Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) amesema kuwa mpango wa Serikali katika kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora ili kupata masoko ya uhakika.
Mhe. Kigahe amabainisha hayo Aprili 16,2024 katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma wakati akijibu swali la msingi la...
Wakuu,
Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?
Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.
Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.
Hao wenezi Kwa mfano Nape...
unahitaji kufahamu sekta kubwa zaidi duniani. Itakusaidia kufanya maamuzi sahihi kuhusu mahali pa kuwekeza pesa zako. Inasaidia pia kujua ni viwanda gani vinakua na ambavyo vinatatizika.
1. Sekta ya Utengenezaji(manufacturing industry)
Sekta ya utengenezaji ni moja ya tasnia kongwe zaidi...
Simba sc wameweka kambi ya 4 Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga,waliwai kufanya ivyo dhidi ya Alhaly. Ikumbukwe Simba pre season ilifanyika Uturuki,tofauti na watani zao mara zote wameonekana kutulia kwenye kambi yao Kigambani, wanapunguza matumizi ya...
Siweki uzi mrefu, Kuna kitu kina nitatiza, nataka kujua marumaru ipi ni Bora kati ya 69*60, 50*50, 49*40, 30*30
Kinachonichanganya zaidi ni box moja la 60*60 linajenga square MITA 1.44 ndo ghali zaidi.
50*50 box boja inajenga skwea MITA 1.75 bei raisi kuliko 60*60
Za 40*40 hizi box moja...
Kitabu cha imani yako kimetungwa na watu.
Akili yako imeumbwa na Mungu mwenyewe.
Ila wewe una amini kitabu cha imani yako ambacho kimetungwa na wanadamu ni bora kuliko akili yako ambayo imeumbwa na Mwenyezi Mungu.
Huko ni kumkosea heshima Mwenyezi Mungu kwa kiwango cha hali ya hali ya juu sana.
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa
Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo
Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4
Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu
Hezbollah wapo zaidi laki...
Habari Wana JF,
Nafahamu kuwa siasa haiangalii elimu uliyo nayo hata Kama we ni darasa la Saba una weza kuingia kwenye siasa. Mimi ni kijana nilie hitimu kidato Cha nne lkn kila siku za maisha yangu nimekuwa nikijiona sehem flan katika hii nchi japo kufikia hatua hizo imekuwa ngumu kwangu...
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema watumishi wa umma wasipoweza kuondoa viongozi dhalimu bora wafe tu.
Nakubaliana na Mwalimu Nyerere ila najiuliza kama watumishi wa umma ni waoga na wameshindwa kuondoa viongozi dhalimu na kumwachia Rais kazi hiyo peke yake! Kweli tupo tayari kuwanenea kifo...
Kuwekeza kwa mustakabali ni hatua muhimu katika kujenga ustawi wa kifedha na uhakika wa maisha. Kwa kuwa na mbinu sahihi za kusimamia akiba na uwekezaji, mtu anaweza kufikia malengo ya kifedha na kujenga mustakabali wenye uhakika. Hapa tunajadili njia bora za kusimamia akiba na uwekezaji ili...
Tazama Hapa tukio la FUMANIZI la jamaa mmoja ambaye alifanikiwa kumfuma mke wake wa ndoa akijivinjari na mwanaume mwingine nyumba ya jirani.
Angalizo: Punguza Sauti Kama upo kwenye watu wengi
https://www.instagram.com/reel/C5pbVlzIiGv/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Kama mtu hujawa tayari kuitumikia...
Juzi nilipita kwa jamaa yangu ni bachela umri anazaidi ya miaka 35 ila nilichokiona ndani mwake nikama anaishi dampo.
Yaani amepanga chumba na sebule lakini ukiingia ndani hujui chumba ni kipi na sebule ni ipi vitu vimetapakaa chupa za bia makopo ya double kick enegy nguo ziko kwenye kochi...
Kwa kuwa wewe umejinasibu kama rais wa Arusha, basi uzingatie yafuatayo la sivyo hutakuwa na maana isipokuwa a political empty barrel.
Kwanza hakikisha uwanja mpya wa mpira wa kisasa wa Olmotonyi unajengwa mapema kuanzia sasa la sivyo tutashindwa ku-host Afcon in June-Julay 2027.
Pili...
Mimi ni mtu ninayependa kuvaa vizuri na kula vizuri. Kumbukumbu zangu zinaonyesha mara ya mwisho kununua mtumba ni miaka mingi ishapita hata zaidi ya 10. Nilijiambia bora niwe na nguo chache ila za ubora wa hali ya juu ambazo hata nikivaa najiongezea thamani yangu. Na ninapenda fashion nzuri...
Straika wa zamani wa Brazil, Ronaldo Nazario De Lima ambaye pia amewahi kuchezea Klabu za Barcelona, Real Madrid, InterMilan, AC Milan ametaja kikosi chake bora cha muda wote wakiwemo Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
Hiki ndio kikosi chake; 1. Gianluigi Buffon 2. Cafu 3. Roberto Carlos 4...
Hii italinda heshima ya soka bora walilonao.Italinda heshima ya timu na wachezaji kwa ujumla.Viongozi wao wakae chini wafikirie mara mbili.
Timu yao ni kubwa sana ni bora wajitoe kulinda sifa waliyonayo pamoja na wachezaji wao wakubwa wa dunia walionao.Wasiangalie njaa ya leo wakajivunjia...
Ninaamoni katiba ingelikuwa ni bora, inayotoa fursa sawa ya uhuru wa mtu kuamua, kuchagua na kumpata mgombea anayemtaka, washamba ndani ya ccm mngefanya maamuzi na maamuzi yenu yangepata ushindi. Kwasbb washamba ni wengi.
Lkn kwa katiba hii, wingi wenu hauna tija, hauna mashiko na ndiyo maana...
Tulishuhudia mechi wote, Yanga walikuwa wamezidiwa kila idara na Mamelodi
Yanga walichofanya ni kupaki basi kubutua butua, kucheza rafu kwa dakika zote na kubahatisha shuti moja ambalo ndio wanalolalamikia walinyimwa goli
Kwa mashabiki tunaopenda kuona soka, tunataka timu bora ishinde, sio...
Ndugu wakulima na wafugaji wa kibiashara natumaini hatujambo. Leo nawaletea vitabu vilivyopo kwenye maktaba yetu ya kidigitali kuona vitabu mbalimbali vya Ufugaji vilivyoandikwa ili kimsaidia mfugaji kufahamu mbinu muhimu za ufugaji na jinsi ya kubiasharasha ufugaji. Tunavyo Vitabu
1: Ufugaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.