Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama kichwa kinavyojieleza. Ikatokea nchi zote duniani kuanzia bara la Ulaya, Afrika, Asia yote tukaungana kumpiga mmarekani. Si tutamshinda asubuhi mapema? La sivyo ataendelea kuisumbua hii...
9 Reactions
84 Replies
952 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
149 Reactions
586K Replies
35M Views
Tumeshuhudia kesi nyingi kabla hata ya lissu za uhaini kwa wanasiasa wa upinzani pekee mwisho wa siku kunakuwa kumbe hakuna kesi yoyote wala hatuoni chochote jambo hili limekuwa kama mchezo wa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu, Kuna jambo nilikuwa naangalia hapa jukwaani kwenye uzi wa siku ya kusaini kanuni za maadili, si ndio nikaona kale ka alama kuonesha video imeondolewa bana, kufika utube wanakwambia sorry...
16 Reactions
72 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimeshangaa na kushindwa kuuliza hata swali Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
0 Reactions
1 Replies
13 Views
Mtu mwenye line atakua analipa sh 1000 kwa mwezi na sh 12000 kwa mwaka kama income tax Hatakama watu wanaiba fedha haitaondoa ukweli bado makusanyo yetu ni madogo sana...
8 Reactions
299 Replies
3K Views
Humu kila kukicha watu wanalia na mapenzi, wenzetu huko kunakowafanya mkose raha, kulalamika, kuvurugwa huwa mnapewa nini? Inawezekana labda sie hatujakutana navyo ndio maana haivitusumbui, labda...
1 Reactions
11 Replies
103 Views
Shalom, Salam alaikum. Baada ya kusoma Biblia kuanzia Genesis Hadi Revelation nikaamua kuanza kusoma pia Quran (Mwaka huu). Ila Huwa napenda kufahamu chanzo, uandishi Hadi uwasilishaji wa...
14 Reactions
243 Replies
3K Views
1. Mwl. Nyerere alitaka nchi iwe ya Kijamaa yenye uchumi utakaotufanya tujitegemee. Njia zote kuu za uchumi zimilikiwe na Umma.Tuliyaishi hayo hadi late 80's. 2. Mzee Mkapa alitaka tuwe na soko...
5 Reactions
22 Replies
769 Views
Habari wanajamii humu A short while back nilikuja humu nikiwanatafuta kazi kutokana na feedback nikashawishika kutumia ujuzi na fani yangu kujitafutia ridhiki hivyo basi kwa muhitaji wa website...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,960,422
Posts
52,851,192
Back
Top Bottom