Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
144 Reactions
570K Replies
33M Views
Pi ni Digital currency inayotegemewa kutumika Duniani kote kama Global digital currency. Kila mtu anaweza kuchimba pi Kwa kupitia smart phone yake. Pi inatumia mfumo wa KYC know your customer...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje. Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI Kumbuka: 1...
13 Reactions
50 Replies
862 Views
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita. Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool...
54 Reactions
270 Replies
5K Views
MATOKEO KIDATO CHA 4 Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%. - Feza, St. Francis na Kaizerege zaendelea...
16 Reactions
787 Replies
186K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
960 Reactions
1M Replies
46M Views
Kwanza nitoe pongezi kwa viongozi wote waliochaguliwa na kuteuliwa katika uchaguzi huu wa CDM 2025 . Pili mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi mkuu , pesa zinahitajika sana na adhani hutuna uhakika...
16 Reactions
40 Replies
461 Views
Jabarini, Hivi kweli hata wasomi wa Kiafrika wenye Phd wamegoma kabisaaaa kutambua kuwa Ukristo na Uislam siyo kwaajili yao bali ni kwaajili ya warabu na wazungu/wakoloni. Yaani wameelezwa kuwa...
1 Reactions
3 Replies
50 Views
Watanzania wengi nikiwemo mimi tuneisha ingizwa mjini na hawa wahuki walioko Morogoro wanao dau wao ni Sokoine University na wanauza miche kumbe sio kweli. Jana kuna Mzee wangu kanunua miche kwa...
5 Reactions
11 Replies
234 Views

FORUM STATS

Threads
1,934,372
Posts
52,019,031
Back
Top Bottom