Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hello Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 38.Natafuta make wa kuoa mwenye umri kuanzia miaka 30 nakuendelea.kazi nimejiajiri mwenyewe,Naishi mwanza,ni mkristu nilieokoka. Mwanamke Ambaye yupo...
12 Reactions
173 Replies
984 Views
Kafulila Atoa Wito wa Kutumia PPPs ili kuzuia kuongezeka kwa Deni la Taifa Arusha TICD, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia (PPP) nchini Tanzania, David Kafulila, amesema kuwa deni la Taifa la...
3 Reactions
16 Replies
276 Views
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Dudubaya, amezua gumzo kwenye Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva lililofanyika Arusha baada ya kuzimiwa kipaza sauti (Mic) akiwa stejini. Tukio hilo limetokea muda...
5 Reactions
58 Replies
467 Views
Wakati nipo kijijini nilikuwa naambiwa Dar Es Salaam kuna maisha mazuri, fursa ziko nje nje. Baada ya kumaliza Form 6 nilikuja kuishi huku ili niweze kujitafuta, kwa kweli nilikuta mambo tofauti...
24 Reactions
81 Replies
826 Views
Wakuu, Moja kwa moja kwenye mada. Nina amini wengi wenu mmeshakutana na ule wimbo mpya wa Lango (Liko Lango Moja Wazi) uliorudiwa upya kwa namna ya kipekee kabisa na kwaya maarufu ya Neema...
1 Reactions
2 Replies
5 Views
Mzalendo Alphonce Patrick Muyinga amewataka Watanzania kuwa makini na kile alichokiita pishi jipya la propaganda za hisia kuhusu Tume ya Uchaguzi na matukio yaliyotokea Oktoba 29. Muyinga amesema...
5 Reactions
17 Replies
254 Views
Nimekuwa nikipata hair loss kipindi cha miaka ya hivi karibuni! Nashangaa hili kwa sababu katk ukoo wetu hakuna mwenye uwalaza. Hii husababishwa na nini, na ni supplements gani nitumie kurudisha...
0 Reactions
27 Replies
116 Views
Kuna vijana wawili walitorokea Uingereza kutafuta maisha, mmoja katika ya vijana hawa wawili alijifanya kujua sana kimombo akamwambia mwenzake kwamba wakifika Uingereza ikiwa Mzungu akiuliza swali...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wazee inakuwaje siku hizi unaweza kuwa unapita zako labda Maandazi Road mara ghafla V8 inawasha king'ora ili mumpishe.. yaani imekuwa kero kubwa. Wakazi wa Dar wanakutana na ving'ora vingi kwa...
1 Reactions
26 Replies
173 Views
Kuna baadhi yetu humu tunahangaika kupotosha umma eti majadiliano kati ya lissu na shahidi aliyemtaka amtetee ....DCI Kingai yana impact yoyote kwenye kesi. Ninavyofahamu mashauriano kati ya...
5 Reactions
95 Replies
796 Views

FORUM STATS

Threads
2,091,630
Posts
56,186,356
Back
Top Bottom