Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hatua hiyo itasaidi pakubwa kuimarisha demokrasia, uwazi, utawala bora na utawala wa sheria nchini. Kufutwa kwa Chadema kama chama cha siasa itakua ni ni fursa muhimu kwa vyama vingine vya siasa...
-1 Reactions
28 Replies
98 Views
Wakuu, Ukisikia kuahibika ndo leo. Niko kwa mgahawa hapa, nishaagiza chakula nataka kulipia kwa MPesa mtandao haushiki! Na huko iko hivyo au ni kwangu tu? Ukisikia kwenda kuosha vyombo ndo leo...
0 Reactions
12 Replies
49 Views
Achana na ujinga wa kuamini picha za wadada wa hili jukwaa na kuweka hitimisho kuwa ni wazuri . Sio kwamba kila mdada akiposti picha yake ni m baya . Kuna pisi kali mno JF ila selfika...
25 Reactions
130 Replies
1K Views
Uchaguzi wa 2030 huo ndo utakua hatari zaidi ya October 29 wananchi wa sasa wanajua sio wajinga Magufuli aliwahi kusema watanzania sio wajinga kama watu wanavyodhania...
8 Reactions
23 Replies
109 Views
Kichwa cha habari kiko wazi. Kwanini Mungu ambaye haonekani wala hana uhitaji asanye sadaka? Tuzinduke. Nawasilisha. Kama wahusika hawaibi wala kula sadaka, huu utajiri wanaupata wapi na lini...
5 Reactions
46 Replies
316 Views
Nimejiunga nanyi leo rasmi naomben ukaribisho wakuu.
5 Reactions
38 Replies
290 Views
Wakuu Mjasiriamali maarufu wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo, anayejulikana pia kama Sir Wicknell, amemtembelea Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, Ikulu kwa ajili ya kumpa pole baada ya kufiwa na Mume...
16 Reactions
144 Replies
2K Views
Hawa NCCR-MAGEUZI nimewashangaa.. Wamelaaniwa na wameanza kuchanganyikiwa. Wakati wanaongea na Vyombo vya habari leo, wwamesema kuna Kiongozi wa dini ya Kikristo, na Mwananchi aitwaye Joseph...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Pakistan: Takriban watu 31 wamepoteza maisha, wakiwemo maafisa 16 wa polisi na majeruhi wasiopungui 100, katika shambulio la kujitoa mhanga kwa gari lililokuwa na vilipuzi kwenye msikiti ulioko...
0 Reactions
8 Replies
82 Views
Habari , naombeni ukweli kuhusu ilo Jambo!
1 Reactions
11 Replies
62 Views

FORUM STATS

Threads
2,091,494
Posts
56,182,703
Back
Top Bottom