marekani

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ndani ya wiki 2 wanajeshi 100 wa Marekani wamejeruhiwa huku idadi kamili ikifichwa

    Ndani ya wiki mbili pentagon wamesema wanajeshi 100 wamejeruhiwa na watatu kuuliwa. Lakini ripoti zinasema pentagon wamekuwa wazito na slow kwenye kutoa takwimu halisi huku idadi kamili wakificha kwa hofu za kiusalama. Iran ilishambulia kambi za marekani zilizopo kwenye nchi za ghuba ya uajemi.
  2. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Waswahili wa Marekani

    https://youtu.be/8DNwD9U2mks WASWAHILI WA MAREKANI Huyu mwandishi Nathaniel Mathews tunafahamiana na kwa kiasi fulani alikuwa kama mwenyeji wangu nilipokwenda Northwestern University, Chicago. Anazungumza Kiswahili vizuri na anakipenda muda wote tulipokuwa pamoja tukisema Kiswahili. Jambo...
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Inashangaza Marekani Haikubaini Kuipiga Iran Ni Kujiangamiza Yenyewe

    https://youtu.be/nm46OkiaHl0
  4. J

    JamiiForums Tanzania Marekani single mothers wanalipwa milioni 2.5 kwa mwezi, hela ya kujikimu, Tanzania tunawapiga vita

    Single mothers ni wahanga, sio wa kulaumiwa.! Single mothers ni wahanga wa kuachwa na wanaume wasiotaka kubeba majukumu yao, wapenda starehe bila gharama, wanaume Hawa ni mzigo kwa taifa Katika nchi zinazotambua hili, single mothers wamekuwa walipewa hela ya kujikimu kila mwezi, zaidi ya...
  5. upupu255

    JamiiForums Tanzania MPYA Nimeona video hii inahusishwa kuwa ni Shambulizi la Marekani nchini Iran. Je, ni kweli?

  6. L

    JamiiForums Tanzania Watu wa Afrika waipendelea zaidi China, huku ushawishi wa Marekani ukipata pigo kubwa

    Kura ya maoni ya hivi karibuni ya Kituo cha Utafiti cha Pew inaonyesha kwamba taswira ya Marekani imeharibika vibaya barani Afrika wakati wa miaka miwili ya kwanza ya muhula wa pili wa rais Donald Trump. Watu waliohojiwa katika nchi za Ghana, Kenya, Nigeria, na Afrika Kusini, tatu kati ya hizi...
  7. X

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Iran yazidi kuimarisha uwezo wa makombora, ikiweka changamoto mpya kwa mifumo ya ulinzi ya Marekani. Iran imeboresha makombora yake ya ballastic missiles kwa kuongeza uwezo wa mambo mawili muhimu: Kasi kubwa (High Speed) Makombora yanapokaribia shabaha yanaweza kufikia kasi kubwa sana...
  8. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Hatma

    https://youtu.be/CXFCWTBb08Y?si=SQN0YF8100KeZblJ
  9. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Marekani yaruhusu Saudi Arabia kurutubisha Uranium bila uangalizi Wakimataifa

    Kulingana na vyanzo na nyaraka walizoziona CNN, utawala wa Trump umekubali kimsingi kuruhusu Saudi Arabia kusafisha uranium ndani ya nchi yake. Tatizo kubwa: Hii itafanyika bila kutekeleza ulinzi wa kimataifa* unaokusudiwa kuzuia utengenezaji wa silaha za nyuklia. "Ulinzi wa kimataifa" kwa...
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mlango Bahari wa Hormuz ukiwa chini ya Majeshi ya Marekani. Iran mabaki kubwabwaja tu.!!

    Wakati Magaidi wa Iran wakibwabwaja Mlango wa Bahari wa Hormuz uko mikononi mwa majeshi ya Marekani
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Maelezo kwa undani jinsi mifumo ya Marekani ya ulinzi dhidi ya makombora ya masafa marefu inavyofanya kazi

    Marekani hutumia mfumo wa ulinzi wa tabaka nyingi (layered missile defense system). Mfumo huu haufanyi kazi kwa kutegemea kifaa kimoja tu, bali ni mtandao wa satelaiti, rada, kompyuta, na makombora ya kujihami unaofanya kazi kwa pamoja. Hatua zake kuu ni hizi: Ugunduzi wa mapema (Early Warning)...
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Iran sasa hivi anapigwa Kama Ngoma na Majeshi ya Marekani!!

    Majeshi ya Marekani sasa hivi yanajipigia tu pale yanapotaka huko Iran. Safari hii ni zamu ya Miundombinu ya madaraja na minara ya Mawasiliano!!! Iran nayo hawa hiki kubwabwaja ovyo na vitisho visivyo na tija!!! Sambamba na kauli za Rais wa Marekani Donald Trump mapema wiki hii, Jeshi la Anga...
  13. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Marekani Waleta Maafa Iran, Waanza Kuvunja Madaraja na Miundombinu Mingine. Iran Hali Ni Mbaya Sana

    Marekani wameanza kushambulia Miundombinu ndani ya Iran. Hali ni mbaya sana, Iran imeshindwa kutoa upinzani wowote. Marekani wanajipiga popote wanapotaka bila presha. Kwa muda mrefu Trump alikua akitishia kuvunja Miundombinu, hatimaye ameanza na baadhi tu kama mfano kiwaonyesha Iran kuwa ana...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Marekani wametusaidia Bil 2.6 baada ya Serikali yetu kuilipa kampuni ya Kimarekani ya lobbying Bil 8. Hii ni sawa?

    ..kichwa cha habari kinahusika. ..hivi ni akili kweli kulipa bil 8 kwa ajili ya vimisaada vya bil 2.6? ..au huu ni ulaji na upigaji wa watu fulani? ..halafu tunalalamika kwamba kuna Watanzania wanalipwa kuchoma nchi yao. ..badala ya kulipa bilioni 8 huko nje kwanini serikali isipande dau na...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Marekani Mtu Kaapishwa Kuwa Seneta Kumalizia Muhula Wa Kaka Yake Aliyefariki Dunia. Ingefanyika Tanzania Ungeona CHADEMA wanapiga Kelele Kama Walevi

    Ndugu zangu Watanzania, Huko Marekani Kuna Mwana Mama Kaapishwa kuwa Seneta Kumalizia Muhula Wa Kaka Yake Aliyefariki Dunia. Sasa Jambo Hilo lingefanyika Hapa Tanzania Ungeona CHADEMA Na wafuasi wake Wanaanza kupiga Kelele Na kusema ni Upendeleo Na Mambo kama Hayo Huwezi kuyakuta Marekani na...
  16. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Marekani Yamnyanyasa Mwandishi wa Habari Raia wa USA Aliyekuwa anaripoti Habari za Matukio ya Vita Iran

    My Take Tulikubaliana kwamba Nchi Zenye Demokrasia na Katiba Mpya Huwa hazinyanyasi watu wakiwemo waandishi wa habari na kwamba huko mambo ni saaaafi kabisa ,hii vipi tena wajameni? 😂😂😂😂 Chadomo mpo? Mkileta ukibaraka mshughulikiwe bila huruma...
  17. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Marekani: Tunaomba Nchi Zingine Tuungane Kuivunjilia mbali Mahakama ya ICC Kisa Wanataka Kuficha Uhalifu waliyofanya Gaza na Sasa Iran.

    My Take Chadomo wakiona hii watalia sana 😂😂😂👇👇 https://www.instagram.com/p/DaxHrfqjpeU/?igsh=NWJ5N2JkY256ajlq
  18. O

    JamiiForums Tanzania Wanapingana na Marekani Super Power: Wanataka Usawa au Nao Wanataka Kuwa Juu Kama Marekani?

    Kwa muda mrefu Marekani imekuwa ikiongoza dunia kama taifa lenye nguvu kubwa kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia. Lakini katika miaka ya hivi karibuni, nchi kama China na Urusi zimekuwa zikiongeza ushawishi wao na kupinga baadhi ya sera za Marekani. Swali, Je, wanachotafuta ni dunia yenye usawa...
  19. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mtake msitake Kuanzia sasa Marekani ni Mlinzi wa Mlango Bahari wa Hormuz!!

    Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kwamba Marekani inarejesha kizuizi chake cha majini dhidi ya Iran, akitangaza kwamba Marekani sasa itajulikana kama "Mlinzi wa Mlango Bahari wa Hormuz." Pia alitangaza ukusanyaji wa ada ya 20% kwa mizigo yote inayopita kwenye mlango bahari.
  20. B

    JamiiForums Tanzania DHS Idara ya uhamiaji Marekani yaweka hadharani majina ya watu wanaotarajiwa kuondolewa nchini Marekani

    Idara ya Usalama wa Ndani ya Marekani (DHS) imetaja pia raia kadhaa wa Kenya, Tanzania na Uganda ambao wanakabiliwa na hatua ya kuondolewa nchini Marekani. Orodha kamili pamoja na picha za waliokamatwa zinapatikana kwenye tovuti ya DHS. Kwa nini Marekani huwafukuza raia wa kigeni? Marekani...
Back
Top Bottom