Albu Huwa (also: Albu Hawa, Qaryat Albu Hawa) is a village in Iraq, which is located in the Al Anbar Governorate south of the city of Fallujah and north of Amiriyah Fallujah, in a loop of the river Euphrates.In 2016, during the Siege of Fallujah, there was intense fighting in the area between the Iraqi army and ISIL militants. There were reports that 2,000 families were trapped in two villages, Albu Huwa and Hasai, and used as human shields.
Hakuna madhara ya moja kwa moja nimeyapata kupitia yeye.
Ila niseme tu ukweli kwenye maisha yangu sikuwahi kumchukia mtu kuliko ninavyomchukia huyu mama abduli na genge lake.
Ni heri nimuombee shetani asamehewe na Mungu kuliko mama abduli.
Nimefanya tafiti na kugundua mijimama mingi iliyovunja miji huwa inafungua biashara ya grocery .
Hapo ndipo huwa inawanasa vijana wadogo wadogo na hutumia juju kali sana.
KETE ZA MAPENZI: HAKIKISHA MKEO AU MWANAMKE WAKO ANAWEKEZA KIUCHUMI KWENYE MAHUSIANO YENU. HII NI MBINU YA UHAKIKA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Unajua Pesa inauma kuliko mapenzi? Hili wengi hawalijui. Hasa wale watoto wadogo au wenye upeo mdogo.
Sehemu yoyote ambayo hukuweka pesa...
Baada ya kukua na kutambua jinsi watu wanakuwa controlled na hisia.
Watu ambao hawajui kuwa less attached na kupannic. Huwa sio kwamba ni wakali au wagai gai by nature. Na pia sio watu wakali by nature, huwa ni so weak. Ila ile reaction ina wa manipulate kudhani wako sahihi.
Kadri unavyo...
Habari wakuu
Hatimaye nimechagua kwenda kwa mzazi mwenzangu baada ya kutuma nauli 😁😁(Nlitakiwa kwenda tangu tar 23/nimetafuta sababu hadi imeishiwa zaidi ya kwenda) niliwaza kuila ila nikaona acha nichomoke kwa msela wangu.
Maamuzi yangu yamechagizwa pia na penzi jipya japo ni la muda mrefu na...
Kwa mfano kabla hamjaanza mechi, demu anakuambia kabanwa kukata gogo.akitoka kukata hilo gogo huwa bado unakua na mzuka wa kumtia kama ulokua nao mwanzo?
Mimi binafsi hii kitu imenishindwa,naona kinyaa.
Kuna clip nimeona Sheikh Walid anatoa daawa mi
sikitini halafu wanainuka watu wanampa pesa kwa kumuwekea kwenye mifuko ya koti, kumshikisha mkononi na nyingine hadi kwenye bargashia!
Huu utamaduni wa kutunza/kutunuku pesa bongo huwa una maana gani hasa ? Huwa naona nchi nyingine utunzaji...
Ni hakika wote tunajua kuhusu utatu mtakatifu...
Yaani the father, son and the holy spirit.
Also hii ina direct coleration na Body, mind and soul..
Hizi ni dhana tu za kujaribu kuelezea kitu ambacho kimejulikana for millenials..
Body and mind huwa ni kama kitu kimoja maana zote zina operate...
Kuna mgahawa ulikuwa classic sana.
Ile sehemu wanafanya renovation na pamefungwa...
Aisee nimejikuta napata hasira, maana msosi ulikuwa classic sana.
Sasa nianze tena kutafuta mahala pengine Daah!
Haya mambo ya ubachela bwana...😔
Si amini sana kula sehemu ambayo haina mazingira mazuri na...
Na anajitahidi kuweka imani aaminike,
System inaweza kukufunga hata gerezani miaka kadhaa uchunguze mtu fulan mfungwa au tukio fulan ndani,
Na ika ku harass sana huku nyuma ya mlango ikikupoza kiaina,
Wanaoona karibu wakakuamini na kukuweka kwenye Taasisi zao ,
Au mwanachama anayesumbua...
Umewahi kutapeliwa mali, pesa, imani au mapenzi katika mazingira yasiyoeleweka mpaka wewe mwenye ukajishangaa imewezekanaje "kuingizwa mjini" ?
Mifano ya utapeli ni pamoja,
Unaambiwa utume pesa upate kazi na unatuma kweli, kazi hupati
Unamtumia nauli demu aje na haji na wakati mwingine...
Umekutana na mpenzi wako akiwa ashatumika? Imagine ni siku ya harusi yenu. Sasa nakutengnezea picha jinsi mara zote inavyokuaga
Kuna maex wake, kuna aliofanya nao one night stands, kuna waliomla kimasihara. Kuna yule muhuni ambaye hana future wala hela halafu mkeo anamkubali kinoma. Siku mbili...
1. Viongozi wakiafrika wanaiba Pesa kwao harafu wanaenda kuziweka kwenye mabenki ya ulaya na Marekani. Kichekesho nchi hizo hizo zinaenda kuomba mikopo huko.wanachofanya ni kutukopesha Pesa zetu zilizofichwa huko na viongozi wetu.
2. Rais wa inchi anaishi ulaya kwa kodi za wananchi wake nchini...
Tulikuwa kwenye msiba mmoja huku Buhigwe Kigoma, tulikuja kumsindikiza jamaa yetu aliyefiwa na dada yake, kufika msibani watu walikuwa wengi tu kama kawaida ya msiba huku watu wakiendelea kumsadia mfiwa shughuli za pale kama kuandaa chakula.
Cha kushangaza baada ya kumaliza kupka kila mtu...
Huwa najaribu kuwaza kunamatangazo. Haya ya pombe mwisho huwa wanasema haiuzwi kwa waliochini ya miaka 18. Je ni kweli wahudumu huwa mnawauliza wateja wenu umri wao kabla ya kuwauzia bia??????
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo kimoja hapa Tanzania.
Chuo kilitupa nafasi ya kuchagua sehemu ya kufanya field kwenye account ya SIMS, nikachagua kufanya field VETA mojawapo hapa Tanzania
Cha ajabu huku wametupokea lakini hakuna tunachofanya, hakuna mwenye habari na sisi.
Mi...
Hospitali, hasa hospitali binafsi, huwa zinatoza ada tofauti kwa huduma za daktari wa ujumla (Medical Doctor/GP), daktari bingwa na daktari bingwa bobezi.
Kama umeomba na kulipia kuonwa na daktari bingwa (Specialist), ni muhimu kuthibitisha kuwa huduma uliyopokea ndiyo uliyolipia.
Nimegundua...
Dada yangu alipoteza akili zake baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume X
Nasema hivi kwasababu kabla ya hapo alikuwa vizuri , alikuwa akipangilia mshahara wake kutimiza malengo yake kama kuanzisha biashara, kujenga nk
Lakini punde si punde akapata mwanaume X wakapendana kwa kadri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.