1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.
2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka...
Wandugu,
Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi.
Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991...
~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught...
Kila jukwaa lina watu ambao wanakuwa ni members ‘zaidi ya wengine' tokana na mapenzi ya kila member. Katika majukwaa yote hili la CC limekithiri tabia za uchochezi na undumilakuwili kwa...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza!
Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza!
Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na...
Unakuta kuna mtu una beef nae halafu humuwezi, so unaishia kuumia wewe.
Kuna huyu jamaa sitoelezea chanzo cha bifu letu, ila roho inaniuma siwezi kumfanya chochote. Jamaa anafanya kazi...
samtz1 analeta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja aache kuiga iga. Anatumia picha zangu kutafuta ma kuniibiia mademu zangu.
Moderator Active mnaruhusuje watu kuiga picha zangu. Why? why? why...
Leo asubuhi nilikuwa na safari fupi kutoka Kili kwenda A-Town. Nilipofika stendi niliingia kwenye coaster ambayo ilikuwa imeshajaza abiria tayari.
Hivyo konda akachombeza kimtindo hapo nikakaa...
Mara ya kwanza nilidhani iPhone ni simu za watu wenye ujiko hivi au hadhi fulani.
Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya...
Ni habari za ujinga ujinga tu.
Habari za nani anatoka na nani?
Nani kalala na nani?
Sijui tunatengeneza taifa la namna gani huko mbeleni.
Acha mwarabu achukue nchi aisee.
Habari wadau
Msimu huu wa sikukuu za kuzaliwa bwana ningependa tujikumbushe nyimbo nzuri za kusikiliza na familia
Mimi za kwangu ni hizi
1. The first Noel
2. Jingle bell rock
3. Hark the...
Nimekuwa napenda sana kusoma misemo mbali mbali katika magari hasa mabasi ya abiria na yale ya mizigo.
Ndipo nilipoamua kuwauliza madereva, nani anayetaka maneno hayo yaandikwe? Majibu yao ni...
Baadhi hula kila chakula kwa pilipili, hawa watu wanakosa mengi sana kwenye chakula, hawajui hata ladha ya chakula ni ipi wanajua ladha ya pilipili tu, unakuta mtu msosi mpya wa nguvu anajaza...
Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
Dah...Leo nimegonga mvua 70 na ushee...Nilipotoka ni mbali sana..niliyoyafanya ni machache sana ...ninapokwenda ni karibu lakini nina mengi ya kufanya...muda hautoshi...kichwa kinapata...
Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?
Funguka hapa chini👇
Kuna wakati tunatimba ishu ambazo hata shrletani mwenyewe anasanda na kushangaa.. Lakini kwa akili nyepesi za kibinadamu tukamsingizia yeye...!
Je ni kufanya matusi?
Wizi?
Ukafiri?
Ulozi...
Aisee najisikia uvivu sana, bado had saizi nimelala 11:42
NB:plz usilete vitu serious! Easy
“”HUU UZI NA KWA AJILI YA KUREFRESH, KKUPIGA STORY NA MASIHARA””
EASY EASY EASY