Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
Jamani wakulungwa hatujambo humu! Natumai wote mko powa kabisa, jamani kuna uyu mwanadada anaitwa Lady Isa nakumbuka kuna kibao chake kimoja nilikuwa nakipenda sana kama sikosei ni tamaa iliua...
PROFESA Mohamed Janabi, jina lake limetangazwa rasmi kuwa miongoni mwa wagombea watano katika kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda ajaye wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Kanda ya Afrika...
Kwa sasa tangia 2015 tumepata waziri Mkuu ambaye haelewi nini maana ya uongozi , yeye anajiendea tu ilimradi .
Nadhani Uwepo Dotto Biteko ulilenga kuongeza ufanisi baada ya kujua Kassim Majaliwa...
Hawa ndo waekezaji wa kichina nchini Tanzania
Wachina wanafungua car wash
Wachina wanafungua supermarket
Wachina wanafungua maduka ya kuuza bajaji na pikipiki
Wachina wanafungua maduka ya...
Ukisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!
Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu...
Wafungwa nao ni binadamu kama sisi tuu. Wanaugua na wanaweza kupoteza maisha wakiwa kifungoni.. Je sheria inasemaje?
Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.