bora

Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.

View More On Wikipedia.org
  1. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Mwana FA angeendelea fujo ingetokea ni bora alisitisha, tujitafakari sana

    Nimepata hofu sana, Kwa Nini lakini tumefika huku, kweli mazungumzo ya kisiasa ni muhimu? Kwenye show isio husu siasa?, Kuna chupa zinge rushwa wallah, safi sana muheshimiwa Kwa. Kuliona hilo
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tuzo za Rais za Walipakodi Bora, Zijenge Utamaduni wa Uaminifu, TRA Watoze Kodi Halali, Wananchi Walipe Kodi Halali, Serikali Itumie Kodi Kihalali

    Wanabodi, Hii ni makala yangu gazeti la Mwananchi https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/uchambuzi-wa-mayala-tuzo-za-walipa-kodi-bora-nchini-zijenge-utamaduni-wa-uaminifu-5520694 Paskali
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ukweli unaoogopwa na kufichwa na watawala; Wanaharakati ni bora kuliko wanasiasa.

    Unaweza kujiuliza nini kinasababisha tabaka tawala kushambulia na kuchukia sana wanaharakati. Jibu ni rahisi sana, wanaharakati wanatishia "status quo" ya watawala, popote pale Dunia katika Karne ya 20 na 21 hakuna mabadiliko makubwa ya kubadilisha au mageuzi ya utawala yaliyowezekana bila...
  4. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Nadhani Ridhiwani ni kiongozi bora, nitamuunga mkono

    Wanjamvi na geniuses wa HnM sakamu! Nimetafakari sana, nimewaza na kuwazua. nikahitimisha kuwa hakuna kisicho na dosari. Mhe. Ridhiwani Kikwete ni kiongozi bora, ni bora ndiyo, na siku hapo mbeleni akitangaza nia ya kujaribu kugombea Urais, nitamuunga mkono 100%. Sababu zangu zipo hapo chini...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kwani ndugu zangu Ccm ni LAZIMA mridhiane na Chadema si Bora mridhiane na Chaumma iliyokuwa na mgombea wa Urais au Act

    Kama ni Ishu ya maridhiano tu ndugu zangu Ccm ridhianeni na chaumma au Act ndo iliingia kwenye uchaguzi. Chadema Haina hata diwani kwanini mnalazimishe waingie kwenye maridhiano wakati Kuna watu wako tayari kina Yeriko na Zito . Nyie si mnataka TU ionekane mmeridhiana kama kule Zanzibar ingawa...
  6. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni nyimbo yako Bora ya muda wote?

    Yakwangu ni Aikon--Ghetto hii nyimbo jamaa aliitunga kwa ustadi wa hali ya juu sana.
  7. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Sisi ndio mabingwa wa elimu bora Tanzania ,usisubirie kusimuliwa tupe mtoto wako leo uwe shuhuda wetu

    Mafanikio ya mtoto wako yanaanzia hapa! Tunatoa huduma bora za Home Tuition kwa wanafunzi wa ngazi zote (One hadi Six) pamoja na wanaoanza kabisa (Beginners). Tunafundisha: ✅ Mitaala yote ya shule ✅ Kiswahili ✅ Lugha za kigeni mbalimbali kwa wanafunzi wanaotaka kujifunza lugha mpya, mfano: 🇬🇧...
  8. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vaa KONDOMU. Kinga ni bora kuliko Tiba.

    Vaa KONDOMU jikinge na maambukizi yasiyo na sababu. Kumekua na kawaida wanawake hawataki uvae condom wanataka upige kavu. Nakukumbusha vaa Condom.
  9. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaosema Simba ni timu bora na wanastahili kombe wanatumia vigezo vipi

    Ukiangalia ligi ya Tanzania kuna vituko sana na moja ya kituko ni mtu anakuambia simba ni timu bora na imeonewa na marefa ndo sababu ya kutokuchukua kombe ebu tuangalie takwimu zifuatazo Timu iliyotoa mfungaji bora sio simba Timu iliyotoa top assist sio simba Timu iliyofunga magoli mengi sio...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania NECTA mnaposema mumegundua majibu wametumia AI si bora mseme waliingia simu

    Majibu mepesi mepesi ni kama haya haya yanayoendelea kwenye serikali hii mbovu. Unapotangaza mumegundua kuwa majibu ni Ai. Mungesema wameingia na simu maana AI hakuna ya kichwa cha mwanadamu kikajibu kama ilivyo AI.
  11. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uongozi: Klabu ya Azam kwetu ni hasara sana. Haina faida yoyote ndo maana ni bora tujitoe tu

    "Pesa nyingi tunawekeza Azam. Nyingi sana lakini hamna la maana. Mashabiki wa Azam ni mashabiki wa Simba na Yanga. Huwa wanakuja kwetu kwa Mkopo na pia wanajua wanalipwa hawana moyo wa upendo kwa Azam. Kiukweli hakuna faida kwa hii team. Tumefanya uwekezaji mkubwa sana kwa team lakini ndo...
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Bora dada poa anaweka bei kuliko hawa wameficha bei.

    Mi nikiona mtu mwanaume mwenzangu ana lalamika kuwa wenye pesa wamemchukua au kadanganywa na mali. Kichwa cha habari kishajieleza hapo juu. Wanawake wengi wamejificha kwenye bei ya kujiuza kama bidhaa zilizopo sokoni na madukani. Bora wale wengine wanakwambia kabisa bei ili ushindwe wewe au...
  13. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kama huna kiuno usivae shanga

    Wazigua watani zangu wanapenda kusema mwanamke msingi kiunoo. Hii inamaanisha siyo lazima uwe na makebo hapana ila uwe flexible siyo unakutana na binti kiuno kimekauka utafikiri ni ngozi ya kulalilia. Mishangazi itaendelea kuchukua pointi 3 maana ilishafundwa unyagoni ila nyinyi kizazi cha...
  14. Fene

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Ronaldo wa 20's anahesabika bora kuzidi Mbappe wa 20's licha kitakwimu Mbappe yupo juu? Majibu haya hapa

    Je kwanini Ronaldo wa 20's still anaonekana bora licha ya kuwa kitakwimu zinambeba Mbappe Jibu fupi ni: Ronaldo wa 20’s zake alipimwa kwa zaidi ya “namba”, Mbappé anapimwa zaidi kwa “takwimu”. Na hayo mawili si kitu kilekile. Hebu tuchambue 👇 1. Muktadha wa zama (era tofauti) Ronaldo (CR7)...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Wanabodi, Niko hapa ukumbi wa Four Points by Sheraton, nikiwaripotia live mubashara, Kikao Kazi kati ya Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, na Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kupitia Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Kuzungumzia siku ya Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho...
  16. Azniv Protingas

    JamiiForums Tanzania Je, Maisha katika Nchi za Ulaya kama Uingereza (UK) ni Rafiki kwa Wahamiaji Wanaotafuta Maisha Bora?

    Kwa miaka mingi, nchi za Ulaya, hususan Uingereza (UK), zimekuwa kivutio kikubwa kwa watu wanaotafuta maisha bora. Wengi huamini kuwa huko kuna ajira nyingi, mishahara mikubwa, huduma bora za afya na elimu, pamoja na fursa za kujenga maisha yenye utulivu. Hata hivyo, swali la msingi ni: Je...
  17. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Mawazo ya takayoibadilisha Tanzania kiuchumi yawasilishwa 30 Bora

    Vijana watanzania wana uwezo mkubwa wa ubunifu na hapa wamekuwekea mawazo bora 30 ya ubunifu yatakayoweza kuiokoa Tanzania wakati wa majanga ya kimataifa kama vile kushuka kwa uchumi, vita, n.k angalia video https://www.youtube.com/live/fqDRayIY5m0?si=Kg9vG7gxYUUF-4KX
  18. LIKUD

    JamiiForums Tanzania " Pepo" ya Mashahidi wa Yehova (Jehovah Witnesses) ndio pepo bora kuliko zote

    Nianze kwa ku declare interest. Nimezaliwa sio tu kwenye familia na ukoo bali kabila ninalo toka watu wake wote ni Waislamu. Ni kabila lipo njia ya Back City.. Kabila la akina " KINYOGOLI" na " ZOMBOKO" . But mimi sio tena Muislamu wala Mkristu.. Baada ya kutafakari maisha kwa kina sikuona...
  19. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu, MBUNGE Bora wako ni yupi? Mimi ni Baba Levo.

    Mi nshamaliza kwenye title
  20. marcoveratti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa Nini Marvel Inaonekana Bora Kuliko DC Katika Ulimwengu wa Filamu

    Kwa zaidi ya muongo mmoja, Marvel Studios imefanikiwa kujijenga kama kampuni inayoongoza katika utengenezaji wa filamu za mashujaa duniani. Ingawa DC ina baadhi ya wahusika maarufu zaidi kuwahi kuundwa kama Batman, Superman na Wonder Woman, bado Marvel imeweza kutawala soko la filamu kwa kiwango...
Back
Top Bottom