Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mshana - huyu nimekuwa nikimfatilia Sana naona ni mtu smart Sana , kwakuwa anaitazama Tanzania kwa picha ya ukubwa , kuna thread zake za ubunifu zina content kubwa endapo serikali ikiamua kuweka...
8 Reactions
37 Replies
753 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
149 Reactions
580K Replies
34M Views
#UPDATES : Bodi ya ligi kuu nchini Tanzania (TPLB) chini ya mwenyekiti wake Steven Mguto imeiomba klabu ya Young Africans Sports Club kusitisha harakati za kufungua kesi katika mahakama ya masuala...
6 Reactions
50 Replies
672 Views
Natumaini ni kwema wakuu. Kwa mujibu wa ripoti mpya ya orodha ya nchi zenye furaha duniani, Tanzania(136) tumepitwa mpaka na Somalia(122). Imesikitisha sana hii habari ni kana kwamba naishi...
26 Reactions
180 Replies
1K Views
STORY: IDAIWE MAITI YANGU MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ ******************** SEHEMU YA KWANZA ANZA...
8 Reactions
411 Replies
58K Views
Wakuu nipokisiwani ukanda wa ujitani,naomba nikili wazi kwa bongo bongo kama hujawai umana na penzi la kijita wewe Bado sana,wakuu hizi jita's ladies ni mtu na nusu,zinajua si kitoto Wakuu...
10 Reactions
123 Replies
2K Views
Ni ushauri tu Kwamba wamiliki wa zile plot za ufukweni waziendeleze Pale Pwani wako akina Abdulahman, Sykes, Kigoda, Wasomali nk Mzee Mohamed Said wakumbushe akina Sykes wajenge Ili Amani irejee...
8 Reactions
77 Replies
4K Views
Ukitoa wanaofanya kazi kwenye kada zifuafazo Udaktari Ufundi kama tanesco Walimu wa vyuo vikuu na shule ya msingi Polisi Wanajeshi Hawa wanatakiwa waendelee kuajiriwa kwa mfumo wa sasa kwa...
2 Reactions
33 Replies
250 Views
Huenda Misri inaweza kubadili msimamo wake wa muda mrefu wa kukataa wakimbizi wa Kipalestina kutoka Gaza. Kwa mujibu wa Al Akhbar, Rais Abdel Fattah El-Sisi anafikiria kuruhusu hadi Wapalestina...
4 Reactions
21 Replies
334 Views
SIKU YA KWANZA KWENDA KUBEBA ZEGE HOSTEL ZA MAGUFULI. MOTO ULIWAKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Nipo zangu likizo wakati nasoma, basi Taikon nikaenda Tandale kwa Mshikaji wangu, Classmate...
11 Reactions
28 Replies
295 Views

FORUM STATS

Threads
1,951,631
Posts
52,579,369
Back
Top Bottom