Habarini wajuvi.
Ninaomba msaada wa channel za binti yangu kuhamia Benjamin Mkapa High School kwa kidato cha 5.
Binti amepangiwa Mpemba Sec huko Songwe.
Natanguliza shukurani.
Habari za wakati huu ndugu zangu, kwanza nikiri tu kwamba JF imekuwa msaada sana kwangu pindi ninapokuwa na issues mbalimbali, response imekuwa kubwa.
Kwa leo nilikuwa naomba mawasiliano au kama kuna mtu anayefanya kazi ofisi za NIDA Arusha (Especially ofisi za Kisongo) ili nimuombe anisaidie...
Habari.
Kuna mtu anauliza taratibu za kuanzisha app kwa hapa tanzania hadi iweze kua downloaded playstore/App store.
Je, ni taratibu zipi anahitaji kufuata?
Je itahitaji kwenda Tra,Tcra,Brela nk? Au unaanzisha kwanza kisha ndio unaenda kufuata utaratibu wa kiserikali?
Je kwa Tanzania ni...
Wakuu kwema,
Umepita muda wa mwezi mmoja tangu nijiandikishe nida ili kupata kitambulisho cha Taifa, sijatumiwa sms na NIN na kawaida wanasema inachukua wiki 1 tu kutoa namba
Mwenye kujua jinsi ya kuangalia kama namba imetoka au kujua maombi yapo hatua gani anielekeze.
ASANTENI.
HII NDIO LIST YA HUDUMA UTAKAZOPATA KWETU
HUDUMA KATIKA MASUALA YA AJIRA
1. KUJISAJILI AJIRAPORTAL
2. KUJISAJILI TAESA
3. KUJISAJILI KATIKA BANK PORTALS
4. KUANDAA APPLICATION LETTER
5. KU EDIT DOCUMENT MBALIMBALI
6. AVN
7. TRANSCRIPT
HUDUMA KATIKA MASUALA YA VYETI
1. KUPATA CHETI CHA...
Mimi ni mtumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Idara ya Utawala na Rasilimali Watu. Tuna changamoto kubwa inayohusu mfumo wa PEPMIS, ambapo mwaka 2025 tulitakiwa kupanda daraja lakini haikuwezekana kutokana na supervisors kushindwa kuingia kwenye mfumo huo.
Cha kusikitisha ni kwamba...
Anonymous (b4b1)
Thread
kazi
kero
kupanda madaraja
mbalimbali
msaada
naomba
sana
serikali
vigezo
wako
Habari,
Kuna paka wa jirani hapa wamempiga jiwe kiasi kwamba mguu wake mmoja hawezi kutembea tena na anamaumivu sana.
Naomba msaada nifahamu ni sehemu gani inawezekana kumpeleka akapata matibabu.
NB: Wenye paka wamemuacha kama alivyo na hawajachukua hatua yoyote ya kitabibu 😢
NAUMIA SANA...
Wakuu naombeni msaada wenu wa kimawazo kwenye hili.
Mimi ni mwalimu wa physics na chemistry ila sijabahatika kupata ajira serikalini, sasa kuna shule mbili nafundisha let say shule X na shule Y. Shule X nalipwa laki tatu, wakati shule Y nalipwa 250,000/=
Shida inapokuja shule Y wanao nilipa...
Kuna namba ya simu ipo kwenye Contact yangu nimeifutq kwenye Contact imefutika siioni lakini chakushangaza kwenye WhatsApp yangu bado hipo na status zake bado naziona. Nimejaribu kuifuta imegoma naombeni msaada shida itakua wapi.
Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani?
1. SHULE YA BUNGE
2. SHULE YA MAHAKAMA
3. SHULE YA MTAANI
4. SHULE YA JAMII
5. SHULE YA MUZIKI
6. SHULE YA RANGI
Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani?
1. SHULE YA BUNGE
2. SHULE YA MAHAKAMA
3. SHULE YA MTAANI
4. SHULE YA JAMII
5. SHULE YA MUZIKI
6. SHULE YA RANGI
Ni jambo linalotia matumaini kwamba hali duni inayolikabili taifa la Tanzania hatimaye imewagusa hata watu wa mataifa ya nje; si Ulaya Magharibi au Marekani pekee bali hata katika nchi za kiafrika na baadhi ya majirani zetu; hata kama baadhi yao hawsemi chochote hadharani kwa sababu...
Humu jf Kuna watu wana roho ngumu na mbaya sija pata kuona eti hadi I'd za kike, dah.
Kipindi Fulani nilitukanana na jamaa humu, Kuna mtu alitaka msaada, jamaa akaanza kumita tapeli nikamvaa nikamwambia bro kama una wasiwasi usitoe sio uwe chanzo cha wengine kutotoa.
Mapema majuzi nilikua...
Baraza la taifa la mazingira na mamlaka husika wananchi wenu tunateseka sana na makelele ya bar zilizopo kata ya Goba, mtaa wa Kulangwa kuanzia JOY ES LAVA, DEEZ PUB, LIVE LONGUE, MUSU PARK, BAMBA BEER na kuendelea
Imekuwa sio sehemu tena ya kuishi kwa amani, na furaha ukizingatia ni eneo la...
Tunaomba sana wahusika watutatulie kero ya usafiri katika eneo la NATTA jijini Mwanza. Mimi binafsi napitia eneo hili mara kwa mara, na hali ya foleni imekuwa mbaya sana. Pale kuna vituo viwili vya daladala—kimoja cha kwenda mjini na kingine cha kutoka mjini—lakini miundombinu iliyokuwepo...
Labda nilipitwa lakini sijawahi kusikia hata siku moja wakichangia bajeti kama msaada kwa tanzagiza, ila nasikia USA au EU wakitishia kukata msaada kusaidia bajeti kwa nini oil rich gulf states huwa hazizibi pengo ukichukulia ni marafiki wazuri wa regime iliyopo? huwa nasikia wakitoa fedha kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.