Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.
Mafanikio ya mtoto wako yanaanzia hapa!
Tunatoa huduma bora za Home Tuition kwa wanafunzi wa ngazi zote (One hadi Six) pamoja na wanaoanza kabisa (Beginners).
Tunafundisha:
✅ Mitaala yote ya shule
✅ Kiswahili
✅ Lugha za kigeni mbalimbali kwa wanafunzi wanaotaka kujifunza lugha mpya, mfano:
🇬🇧...
Ukiangalia ligi ya Tanzania kuna vituko sana na moja ya kituko ni mtu anakuambia simba ni timu bora na imeonewa na marefa ndo sababu ya kutokuchukua kombe ebu tuangalie takwimu zifuatazo
Timu iliyotoa mfungaji bora sio simba
Timu iliyotoa top assist sio simba
Timu iliyofunga magoli mengi sio...
Majibu mepesi mepesi ni kama haya haya yanayoendelea kwenye serikali hii mbovu.
Unapotangaza mumegundua kuwa majibu ni Ai.
Mungesema wameingia na simu maana AI hakuna ya kichwa cha mwanadamu kikajibu kama ilivyo AI.
"Pesa nyingi tunawekeza Azam. Nyingi sana lakini hamna la maana. Mashabiki wa Azam ni mashabiki wa Simba na Yanga.
Huwa wanakuja kwetu kwa Mkopo na pia wanajua wanalipwa hawana moyo wa upendo kwa Azam. Kiukweli hakuna faida kwa hii team. Tumefanya uwekezaji mkubwa sana kwa team lakini ndo...
Mi nikiona mtu mwanaume mwenzangu ana lalamika kuwa wenye pesa wamemchukua au kadanganywa na mali.
Kichwa cha habari kishajieleza hapo juu.
Wanawake wengi wamejificha kwenye bei ya kujiuza kama bidhaa zilizopo sokoni na madukani.
Bora wale wengine wanakwambia kabisa bei ili ushindwe wewe au...
Wazigua watani zangu wanapenda kusema mwanamke msingi kiunoo. Hii inamaanisha siyo lazima uwe na makebo hapana ila uwe flexible siyo unakutana na binti kiuno kimekauka utafikiri ni ngozi ya kulalilia.
Mishangazi itaendelea kuchukua pointi 3 maana ilishafundwa unyagoni ila nyinyi kizazi cha...
Je kwanini Ronaldo wa 20's still anaonekana bora licha ya kuwa kitakwimu zinambeba Mbappe
Jibu fupi ni: Ronaldo wa 20’s zake alipimwa kwa zaidi ya “namba”, Mbappé anapimwa zaidi kwa “takwimu”. Na hayo mawili si kitu kilekile.
Hebu tuchambue 👇
1. Muktadha wa zama (era tofauti)
Ronaldo (CR7)...
Wanabodi,
Niko hapa ukumbi wa Four Points by Sheraton, nikiwaripotia live mubashara, Kikao Kazi kati ya Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, na Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kupitia Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Kuzungumzia siku ya Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho...
Kwa miaka mingi, nchi za Ulaya, hususan Uingereza (UK), zimekuwa kivutio kikubwa kwa watu wanaotafuta maisha bora. Wengi huamini kuwa huko kuna ajira nyingi, mishahara mikubwa, huduma bora za afya na elimu, pamoja na fursa za kujenga maisha yenye utulivu. Hata hivyo, swali la msingi ni: Je...
Vijana watanzania wana uwezo mkubwa wa ubunifu na hapa wamekuwekea mawazo bora 30 ya ubunifu yatakayoweza kuiokoa Tanzania wakati wa majanga ya kimataifa kama vile kushuka kwa uchumi, vita, n.k angalia video
https://www.youtube.com/live/fqDRayIY5m0?si=Kg9vG7gxYUUF-4KX
Nianze kwa ku declare interest. Nimezaliwa sio tu kwenye familia na ukoo bali kabila ninalo toka watu wake wote ni Waislamu. Ni kabila lipo njia ya Back City.. Kabila la akina " KINYOGOLI" na " ZOMBOKO" . But mimi sio tena Muislamu wala Mkristu.. Baada ya kutafakari maisha kwa kina sikuona...
Kwa zaidi ya muongo mmoja, Marvel Studios imefanikiwa kujijenga kama kampuni inayoongoza katika utengenezaji wa filamu za mashujaa duniani. Ingawa DC ina baadhi ya wahusika maarufu zaidi kuwahi kuundwa kama Batman, Superman na Wonder Woman, bado Marvel imeweza kutawala soko la filamu kwa kiwango...
Wakuu nataka ninunue pikipiki kwa ajili ya matumizi binafsi, yaani usafiri binafsi nk.
Nataka ninunue pikipiki ambayo itakuwa nzuri hasa katika mazingira ninayoishi ambapo kuna barabara nyingi za vumbi na vilima/miinuko kwa wingi.
Naomba ushauri kwa wataalamu na wenye uzoefu wa pikipiki ili...
Nacheka na inashangaza kuona namna wabongo wengi kwa sasa badala ya kuiga maisha na megacy za machifu au wazee wa mila wao wanaiga maisha ya miaka ya 70s au 80s ya walami.
Karibuni kwa mjadala
Hlw
Nipo nae tangia mwaka juzi, nilimtongoza akanikubalia nikaanza kuhudumiana naye kama girlfriend wangu na alinambia yupo chini ya uangalizi na wazazi wake so alikuwa akiishi kwao
Nikimuhitaji nampata na tunakesha kesho yake anarudi kwao
Jana nampigia simu anapokea jamaa yake huku analia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.