Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu Baada ya msoto wa miaka kadhaa bila michongo inayoeleweka Nimeamua kuweka pembeni vyeti vyangu vyangu. Sasa wakuu naomba msaada nitapata wapi Chuo kizuri wanachofundisha focal lift? Ada...
15 Reactions
79 Replies
1K Views
Wakuu, Kuna jambo linapikwa hapa Akizungumza na wanahabari hivi, karibuni askari mmoja wa JKT amejitokeza na kusema kuwa alipigiwa simu na mtu asiyemfahamu na kupewa ofa ya kiasi cha pesa...
1 Reactions
14 Replies
332 Views
Huenda ni malezi niliyokulia maana sikuwahi kabisa kumuona mzee wangu akivaa sare na mama yangu. Ziwe sare za kanisani ama popote pale kwakweli sijawahi Ona hadi sasa wana zaidi ya miaka80...
21 Reactions
132 Replies
2K Views
IDF imedondosha vipeperushi mashariki mwa Shajaiyah (kaskazini mwa Gaza), ikiwataka wakaazi kuhama: "Uko katika eneo hatari la mapigano Ondoka mara moja na ukae mbali iwezekanavyo."
1 Reactions
2 Replies
35 Views
Hii ndio miradi tuliyokuwa tunasifiana awamu zilizopita. Bora hizi hela zingenda kwenye Kilimo na kuwapa watu Ajira. Bilioni 50 zimetumika, lakini ghorofa mbili ziko tupu! Stendi ya Magufuli...
8 Reactions
112 Replies
2K Views
Wakuu Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim...
9 Reactions
68 Replies
1K Views
Hii sio habari njema sana. Watanzania wenzetu walioko Zambia hasa maeneo ya kaskazini wameanza kulalamikiwa kwa kufungua kwa wingi biashara mbalimbali hasa maduka. Wazawa wanaitupia lawama idara...
5 Reactions
23 Replies
374 Views
nini kifanyike na shule za vijijini zipate waalimu wa kutosha kama za mijini?
2 Reactions
39 Replies
369 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
147 Reactions
579K Replies
34M Views
Shauku na hamasa kubwa waliyonayo wananchi wa jiji la Dar es salaam wa kuitikia wito wa Tume Huru ya Uchaguzi wa kujiandikisha kwa wale ambao wametimiza sifa, lakini pia kuboresha taarifa zao kwa...
6 Reactions
60 Replies
732 Views

FORUM STATS

Threads
1,951,092
Posts
52,562,663
Back
Top Bottom