lini

Linyi (simplified Chinese: 临沂; traditional Chinese: 臨沂; pinyin: Línyí) is a prefecture-level city in the south of Shandong province, China. As of 2011, Linyi is the largest prefecture-level city in Shandong, both by area and population, Linyi borders Rizhao to the east, Weifang to the northeast, Zibo to the north, Tai'an to the northwest, Jining to the west, Zaozhuang to the southwest, and the province of Jiangsu to the south. The name of the city Linyi (临沂) literally means "close to the Yi River".
The city recently expanded along the Yi River to Nanfang, now called the Beicheng New Area, under the slogan "Grand Linyi, Beautiful Linyi, New Linyi". Multiple recreational parks were built, along with new school campuses etc. The development is a consequence of a series of governmental projects, including relocate the city government, which is expected to stimulate the economy.
The population was 11,018,365 at the 2020 census, of which 3,651,868 lived in the built-up area made up of Lanshan District, Luozhuang District and Hedong District, as well as Linyi National Hi-Tech Zone.

View More On Wikipedia.org
  1. bless on

    JamiiForums Tanzania Huyu Jamaa Anakuja Lini?

    Tangu tukiwa wadogo tukiwa tunapiga kelele, story imekuwa ni moja tu jamaa anakuja! Walimu walikuwa wanatupiga mkwara hadi tunashindwa kulala, tukihisi tukifumba tu macho, jamaa huyo hapa getini. Lakini miaka imekata, 2030 hiyo hapo inachungulia, na maisha bado ni yaleyale, foleni za...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania Sijui ni wapi na lini tulimkosea Mh Rais na hataki kutusamehe! Moyo wangu unajaa huzuni sana Kila nikimuona

    Labda tukumbushane ndugu zangu Watanzania, ni lini na wapi tuliwahi kumkosea Mh Rais Nakumbuka mengi sana ambayo, kama angeliyasemea tu na kuyakemea, tusingekuwa hivi tulivyo Leo Au basi
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hivi haya mambo ya kupoteza makamanda wa CHADEMA yataisha lini?

    Huyu naye inasakiwa amepotezwa. 👇 Julius Mbalile Erick (pichani), alikuwa ni Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Murongo Jimbo la Kyerwa mkoani Kagera. Kwa mujibu wa taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa CHADEMA, Anatropia Theonest ambayo imetolewa leo, Julius Mbalile Erick alitekwa na kupotea katika...
  4. C-C Daily Stories

    JamiiForums Tanzania Video ya home boy itatoka lini?

    Iko njiani. Watch trailer yake:
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Waislamu ni lini mtajua dini madhehebu na siasa kama ilivyo dini nyengine.

    Shida kuelimisha mtu kama kobe kujiondoa kwenye gamba lake. Dini zetu zimetumia nguvu nyingi kumwaga damu zaidi ya history za vita ya dunia zote. Dini zimekuwa kujificha kwa watawala kuanzia imani zao na kabira zao japo wanaweza kutumia haya. Kuna mada wengi wanadanganywa uislamu ulikuwepo...
  6. Red black

    JamiiForums Tanzania Jf team hizi project lini zitamilika?

    Hizi project hapa mbona mmeikalia kimya.
  7. A

    JamiiForums Tanzania HOJA BARABABARA YA MKUYUNI - VOIL (MWANZA) ITATENGENEZWA LINI?

    Wakazi wa mwanza, Nyamagana kwa miaka sasa tunateseka na ubovu wa barabara katika wilaya yetu na hasa barabara kuu ya kuelekea mjini. Barabara ina mashimo mengi, vumbi na mbovu. Mradi wa SGR haukamiliki na hatujui timeline yao ni ipi, lakini kadhia ya kutumia barabara hii ni kubwa. Tunaomba...
  8. Masweeter

    JamiiForums Tanzania Hivi Upweke umri wake mwisho lini ?

    Mtu anatakiwa aolewe akiwa na umri gani?
  9. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Lini watanganyika watajibu mapigo kwa yanayoendelea Zanzibar?

    Kauli za kuudhi za mara kwa mara kutoka kwa wazanzibari. Sheria kandamizi za wazanzibari kwa watanganyika Ubaguzi wa waziwazi wa wazanzibari kwa watanganyika tena wazanzibari wengine wanawabagua watanganyika hapa hapa Tanganyika , haswa wale waliopo vyuoni. Dharau za viongozi wa dini wa...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Watanzania bara, ni lini mtaamka na kutambua kwamba mgogoro wa CCM dhidi ya CHADEMA ni wa kutengenezwa kuwagawa Watanzania bara?

    Nimetafakari sana matukio yanayoendelea Tanzania hivi karibuni. Kuna jambo moja la kutisha sana nimegundua. Ni kwamba haya mambo yanayoendela Tanzania, hususa kinachoonekana kama ni mgogoro wa CCM dhidi ya Chadema na suala la Katiba, ni mambo yalipangwa na yanaratibiwa ili kuwagawa Watanzania...
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania What Happened in Oct. 29: Pongezi Balile wa TEF Kwa Uzalendo, Ila Tanzania Tunatia Aibu!. Tutategemea Wageni Mpaka Lini?!. Tujenge Uwezo wa Ndani!.

    Wanabodi, Hili ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, nikitoa pongezi kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Deodatus Balile, kwa uzalendo wake kuhusu kile kilichotokea October 29, katika filamu kuhusu kilichotokea. Kiukweli, Tanzania na Watanzania, tunatia aibu...
  12. idiomer

    JamiiForums Tanzania Maisha haya tutayapata lini?

    Unemployment rates inafanya kazi ya walimu kuwa ngumu.
  13. Sister Abigail

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Mi sikumbuki lini ni kama mwaka Sasa. Kinachonifanya nsipende sana ni shombo yake.dizaini naifananisha na mk*j*..Ina shombo Kali nisamehewe😒 Pili ni chumvi nyingi sana. Mie asili yangu ni pwani,hiyo ni kitu pendwa kule.wanapenda kavu au na muhogo.mhogo wa nazi au ugali wake wanaita bada. Na pia...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hizi busara za Omar Mahita na Pascal Mayalla zimeanza lini?

    Mzee Mahita ameongea mambo mengi kiasi kwamba jamii haiamini anachosema. Mfano rais mstaafu kutumia vibaya madaraka kwa sababu katiba tuliyinayo ni mbovu na kumteua Said Mwema kuwa Igp kisa tu ameoa kwao. Na keleza namna vyombo vingine vya usalama vinakamata watu na kuwaweka kwenye sero za...
  15. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali itaanza lini utekelezaji mpango wa mabasi maalum ya wanafunzi? Wanaathirika na gharama baada ya mafuta kupanda bei

    Kupanda kwa bei ya mafuta kunakoendelea kumesababisha ongezeko la gharama za maisha, ikiwemo bei za bidhaa mbalimbali na huduma muhimu za kijamii. Miongoni mwa athari zinazozidi kujitokeza ni changamoto ya usafiri kwa wanafunzi, hasa baada ya kuongezeka kwa nauli za daladala na vyombo vingine...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya maji Songe Kilindi

    Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi ni wiki Sasa hakuna maji, na hakuna maelezo yoyote ya lini maji yatatoka. Kwa sasa ndoo ya maji inauzwa Tsh 1000 mtaani. Sijajua changamoto ni nini lakini waziri wa maji amekuja hapa mara mbili na viongozi wanaahidi kutojirudia kwa hii...
  17. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ni lini Rais atafanya ziara kushukuru walio mchagua jamani October 29?

    Mh Rais lini utakuja MKOANI Kilimanjaro na Arusha kutushukuru walio kuchangua October 29?
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania Siku za mwisho ni lini na zitakuaje?

    Hivi siku za mwisho zipo na zinakuaje? Hizi siku za mwisho ni za dini za Abrahamic (Ukristo, Uislamu na Uyahudi) tu au imani zote za Dunia?
  19. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Kama tusipoanza kuzijenga nchi za Africa sasahivi, sijui lini tutaanza kujenga

    Ukiwa unasema Tanzania tuko slow kimaendeleo wanakuja machawa wa Samia wanakuambia kama huridhiki basi hama nchi. WTF! Hivi kwa nini machawa wa Samia mnadhani hii nchi ni yenu peke yenu na Samia wenu? Watu wanataka tubadilike tuwe serious, sio kuhama nchi Nadhani sasahivi mnaona dunia...
  20. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Hivi matamko ya Samia yatatolewa ufafanuzi mpaka lini?

    Ni ngumu sana kumsikiliza Samia kwa dakika 20-30 bila kutoa boko kwenye hotuba zake Ni ngumu kumsikiliza bila kuchukia Na ni ngumu sana amalize kuhutubia bila kuja kutetewa au maneno yake kutolewa ufafanuzi na watu wengine. Kiukweli Watanganyika tumeula wa chuya awamu hii.
Back
Top Bottom