Habari,
Nina jirani yangu amehitimu mwaka jana, hapo udsm anashikilia shahada ya elimu ya awali na makuzi ya watoto.
Kwasasa yupo Dar es Salaam, kama ni mmiliki au una-connection basi sio mbaya...
Chuo kikuu cha St. Augustine kimebatilisha shahada ilizotoa kwa madaktari 162 waliohitimu chuo cha udaktari cha St. Franscis kuanzia mwaka 2015-2019.
St. Augustine imechapisha tangazo kwenye...
Hivi kuna Mwanamume mwenye akili timamu yaani kichwa cha Familia ana mke wa aina hii?
Ok mtakumbuka wiki kadhaa nilieleza mambo yanayochangia ndoa nyingi kuvunjika... Mfano halisi ni aina ya...
Katika kipindi Cha maisha na umri kuongezeka, umekuwa tukipitia changamoto mbalimbali za kiuchumi, kijamii, kimahusiano n.k
Japo Ni ngumu kuzimaliza changamoto zote, lakini Ni wazi kwamba Kuna...
Na nimeona katika Tangazo lao Kubwa kuwa Mgeni rasmi atakuwa ni Muislamu Mwenzao Rais Samia Suluhu Hassan na litafanyika tarehe 9 April, 2023 ambayo Wakristo wote akina GENTAMYCINE ( Zanaki and...
Anaandika Ezekiel Kamwaga:
Tuwe makini
Kuna fasheni imeanza ya watu kujionyesha wana msimamo mkali dhidi ya ushoga. Taratibu, jambo ambalo liko mbali sana kwenye matatizo yetu linaanza kukuzwa...
Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) imesema majeruhi pekee wa ajali ya basi la mwendokasi iliyotokea tarehe 22/2/2023 Jijini Dar es Salaam, Osam Milanzi ameruhusiwa kutoka Hospitali baada...
Kama kweli serikali ina mpango wa kuhamasisha wanazuoni wa vyuo vikuu vya Tanzania kufanya tafiti na kuchapisha maandiko katika majarida makubwa ya kimataifa, napendekeza yafuatayo:
1. Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.