Kulingana na vyanzo na nyaraka walizoziona CNN, utawala wa Trump umekubali kimsingi kuruhusu Saudi Arabia kusafisha uranium ndani ya nchi yake.
Tatizo kubwa: Hii itafanyika bila kutekeleza ulinzi wa kimataifa* unaokusudiwa kuzuia utengenezaji wa silaha za nyuklia.
"Ulinzi wa kimataifa" kwa...
Marekani hutumia mfumo wa ulinzi wa tabaka nyingi (layered missile defense system). Mfumo huu haufanyi kazi kwa kutegemea kifaa kimoja tu, bali ni mtandao wa satelaiti, rada, kompyuta, na makombora ya kujihami unaofanya kazi kwa pamoja.
Hatua zake kuu ni hizi:
Ugunduzi wa mapema (Early Warning)...
Majeshi ya Marekani sasa hivi yanajipigia tu pale yanapotaka huko Iran. Safari hii ni zamu ya Miundombinu ya madaraja na minara ya Mawasiliano!!!
Iran nayo hawa hiki kubwabwaja ovyo na vitisho visivyo na tija!!!
Sambamba na kauli za Rais wa Marekani Donald Trump mapema wiki hii, Jeshi la Anga...
Marekani wameanza kushambulia Miundombinu ndani ya Iran. Hali ni mbaya sana, Iran imeshindwa kutoa upinzani wowote. Marekani wanajipiga popote wanapotaka bila presha.
Kwa muda mrefu Trump alikua akitishia kuvunja Miundombinu, hatimaye ameanza na baadhi tu kama mfano kiwaonyesha Iran kuwa ana...
..kichwa cha habari kinahusika.
..hivi ni akili kweli kulipa bil 8 kwa ajili ya vimisaada vya bil 2.6?
..au huu ni ulaji na upigaji wa watu fulani?
..halafu tunalalamika kwamba kuna Watanzania wanalipwa kuchoma nchi yao.
..badala ya kulipa bilioni 8 huko nje kwanini serikali isipande dau na...
Ndugu zangu Watanzania,
Huko Marekani Kuna Mwana Mama Kaapishwa kuwa Seneta Kumalizia Muhula Wa Kaka Yake Aliyefariki Dunia.
Sasa Jambo Hilo lingefanyika Hapa Tanzania Ungeona CHADEMA Na wafuasi wake Wanaanza kupiga Kelele Na kusema ni Upendeleo Na Mambo kama Hayo Huwezi kuyakuta Marekani na...
My Take
Tulikubaliana kwamba Nchi Zenye Demokrasia na Katiba Mpya Huwa hazinyanyasi watu wakiwemo waandishi wa habari na kwamba huko mambo ni saaaafi kabisa ,hii vipi tena wajameni? 😂😂😂😂
Chadomo mpo? Mkileta ukibaraka mshughulikiwe bila huruma...
Kwa muda mrefu Marekani imekuwa ikiongoza dunia kama taifa lenye nguvu kubwa kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia. Lakini katika miaka ya hivi karibuni, nchi kama China na Urusi zimekuwa zikiongeza ushawishi wao na kupinga baadhi ya sera za Marekani.
Swali, Je, wanachotafuta ni dunia yenye usawa...
Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kwamba Marekani inarejesha kizuizi chake cha majini dhidi ya Iran, akitangaza kwamba Marekani sasa itajulikana kama "Mlinzi wa Mlango Bahari wa Hormuz."
Pia alitangaza ukusanyaji wa ada ya 20% kwa mizigo yote inayopita kwenye mlango bahari.
Idara ya Usalama wa Ndani ya Marekani (DHS) imetaja pia raia kadhaa wa Kenya, Tanzania na Uganda ambao wanakabiliwa na hatua ya kuondolewa nchini Marekani.
Orodha kamili pamoja na picha za waliokamatwa zinapatikana kwenye tovuti ya DHS.
Kwa nini Marekani huwafukuza raia wa kigeni?
Marekani...
Iran wakipigwa na marekani basi haraka haraka wanakimbilia kurusha mafataki Yao huko Bahrain na Kuwait(kwa wanyonge) kwa kisingizio kuwa Kuna Kambi za marekani
Israel Wana Kambi ya Marekani, Mbona Iran hashambulii Israel??
Jana na Leo marekani zipo ndege zao zinaruka kutokea Israel, Mbona Iran...
Habari kila mmoja humu jukwaani. Maisha ni kutofautiana, na kutofautiana ndiyo maisha yenyewe.
Mimi binafsi niliwahi kwenda US kwa shughuli mahususi za kimasomo, wakati huo nikiwa kijana mdogo sana.
Nilimaliza, na nilikuwa na wenzangu.
Wenzangu walipenda sana kuendelea kuishi huko na walikuwa...
Mapema Leo Trump alisema usiku huu watafanya mashambulizi Makubwa ndani ya Iran. Kweli bwana muda huu Kuna mashambulizi Makubwa ya Maangamizi yanafanyika ndani ya Iran😭
Marekani wanapiga Kila upande, makombora Makubwa Makubwa ya tomahawk yanashushwa huko Iran. Hali ni mbaya sana. Je Ghalibaf na...
Wanaukumbi.
IRGC ya Iran Yajibu kwa Mgomo Mzito kwenye Kambi za Marekani
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya: Hatutaruhusu Marekani kuingilia mambo au kusimamia Mlango-Bahari wa Hormuz.
🔹 Tukio hilo lisilo la kawaida na uwepo wa umma katika msafara wa mazishi na sherehe ya kumuaga kiongozi...
Wakuu, hali ya usalama duniani inazidi kuwa ya wasiwasi mkubwa kufuatia ripoti za hivi punde kutoka Mashariki ya Kati.
Jeshi la Marekani kupitia Kamandi yake Kuu (CENTCOM) limethibitisha kufanya mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi ya maeneo ya kimkakati nchini Iran (ikiwemo Bandar Abbas na...
Wakuu,
Katika ulimwengu wa siasa na diplomasia za kimataifa, taswira ni kila kitu. Lakini taswira hiyo inagharimu kiasi gani, na ni nani anayelipa ankara hiyo?
Uchunguzi wa kina umebaini mkataba wa kushtusha wa Dola za Marekani milioni 3 (takriban Shilingi bilioni 7.8 za Kitanzania)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.