Mikopo ya Ushauri
Kila mtaa una wale watu wanaokopesha kila kitu—pesa, nguo, kiwanja, nyumba, gari.
Lakini aliibuka mtu mmoja yeye, alikopesha ushauri.
Ndiyo. ushauri. Alikuwa anaitwa Mshauri, lakini wengi walimwita tu Mjomba Kichwa.
Hakukuwa na kitu ambacho hakuwa na maoni nacho. Ukiwa na...