serikali

  1. CCM MKAMBARANI

    Edwin Odemba-Chief:ADUI RASMI WA CCM NA SERIKALI YAKE,TUMDHIBITI.

    Hellow Jf. Siku za miaka ya karibuni kumekuwepo baadhi ya Wanahabari kutumwa na vyama vya upinzani kukashifu serikali na viongozi wake. Kituo cha Star TV kimekuwa kinatumika na vidampa wachache kupenyeza propaganda mfu dhidi ya dola ya Jamhuri. Sasa iwe ni rai rasmi kwa wanamapinduzi...
  2. Yoda

    Kuelekea 2025 Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hauna kampeni?

    Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza lini? Mbona hatuwaoni wagombea wa serikali za mitaa wakinadi sera zao na kufanya shamrashamra zozote za uchaguzi? Mbona zile purukushani za wagombea kuwekeana mapingamizi na kuengua wagombea hazipo?
  3. Carlos The Jackal

    Kwanini Serikali kupitia Wizara ya Nje, wasishirikiane na Wizara ya Nje ya Congo, kumkamata Tapeli alojiita Nabii kiboko ya wachawi?

    Ni suala la kawaida Kwa mataifa mengi , na huo ndio Ushirikiano , Raia wa Nchi A anafanya kosa, anakimbilia Nchi B, basi negotiations zinafanyika, Huko huko Nchi B anakamatwa na kurudishwa Nchi A. Huyu Tapeli Licha ya kuumiza watanzania ,.huko Mitandaoni anaonekana kujitapatapa sana , jambo...
  4. The Palm Beach

    Askofu Josephat Gwajima akiongelea kuhusu utekaji wa wananchi

    Hatimaye Roho Mtakatifu asema na Askofu Josephat Gwajima wa makanisa ya Ufufuo na Uzima Tanganyika na duniani kuhusu watu na wanaharakati wakosoaji wa sera na mipango ya serikali, CCM na hususani Rais Samia Suluhu Hassan kutekwa, kuteswa kisha wengine kuuwawa na kutupwa kama mizoga ya panya...
  5. Candela

    Serikali nyingi zinataka kujua siri zako, wakati mwingine privacy na mitandao ni ngumu

    Hakuna usiri wala faragha katika mitandao ya kijamii au jukwaa la mtandao kwa ujumla. Wakishindwa kupata mawasiliano yako katika mtandao fulani wanaupiga vita. Mliona CEO wa Telegram amekamatwa kwa kutaa kutoa access kwa serikali kuwa wanaona chat za wateja wao. Hii inanifanya niwaze...
  6. JanguKamaJangu

    Hivi haya Mabasi 50+ ya Mwendokasi ambayo hayatumiki kwa zaidi ya Miezi 6, Serikali ina mpango gani?

    Wakati Serikali ikiwa katika mpango wa kununua mabasi mapya zaidi ya 100 kwa sababu zinazoelezwa kwamba ni jitihada za kuboresha mradi wa Mwendokasi, kuna jambo linashangaza, kuna mabasi inawezekana yanafika 50 au zaidi hayafanyi kazi, kwa zaidi ya miezi sita sasa, yapoyapo yamepaki tu. Mabasi...
  7. Tlaatlaah

    Kuelekea 2025 Kanda ya Kati: Siri ya Ushindi wa Kishindo wa CCM Kila Uchaguzi

    kwa tathimini fupi sana ya uhakika, ni wazi na bayana kabisa kwamba kanda ya kati ni miongoni mwa kanda ambazo ni ngome imara sana isiyo tetereka wala kuyumba ya CCM na ambayo ina kura nyingi sana za uhakika na za kishindo kwa CCM. Katika kanda hii, wapinzani walishaga jikatia tamaa kabisa eneo...
  8. Stephano Mgendanyi

    Serikali Kukarabati Madaraja Yaliyoharibiwa na Mvua

    SERIKALI KUKARABATI MADARAJA YALIYOHARIBIWA NA MVUA. Naibu Waziri, Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa -TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amesema Serikali inatambua umuhimu wa miundombinu ya Madaraja na inaendelea na urekebishaji wa madaraja yote ambayo yaliharibiwa na mvua...
  9. Pfizer

    Benki ya biashara Tanzania (TCB) kushirikiana na Serikali kupanua biashara nje ya nchi

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Arusha, Agosti 30, 2024 - Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kupanua wigo wa uwekezaji nje ya mipaka ya nchi. Hayo yameelezwa wakati wa kikao kazi cha siku tatu kinachohitimishwa hivi leo jijini Arusha. Kikao hicho...
  10. mpasta

    KERO YA KUTOZWA PESA NA MAWAKALA WA BENKIKWA MALIPO YA SERIKALI

    Wadau habari za mchana Kuna hili jambo la kulipishwa gharama ya malipo ya Serikali namawakala nilikuwa nalisikia kwa watu leo limenikuta. Nimeenda kufanya malipo ya TZS 560,000/= kwa CONTROL NUMBER 991440462684, Wakala wa Benki ya CRDB kaniambia nilipe TZS 1500/=. Nilipouliza ni malipo ya nini...
  11. Roving Journalist

    Serikali yasema baada ya miezi miwili itatangaza fursa ya uwekezaji Soko la Kijichi

    Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuwa Soko la Kijichi lililojengwa kupitia mradi wa uboreshaji wa Miundombinu ya Dar (DMDP) kwa mkopo wa Benki ya Dunia (WB), linaonekana kama limetelekezwa, DC na Mkurugenzi wa Temeke wametoa Ufafanuzi Mbunge wa Jimbo la Mtoni, Abdulhafar Idrissa Juma...
  12. Gemini AI

    Brazil yazuia akaunti za benki za Starlink kufuatia mzozo wa serikali na X ya Elon Musk

    Mahakama ya Juu imefungia Akaunti za Benki za Kampuni ya Huduma za Intaneti ya #Starlink inayomilikiwa kwa ubia na Mfanyabiashara Bilionea #ElonMusk ambaye pia ni mmiliki wa Mtandao wa X (zamani Twitter). Awali, Mahakama ya Juu ya Brazil ilitoa Saa 24 kwa Mtandao wa X (zamani Twitter) kumtaja...
  13. I

    Tulia wewe ni Spika wa Bunge au ni Spika wa Serikali?

    Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine. Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa...
  14. B

    Je, Serikali inahusika na taharuki, ili watu wasijadili mambo muhimu?

    Majasusi wa kiserikali duniani huzua taharuki mashimo yenye miili ya binadamu, watu kunyofoa viungo vya binadamu, pipi kutumika kuteka watoto. Pia kesi ya Deus Soka inatumika kuogopesha raia . Nitafafanua mbeleni Je, kwa hapa kwetu matukio haya nayo yana nasaba hizo hapo juu? Mashirika ya...
  15. Roving Journalist

    Judith Kapinga: Serikali inaendelea na majadiliano na Kampuni za Nishati za Kimataifa

    Naibu waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea na majadiliano na Kampuni za Nishati za Kimataifa (International Energy Companies - IEC’s) kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi asilia kuwa Kimiminika – LNG na yakikamilika Serikali itaupeleka kwenye...
  16. Mwamuzi wa Tanzania

    Serikali isiishie kwa Kiboko ya Wachawi, kuna matapeli wengi sana kwenye uwanja wa dini Tanzania

    Zipo ishara nyingi za kumjua mtumishi tapeli. Leo nitaitoa ishara moja tu. 1.Kupenda pesa kuliko Mungu anayemhubiri. Mtumishi tapeli ni mtu anayepanda sana pesa kuliko kitu chochote. Utajuaje kuwa mtumishi huyu anapenda sana pesa? Jibu: Accounts zote za benki zinasoma jina lake, accounts za...
  17. BigTall

    KERO Barabara ya Igombe – Kahama (Mwanza) inatupa mateso makubwa Wananchi, Serikali ije kuokoa jahazi

    Ni Mwendo wa takribani kilomita 16 nilipoianza safari mimi na abiria wenzangu kutoka mjini Mwanza kwenda Igombe, Kata ya Bugogwa, iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, mkoani Mwanza. Tunasafiri kwa dakika kadhaa na kufika stendi ya Igombe, nashuka na kusogea katika maegesho ya pikipiki...
  18. PAZIA 3

    Serikali Ione haja ya kufanya promotion kwa wafanyakazi wa Umma haswa wanaoonesha utofauti katika kazi zao kama ilivyo kwa wanajeshi na Polise

    Ni muda Sasa nimekuwa nikiona baadhi ya Askari wakipata promotion ya vyeo pale wanapoonesha utendakazi wa tofauti wenye tija maeneo ya kazi zao na kwa jamii. Kwanini tusifanye hivyo pia kwa watumishi wengine kama vile Madaktari, Manesi, watendaji wa kata na vijiji, maafisa wengine na walimu...
  19. Asante CCM

    Kwa hilo la UMEME Nchi nzima hongera Serikali.

    Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali kwa KUTIMIZA WAJIBU wake kwa kuhakikisha Tanzania nzima inao mtandao wa mwanga wa nishati ya umeme karibu Miji na Vijiji vyote. Tunaweza kuona ni jambo dogo lakini kwa wenzetu hiyo ni habari kubwa na maendeleo ya...
Back
Top Bottom