Guys, msaada wa haraka nipo njia panda, ishu iko hivi nimealikwa na jirani yangu mtoto wake amepata ubatizo sijui kumunio hata sielewi, nikasema ngoja nijichanganye na majirani zangu hawa ndio kimbilio langu la kwanza,
Sasa kama kawaida wanawake tumefika mapema kama kuna vikazi vidogo vidogo...
Kwa Yoyote aliekwama kupata Award Verification Number (AVN) number ✅ Anitext kwa 0622569980 Ni Bure na Kuelekeza tuu siiitaji hata mia mbovu . PIA wengine tunajua mambo ya application za Vyuo Tuwasaidie WENZETU
"Msaada" dhidi ya "biashara" (ama mabadilishano).
Mstari kati ya vitu hivi viwili mara nyingi umekuwa ukijipinda kwenye jamii, lakini ukiutazama kwa jicho la kimaadili na kisaikolojia, tofauti yake iko wazi sana.
1. Msaada Halisi (Altruism)
Msaada wa kweli unatoka moyoni na kigezo chake kuu ni...
Wakuu kwema habari zenu vipi Poleni sana na majukumu wakuu,
Ndugu yenu mdau wa Jamiiforum nakufa njaa nimeazisha Uzi wa dagaa na samaki mnipatie kazi niwatafutie lakini Naona kimya sana wakuu, Mimi ndo nimeanza Sina mtaji nimeamua kujiajiri ziwani kwa kuwatafutia samaki na dagaa,
Ili...
Jamani kina member ana hiyo picha nimepiga nikiwa na mpenzi wangu wa miaka hiyo mzenji tafadhali NAOMBA alie nayo anipatie nilijisahau nikafuta baadhi ya documents nika futa na hiyo tafadhali nipate msaada member alie nayo anipatie ni kumbukumbu zilizo Baki kwenye maisha yangu.
Siku hiyo...
Kama una changamoto ya kuomba vyuo au mkopo tuwasiliane kwa
0623446608
Kumbuka:Si kwaajili ya fedha ni kwaajili ya kukusaidia IKIWA tofauti screen shot mawasiliano yetu na jina langu halisi (tukiwasiliana utalijua) ulete hapa or whatever.Nafanya ivi kwasababu ni changamoto kubwa inayofanya...
Habari wa ndugu ....
Iko hivi ...
Nilipata ruhusa ya kwenda chuo nje ya nchi ila mkurugenzi wangu aligoma kunisainia barua.
Nikaondoka bila ruhusa yake.
Nikiwa huko masomoni nikapigwa SP ""Stop Pay"" sababu ni kuondoka kwenye kituo cha kazi bila ruhusa.
Nikapambana kwa kumbembeleza mwajiri...
Nakumbuka nilikariri hadi matarehe ya vita zao lakini hadi sasa najuta nilipoteza sana muda.
Muda huo heri ningejifunzaga hata kupalilia matuta ya kunipa chakula
Muda huo heri ningejifunzaga hata kupika nizijue survival skills
Muda huo heri ningejifunzaga kunyoa nijifunze mbinu za kujiingizi kipato
Husika na kichwa cha habari hapo juu hivi kutoa hela zilizoko kwenye acc ya airtm ni lazima majina uliyosajilia line zifanane na zilizoko kwenye acc ya airtm.. Mfano kwenye lain ya simu jina linasoma musa jumbe na majina kwenye acc ya airtm yanasoma abdala hamza.? Ni lazima zifanane.?
Sio uwongo yani kama wazazi na mliopo hapa jifunzeni kukabiriana na roho za hapa.
Wamewamaliza sana T.O wa tanzania wengine wakawa wanafundisha twisheni na wengine wakaishia kuchekwa na wasio soma.
Kuna dogo hapa mzazi wake aligundua mtoto wake sio level hii nchi ,kwa uwezo wake aliona bora...
Kwa upande wangu limekuwa tatizo la kudumu. nikijoin inakatakata huwezi kupata flow kabisa ya kinachoongelewa.
Nifanyeje niweze kusikiliza bila kukatakata.
Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu changamoto zinazowakabili wananchi wanapopata huduma za afya katika Kituo cha Afya Mundindi.
Kuna madai kwamba watoto walio chini ya umri wa miaka mitano na wanawake wajawazito wamekuwa wakitozwa fedha za matibabu, licha ya utaratibu wa Serikali kutoa huduma...
Anonymous
Thread
kijiji
ludewa
msaada
mwananchi
njombe
sana
viongozi
wananchi
wilaya
wilaya ya ludewa
Nikifika hatua ya mwisho napata ujumbe huu, na nimefanya kila kitu kujaribujaribu bado ujumbe ni ule ule
Nimewasiliana na benk wanaelekeza na nafanya marekebisho wapi.
Nionacho wataalaam wa IT wanisaidie hili jambo
Wataalam wa lugha na historia ya Afrika Mashariki naomba kueleweshwa, ilikuwaje Kiarabu kikaathiri lugha ya Kiswahili kwa kiasi kikubwa sana ukilinganisha na lugha za jamii nyingine ambazo tulichangamana nazo toka enzi hizo eg jamii za wahindi?
Na ilikuwaje tukachukua misamiati ya Kiarabu...
Jamani
Nikiingia aidha kwenye mtandao hasa email, app, system yoyote inahitaji password yangu napata ujumbe huu
Your token has expired
Awali nilifanya yafuatayo kuondoa
1. Nikiingia kwenye dot tatu kulia mwa address ya web nikaenda setting ku delete catches, cookies nk
2. Nili reflesh site...
Habarini wakubwa ninawasalimia.
Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.
Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.