Kwa kweli vita hii ya Iran na Marekani imetuonyesha kuwa Marekani siyo nchi ya kuiamni hata kidogo hata mkiingia nayo Makubaliano. Hazikupita hata wiki mbili tangu Marekani na Iran wawekeane wafanye makubaliano lakini Marekani tayari keshaanza kutoheshimu makubaliano. Hebu kwanza tuone...
Wakuu,
Nani mwenye update ya hili igizo?
Kesi ya yule mwanajeshi wa Marekani mwenye asili ya Kenya aliyekamatwa na mabomu 4 ilifika mahakamani?
Mtuhumuwa aliachiwa au bado yuko ndani?
Kama walivyotoa taarifa za kukamatwa kwake, ndivyo wanatakiwa kutuarifu juu ya mwenendo wa kesi hii ya mtu...
Mashabiki wageni kutoka mataifa mbalimbali walioenda kuangalia weldi cup wamekumbana na usumbufu na sintofahamu nchini Marekani katika huduma za migahawa na bar kutokana na utamaduni wa Marekani wa mteja kulazimika kulipa 20% ya ziada juu ya gharama halisi kama tip/ ahsante/ bakshish kwa...
Muda huu Marekani wanaofanya mashambulizi ya anga ya mabomu mazito makubwa huko kusini mwa Iran.
Uzuri wa marekani walisema kuwa watakua wanashambulia Iran Kila watavyoamua🤣🤣
Kesho wale viongozi wa Iran watalazimishwa Tena kufanya negotiation la sivyo watashambuliwa Tena
Viongozi wa Iran kama...
Serikali inajua na Katambi anajua kuwa, moja ya sababu iliyopelekea kujadiliwa na mabunge haya ni pamoja na kuwanyima wananchi na vyama vya siasa uhuru na haki ya kukusanyika na kutoa mawazo yao.
Unapozuia vyama vya siasa kufanya siasa huku majadiliano ya kuwekewa vikwazo yakiendelea...
Mimi sio mchelzaji wa mpira bali ni shabiki wa mpira, natamani sana wachezaji wetu katika kipindi hiki wajifunze mbinu na maarifa ya mchezo wa mpira unao onyeshwa na timu mbalimbali.
Huu ni muda wa kujifunza.
Mimi tu nimejifunza mambo mengi. Kazi kwenu wachezaji. Kama mtatumbua macho tu shauri...
Niliandika kama post nimeona nilete uzi nielewe fresh.
Timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa miguu US ndiyo inaongoza kwa kuchukua makombe mengi ya dunia. Ikiwa na makombe manne.
Nasikiaga pia Soccer moms! Je huko US mpira wa miguu ni mchezo wa wanawake zaidi? Kiranga Nyani Ngabu
Kuridhika na kazi si swala la mshahara pekee. Tafiti mbalimbali zimeendelea kuonesha kuwa mambo kama vile viwango vya msongo wa mawazo, usawa kati ya kazi na maisha binafsi, ubora wa uongozi, na mazingira ya kila siku ya kufanyia kazi mara nyingi huchangia kwa kiasi kikubwa zaidi katika kuamua...
Nje ya siasa Kidogo Uzi huu utawasaidia wale wanaojitosa hasa watoto wa kike mabinti Kwenda Ulaya (Hapa hawateseki sana) Asia(China, India, Nepal, Thailand ,Hongkon, Malaysia , Macau, Philippines , Singapore, Indonesia, Laos, Vietnam) haya maeneo yote nshayapitia na kuona wadada wanavyoteseka...
Nlimwambia kuwa haya mashindano yatadorora sana. Watu watakosekana viwanja vitakuwa tupu sababu wamarekani si wapenzi wa mpira. Ila mpaka leo hii tayari. Nimeshamtumia Mil 1,000,000 yake
Tulisema kwa matches 10 za mwanzo zitupe mwelekeo na ambaye anaelekea kiwa sawa atanguliziwe Mil 1,000,000...
Bunge la Seneti la Marekani limefanya mabadiliko katika Muswada wa Mapitio ya Uhusiano wa Uwili kati ya Marekani na Tanzania kwa kulegeza masharti kuhusu hatua zinazotakiwa kuchukuliwa na Tanzania katika mageuzi ya mifumo ya uchaguzi na utawala.
Katika rasimu ya awali ya muswada huo, Tanzania...
Ni waziri kuwa Hali si shwari Tena kati ya Israel na marekani. Rais Trump ameamua kuukosoa kwa wazi na kuubeza utawala wa Israel bila aibu.
Leo makamu wa rais JD Vance nae ameongea na kueleza kuwa Israel hawana adabu na wanapaswa kumshukuru Donald Trump's na akaendelea kusema kuwa Israel...
Bunge la Seneti la Marekani limetaka kuanza kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali inayoongozwa na CCM na vyama vya upinzani, ikiwa ni sehemu ya mapitio ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Tanzania.
Sharti hilo limejumuishwa katika fasili B(4) ya kifungu cha saba cha Muswada...
🚨 BREAKING: WE WON TODAY! 🚨
TAUSI LIKOLOLA:
We did not give up. We did not stay silent. Today, we moved one step closer to justice.
The Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act has passed the Senate Foreign Relations Committee and now advances forward.
This moment...
🚨 BREAKING NEWS: WE WON TODAY! 🚨
Na Tausi Likokola, Washington DC - USA
We did not give up. We did not stay silent. Today, we moved one step closer to justice.
The Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act has passed the Senate Foreign Relations Committee and now...
Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani.
Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu.
Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana.
Aombe ziara ya hata siku moja itatosha, Lazima Marekani wampokee.
Wakati uhusiano kati ya Tanzania na Marekani ukiingia katika kipindi nyeti zaidi katika miaka ya karibuni, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amefanya ziara muhimu nchini Marekani inayobeba uzito mkubwa wa kidiplomasia kuliko inavyoonekana juu juu...
Kombe la dunia linaendelea watu wengi wamekuwa wakishangaa vile viwanja vya marekani vilivyokuwa vikubwa na vizuri
Na hapo pia kuna viwanja vingi sana vya college ambavyo havijatumika mfano kiwanja cha Rose bowl pasadena kilichochezewa fainal 1994 hakipo kabisa kwenye mashindano
Kiwanja cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.