Bado tunaendelea kukumbatia mambo ambayo yalisababisha watu tarehe 29 kuandamana kama ufisadi wa kutisha,uhuni wa kuua na kuteka watu,uchawa,uongozi mbovu,rushwa kila eneo,uchumi mmbovu,dharau za viongozi kwa wananchi.kitu cha uhakika ni kwamba Watanzania wengi sasa hivi wamejawa roho ya...