wafanyabiashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Rostam na wafanyabiashara wengine kaeni mbali na CCM ! mtafilisiwa

    Rostam na wafanyabiashara wengine kaeni mbali na CCM ! mtafilisiwa. Msifikirie kuficha pesa uarabuni inasaidia wale ni vibaraka wa USA karibu wote. Mkihusishwa na CCM na majanga ya mauaji hakuna atakae taka kufanya biashara na ninyi
  2. M

    JamiiForums Tanzania mikopo Kwa wafanyabiashara wakubwa

    habar Kwa wale wote ambào ni wafanyabiashara Wanaohitaji pesa Kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya ki biashara, naomba kuwatangazoa kuwa kuna mikopo ya pesa inayoanzia milioni moja mpaka bilioni Moja. mdhamana ni KADI ya gari, hti ya nyumba au hati ya Kiwanja Toka serikalini. RIBA ni asilimia...
  3. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka yupo Mahakamani kwa ajili ya kesi ya wafanyabiashara 'wapangaji' katika jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo

    Wakili Peter Madeleka, tayari amefika kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi ambapo kesi inayowahusu waliokuwa wafanyabiashara 'wapangaji' kwenye jengo la ghorofa lililoporomo Kariakoo, Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwaka 2024 inaanza kusikilizwa leo, Jumatatu Mei...
  4. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Habari kwa wafanyabiashara na ma-contractors!

    Je, unatafuta namna ya kuomba zabuni za serikali na taasisi mbalimbali kupitia mfumo wa NeST bila makosa? Usipoteze fursa ya kushinda tender kwa sababu ya makosa madogo ya kimfumo au upungufu wa nyaraka. Sisi tunakuhakikishia huduma bora ya: Kuandaa Documents Zote: Tunasaidie kuandaa nyaraka...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mwamba huko TikTok amebomoa bei za vioo vya simu, wafanyabiashara wamemkasirikia, wateja wanamfurahia, kosa lake ni lipi?

    Kuna mwamba huko Tiktok anatoa vioo vya simu kwa bei chee, Simu kama samsung A05 ni 16k tu , Ila kuna ukicheki comments wafanyabiashara wamekasirika, anawaharibia biashara, sasa kosa lake lipi.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Bei sio kigezo tena cha kutambua bidhaa original, Bidhaa feki zimejaa sokoni na tunapigwa kwa bei original

    Bei haionyeshi ubora tena, feki na original vinauzwa sawa sokoni Zamani ilikuwa rahisi kutambua biashara ya bidhaa feki. Wafanyabiashara walikuwa wanauza vitu hivyo kwa bei ya chini kabisa, na mnunuzi alikuwa anajua kabisa kwamba anachonunua si original. Ilikuwa kama makubaliano ya kimya kimya...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eastleigh Inalia! Barabara ya Second Avenue Yaleta Hasara kwa Wafanyabiashara na Wasafiri

    Hii mambo ya infrastructure jamani imezidi sasa . Wakazi wa Eastleigh especially along Second Avenue extension wanapitia tough times sana. Barabara imeharibika vibaya mashimo, matope, na flood kila mahali, especially saa hizi za mvua Watu wa transport kama bodaboda na mkokoteni wanasema kazi...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Sioni Utaasisi wa CHADEMA kuelekea sikukuu za wafanyakazi, wafanyabiashara na hata wakulima. Ukiwaza kiundani Viongozi wake wengi wanatumika

    Namtoa Lissu pekee kapitia Mengi labda kafungwa na hasira na wanashindwa kuja na ajenda zenye kufanya chama kibebe maono ya taifa. Ukimya wa chadema kuelekea Mei mosi. Siku ya wafanyakazi. Naona jinsi akina heche wanavyotumika. Mabadiliko yote duniani kuanzia ufaransa, Uingereza, marekani na...
  9. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Je, hatuwezi sasa kubuni na kutengeza Gari za sola !?

    Habari za leo waungwana !. Naomba kuwauliza; kwa hili jua letu hapa Tanzania hasa Dar es Salaam, Tanga, Mtwara, Lindi, Mwanza, Singida, Shinyanga na Dodoma hatuwezi kuwa na kiwanda cha vyombo vya moto vitakavyotoa huduma mikoa hiyo; ambavyo vitakuwa vinajiendesha kwa Sola !?.. NB 1. Mabasi ya...
  10. youngkato

    JamiiForums Tanzania Biashara Zenye Mzunguko Mkubwa Sana Tanzania: Fursa Kubwa Kwa Wafanyabiashara Wadogo

    Tanzania ni nchi yenye fursa nyingi za kibiashara, hasa kwa wafanyabiashara wadogo wanaotaka kuanza au kukuza biashara zao. Ukweli ni kwamba, kuna aina fulani za biashara ambazo zina mzunguko mkubwa wa fedha (high turnover) — yaani bidhaa au huduma zinauzwa kwa kasi kila siku. Kama unatafuta...
  11. O

    JamiiForums Tanzania Mafundi na wafanyabiashara wenye tabia za kimasikini, mtaendelea kupoteza wateja

    Unamwambia MTU Bei ya KITU flani 40000 akikudeshi kama anauliza mara ya pili unapandisha unahisi hakusikia mwanzo ? Jitahidini manpotamla Bei MUWE na misimamo. Mwingine akasema Bei ya kutengeneza KITU ni kiasi flani alipo maliza kikafanya kazi anapandisha Bei anaanza kubembeleza nakufosi fosi...
  12. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Uhaba wa Chenji: Kero kwa Wanunuzi na Wafanyabiashara

    Nimeenda gengeni leo kununua bidhaa, nilikuwa sina mahitaji ya hivyo ni kitu kidogo tu cha shilingi mia mbili, nimempa muuzaji mia tano lakini ananiambia hana chenji. Nikaenda magenge mengine kama matatu hali ni hiyohiyo, ikabidi niondoke bila ya kununua ninachohitaji. Hali pia kwenye usafiri...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameelekeza hatua za haraka zichukuliwe kuwarejesha wafanyabiashara wa Soko la Mawasiliano (Simu 2000) ili kuendelea na shughuli za biashara katika soko hilo ambalo lilipata ajali ya moto iliyoteketeza soko hilo Aprili...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Shemdoe aelekeza wafanyabiashara Soko la Simu 2000 kuendelea na biashara

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe ameelekeza hatua za haraka zichukuliwe kuwarejesha wafanyabiashara wa Soko la Mawasiliano (Simu 2000) ili kuendelea na shughuli za biashara katika soko hilo ambalo lilipata ajali ya moto iliyoteketeza soko hilo Aprili 04...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Viza za biashara na wanafunzi kwenda USA zimesimamishwa : Sio nzuri kwa wafanyabiashara

    Viza za biashara na wanafunzi kwenda USA zimesimamishwa : Sio nzuri kwa wafanyabiashara Wakati machawa na ndugu wa Samia wakifurahia mauaji ya vijana wetu wafanyabiashara wa kimataifa hali sio nzuri maana hawawezi kwenda kuongea na wawekezaji au kampuni ubia za marekani na hii inasababisha...
  16. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania KERO Miundombinu ya soko la Buguruni ni hatari kwa wafanyabiashara na wakaazi wa karibu na soko

    Soko la buguruni ni moja ya soko kubwa na maarufu ndani ya jiji la Dar es salaam ambalo linahudumia watu wengi hasa kwa wafanyabiashara wa matunda. Lakini cha kusikitisha miundombinu ya soko hilo ni kero kwa wafanyabiashara na wanunuzi ambao hufika hapo kwa ajili ya ununuzi wa mahitaji yao ya...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Heche Ni Muongo. Mafuta Yamepanda Dunia Nzima. Hayajapandishwa na Serikali wala wafanyabiashara

    Ndugu zangu Watanzania, John Heche Amedhihirisha ni kwanini CHADEMA imekosa Muelekeo kipindi hiki cha uongozi wake, Amethibitisha ni kwanini CHADEMA imepuuzwa na yeye kudharauliwa hadi na wale anaowaongoza, imedhihirika ni kwanini wenye akili Timamu walikataa kuongozwa naye na kuamua kuondoka...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Wanaoanza kutoka zero wanastahili pongezi ila tuache kuwabeza waliorithi biashara au kupewa mitaji na familia, biashara sio rahisi kama mnavyodhani

    Ni mara nyingi nimekuwa nikikutana na watu kubeza aina hii ya wafanyabiashara, utasikia “huyo kazikuta kwao,” kana kwamba hilo ndio tiketi ya kufanikiwa kibiashara, ukweli ni kwamba, sio kila anayekuta biashara au kupewa mtaji anaweza kuiendesha, kuikuza au hata kuidumisha. Wengi wamekabidhiwa...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuchangisha pesa Wafanyabiashara kila kunapokuwa na ugeni wa kitaifa (siasa) katika Mkoa

    Mimi najiuliza sana, inakuwaje ofisi ya Mkuu wa Mkoa Njombe, wanatuma barua kwa Wafanyabiashara wakiomba mchango kwaajili ya Meimosi na kiasi wamekuandikia kabisa, ina maana hauna machaguzi hapo, ni kama unafanya biashara kwa hisani, wakati kodi unalipia na fee zote unalipia. Sasa kwanini...
  20. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Inashangaza kuna wafanyabiashara hawafuati kabisa usemi wa ''mteja ni mfalme'' ila bado wanauza hatari

    Haya mambo ya biashara hayana kanuni inayoeleweka. Siku za karibuni kuna jamaa yangu kaanzisha biashara ya kuku wa kienyeji ila ufanyaji wake wa biashara ni wa kushangaza sana. Kwanza bei zake ni kubwa kulinganisha na bei ya soko. Pia ukienda kwake kununua kuku unamkata mwenyewe bandani. Banda...
Back
Top Bottom