanya wa kutoa mikopo isiyo rasmi (mikopo umiza) ili kupora mafao ya wastaafu kwa nguvu...
Anonymous
Thread
kati
mikopomikopo umiza
mtu
rorya
serikali
wastaafu
Habari wakuu namleta mdau hapa anasema yeye anaomba kazi kwenye Microfinance yoyote kama afisa mikopo au nafasi nyingine yoyote.
SIFA ZAKE
ELIMU KIDATO CHA NNE NA DIPLOMA YA MASOKO
Ujuzi anajua vizuri kutumia Computer amewahi kujitolea sehemu kama Mhasibu miaka miwili (yaani kufanya kazi za...
Wasalaam,
Mnaohusikia na mambo ya Uchumi wa Tanzania someni hii stari kwa mstari, Sikuwa naelewa anachofanya Kafulila kupitia hii taarifa nimeanza kumwelewa.
Katika bajeti ya Rwanda ya mwaka wa fedha 2026/27 yenye thamani ya Rwf 7.8 trilioni ($5.3 bilioni), sekta ya Ushirikiano wa Sekta ya...
Mwanasiasa Abdul Nondo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT Wazalendo amezungumzia taratibu zinazotumika kutoa mikopo kwa Wanafunzi wa vyuo kutoka kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) akisema utoaji wake ni wa kibaguzi.
Wanafunzi walioshtakiwa ~...
Mara nyingi nimesema humu JF kwamba katika hali ya kuwa na raisi toka Zanzibar, waziri wa fedha toka Zanzibar, waziri wa miundo mbinu toka Zanzibar nk, kumekuwa na jitihada za makusudi kuchukua mikopo mikubwa mingi mlengwa hasa akiwa ni Zanzibar. Mpango uliopo ni kwamba ule mgao wa...
Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar ameyasema hayo Juni 11, 2026 wakati akiwasilisha mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 Serikali pia imeanzisha Mfuko wa Machinga wa kuwezesha wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama machinga, ambapo shilingi bilioni 18.5 zinaendelea...
HII NDIO LIST YA HUDUMA UTAKAZOPATA KWETU
HUDUMA KATIKA MASUALA YA AJIRA
1. KUJISAJILI AJIRAPORTAL
2. KUJISAJILI TAESA
3. KUJISAJILI KATIKA BANK PORTALS
4. KUANDAA APPLICATION LETTER
5. KU EDIT DOCUMENT MBALIMBALI
6. AVN
7. TRANSCRIPT
HUDUMA KATIKA MASUALA YA VYETI
1. KUPATA CHETI CHA...
Habari za kazi ndugu zangu.
Kuna kampuni mbalimbali zinazodai kutoa mikopo kupitia apps (applications), lakini matokeo yake zimekuwa zikilalamikiwa kwa kudhalilisha watu, kutoa vitisho, na kutoza riba kubwa kupita kiasi kwenye mikopo wanayotoa.
Sina uhakika kama kampuni hizi zote zimesajiliwa...
Mikopo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu imeanzishwa kwa lengo jema, hasa katika kipindi hiki ambacho changamoto ya ajira imekuwa kubwa nchini. Mfumo huu umekuwa msaada muhimu kwa wengi katika kujiajiri, kukuza biashara ndogo ndogo na kuinua uchumi wa wananchi. Hata hivyo, bado kuna...
Wakuu,
Nimegundua jambo la kushangaza – baadhi ya app za mikopo kama YakoMkopo na PesaSasa hazionekani tena kwenye Google Play Store. Uki-search zinaonyesha “This app isn’t available.”
Swali ni:
Je, hii ni hatua ya makusudi dhidi ya hizi app? Kama ni kweli zinafanya udhalilishaji, riba kubwa au...
Habari wanajamvi,
Katika safari ya maisha, kuna watu ambao huwa wa karibu sana kiasi kwamba wanapohitaji msaada wa kifedha unawasaidia bila kusita, kutokana na heshima na uaminifu mliojenga kwa miaka mingi. Hilo ndilo lililonikuta mimi.
Kuna rafiki yangu wa muda mrefu ambaye tumekuwa...
habar
Kwa wale wote ambào ni wafanyabiashara Wanaohitaji pesa Kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya ki biashara, naomba kuwatangazoa kuwa kuna mikopo ya pesa inayoanzia milioni moja mpaka bilioni Moja.
mdhamana ni KADI ya gari, hti ya nyumba au hati ya Kiwanja Toka serikalini.
RIBA ni asilimia...
Hii ndio list ya huduma utakazopata kwetu
Huduma katika masuala ya ajira
1. Kujisajili ajiraportal
2. Kujisajili taesa
3. Kujisajili katika bank portals
4. Kuandaa application letter
5. Ku edit document mbalimbali
6. Avn
7. Maombi ya transcript kwa kada za afya
8.Kurenew leseni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.