Habari wana JF
Wakati swala la kusajili kadi za simu kwa kitambulisho cha nida na alama za vidole unaingia nchini tulipewa umuhimu mbalimbali wa jambo ilo ikiwemo swala la usalama na kudhibiti utapeli kwa njia ya mtandao.
Nimeleta hoja hii kwani ni miaka sasa tangu swala la kujisajili kwa...
Kuna ujumbe wa picha ya Raisi Samia na chini kukiwa na hayo maneno unasambaa kwenye ma-group ya WhatsApp ukionyesha kuwa Raisi Samia ametoa hiyo kauli.
Je, ni kweli Raisi Samia katoa hiyo kauli?
Kama ni kweli, kauli hiyo kaitoa lini na wapi?
Kama ni kweli, mimi naona itakuwa poa tu ili siku...
Watanzania, tufike mahali tujiulize swali hli dogo tu:
Mikopo ya mitandaoni hutolewa kwa wateja kutumiwa hela kwenye simu zao na zaidi marejesho hutumwa kwa haya makampuni kwa kutumia lipa namba za mitandao ya simu. Sasa kama mpaka wanakuwa wamesajili lipa namba kwenye menu ya mitandao ya simu...
Wanajukwa habari za wakati huu ndugu jamaa na marafiki natumai nyote ni wazima waafya .Lengo kuu la kuandika uzi huu nikuwaombeni msaada wale wataalamu wa maswala ya Technology and science in computer skills and accessories. Jaman mm natumia simu aina ya Samsung galaxy A15 nimei UPDATE jana...
Habari wadau
Natafuta simu zangu mbili zilizoibiwa . Polisi waliniahidi kuwa zitapatikana lakini sasa nakaribia mwaka
Ila niliambiwa wapo vijana wa IT wanauwezo wa kutrack simu na kuzipata.
Naomba anayeweza aje inbox na naahidi zawadi nono itatolewa kwa sharti moja tu ya malipo ni baada ya...
Simu za mkononi, ingawa zina manufaa mengi, zinaweza kuwa na madhara kwa binadamu ikiwa hazitumiki kwa usahihi au kwa muda mrefu kupita kiasi. Baadhi ya madhara hayo ni:
1. Madhara kwa Afya ya Ubongo: Mionzi ya sumakuumeme inayotolewa na simu za mkononi inaweza kuwa na athari kwa ubongo, ingawa...
Nilijitahidi sana na kufanikiwa kununua iPhone 7 Plus nikiwa mwaka wa kwanza chuoni mwaka 2019, kipindi hicho simu hiyo bado ilikuwa maarufu sana. Nilikuwa naipenda sana kwa sababu ilikuwa inapiga picha nzuri na pia niliweza kuhifadhi mambo yangu mengi.
Siku moja nikiwa njiani kuelekea Mwenge...
Habari za wakati huu wana JF,
Nimekuwa kwenye biashara ya simu kwa muda mrefu, kuna simu nyingi sokoni zingine zikiwa used, refurb na mpya.
Kwa simu za Iphone simu mpya huwa ni ile ya mwaka husika kwa mfano sasa IPHONE 16 TU nyingine ni refurb hata ikiwa kwenye box, SAMSUNG mpya ni S24 ULTRA...
Habari za Leo Wana jamvi.
Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu.
Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni used from Dubai.
Au kama Kuna link ya kununua Moja Kwa Moja kutoka Dubai mnipe hapa
Naombeni mawazo yenu
Nimekua nikiona mara kadhaa watu wakilalamika taarifa za mawasiliano yao kwa simu kuvuja, ikiwemo ya sauti, sms na mara nyingine hadi whatsapp.
Nimekua nikijiuliza sana kuwa ni rahisi kiasi gani jambo hili linafanyika kiasi cha kuathiri watu wengi hivi.
Je ni kampuni za simu pekee ndio...
Madaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa hayati Mwalimu Julius Nyerere amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kutembelea mji wa Baba wa Taifa na kutoa kauli mbalimbali za kumsifu mwalimu, lakini wakiondoka hawapokei tena simu zake.
Madaraka amesema si kila simu anayopiga ni simu ya...
Leo nimeipata kusoma mkataba na kumsikiliza Wakili Nguri hapa, Tanzania Nikafikirisha akili yangu nikagundua Watanzania Wezetu ndio wanaotuingiza kichaka kwa ku Saini Mikataba Mi bovu.
Pia huo mkataba unajua hauna manufaa kwa mtu anaekodisha Eneo lake wanakupa % chache sana za kupanda kwa Kodi...
Hivi wafrika ni lini tutadhamini muda wetu
Kwenye foleni saa kadhaa eti nasubiri nimpigie diwani kura.
Twendeni na technology inavyotaka watu wapige kura wakiwa nyumbani ofisini
Serikali inapoteza fedha nyingi eti kuweka mawakala waandikishe watu wachague wenyeviti!!!!
Hii SI sawa zaidi ya...
BIASHARA ZA SIMU NA KOMPYUTA NA UAGIZAJI: BEI ZETU ZOTE KWA BIASHARA TANZANIA
๐ฆ Bei Nzuri Za Simu, Laptop, nHuduma za Uagizaji Bidhaa
โก๏ธKwa wale wanaoagiza bidhaa kutoka China, ikiwa ni pamoja na simu ๐ฑ, kompyuta ๐ป, kamera ๐ท, na bidhaa nyingine ambazo ni vilipukizi hasa kwa njia ya mdege...
Kutokana na umri kusogea sana imenibidi nipunguze mambo ya starehe kama; kwenda sehemu za starehe, kunywa pombe, kucheza na warembo pamoja na kuchepuka.
Nimeamua kujituliza ili niwaachie na wengine waweze kujiburudisha kwenye hayo mazingira ya kujimwambafai.
Sasa changamoto iko hivi, wale...
kichwa cha habari kinajielezea labda kwa faida ya ambao hawajaelewa ni hivi..
Nawezaje ku access miziki ya simu yangu hata kama nikiwa mbali na simu yangu..?
Yaani hata kama simu ipo mbali nawezaje kupata playlist ya miziki yangu kupitia kifaa chengine...????
Natafuta fundi simu tufanye kazi, sehemu ya biashara ipo hapa maeneo ya survey opposite na Mlimani city, makubaliano na mambo mengine tutazungumza tukionana. PM kwa information zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.