Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.
Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao...
Ndugu zangu..
Yule jirani amefanikiwa kuliwa, na alikuwa ana taka sana kumbe...!
Asubuhi ya leo niliamshwa na ngo ngo ngo....mlangoni mwa mchumba changu.
Binafsi nilidhani ni jamaa wa taka...
Kwa uchunguzi wangu nimegundua kuna vyuo vinavyofundisha teolojia kwa madhehebu ya kiluteri mfano kiko Makumira Arusha.
Wakatoliki Kipalapala n.k.
Sijawahi sikia chuo cha teolojia cha walokole...
Police in Mbarara District have arrested two suspects in connection with the alleged murder and beheading of 29 year old Arinaitwe Richard, a resident of Bwizibwera Lower Cell, Rwanyamahembe Town...
WATOTO KUWAHI SHULE ALFAJIRI: JE, NI MAFANIKIO YA KIELIMU AU TISHIO KWA AFYA?
Na Dickson Kapungu Kutoka Songwe.
Watoto kuwahi shule alfajiri imekuwa sehemu ya maisha ya kila siku kwa wanafunzi...
Wanajamvi natumai hamjambo.
Ungekuwa wewe ndo mwenye huyo mke Sasa ungemjibu nini baba watoto WA mkeo
Hatua gani zingefuata Kwa mkeo ambaye wakati unamuoa umemekuta ana watoto wawili
WAKUU!,mm n mwanafunzi ninayesoma udaktari wa tiba(MD),nipo mwaka wa kwanza sasa nafikiria ninaweza kufanya biashara gani kwa mtaji wa Tshs.500,000 nikiwa chuoni ili niweze kujikimu kimaisha huku...
Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.