“Leo nitaongea kitu ambacho wengi hawakijui maana naona maneno yamekuwa mengi sana, Hivi mnajua niliweka bondi nyumba yangu ili niweze kupata pesa za kuendesha tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva?. Mwanzo nilimtegemea Babu Tale atoe pesa ila alichelewa nikaongea na Fid Q nikaandika barua...
Wasanii ni jeuri na kuna ambao waliapa waziwazi hawawezi kurudi kwa wananchi kuwaomba msamaha kama wananchi wana jeuri basi wasusie kazi zao au show zao .
Wananchi kweli mwanzoni walitikisa kiberiti kwa kuwa unfollow na kutosapoti kazi zao za sanaa zilipokuwa zinatoka pia walisusia shows.
Ila...
Mwanamuziki mashuhuri nchini Tanzania, Ruby, ametangaza kuanza sura mpya ya maisha yake kwa kuamua kuacha muziki wa Bongo Fleva na kuwekeza maisha yake katika kumtumikia Mungu.
Akiwa mmoja wa waimbaji wa kike walioacha alama kubwa nchini kupitia sauti yake ya pekee na uwezo wa kutumbuiza...
Sio poa Dodoma wameweka historia ya kipekee unaambiwa chinangali ili pelea kutokana na mauzo ya TIKETI kuwa makubwa kilicho fuata ikabidi ukuta uvunjwe pia kuunganisha Hadi parking, ili watu wapate nafasi.
Ikumbukwe Diamond katoka kufanya show juzi kwenye tour yake lakini haikua nyomi ka Hil...
Nimelelewa katika familia yenye maadili, wazazi wangu walipenda nisomee mashaallah kitu ambacho nimekikamilisha japo bado sija fika wanapo taka.
Kutokana na changamoto za hapa na pale rasmi, nimeona nijaribu na kwingineko, nimefanya sana biashara lakini naona kila kitu na mtue, hivyo rasmi...
Heshima kwa wasanii wote walihusika kufikisha hapa muziki wa kizazi kipya maarufu bongo fleva,pia R.I.P kwa wasanii waliotangulia mbele za haki especially D-ROB.Kwa miaka mingi baad
hi ya wasanii wamejaribu kuleta ladha tofauti na asili yenyewe(bongo fleva) lakini wapo waliosimamia misingi ya...
Hawa wanaojiita wasanii wa zamani wanaandaa tamasha lao bila mkali voice wounder ni kichekesho... Leo hii Madee anapewa nafasi kubwa kwenye Bongofleva ya zamani...
Hawajamleta mkali voice wounder
Mkali wa Nimepende nani, Kisa cha mshenga, nimekosa, Hunifaham etc
Bado nitaendelea kuamini ile...
Hongereni wanasimba kwa pira zuri hakika mmeonesha mwanzo mzurii.
Aisee jana baada ya mechi kuisha nilikaa nisikilizie Usiku wa Bongo fleva. Nikaagiza kinywaji ili nivutie muda. Nikapiga konyagi ya kati na bia 3. Nilipata vaibu kinoma. Pembeni alikuwepo mdada fulani anacheza si nikajichanganya...
MR SUGU & BALOZI - BONGO FLEVA
VERSE. 1
Mimi ni dreva/
Na nitabaki hivi forever/
Najua nifanye nini ili nibaki kuwa super/
Nilishasema mimi ni zaidi ya rapa/
Na watu ndio wanataka nizidi kubaki hapa/
Nataka number one DJ, muweke number one/
Mi kwanza nataka mshiko ndipo niwe number one/
Dani...
HAPO ZAMANI
_______________
Vichwa viwili muhimu katika historia ya muziki wa Hip Hop nchini ambapo chimbuko lake ndilo lililozaa muziki wa Bongo fleva, Adili Kumbuka (Nigga One) na Robert Mwingira (D-Rob). Wakali hawa walikuwa Marapa wa kundi la Kwanza Unit, na wawili wote kwa sasa ni...
SIRI YA FICHUKA
MR. SUGU KUTOKUSHIRIKI MIAKA 30 YA BONGO FLEVA
Mr. II Sugu amevunja ukimya! 😱
Anasimulia:
"Walianza kuniita kwenye wimbo, Madee alinipigia simu tuende studio. Baada ya kutoka studio alitaka kutumia mkwanja Milioni 2 kwaajili ya Hiyo Collaboration. Nikawaambia Madee, mimi...
ANTI-VIRUS NA MIAKA 30 YA BONGO FLAVA: KUMBUKUMBU ZINAZOENDELEA KUAMSHA MJADALA
Historia ya Bongo Flava haiwezi kukamilika bila kutaja harakati za Vinega wa Anti-Virus, movement iliyotikisa tasnia ya muziki Tanzania mwaka 2011 kwa kupaza sauti kuhusu haki za wasanii, usawa wa fursa na...
BONGO LEGENDARY MUSIC FESTIVAL YA 2022
: UKURASA UNAOSAHAULIWA KATIKA MJADALA WA BONGO FLEVA HONOURS NA MIAKA 30 YA BONGO FLAVA
Kadiri mijadala kuhusu Bongo Fleva Honours na maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Flava inavyoendelea, ni muhimu pia kuikumbuka historia ya matukio yaliyotangulia...
JE, HISTORIA YA PHILIBERT KABAGO IMESAHAULIKA KWENYE MIAKA 30 YA BONGO FLEVA?
Tarehe 8 Agosti 2026, macho ya wadau wa muziki yataelekezwa jijini Mwanza katika tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva litakalofanyika The Climax, Rock City Mall. Ni tamasha linalolenga kuenzi safari ya muziki wa Bongo...
Sugu anadai: Walianza kuniita kwenye wimbo, Madee alinipigia simu tukaenda studio, sasa tunatoka studio aliponishusha akanitumia mkwanja Milioni 2, I was like mimi sijawahi kulipwa hela kufanya featuring na nimefanya featuring na watu wengi nikwambia Madee.....
Sugu akaongeza: Hii game naijua...
Naona wanakanusha, je hata kama si kweli , mheshimiwa Rais kuangalia 30 y Bongo flavor ni shida ?
Najaribu kuwaza what if angeshangiliwa kwenye lile Tamasha, huu ufafanuzi ungetolewa kweli?
Britanicca
Baada ya kufanya uchunguzi wa kina na timu yetu toka Lumumba tumegundua kuwa wanaharakati, magaidi na CHADEMA ndio walionzisha zomea zomea wakati mwana FA alipotaka kuwasilisha salamu za serikali kwenye tamasha la bongo fleva.
Tuligundua wanaharakati , magaidi na vijana wengi wa CHADEMA...
Katika pitapita zangu leo mtaani, nimekuta watu wakibishana kwamba miaka 30 ya Bongo Fleva pale Mlimani City , Ndugu Yetu Bilionea Lugumi kafadhili hii Show.
Je, ni kweli???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.