kamili

Moasseseh-ye Kamili (Persian: موسسه كميلي‎, also Romanized as Moasseseh-ye Kamīlī) is a village in Veys Rural District, Veys District, Bavi County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 24, in 4 families.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    KERO Nafuatilia Pasipoti Uhamiaji Kurasini tangu 2025, nimelipia fedha kamili wao wanataka wanipe Pasipoti ya muda! Why?

    Nina dukudhuku kuhusu Idara ya Uhamiaji Kurasini hapa Dar es Salaam, Mtu unaomba Passport kwa ajili ya matembezi mfano kwenda Kenya wao wanataka bank statement, unaleta bank statement wanataka barua ya mwaliko. Unaleta barua ya mwaliko wanakusukumizia kwa afande mwingine wanaanza kuhoji ukoo na...
  2. Tlaatlaah

    Chadema HQ, kuweni na hofu ya Mungu kwa rambirambi wanazotoa waombolezaji, ni heshima zikafika kamili kwa wafiwa na familia kwa ujumla.

    Katika misururu ya misiba ya viongozi na wanachama wa chadema sehemu mbalimbali nchini, pamekuwepo na tetesi, minong'ono, tuhuma na malalamiko ya mara kwa mara dhidi ya wizi au upigaji wa fedha za rambirambi zinazotolewa na waombolezaji kwaajili ya wafiwa, na badala yake, wakusanyaji michango...
  3. Last sentinel

    Chuo Direct: Msaada Kamili Waombaji Vyuo

    KARIBU CHUO DIRECT* Hiki ni Kikundi Rasmi cha Msaada kwa Waombaji wote wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati Tanzania. Huduma Tunazotoa: 1. Mikopo ya HESLB- Maombi kamili, marekebisho ufuatiliaji 2. Uhakiki wa Vyeti - Vyeti vya kuzaliwa. 3. Namba za AVN & Loss Reports - Tunakusaidia kuipata kwa...
  4. de Gunner

    Wakati kataa ndoa mnakomaa, wanaume kamili Wali enjoy Father's day

    Hivi huwa najiuliza what do men live for? Tuwe na majumba makubwa? Magari? Tupate recognition na fame? Lahasha, vitu vyote hivyo ni temporary fulfillment. Nothing beats a better family, a better wife, with children. No money, no accolades, no fame can ever buy it. Chekini real men wa...
  5. Dr Arshavin

    Jenga Uhusiano Imara: Mwongozo Kamili

    Wanaume na wanawake wote wanatamani mapenzi, utulivu na kuhisi kuthaminiwa. Ukitaka uhusiano wako udumu, soma hii kwa umakini sana!! 1. Baki single mpaka umvutie mtu sahihi, mtu ambaye yuko tayari kukupenda bila masharti ya ajabu. 2. Jitunze mwenyewe. Jinunulie zawadi, jifurahishe na...
  6. ufalmedigital

    🐔 Kozi ya Ufugaji wa Kuku – Mwongozo Kamili wa Biashara ya Kuku

    7 Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara rahisi kuanza lakini yenye faida kubwa nchini Tanzania. Kozi hii ya ChuoSmart inalenga kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanzisha, kusimamia na kukuza mradi wa kuku kwa mafanikio—iwe ni kuku wa nyama au mayai. Kozi hii imeandaliwa kwa lugha rahisi ya...
  7. UjenziTz

    Huduma za Ujenzi: Ramani,B.O.Q, Vibari na Ujenzi

    KARIBU KWA HUDUMA BORA ZA UJENZI Huduma zetu ni kama zifuatazo 1.Ramani za nyumba aina zote 2.Kuanda makàdirio ya ujenzi Yani B.O.Q 3.Ufatiliaji wa vibari vya ujenzi na Mabango 4.Ujenzi na usimamizi. 5.Uhuishaji majengo(Renovation) 5.Ushauri wa kitaalamu wa Ujenzi. Karibu tukuhudumie,,huduma...
  8. C

    Kwanini matukio mengi yanapangwa kuanza saa fulani kamili au na nusu

    Saivi tumeshaendelea sana ki teknolojia, saa zinaenda sambamba kila mahali, hatutegemei kusikia jogoo amewika au kuangalia kivuli ili tujue muda. Lakini kila tukio, iwe kikao, vipindi vya redio au tv muda wa kuingia ofisini muda wa kuanza mechi muda wa kuanza mkutano Utasikia zinapangwa sa...
  9. U

    Raisi wetu anastahili kupongezwa sikuhizi magereza mtu akitoka anatoka na ujuzi kamili wa kujiajili haji kuwa mzigo mtaani

    Nilifurahi kuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya kuwa Kinara wa Dhana ya Urekebishaji wa Wafungwa Magerezani kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Paschal Katambi kwenye hafla ya hafla ya kuhitimisha...
  10. E

    PostGE2025 Asasi za Kiraia: Takwimu za Tume ya Jaji Cande kuhusu vifo 518 hazitoi sura kamili

    Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 27 wakati Asasi 14 za kiraia zikitoa msimamo wao kuhusu ripoti ya Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Uvunjifu wa Amani Oktoba 29, Wakili Jebra Kambole kutoka Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amesema takwimu za tume (vifo 518) hazitoi sura...
  11. britanicca

    Graham Aitaka Udhibiti Kamili wa Hormuz, Akataa Mkataba Wowote na Iran

    Seneta Lindsey Graham alisifu vizuizi hivyo kwa kuidhoofisha uchumi wa Iran na akataja mashambulizi ya IRGC dhidi ya meli kuwa ishara ya kukata tamaa. Alimtaka Rais Trump achukue udhibiti wa Mlango-Bahari wa Hormuz na kuendeleza vizuizi hivyo, huku akikataa mkataba wowote unaoruhusu Iran...
  12. Trainee

    Nipeni huu wimbo ukiwa kamili tafadhali!

    Wimbo nimeupenda sana lakini isivyo bahati nimeutafuta mno mtandaoni bila mafanikio
  13. VN Warehouse Limited

    Wataalamu wa afya husisitiza mlo kamili, lakini wanasahau kusisitiza maandalizi sahihi

    Hi Everyone Tunasikia mara kwa mara wataalamu wa afya wakituelekeza kula mlo kamili: Mboga za majani, matunda, protini, nafaka zisizokobolewa na maji ya kutosha. Lakini kuna eneo moja ambalo halizungumzwi sana - namna chakula hicho kinavyoandaliwa. Unaweza kula mlo kamili, lakini kama...
  14. youngkato

    Teknolojia ya AI Inayobadilisha Maisha na Kazi Mtandaoni: Mwongozo Kamili Kuhusu ChatGPT

    Mambo mengi yanafanyika kwa haraka kuliko zamani. Watu wanajifunza, wanafanya biashara mtandaoni, wanatafuta kazi mtandaoni na kuwasiliana kupitia mtandao kila siku. Moja ya uvumbuzi mkubwa unaosaidia mabadiliko haya ni ChatGPT. Kwa lugha rahisi kabisa, ChatGPT ni programu ya AI (Akili Bandia)...
  15. youngkato

    Mwongozo Kamili wa CapCut kwa Kompyuta na Simu (Kwa Wanaoanza Kabisa)

    CapCut ni nini? CapCut ni programu ya kuhariri video (video editor) inayotumiwa sana duniani kutengeneza video za: TikTok YouTube Instagram Reels Matangazo ya biashara Video za elimu Ni maarufu kwa sababu: Ni rahisi kutumia hata bila uzoefu Ina effects nyingi tayari (ready-made) Unaweza...
  16. Kipenzi Changu

    Tujadili; Mwanaume kamili unaruhusuje kupigwa na mkeo/mpenzi wako

    Kwa wanaome wanaopigwa na wake au wapenzi wao. Nini kinatokea mpaka mpaka mwanamke anakuwa na mamlaka ya kutoa kichapo? Mwanaume anakula mpole sana, hana nguvu wala uwezo wa kuhimili piga nikupige au ana huruma? Au anazingatia sana sheria hataki kufanya violence?! Naona ni kitu cha kushangaza sana.
  17. Castle_Lite

    Majini na Uislam Kamili - Quran

    Bila shaka hii aya sio ngeni. Quran 46 : 29 - 33 "Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani. Basi walipo ihudhuria walisema: Sikilizeni! Na ilipo kwisha somwa, walirudi kwa kaumu yao kwenda kuwaonya." "Enyi kaumu yetu! Sisi tumesikia Kitabu kilicho teremshwa baada...
  18. Website Tanzania

    SOFTWARE Fedhabook: Mfumo Unaokupa Udhibiti Kamili wa Mauzo, Stock, Cash Flow + Invoice, Quotation & Delivery Note

    Habari wanaJF, Hebu nikuulize swali moja la msingi kama mmiliki wa biashara👇 Ukiwa nyumbani, safarini au hata nje ya nchi— 👉 Unaweza kuona hali halisi ya biashara yako sasa hivi? Kama jibu ni hapana, basi kuna tatizo kubwa kuliko unavyodhani. 👉 Ukweli mchungu ni huu: Biashara inaweza kuwa...
  19. blogger

    Huyu Naibu Waziri TAMISEMI awe Waziri kamili, kama ilivyofanyika kwa Makonda

    Ni mchapakazi. Mambo yake yako Wazi. VIDEO Kwako samuya..
  20. Mhaya

    Makonda ha-fit kuwa Waziri Kamili, icho kiti kilipaswa kuwa cha MwanaFA

    Kama habari inavyojieleza, Makonda hakustahili kuwa Waziri kamili, kwanza hana uzoefu wa kutosha bungeni, pili amehudumu unaibu Waziri kwa miezi michache tu. Tatu wizara yenyewe haiendani na itikadi za Makonda Makonda ni mtu wa shurti na nguvu hasa napotoa matamko yake, wizara ambayo ingemfaa...
Back
Top Bottom