marekani

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi Marekani ilivyogundua kuwa Imeingia cha kike kweny MoU na Iran na jinsi ilivyoanza kuivunja MoU yenyewe

    Kwa kweli vita hii ya Iran na Marekani imetuonyesha kuwa Marekani siyo nchi ya kuiamni hata kidogo hata mkiingia nayo Makubaliano. Hazikupita hata wiki mbili tangu Marekani na Iran wawekeane wafanye makubaliano lakini Marekani tayari keshaanza kutoheshimu makubaliano. Hebu kwanza tuone...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tunahoji: Yule ‘Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu’ alifikishwa mahakamani?

    Wakuu, Nani mwenye update ya hili igizo? Kesi ya yule mwanajeshi wa Marekani mwenye asili ya Kenya aliyekamatwa na mabomu 4 ilifika mahakamani? Mtuhumuwa aliachiwa au bado yuko ndani? Kama walivyotoa taarifa za kukamatwa kwake, ndivyo wanatakiwa kutuarifu juu ya mwenendo wa kesi hii ya mtu...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tafrani kombe la dunia Marekani, mashabiki wageni walazimishwa kulipa tip 20% mighahawani na bar.

    Mashabiki wageni kutoka mataifa mbalimbali walioenda kuangalia weldi cup wamekumbana na usumbufu na sintofahamu nchini Marekani katika huduma za migahawa na bar kutokana na utamaduni wa Marekani wa mteja kulazimika kulipa 20% ya ziada juu ya gharama halisi kama tip/ ahsante/ bakshish kwa...
  4. Brother Depo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marekani Muda Huu Wanashambulia Iran Kwa Makombora Mazito Mazito. Viongozi wa Iran kama Kawaida Yao Watatoa Mkwara Mzito Kuwaridhisha Wafuasi wao

    Muda huu Marekani wanaofanya mashambulizi ya anga ya mabomu mazito makubwa huko kusini mwa Iran. Uzuri wa marekani walisema kuwa watakua wanashambulia Iran Kila watavyoamua🤣🤣 Kesho wale viongozi wa Iran watalazimishwa Tena kufanya negotiation la sivyo watashambuliwa Tena Viongozi wa Iran kama...
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Tamko la Katambi ni dharau kwa Mabunge ya Ulaya na bunge la Seneti la Marekani

    Serikali inajua na Katambi anajua kuwa, moja ya sababu iliyopelekea kujadiliwa na mabunge haya ni pamoja na kuwanyima wananchi na vyama vya siasa uhuru na haki ya kukusanyika na kutoa mawazo yao. Unapozuia vyama vya siasa kufanya siasa huku majadiliano ya kuwekewa vikwazo yakiendelea...
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi timu zetu za mpira zinajifunza kupitia michuano ya world cup 2026 inayo endelea huko marekani, Canada na Mexico?

    Mimi sio mchelzaji wa mpira bali ni shabiki wa mpira, natamani sana wachezaji wetu katika kipindi hiki wajifunze mbinu na maarifa ya mchezo wa mpira unao onyeshwa na timu mbalimbali. Huu ni muda wa kujifunza. Mimi tu nimejifunza mambo mengi. Kazi kwenu wachezaji. Kama mtatumbua macho tu shauri...
  7. Lycaon pictus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa Marekani, mpira wa miguu(soka) ni mchezo wa wanawake?

    Niliandika kama post nimeona nilete uzi nielewe fresh. Timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa miguu US ndiyo inaongoza kwa kuchukua makombe mengi ya dunia. Ikiwa na makombe manne. Nasikiaga pia Soccer moms! Je huko US mpira wa miguu ni mchezo wa wanawake zaidi? Kiranga Nyani Ngabu
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Hizi ndiyo Kazi zinazowafanya watu wasiwe na furaha zaidi nchini Marekani

    Kuridhika na kazi si swala la mshahara pekee. Tafiti mbalimbali zimeendelea kuonesha kuwa mambo kama vile viwango vya msongo wa mawazo, usawa kati ya kazi na maisha binafsi, ubora wa uongozi, na mazingira ya kila siku ya kufanyia kazi mara nyingi huchangia kwa kiasi kikubwa zaidi katika kuamua...
  9. britanicca

    JamiiForums Tanzania Nje ya siasa ntakuja na Simulizi ya Maisha ya waafrika nje ya Africa na wanavyopata pesa Asia, Ulaya na Marekani, wengi wanawake wanateseka episode 10

    Nje ya siasa Kidogo Uzi huu utawasaidia wale wanaojitosa hasa watoto wa kike mabinti Kwenda Ulaya (Hapa hawateseki sana) Asia(China, India, Nepal, Thailand ,Hongkon, Malaysia , Macau, Philippines , Singapore, Indonesia, Laos, Vietnam) haya maeneo yote nshayapitia na kuona wadada wanavyoteseka...
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania World Cup 2026 tayari Marekani wamenichania nusu Mkeka. Kibwege sana

    Nlimwambia kuwa haya mashindano yatadorora sana. Watu watakosekana viwanja vitakuwa tupu sababu wamarekani si wapenzi wa mpira. Ila mpaka leo hii tayari. Nimeshamtumia Mil 1,000,000 yake Tulisema kwa matches 10 za mwanzo zitupe mwelekeo na ambaye anaelekea kiwa sawa atanguliziwe Mil 1,000,000...
  11. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Jukwaa Limeshusha Pazia Lake

    https://youtu.be/Rm1DcLSMNBc?si=QpLcMFE-9e_jUL6q
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Marekani yaipa Tanzania nafasi ya kuanza mchakato wa mageuzi

    Bunge la Seneti la Marekani limefanya mabadiliko katika Muswada wa Mapitio ya Uhusiano wa Uwili kati ya Marekani na Tanzania kwa kulegeza masharti kuhusu hatua zinazotakiwa kuchukuliwa na Tanzania katika mageuzi ya mifumo ya uchaguzi na utawala. Katika rasimu ya awali ya muswada huo, Tanzania...
  13. Waterloo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Israel anataka kuiangusha Dola ya marekani (world superiority) marekani ameshtuka kabla mambo hayajaharibika

    Ni waziri kuwa Hali si shwari Tena kati ya Israel na marekani. Rais Trump ameamua kuukosoa kwa wazi na kuubeza utawala wa Israel bila aibu. Leo makamu wa rais JD Vance nae ameongea na kueleza kuwa Israel hawana adabu na wanapaswa kumshukuru Donald Trump's na akaendelea kusema kuwa Israel...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Marekani yataka Serikali, wapinzani wazungumze

    Bunge la Seneti la Marekani limetaka kuanza kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali inayoongozwa na CCM na vyama vya upinzani, ikiwa ni sehemu ya mapitio ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Tanzania. Sharti hilo limejumuishwa katika fasili B(4) ya kifungu cha saba cha Muswada...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Muswada wa Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act umepitishwa na Kamati ya Mahusiano ya Nje ya Seneti ya Marekani

    🚨 BREAKING: WE WON TODAY! 🚨 TAUSI LIKOLOLA: We did not give up. We did not stay silent. Today, we moved one step closer to justice. The Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act has passed the Senate Foreign Relations Committee and now advances forward. This moment...
  16. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Muswada wa Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act umepitishwa na Kamati ya Mahusiano ya Nje ya Seneti ya Marekani...🙏🏻🙏

    🚨 BREAKING NEWS: WE WON TODAY! 🚨 Na Tausi Likokola, Washington DC - USA We did not give up. We did not stay silent. Today, we moved one step closer to justice. The Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act has passed the Senate Foreign Relations Committee and now...
  17. F

    JamiiForums Tanzania Muswada wa Maseneta wa Marekani Dhidi ya Tanzania Umepita hatua ya Kwanza

    Hatua kwa hatua, mswada umepita hatua ya kwanza na sasa tunasubiri hatua zingine. Tunasubiri hatua zingine.
  18. Stroke

    JamiiForums Tanzania Baada ya Russia Rais Samia aende Marekani kwa ziara

    Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani. Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu. Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana. Aombe ziara ya hata siku moja itatosha, Lazima Marekani wampokee.
  19. E

    JamiiForums Tanzania Tishio la Muswada wa Marekani, Kunyimwa misaada; Je, Tanzania inafuata njia ya Zimbabwe?

    Wakati uhusiano kati ya Tanzania na Marekani ukiingia katika kipindi nyeti zaidi katika miaka ya karibuni, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amefanya ziara muhimu nchini Marekani inayobeba uzito mkubwa wa kidiplomasia kuliko inavyoonekana juu juu...
  20. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunaweza kuwa na viwanja kama vya Marekani, vikubwa na vizuri kama tukiamua sababu uwezo upo

    Kombe la dunia linaendelea watu wengi wamekuwa wakishangaa vile viwanja vya marekani vilivyokuwa vikubwa na vizuri Na hapo pia kuna viwanja vingi sana vya college ambavyo havijatumika mfano kiwanja cha Rose bowl pasadena kilichochezewa fainal 1994 hakipo kabisa kwenye mashindano Kiwanja cha...
Back
Top Bottom