JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
  • Sticky
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992. 2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka...
86 Reactions
2K Replies
385K Views
  • Sticky
Wandugu, Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi. Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991...
12 Reactions
419 Replies
73K Views
  • Sticky
~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught...
46 Reactions
662 Replies
166K Views
  • Sticky
  • Redirect
Jamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini. 1. Majungu mliyoyapika sasa mtayapakua 2. Nenda kaseme tena 3. Gusa unate 4. Flag ya...
79 Reactions
Replies
Views
  • Closed
  • Sticky
Kila jukwaa lina watu ambao wanakuwa ni members ‘zaidi ya wengine' tokana na mapenzi ya kila member. Katika majukwaa yote hili la CC limekithiri tabia za uchochezi na undumilakuwili kwa...
111 Reactions
91 Replies
78K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
899 Reactions
1M Replies
34M Views
The Weekend - Out of Time
14 Reactions
3K Replies
46K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
250 Reactions
148K Replies
4M Views
Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza! Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza! Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na...
40 Reactions
4K Replies
84K Views
Unakuta kuna mtu una beef nae halafu humuwezi, so unaishia kuumia wewe. Kuna huyu jamaa sitoelezea chanzo cha bifu letu, ila roho inaniuma siwezi kumfanya chochote. Jamaa anafanya kazi...
20 Reactions
334 Replies
7K Views
samtz1 analeta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja aache kuiga iga. Anatumia picha zangu kutafuta ma kuniibiia mademu zangu. Moderator Active mnaruhusuje watu kuiga picha zangu. Why? why? why...
26 Reactions
207 Replies
5K Views
Leo asubuhi nilikuwa na safari fupi kutoka Kili kwenda A-Town. Nilipofika stendi niliingia kwenye coaster ambayo ilikuwa imeshajaza abiria tayari. Hivyo konda akachombeza kimtindo hapo nikakaa...
23 Reactions
155 Replies
4K Views
Vijana wa hovyo...utawajua tu!!! Comment Emoji zako tano za mwisho....sio kwa ubaya lakini..kuna kitu Wenzako wanataka wajue Naanza mimi [emoji23][emoji125][emoji2957][emoji3][emoji512] Sent...
3 Reactions
26 Replies
323 Views
Mara ya kwanza nilidhani iPhone ni simu za watu wenye ujiko hivi au hadhi fulani. Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya...
25 Reactions
41 Replies
2K Views
Ni habari za ujinga ujinga tu. Habari za nani anatoka na nani? Nani kalala na nani? Sijui tunatengeneza taifa la namna gani huko mbeleni. Acha mwarabu achukue nchi aisee.
2 Reactions
13 Replies
309 Views
Je, ni miaka 30, 50, 70, 100, 120 au miaka yote? Kwanini?
1 Reactions
24 Replies
477 Views
Habari wadau Msimu huu wa sikukuu za kuzaliwa bwana ningependa tujikumbushe nyimbo nzuri za kusikiliza na familia Mimi za kwangu ni hizi 1. The first Noel 2. Jingle bell rock 3. Hark the...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Nimekuwa napenda sana kusoma misemo mbali mbali katika magari hasa mabasi ya abiria na yale ya mizigo. Ndipo nilipoamua kuwauliza madereva, nani anayetaka maneno hayo yaandikwe? Majibu yao ni...
26 Reactions
4K Replies
1M Views
Baadhi hula kila chakula kwa pilipili, hawa watu wanakosa mengi sana kwenye chakula, hawajui hata ladha ya chakula ni ipi wanajua ladha ya pilipili tu, unakuta mtu msosi mpya wa nguvu anajaza...
9 Reactions
29 Replies
705 Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
256 Reactions
422K Replies
14M Views
Dah...Leo nimegonga mvua 70 na ushee...Nilipotoka ni mbali sana..niliyoyafanya ni machache sana ...ninapokwenda ni karibu lakini nina mengi ya kufanya...muda hautoshi...kichwa kinapata...
4 Reactions
56 Replies
3K Views
Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je? Funguka hapa chini👇
11 Reactions
155 Replies
3K Views
Kuna wakati tunatimba ishu ambazo hata shrletani mwenyewe anasanda na kushangaa.. Lakini kwa akili nyepesi za kibinadamu tukamsingizia yeye...! Je ni kufanya matusi? Wizi? Ukafiri? Ulozi...
5 Reactions
46 Replies
1K Views
Aisee najisikia uvivu sana, bado had saizi nimelala 11:42 NB:plz usilete vitu serious! Easy “”HUU UZI NA KWA AJILI YA KUREFRESH, KKUPIGA STORY NA MASIHARA”” EASY EASY EASY
5 Reactions
130 Replies
2K Views
Back
Top Bottom