Serikali imesema haijauza wala haijakabidhi rasilimali za misitu au maliasili za Tanzania kwa mataifa ya nje kupitia makubaliano ya biashara ya kaboni, ikisisitiza kuwa hatua zinazoendelea zinalenga kuongeza manufaa ya kiuchumi kwa taifa huku zikilinda maslahi ya wananchi.
Akizungumza na...
Akijibu maswali ya waandishi wa habari mbali mambo mengine bwana Msigwa aliwaambia waandishi hao kuwa kama kuna kasoro waandike na serikali itafanyia kazi.
Mojawapo ya kasoro kubwa ambayo ipo na vyombo vya habari vya Tanzania haviandiki, havisemei au hata kufanya uchunguzi (documentary) ni...
Naanza kuwajua WABAYA wa Taifa letu taratibu Sasa
Umeme ni kitu MUHIMU saa kwa ulinzi wa Taifa letu😅
Internet ni MUHIMU sana kwa wapinzani wakitaka kupindua inji yetu ya Tanzania.
Naelewa Sasa kumbe gridi ya Taifa Jana ilizimwa na heche na wenzake wakina Tundu Lissu ili walipindue inji yetu...
Viongozi wetu, tena wa CCM na Serikali, wameiharibu kabisa Masaki na Oysterbay, kutokana na kuharibu Mipango Miji.
Taratibu, Masaki na Oysterbay zinageuka kuwa Upanga , kumbi za Disco, makunywaji na Mtaa wa Uhuru, badala ya makazi ya viongozo waandamizi wa serikali.
Leo viongozi wenzao...
Habari za ndani kutoka kwa Exchequer ambazo zimetoka wiki iliyopita ni kwamba pesa haitoshi , na Serikali kuu imeamua Ilipe kwanza Wafanyakazi Mishahara, kisha Italipa kwanza Wabunge Mishahara na Posho zao zote na Madai yao yote na kisha ndio itatizama Wazabuni wanaoidai na Wazabuni hao...
Wilaya ya Manyoni mkoani Singida inakabiliwa na tishio kubwa la kiusalama na kiuchumi kufuatia kushamiri kwa mtandao hatari wa wizi wa mafuta unaofanywa na baadhi ya madereva wa magari makubwa ya masanduku na yale ya kusafirisha mafuta kuelekea mikoa ya jirani na nchi za nje.
Uchunguzi na...
Anonymous
Thread
biashara
maeneo
mafuta
magari
magari makubwa
makubwa
manyoni
serikali
singida
wizi
wizi wa mafuta
Hawa watu ndo chanzo cha migogoro yote katika kila ofisi
Hawa watu anaweza kua anakuchekea lakn anakufanyia majungu hata shetani mwenye anatamani ajifunze somo kwao
Hawa watu wapo kama miungu watu hawakosea na sisi wengine ni subhuman
Hawa watu kusengenya ndo kipaji chao kikuuu ondoka...
Hili ni kosa kubwa sana wala sio la kulipwa pesa na kuchochea vijana waingie mitaani kufanya uhaini.
Sasa inakuwaje tunaambiwa kuwa watu wamewekewa pesa ili kulipa vijana waandamane?
Ushahidi wa waliolipwa upo na namna pesa zilivyowafikia upo. Kwa nini hawakamatwi?
Nitoe mfano wangu binafsi. Mie sio mwanasiasa, na wala sijawahi kujihusisha na siasa. Lakini mtu yeyote akisoma thread zangu anaweza kuhisi mie ni mwanachama wa Chadema au chama kingine cha upinzani. Si kweli.
Nakiri walionifikisha hapa ni CCM na viongozi wa serikali. Unakuta mara nyingi...
Mwigulu na Katambi na wengine wote wa rank za juu ni makatiri. Ndiyo sifa ya sasa kuwa Waziri, PM and the like.
Simbachawene alianza vizuri. Wakaona huyu siyo katiri wakamtoa
Kwa ufupi kabisa, mpaka sasa Taifa la Tanzania limeshapoteana.
Sababu kubwa ni CCM kushindwa kuelewa kuwa Generation has changed, na hata modality ya kuongoza nchi na kuchanganua mambo inapaswa kubadilika.
Modality ya kutisha tisha raia, kuteka watu ilianzishwa na Nyerere na inatumika hadi...
Yaani imefika wakati sasa wafanya maamuzi wa siasa za nchi ni Polisi
Waziri anasimamisha mikutano ya kisiasa kwa kutumia Polisi kwa kushindwa hoja.
Tuombe kesi ya Mama iende haraka tuondokane na huu ujinga
26 June 2026
Dodoma, Tanzania
Kupitia bunge la chama kimoja mjini Dodoma waziri wa mambo ya ndani atangaza hali yadharura?
https://m.youtube.com/watch?v=W4nFM7gRgKs
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amemuelekeza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillus Wambura, kusitisha kwa...
Mikutano ya hadhara ndio kipimo cha kuonesha namna chama kinavyokubakika kwa sera na maono.
Mikutano ya CCM iliyokuwa inaenseshwa na Mwenezi wa CCM Kihongosi ilikuwa inadorola. Hakuwa na hoja za msingi na hata alichokuwa anakinadi kwa wananchi hakuna aliyekuwa anamwamini. Hii ni kwa sababu...
Wakazi wa Kijiji cha Songoro, Wilaya ya Meru, Mkoa wa Arusha, wameeleza wasiwasi mkubwa kufuatia kutoweka kwa wananchi wawili ambao hadi sasa hawajulikani walipo, licha ya jitihada mbalimbali za kuwatafuta.
Watu waliotoweka ni Philemoni Nasari (60) na Gamalelu Sethi Nnko (45), wote wakazi wa...
Tunaunga mkono hoja ya Spikq wa Bunge ya kuwataka watendaji wote wa Serikali kuiga mfano wa Mh. Rais dkt Samia katika kubana matumizi ya Serikali.
Spika amesema naye ameunga mkono kwa kubadilisha gari lake na ametawataka watendaji wote wa Serikali kubadili magari ya gharama kubwa.
Ushauri;
1...
Hii kampuni hipo siku na kama siku mtakuja kusikia wamefikishwa mahakamani nchini mwao kuhusu wao na serikali ya CCM.
Nacho furahi wenzetu hawa kurupuki wakija kukupeleka mahakamani A to Z wanazo.
Selective prosecution ni Nini?
Ni hali ambapo mamlaka ya mashitaka, kama DPP, wanaamua kumshitaki mtu mmoja lakini wakaacha watu wengine waliotenda kosa hilo bila mashitaka. Kwa maneno mengine: sheria inatumika kwa kubagua watu, si kwa usawa kwa wote. Kwa maana nyingine wewe umechaguliwa...
Wahudumu wa afya ngazi ya jamii katika Manispaa ya Songea na Halmashauri ya Wilaya ya Songea wamekabidhiwa jumla ya baiskeli 337 kwa ufadhili wa kampuni ya Buffalo Bicycles Tanzania Limited ili kurahisisha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi.
Katika Manispaa ya Songea, baiskeli 140 zimetolewa...
Tujikumbushe Mchungaji Mtikila na Unyani APEDOMIA.
Ukiona Mtanganyika hajali Utu wa Mtanganyika mwenzake kwa sababu ya pesa, cheo ndio UNYANI-APEDOMIA
Ukiona Mtanganyika Unauza utu wake na watanganyika wenzake kwa tende na Harua, ndiyo Unyani...APEDOMIA
Video chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.