Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Maisha ni safari ndefu na changamoto nyingi..!Hofu nyingi na kukata tamaa kwingi..! Na ni jambo la kawaida kibinadamu kukumbana na nyakati ambapo imani ya maneno haitoshelezi kukabiliana na hofu...
11 Reactions
21 Replies
128 Views
  • Featured
Mwanasheria Mkuu wa Serikali atoa ufafanuzi kuhusu nafasi ya Makamu wa Rais Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu lini nafasi ya Makamu wa Rais inakuwa...
2 Reactions
71 Replies
2K Views
Mshindi wa nafasi ya U-Raisi anapata kura asili mia 98, toka kwa waTanzania milioni 31 waliojitokeza kupiga kura. Sijui hiyo asili mia mbili ilipotelea wapi. Inawezekana ni kura zilizoharibika...
3 Reactions
6 Replies
39 Views
Sidhaniii kama yeye alichukua fomu na kutafta WADHAMINI ili agombee Urais, yeye hakupitia HATUA hii, amdhaka yake yatakumbukwamaisha yetu sote. Je walio mpitisha kinyume katiba Yao ndo...
1 Reactions
4 Replies
60 Views
Tukijipumzisha kidogo na haya yanayo tokea nchini hebu tujadili hii issue kama kutafsiri kile kinacho endelea. Katika kukuwa nilikuwa naskia huyu kijana, au huyu mtoto lazima aje aibadilishe hii...
2 Reactions
11 Replies
65 Views
Meli inayodaiwa kuwa ya kubeba mafuta imewaka moto katika Bandari ya Kigoma, iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Kwa mujibu wa taarifa za awali, moto huo umezuka usiku huu wa Agosti...
3 Reactions
8 Replies
107 Views
Si mbaya nikiamini kwamba ktk miaka 10 ijayo issue ya Tanzania ya viwanda itakuwa sawa na kilimo kwanza. Sababu nitazianika hapa km Mungu atasaidia nifikie hiyo miaka nikiwa hai. For the moment...
10 Reactions
79 Replies
5K Views
Kwa mara ya kwanza Tanzania imepata Rais mwanamke tangu nchi ipate uhuru. Katika hali ya kawaida kabisa ungetarajia wanawakewote wasomi na wajinga wangemuunga mkono mwanamke mwenzao kwa kuwa...
0 Reactions
6 Replies
39 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hata Hayati Baba Wa Taifa Amewahi kusema na kuandika katika kitabu chake cha Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania cha Mwaka 1994 ya kuwa Ukimtikisa Rais Wa Nchi unakuwa...
0 Reactions
86 Replies
542 Views
Kabla ya kuanza kampeni, Nchimbi alifika ghafla hapa nyumbani. Nikatoka kutazama amefuata nini Nikaona padre wa Kikristu alikuwa ameitwa hapa kumbariki Nchimbi. Yule padre akafanya maombi...
11 Reactions
19 Replies
349 Views

FORUM STATS

Threads
2,085,535
Posts
56,045,083
Back
Top Bottom