msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhari juu ya tumbo langu

    Nasikia maumivu kama yale ya kukata upande wa kulia wa wa juu karibia na mbavu Najisikia tumbo kufura Nikila kidogo najisikia tumbo kujaa Choo napata vizuri Inaweza kuwa shida gani?
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo Interns BMH Yamekwama. Tunahitaji Msaada!

    Wanafunzi wa Interns KADA zote (MD's, Nurses, Radiographers, etc) Wa BENJAMIN MKAPA HOSPITAL 🏥 hatulipwi pesa zetu za Kila mwezi kwa wakati. Kama wenzetu wa hospital nyingine nchini. Maisha ya DODOMA magumu watukumbuke jamani na sisi ni watu sio wanyama tunashida wajali uwepo wetu pale
  3. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kibarua

    NAOMBA MSAADA WA KUPATA KAZI/KIBARUA Habari wana Jamiiforums. Naomba kutumia nafasi hii kuomba msaada wa kupata kazi au kibarua chochote halali. Kwa sasa natafuta fursa ya kufanya kazi na niko tayari kufanya kazi kwa bidii kulingana na nafasi itakayopatikana. Nina elimu ya Kidato cha Sita na...
  4. Bei Rahisi Stationary

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    Naitaji msaada wa haraka Mimi ni mtumishi kutoka wizara ya mambo ya ndani,nina miaka 2 kazini, Mshahara wangu laki tano. Nataka kukopa kuanzia million 20 je inawezekana , Kama aiwezekani nitapata bei gani. Kwenye mfumo wa ESS inaleta pesa kidogo nataka niende Branch yao,Natumia CRDB Je vitu...
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel iko tayari kuishambulia Iran kivyake bila msaada wa yeyote!!!

    Inaripotiwa kwamba Israeli imeifahamisha Marekani kwamba iko tayari kuishambulia Iran yenyewe ikiwa ni lazima maana nia wanayo,Uwezo pia wanao wa kuitia adabu Iran Taifa la Israel lina haki na uwezo wa kujilinda kutokana na uchokozi wa Iran. Wakati wowote Magaidi wa Iran wataanza kupigika...
  6. monotheist

    JamiiForums Tanzania Msaada wa connection ya kazi za security

    Natumai hamjambo, Elimu yangu ni form 6 natafuta kazi ya Security officer/guard nina uzoefu wa kitosha nimefanya kazi maeneo mbalimbali ikiwemo SERENA HOTEL, TERMINAL 3 AIRPOT NA INDUSTRIAL AREAS kupitia GARDAWORLD. Nimefanya applications kwenye kampuni mbalimbali kwa njia ya email nimeishia...
  7. Mla_Chake

    JamiiForums Tanzania Wana Dawati Msaada

    Naomba kujua huu ni ugonjwa au la na je dawa yake ni nini
  8. sepema

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kiutumishi tafadhali

    Salaam wakubwa.Ushauri unaombwa kwa mwalimu wa tgts E ambaye nina bachelor ya Education in Adult Education and community development. Kwanza naomba kujua iwapo bachelor hii inakubali kubadilishiwa muundo kwenda maendeleo ya jamii. Kama inafaa naomba kujua fursa zilizopo huko kwenye maendeleo...
  9. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Sheria; Ndugu yangu kaangukiwa na tofali Kariakoo, wanagoma kumfidia

    Habari wakuu, Nina ndugu yangu ,shughuli zake ni kuuza dawa asilia mtaa wa nyamwezi na mkunguni ,kariakoo. Akiwa kwenye majukumu yake mtaa huo,kuna ghorofa linaendelea na ujenzi, tofali likatoka juu na kumgonga kichwaniMungu mkubwa, CT scan imeonesha fuvu la kichwa halijaathirika. Kamaliza...
  10. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    FAMILIA YA MUZIKI TUUNGANE : MSANII G . POP WA CREW YA PLANET 2000 ANAHITAJI MSAADA WETU Habari za wakati huu Ndugu, jamaa na Marafiki pia kwa heshima na taadhima kwa niaba ya Familia ya Ndugu JAMES KADUMA, napenda kuwataarifu kuwa Mwana Iringa mwenzetu JAMES KADUMA (G. POP) kutoka kundi la...
  11. Mwafrika Halisia

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kozi ya Ordinary Diploma in Civil Engineering (DIT) ina mkopo wa HESLB? Taratibu zake zikoje?

    Wakuu salama, Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT) kusomea kozi ya Stashahada ya Uhandisi wa Ujenzi (Ordinary Diploma in Civil...
  12. Mwafrika Halisia

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kozi ya Ordinary Diploma in Civil Engineering (DIT) ina mkopo wa HESLB? Taratibu zake zikoje?

    Wakuu salama, Natumai mko wote heri. Nina ndugu yangu wa karibu amefanya maombi ya chuo mwaka huu na katika matokeo ya kwanza (Batch One) amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga na Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT) kusomea kozi ya Stashahada ya Uhandisi wa Ujenzi (Ordinary Diploma in Civil...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri Kwa yeyote ambaye anafahamu biashara ya kupeleka mbuzi Kiwandani

    Naombeni ushauri Kwa yeyote ambaye anafahamu biashara ya kupeleka mbuzi Kiwandani hususani Tan choice au Union meat Group, je kwa namna ya upimaji wa mbuzi au kondoo Kwa kilo ipo faida yoyote?? Nauliza hivi kwasababu ni nyama pekee ndiyo inayopimwa,bei Kwa Kilo ni sh ngapi? Ngozi,vichwa na...
  14. Marry Diana

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali

    Shikamoon wakubwa zangu. Juzi jumamosi nimeibiwa Pochi yangu na watu waliokuwa kwenye bodaboda Maeneo ya Tabata bima Kwakweli Kwa umasikini wangu nimeumia Sana. Pochi yenyewe ina Thamani ya 35000 Pia kulikuwa na simu Samsung S22,pesa tasilimu 780000 nilizoagizwa nikanunue Mahitaji ya nyumbani...
  15. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji msaada kwa ninyi wataalamu wa leseni za usafirishaji wa abiria

    Tunahitaji msaada kwa ninyi wataalamu wa leseni za usafirishaji wa abiria. Kwa sasa teknolojia imekuwa na mambo yamebadilika sana. SWALI: Je? Kuna uwezekano wa kupata leseni ya kubeba abiria toka CHANIKA(Dar) mpaka MARANGU MTONI? (MOshi) Yaani nakula vichwa mdogomdogo panda shusha,huku...
  16. Vien

    JamiiForums Tanzania Naogopa sana kuomba msaada; Kwangu kukwama si jambo la kawaida

    Mimi ni mtu ambaye naona aibu sana kuomba msaada. Sijawahi kuzoea maisha ya kutegemea kwamba siku nikikwama nitampigia mtu simu aniokoe. Kwa namna nilivyojijenga, naona kuomba msaada ni hatua ya mwisho kabisa, na huwa najitahidi nisiifikie. Kwa sababu hiyo, nimejifunza kuishi kwa mipango...
  17. Owen chimela

    JamiiForums Tanzania Msaada dawa ya asili au dukani inayotibu jicho sugu

    Husika na kichwa hapo juu. Nina kijana mdogo wa miaka 6 ana matatizo ya jicho moja kutoa machozi na matongotongo mfululizo. Nimejaribu Hizi Antibiotics za macho nimeshindwa nimejaribu sawa kadhaa za asili nazo zimeshindwa kutibu tatizo kwa zaidi ya mwaka sasa. Naomba kwa mwenye uzoefu na tiba za...
  18. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    salaam wakuu. Nimefungua akaunti ya ajira portal tangu mwaka jana, taarifa zote muhimu(CV)nimeweka na imekamilika kwa asilimia 98. Changamoto nipale ninapotaka ku apply nafasi za kazi inaniandikia *Failed" na maneno flani chini yake. Kuna mtaalamu nilimshirikisha akadai inatokana na mimi kuwa...
  19. COLTAN

    JamiiForums Tanzania Msaada, natumia Sony Xperia inanisumbua, nifanyaje?

    Habarini? Msaada. Natumia Sony Xperia, Model SOG08, Android 13. Nikifungua app yoyote, inakuja Chrome. Nikifungua app ya SMS, inakuja Chrome. Nikifungua app ya muziki, inakuja Chrome. Nifanyeje ili iwe kama zamani? Kwamba nikifungua app ya SMS nisome ujumbe, au nikifungua app yoyote ije...
  20. betting machine

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Back
Top Bottom