bongo fleva

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. dronedrake

    JamiiForums Tanzania Msanii Mr. II aka Sugu akataa "posho" ya TSh. 2m kutumbuiza kwenye tamasha la miaka 30 ya Bongo Flava

    Sugu anadai: Walianza kuniita kwenye wimbo, Madee alinipigia simu tukaenda studio, sasa tunatoka studio aliponishusha akanitumia mkwanja Milioni 2, I was like mimi sijawahi kulipwa hela kufanya featuring na nimefanya featuring na watu wengi nikwambia Madee..... Sugu akaongeza: Hii game naijua...
  2. britanicca

    JamiiForums Tanzania Hypothetically, Rais akiangalia tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva taswira yake inakua imechafuka?

    Naona wanakanusha, je hata kama si kweli , mheshimiwa Rais kuangalia 30 y Bongo flavor ni shida ? Najaribu kuwaza what if angeshangiliwa kwenye lile Tamasha, huu ufafanuzi ungetolewa kweli? Britanicca
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nini kifanyike ili kuthibiti wanaharakati,magaidi na CHADEMA wasikwamishe salamu za mama kwenye matamasha ya miaka 30 ya bongo fleva?

    Baada ya kufanya uchunguzi wa kina na timu yetu toka Lumumba tumegundua kuwa wanaharakati, magaidi na CHADEMA ndio walionzisha zomea zomea wakati mwana FA alipotaka kuwasilisha salamu za serikali kwenye tamasha la bongo fleva. Tuligundua wanaharakati , magaidi na vijana wengi wa CHADEMA...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Show ya Miaka 30 ya Bongo Fleva. Je, Lugumi kafadhili hii Show?

    Katika pitapita zangu leo mtaani, nimekuta watu wakibishana kwamba miaka 30 ya Bongo Fleva pale Mlimani City , Ndugu Yetu Bilionea Lugumi kafadhili hii Show. Je, ni kweli???
  5. S

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Rais Samia na Mwigulu wakifuatilia tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Walikuwa wakitizama tamasha na kumuona Mwana FA akizomewa ukumbini.
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Binafsi naunga mkono jinsi Dudu Baya alivyofunga shoo ya miaka 30 ya Bongo Fleva

    huwa simkubali Dudu Baya kwenye kila jambo, hasa pale ninapoona anaisifia sana serikali na ku m mention mama samia lakini kuhusu namna alivyofunga shoo kwangu ilikuwa poa Kufikia alfajiri watu wengi tayari wanakuwa wamechoka na wengine wanaanza kuondoka. Kwa hiyo niliona ile ilikuwa njia ya...
  7. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Wananchi wakataa mapambio ya MwanaFa kwenye miaka 30 ya Bongo Fleva Katika hali isiyo ya kawaida, Naibu waziri wa Michezo, Sanaa...., Mwinjuma Hamis maarufu kama mwanaFa amezomewa na kukataliwa na wananchi waliohudhuria tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva, pale alipotaka kuanza kusifia na...
  8. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya Bongo fleva: watu wazomea baada ya Mwana FA kujaaribu kuleta siasa kwenye show

    Aibu utaona wewe!! Usiku huu kunafanyika show ya miaka 30 ya bongo fleva. Mgeni rasmi ni Mwana FA, basi alipopanda jukwaani akaongea vizuri mpaka pale alipoanza kusema serikali ya awamu ya 6, hata hajamaliza watu wakaanza kuzomea. Ikabidi Mwana FA azuge kuwa tunajenga Arena. Lakini hadhira...
  9. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Muda huu lile tamasha la miaka 30 limeanza katika ukumbi wa Mlimani City. Wasanii wa zamani wanapanda jukwaani kutukumbusha zile ladha za miaka ile. Vijana wa miaka ile njooni hapa Live updates ziko hapa kwenye uzi huu… Show iko live kupitua Sinema Zetu, TvE, Clouds Tv
  10. L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi aichana CHADEMA kwa kufanya burudani za Bongo Fleva na kuchinja ng'ombe wakati tuna majonzi

    Mange Kimambi, mmoja wa wahamasishaji wakuu wa maandamano makubwa yaliyopelekea umwagaji damu Oct 2025, amewashutumu CHADEMA kwa kuendesha mikutano "yenye vibe" za miziki ya bongo fleva ikiwemo nyimbo za "Wanamwita Sugu." Amewaasa CHADEMA kwamba hakuna mwananchi atajipeleka kwenye hatari za...
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa bongo fleva, movie, hiphop, content creators, mnaonaje waki push kutangaza vivutio vya Tanzania mwaka mmoja tu?

    Yaani mwaka mmoja tu 2027 wakaamua wote kwa pamoja video zao zote wafanyie national parks kama serengeti,zanzibar na mt.kilimanjaro.... Au hawa content creator mnataka kuwapa billion 2 mkawapa nafasi ya ku promote mbuga zetu warekodi bure ndani ya vivutio.. #visit Tanzania..
  12. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bongo Fleva Sensation And Vaileti Hit Maker Matonya Charged With Rape In Kenya

    Tanzanian musician Sefu Shabani, better known by his stage name Matonya, has been detained in Kenya after being accused of rape. According to a statement released on X by Kenya's Director of Public Prosecutions (DPP), the 43-year-old disputed the charge when he appeared in court in the seaside...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kama Master J. Ndiye "Godfather" na mwanamapinduzi mkuu wa Bongo Fleva aliyekataa ajira nzuri Serikalini kwajili ya muziki uliokuwa hauna dira

    Master J ndio Godfather wa hili game japo yeye hapendagi kabisa hizi debates, anaona zinampotezea muda tu haoni umuhimu wa kuitwa legend wala mambo ya kupewa heshima. inshort hapewi kabisa heshima ya kitu alichokipambania. hakukuwa na Bongo flava hapo zamani, ilikuwa inaitwa "Muziki wa kufoka...
  14. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Is Bongo Fleva the new "Axis Of Evil" and are you guys sure it will survive after this election?

    Guys, The truth is, right now in Tanzania, the three most disliked groups are: 1. Chama Cha Mapinduzi (CCM) 2. The police 3. Bongo Fleva artists. When it comes to Bongo Fleva artists, honestly, you don’t need an Oxford-level research paper to figure that out. Just scroll through the comment...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Je, taifa halina Gen Z kama Kenya na Madascar? Au wao wanadili na Bongo fleva na Simba na Yanga?

    Dunia nzima sasa inaonekana watakaoleta mabadiliko ni Gen Z. Lakini kwa Tanzania wanawaza kujadili Singeli na bongo fleva. Huku Taifa lao likienda mlama kwa ufisadi, upendeleo huku maisha yao yakiwa hovyo kabisa Gen Z wa Tanzania hovyo kabisa kama makamasi ya ndama.
  16. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Rayvanny kushika namba Moja Dunia nzima kaheshimisha muziki wa bongo fleva

    Rayvanny ameshare furaha yake kubwa baada ya wimbo wake wa Tetema kushika namba moja trending dunia nzima, Chui ameshare hayo katika ukurasa wake wa Instagram. Soma pia: RAYVANNY KASHUKA NA KUISHIWA MBINU KIMUZIKI Kwasasa ngoma hiyo ipo nafasi ya nne kwenye trending videos duniani ikiwa...
  17. funaku

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu:Chadema ndio ilianza kuleta wasanii wa bongo fleva kwenye Siasa

    Tusije kusahau kuwa Nigga J na 2 Proud walikuwa ni wabunge kupitia Chadema.
  18. Hidden Diamond

    JamiiForums Tanzania Bongo Fleva ya miaka ya 2000 mpaka 2009 hatuna deni nayo maana si kwa Wasanii hawa

    Daah! Miaka ya elfu mbili muziki ulitendewa haki kweli jamani. Cheki list ya vipaji hivyo – yaani mtaani kulikuwa hakupoi: Juma Nature Q Chillah Ferouz Lady Jay Dee Professor Jay Ngwear Jay Moe Chege Dully Sykes Ray C Stara Thomas T.I.D Mr Blue Fid Q Afande Sele Mandojo & Domo Kaya Banana Zorro...
  19. Binti wa zamani

    JamiiForums Tanzania Vijana tunaoelekea uzeeni: Bongo fleva zipi zilikonga moyo wako mwanzoni mwa miaka ya 2000?

    Nyimbo zipi za kiswahili ulizipenda kati ya mwaka 2000 na 2010. Share tukumbushane kumbukumbu za ujanani. “Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi” Fid Q - Ni hayo tu (Ft. Langa & Prof Jay) Released - 2003 https://youtu.be/PrMoE0Pxk58?si=Op-OAPSwK2iwu_vS “Siku zimeenda nami nateta mbona...
  20. King Kong III

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva G-Son wa Xplastaz afariki Dunia

    Umuofia kwenu wana JF, Aliyekuwa mwanamuziki aliyeunda kundi la Xplastaz Godson Rutta aka G-Son amefariki dunia akiwa USA baada ya kuugua kwa muda mrefu. Ikumbukwe kwamba Gsan ndiyo mtanzania wa kwanza kushiriki tuzo za BET Cyper kwa kutumia lugha ya kiswahili ,kwenye hiyo cypher mwaka 2009...
Back
Top Bottom