kutoka

Kutoka Interactive was an educational software company founded in Montreal, Quebec, in 1995. The company produced, developed, and distributed both subject-based and grade-based video games for Windows and Macintosh from 1996 to 2017. They were most famous for their Mia games.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    Chadema njaa tayari, wanagombea maokoto; wanadai ruzuku ya 500m kutoka serikali wasiyoitambua

    Taaayari!!!! Jamaa wamezimana maokoto, Heche kawazidi wenzake ujanja, kala tonetone na za wafadhili walioingiza fweza kwenye account yake binafsi. Na Mnyika anadai wapewe ruzuku ya sh. 500m serikalini, serikali ambayo wanasema ni haramu na hawaitambui. Heche hajui kwamba chadema ni saccos ya...
  2. sam green

    Nawezaje kukopa kupitia Mtandao wa Simu?

    Habari wakuu, msaada wa mawazo kuhusu jambo linalo nisibu, Mimi nimeajiliwa sehemu, Nimekaa kwa muda kias, Boss wangu, katika Makubaliano, ni kufanya kaz, huku nikihesabu mshahara wangu Hatimae mshahara umefikia 3 million sasa naona kuna namna anataka kuni dhurumu, Maaana naona tu miendo...
  3. Inside10

    Hilda Newton: Viongozi wa CHASO waliokamatwa Mbeya, hakuna mwanafamilia, Viongozi wa Chama walioruhusiwa kuwaona

    Anaandika Hilda Newron Chadema huko Facebook ‼️HABARI MBAYA KUTOKA MBEYA‼️ Julai 4, 2026 Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya liliwakamata Viongozi wa CHASO watatu wa Mkoa wa Mbeya kila mmoja alikamatiwa Chuoni kwake. Tangu siku hiyo mpaka leo hakuna mwanafamilia, Viongozi wa Chama wala Mawakili...
  4. O

    Eric Omondi Adai Gen Z Wamekusanya Signatures 430,000 za Referendum Kupunguza Counties Kutoka 47 Hadi 8

    Stand-up comedian na human rights activist Eric Omondi amesema kampeni yake inayoongozwa na Gen Z tayari imekusanya zaidi ya signatures 430,000 zinazounga mkono referendum ya kubadilisha Katiba ili kupunguza idadi ya counties kutoka 47 hadi 8 za zamani. Akizungumza kwenye mahojiano na vyombo...
  5. A

    DOKEZO Chuo cha Agha Khan kinatoa Shahada kwa miaka miwili tofauti na vyuo vingine na TNMC wapo kimya!

    Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) linashindwa na linatuchanganya kikawaida shahada ya uuguzi na ukunga ni miaka 4 na internship mwaka mmoja jumla mitano ila Chuo cha Agakhan wanatoa degree miaka 2 na wao wapo kimya bila ufafanuzi na hili limekuwa kero hata wauguzi kubadilishiwa madaraja...
  6. H

    Wameigeuza 7/7 kutoka kuwa Siku ya Maonesho ya Biashara Mpaka Kuwa ya Maonesho ya Silaha. 8/8 Nayo Wataigeuza?

    Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku wahusika wakuu wakiwa ni wauaji wanaotumika kudhulumu haki za watanzagiza. Bila shaka wanaowatumia...
  7. R

    Kutoka X: Eti kaiweka akili kama ya Mhe. LISSU pale Ukonga GEREZANI halafu kaliacha BUNGE liwe na akili kama za binti yake

    Eti samia kaiweka akili kama ya Mhe. LISSU pale Ukonga GEREZANI halafu kaliacha BUNGE liwe na akili kama za WANU binti yake make hapo kwanza nicheke😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  8. NYOLODO

    Kazi zangu za sanaa! Kutoka sketching mpaka acrylic painting. Ungana na mm hapa hapa jukwaan

    Naamin sote mnaendelea vizuri. Huu ni uzi maalum kabisa special kwa kazi zangu binafsi za sanaa na biashara endelevu. Binafsi ni msanii wa sanaa ya uchoraji, natangaza kaz zangu hapahapa jukwaan. Kwanza kabisa maandalizi. Frem Penseli Picha unayoichira Rangi Rula na Mwisho, ni uwezo binafsi...
  9. Echolima1

    Magaidi wa Houth kutoka Yemen washambuliwa na ndege-vita za Israel!!!

    Magaidi wa Houth leo ilikuwa siku yao kupokea kipondo kutoka majeshi hodari ya Israel.
  10. Brother Depo

    Ayatollah mpya wa Iran Ameogopa Kifo Kutoka Kwa Israel

    Wafuasi wa Iran walikua wakitubeba ujinga kuwa viongozi wa Iran hawaogopi kufa, kumbe si kweli. Huyu Ayatollah mojtaba kaja kutufunua ukweli kuwa ni waoga sana wa kufa. Miezi minne sasa ana hofu Hadi na wasaidizi wake huko Iran, hawezi hata kuonekana hadharani sababu ya hofu ya kuuliwa na...
  11. figganigga

    UCHAMBUZI: Kutoka Symbion hadi Sheria ya Fedha 2026 na Ufisadi katika Uagizaji Mafuta. je, Luhaga Mpina amebadili msimamo?

    Dar es Salaam. Taarifa waqliyoitoa Chama cha ACT-Wazalendo walipokuwa wanaongea na Waandishi wa habari. kuwa litafungua mashauri mahakamani kupinga baadhi ya vifungu vya Sheria ya Fedha ya Mwaka 2026 limefungua mjadala mpya kuhusu nafasi ya siasa za upinzani katika usimamizi wa fedha za Umma...
  12. M

    Motjaba walishamla kichwa au ? unaogopaje kutoka hadharani nchi unayoiongoza iliyojigamba kushinda vita kwenye msiba wa kiongozi mkubwa na mzazi ?

    Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, hatohudhuria shughuli za mazishi ya baba yake, Ali Khamenei, Taarifa hiyo imetolewa na mwakilishi wa kiongozi huyo nchini India wakati Iran ikiendelea na maandalizi ya shughuli za mazishi. kuna possibility kubwa hata huyu walishapita nae
  13. venchwa

    Kule Vietnam sasa nikakutana na wadada wawili ma nes kutoka Marekani, club inaitwa Blue bar

    Mwaka ule ule napata connection ya kisanga cha Mnyarwanda kabla ya hapo nawaleta kati Katika Uzi uliopita niliiongelea Vietbam nikasema itakuwa story ya siku ngingine Kifupi Vietnam nimeenda Mara mbili Moja ni awali kabla sijampata mnyarwanda Na ya pili nilimpeleka mnyarwanda aka pate kutoa...
  14. M

    Mchele super kutoka Kilombero

    BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM Habari wana JamiiForums, Natafuta mnunuzi wa jumla au mshirika wa biashara ya mchele. Mimi ni mfanyabiashara mdogo kutoka Bonde la Mto Kilombero, Morogoro. Kwa sasa nina gunia 30 za mpunga tayari ghalani tunaweza kupata mchele mwingi zaidi INSHA ALLAH na lengo...
  15. A

    DOKEZO Baadhi ya mabasi kwenye njia ya Tabora-Mbeya yana hitilafu za kiufundi na barabara hiyo ina mashimo mengi

    Kuna wasiwasi mkubwa kuhusu usalama wa mabasi yanayofanya safari kati ya Tabora na Mbeya. Inadaiwa kuwa baadhi ya mabasi yanayotumika katika njia hiyo yana hitilafu za kiufundi, huku yakisafiri kwa mwendo kasi kwenye barabara yenye mashimo na makorongo mengi. Kinachotia wasiwasi zaidi ni kwamba...
  16. radhiya

    Khanga kubwa kutoka Zanzibar zipo

    Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga tatu. Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja. Delivery unalipia sh 3,000/= tu. Delivery...
  17. F

    Nilitegemea katika siku ya gawio rais apokee gawio kutoka TANESCO, TTCL, ATCL, TRC ambao hawakutoa gawio na sio yeye kupewa tuzo.

    Siku ya kutoa gawio kwa serikali ni siku ambayo rais alipaswa kuichukulia kama accountability day kwa mashirika yote ya Umma. Ni siku ambayo mbivu na mbichi zinapaswa kuanikwa na pengine watu kuchukuliwa hatua kwa kutotoa gawio lolote. Lakini katika siku hiyo mwaka huu TANESCO, TTCL, ATCL, TRC...
  18. M

    JWTZ wazalendo waungeni Wananchi 7/7, Viongozi wazalendo kumbukeni mafunzo yenu kutoka chuo cha Taifa cha Ulinzi, kuhusu usalama wa Taifa

    Usalama wa Taifa si tu kutokuwepo kwa vita, usalama wa Taifa unahusu umoja wa Kitaifa, Utulivu wa kisiasa, uchumi, teknolojia, masuala ya kijeshi na mazingira. Chadema kimekwisha kuwa chama cha kitaifa kutumia taasisi za serikali kama Jeshi, polisi na usalama kukizuia kufanya kazi ni...
  19. Smartkahn

    Vitaanguka vipande kutoka juu angani

    Mwanzo nilizani ni ajari ya air balloon kule Brazil, lakini viashiria pale chini viliwakilisha harakati za sokoni au mahali penye maonyesho ya au biashara isiyofanyika hapo mara kwa mara... Kulikua na nyasi fupi na kavu. Bora iwe ni ile ajari ya kule Brazil kwani ilikwisha kutokea tayari...
  20. Magical power

    Baada ya kupotea miaka kadhaa sasa nimerudi, nilikua kwa kina smigo 😂😂,Nina madini mengi kutoka huko, huku Duniani Kuna mpya gani tuanze nalo

    Baada ya kupotea miaka kadhaa sasa nimelud, nilikua kwa kina smigo 😂😂,Nina madini mengi kutoka huko, huku Duniani Kuna mpya gani tuanze nalo.
Back
Top Bottom