kimya

Kimya Dawson (born November 17, 1972) is an American folk singer-songwriter, best known as one half of the anti-folk duo The Moldy Peaches. Dawson's work with The Moldy Peaches earned her a cult following and critical acclaim, with their 2001 song "Anyone Else But You" landing a spot in multiple acclaimed indie film soundtracks. "Anyone Else But You" as performed by Michael Cera and Elliot Page charted on the Billboard Hot 100 after its prominent inclusion in the 2007 film Juno, the soundtrack of which includes several songs by Dawson and her associated musical acts. The song remains Dawson's highest charting single to date. In addition to her work with The Moldy Peaches, Dawson has released seven solo studio albums and collaborated with various other artists from a diverse range of genres, including Aesop Rock, They Might Be Giants, The Mountain Goats, and Third Eye Blind.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    JamiiForums Tanzania Watu wa Mwanza Bana: Kumbe Hamisa Mobetto ni mtoto wa Mwanza halafu hamsemi mmekaa kimya?

    Hivi hapa Tanzania kwa sasa kuna mwanamke ana fuatwa na wana wake wa Tanzania kama Hamisa Mobetto? Kuna mwanamke ana nyota Kali ya kupendwa kama Hamisa Mobetto? Nilikuwa sijui bana kumbe Hadi Wikipedia inamtambua Hamisa Mobetto kama mtoto wa Mwanza. Halafu watu wa Mwanza mmeuchuna hamuitumii...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Dunia inamuona urusi super power japo na mambo anayofanya kuwatumia wa afrika kwa udanganyifu kwenye vita.AU wapo kimya.

    AU ni clabu ya wahuni ndio maana wapo kuona ya wengine ila sio yao. Urusi imefikia hatua kutumia mitandao na madalali kudanganya ajira na fursa na ukifika kule unageuzwa kuwa chambo front kupigana. Lakini tulivyo wanafiki afrika yote na maisha ya hapa ni kama hakuna jambo.
  3. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Tunapoteza mwelekeo: Kwa nini kelele nyingi kwenye michango ya Tonetone, lakini kimya kwenye fedha za umma?

    Kuna jambo ambalo Watanzania tunapaswa kulitafakari kwa kina. Katika kipindi hiki, mjadala mkubwa umeibuka kuhusu tuhuma zinazomhusisha kiongozi wa CHADEMA, John Heche, kuhusu fedha za michango ya wananchi. Tuhuma hizo zinapaswa kuchunguzwa kwa haki na kwa kufuata taratibu za chama na sheria...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded TANROADS ilipima makazi yetu kupitisha Barabara ya Njia Nne (Kibaha - Morogoro) mpaka sasa kimya, kama mradi haupo watuambie

    Wananchi tunaoishi kando ya barabara kuu kuanzia Kibaha, Mlandizi hadi Morogoro, tumekuwa tukiendelea kuishi kwa hofu kuhusu makazi yetu, kwani mradi wa upanuzi wa barabara hiyo kuwa njia nne unaohusisha ushirikiano kati ya Sekta Binafsi na Serikali (PPP) haujulikani umekwama wapi! Ni miaka...
  5. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Nchi imekosa Godfather, ukiangalia yanayoendelea. Mfano, Mwaipopo kuwa na kundi la Kigaidi na Vyombo vya Dola vipo kimya?

    Hii nchi kwa sasa hakuna Kiongozi mwenye sauti anaweza kutoka akakemea mambo yanayoendelea kwenye hii Nchi hakasikilizwa kutokana na past zao. Tulikua na Mkapa huyu pamoja na mambo yake alikua ni mtu huyu aliwambia maneno serikali yangu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania CCM Simiyu inakaaje kimya?

    Inazua maswali kuona viongozi wa chama wakitukanwa kwenye baadhi ya makundi ya WhatsApp yanayodaiwa kuhusisha wanachama, huku kukiwa hakuna hatua za wazi za kinidhamu zinazoonekana kuchukuliwa. Je, ukimya huo unatokana na tahadhari kuelekea uchaguzi wa ndani wa chama mwakani, au ni dalili ya...
  7. Red black

    JamiiForums Tanzania Malipo ni hapa hapa duniani;Ogopa sana mtu ambae ukimdhulumu au kumtendea ubaya anakaa kimya na kupotezea.

    Tuishi maisha ya amani na furaha bila kuwakwaza wenzetu,kuwafitini,kuwasemea uogo... nk
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kadri Umri Unavyoongezeka, Ndivyo Weekend Inavyokushinda Kimya Kimya

    Ukimuona mtu wa miaka 35, 40 au 50 anasema mimi hizo club nilishaacha zamani usiamini haraka. Mara nyingi si kwamba hataki kwenda, bali mwili unagoma tu. Mimi tu mwenyewe nina miaka 30 tu, lakini mara nyingi huwa nakaa na madogo fulani wa Myanmar tunakunywa kunywa nao whiskey kuanzia saa 1 hv...
  9. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna maneno mufti zuberi alishawahi sema kuwa samia kaandikwa kwenye quruan.

    Kuna kiwango kikipitiliza cha kujipendekeza mpaka kinakosekana cha kujipendekeza. Kuna siku mufti zuberi akiitisha wanahabari na mnukuu maneno yake kuwa samia kaandikwa kwenye quruan raisi wa tanzania. Cha kujiuliza ni hii Quruan ambayo ijawahi kuchezewa wala kubadilishwa. Ila cha kushangaza...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mnaopinga maandamano 7/7 mkae kimya, mtuache sisi tunaopenda Tanzania tuandamane. Na tutaandamana tu

    Jamani naomba sana kwa wale ambao hamtaki maandamano msitutukane sisi ambao tunataka kuandamana kwa ajili ya haki na uhuru wetu. Ninyi mmeshasema mtatuua sasa mtuache basi tuendelee na kupanga maandamano yetu.
  11. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa punguza kelele kula kimya kimya, Dogo mmoja wa Twitter huko X sasa hivi wamemfelisha

    Ukifanikiwa punguza kelele kula kimya kimya. Watu wasijue chimbuko la pesa zako. Dogo mmoja wa twitter huko (x) alikuwa na maneno ya shombo sana kwa watu sahv wamemfelisha ananyea debe . Hushpupi pesa zote alizopata asingekuwa na kelele yasingemkuta maswahibu yaliyompata
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Misalaba ya ma kabuki ya Wakristo huko Tripol Lebanon yavunjwa na waislamu Dunia iko kimya!!!!!

    Misalaba yote ya Kikristo iliharibiwa na kuharibiwa katika makaburi ya Waorthodoksi katika jiji la Tripoli lenye Waislamu wengi, lililoko kaskazini mwa Lebanon. Hii inaonyesha wazi waislamu wamekuwa ni tishio la Amani duniani!!
  13. N

    JamiiForums Tanzania Kukaa kimya kwa Mbowe hakumsaidii chochote, zaidi ya kumtambulisha ni mtu wa kununa

    Mwana demokrasia mahili ni yule anaye kubali kushindwa na kuendelea kushirikiana na walio mshinda Chaguo alilochagua Mbowe la kukaa kimya na kuwatelekeza walio mshinda, ni wazi siyo sahihi. Chaguo hilo linamtambulisha kama kiongozi asiye kubali kushindwa na mtu wa kununa Unawezaje kuwanunia...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mtwara: MTUWASA wanahujumu Maisha na Afya za watu wa Shangani

    Mamlaka ya maji safi na taka Mtwara mjini imeshindwa kutoa maji kwa wakazi wa shangani east, sijui na maeneo mengine kwa muda wa takriban miezi miwili. Afya za watu hawa zipo hatarini kwani hakuna vyanzo vingine vya maji wanaweza kupata watu hawa. Jitahidini kuja na majibu ya changamoto hii...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Wakazi wa Mbae (Mtwara Majini) tumeomba kuunganishiwa maji tangu 2022, MTUWASA hawatujibu wala hawaji 'site'

    Mkoa wa Mtwara, Mamlaka ya Maji Safi na Taka (MTUWASA) wakazi wa Mbae Mashariki, Manispaa ya Mtwara Mjini tumeomba tuunganishiwe huduma ya maji kwa muda mrefu bila mafanikio. Pamoja na juhudi za kuandika barua kwa Mkurugenzi wa MTUWASA hatujawahi kujibiwa, yapata miaka minne sasa (toka 2022)...
  16. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Wanahabari wetu bure Kabisa nilitegemea leo kuamkia kwenye Offce ya Msajili wa vyama vya siasa kuhusu kauli ya Chatanda Kimya

    Nilitegemea waandishi wa habari leo kuamkia kwenye offce za msajiri wa vyama vya siasa kufanya nae mahojiano kuhusu kauli ya Marry Chatanda kuifuta chadema na huyu mama kakiuka katiba ya 1977 lakini waandishi wa habari kimya ?
  17. M

    JamiiForums Tanzania UVCCM ni mtambo wa ku-brainwash vijana; msajili wa vyama vya siasa yuko kimya

    Moja ya kundi lilolokuwa brain washed nchi hii ni Umoja wa Vijana wa CCM, nina hakika kwa 100% CCM wamefanya makusudi kwa hawa vijana kuhakikisha Idara hiyo inakuwa haina uwezo tena wa kuhoji wala kupinga, badala yake kupokea maelezo. Hili ni tatizo kubwa sana. UVCCM ukifatilia mijadala yao...
  18. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Leo nilipata off kazini na nikawa napiga stori na dereva boda. Akanisimulia jinsi UKIMWI unatembea kimya kimya ila kwa kasi kwenye mji wetu. Inatisha!

    Watu wanaumia aisee jamaa katoka machimboni, karudi anapewa story kuwa mke wake alikuwa anaruka ruka nje, break ya kwanza ni kwenda kupima kwa lazima, imebidi jamaa amkimbie waifu kimya maana wife ana umeme na amemuachia chumba na vyombo vyote. Mzee hapa mtaani ana wake watatu, alivyojigundua...
  19. Q

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tujitafakari, Serikali inashambuliwa mitandaoni vitengo vya Habari na maafisa wapo kimya

    Watu wamwambia watateteaje uongo. Hawajui kilichomo kwenye ripoti watatetea vipi. Waziri wa Habari Makonda ajitafakari pamoja na kupewa B2 za content creators hajaisaidia serikali.
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Ajira mpya Wilaya ya Ngara walimu wanatuchukuliaje lakini! Hela tumeambiwa zipo Hazina lakini kimya ni mwaka sasa

    Mimi niliajiriwa Mwaka 2025 katika Halmashauri ya Ngara Mkoani Kagera lakini hela zetu za kujikimu mimi na wenzangu hatujapewa, tupo Kada ya ELIMU ila wenzetu Kada ya AFYA walivyofika tu wakapewa sisi mpaka leo kimya. Mwaka huu 2026 wameleta ajira mpya wengine wa Elimu na Afya lakini afya...
Back
Top Bottom