Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
REINCARNATION IS REAL
Reincarnation wazo kwamba consciousness au utambulisho wa mtu unaweza kuendelea baada ya kifo na kuonekana katika maisha mengine imejadiliwa kwa maelfu ya miaka. Lakini...
Kama sio chawa ni kumfurahisha Mama na masiha yake tu
Wabara wamekuwa kama watume wa Malikia Samia! Mungu ni lini Tanzania tutakuwa huru?
https://youtu.be/Ur_aGlVQTkA?si=PpXpuKdFaQp7D22f
Naomba Ushauri na Msaada wa Mawazo
Wakuu, nimeamua kuandika hapa kwa unyenyekevu kabisa. Kuna changamoto ninayopitia kwa sasa na nimeona ni bora kushirikisha wenzangu kuliko kukaa nayo kimya...
Utamhoji vipi mtu polisi kwa kosa kama hili ambalo kiuhalisia hufanyika kwenye viunga vya mahakama mbele ya jaji au hakimu. Hata kama ni nje ya mahakama Jaji au hakimu hutoa amri ya mkosaji...
Hello jamii intelligence 👋
Wakuu hii habari ya uchawi nadhani sio jambo geni
Uchawi ulitajwa kwenye vitabu vya dini hasa hivi maarufu Bible&Qur'an
Kwa bible mfano Kutoka 22:18 inasema...
Uganda's creative arts fraternity is mourning the demise of veteran dramatist and composer Alex Mukulu, who passed away at the age of 72.
May His Soul Rest in Peace 🕊️
Full name: Chelsea Football Club
Nickname(s): The Blues, The Pensioners
Founded: 10 March 1905
League: Premier League
Website: ChelseaFC.com
Ground: Stamford Bridge, (Capacity...
Nimesoma shule za serikali ambako kwa shule ya msingi nilisoma kingereza kidogo kama somo, kuja Sekondari nako tukasoma kwa kiingereza lakini ni kile cha kukariri kwani hata walimu wenyewe ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.