Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
USHAURI KWA WANAWAKE
• “Kama mwanaume hakutendei vizuri, mwingine atakutendea vizuri.”
• “Akikusaliti, si kosa lako hata kidogo.”
• Hivyo ndivyo mwanaume huonyesha upendo wake; amini zaidi...
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Watu hulalamika kuwa kama Mungu yupo mbona kuna kuteseka na kuoneana sana hapa duniani? Hii inatokana na kudhani kuwa Mungu anatakiwa awe mwema.
Kuna ulazima wa Mungu kuwa mwema? Kwani akiumba...
Mwaka 2014 wakati bwana Zuckerbeg anainunua whatsapp kwa dola za kimarekani 19 B watu waliona kama ni uharibifu wa pesa. Haikuwa clear ni kwa namna gani hii app ya kuchat itaweza kuingiza pesa...
Kuna ile umetoka kzn na stress mishe zimebuma halafu unarudi hm mke kanuna / kelele nyingi.
Hapo ndo utajua umuhimu wa kuangalia tabia kuliko Nyash.
Unakuwa na battle nyengine nyumbani
The KM ndie alimtoa yule Blaza na kumuweka maza, na kwa vile Balozi ni mtu wake, Maza kaonyesha anamtaka Maskafu, hivyo wakamshauri akae mbali na The KM, maza akamuweka KM pembeni kiaina, ili...
Nimewamiss, vipi nini kimenipita humu jukwaani kwa wiki zilizopita? na kama kawaida, jichagulie jambo hapo chini tutete kidogo!
Nilipotea nalea mjukuu, mpwa wangu amenifanya niitwe bibi, mje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.