Ifike mahali Watanzania tusitake kufananisha utam wa sukari na chumvi wala bei zake
Namaanisha nini?
SHERIA NGOWI anafahamika Kwa kila mtu kuwa ni mbunifu wa mavazi, Yes SHERIA kubuni mavazi...
Tumia juisi ya asali na mafuta ya kuchua tumetengeneza spesho kwa matatizo yote ya wanaume(nguvu za kiume na uume legelege usioweza kurudia tendo).Sababu ina vitamini nyingi sana mwilini...
Bi Queen aliyasema hayo kwenye mahojiano yake na Clouds TV 7/2/2023 ambapo alishika Msahafu na kusema mara ya kwanza anakutana na Shehe Mkuu wa Mkoa ni siku aliyompigia simu na kumuomba miadi ya...
Huwa nasema timu za Kariakoo ni Kulwa na Doto na àmbao tulishafanikiwa kuvuka mitego ya siasa zake tuna Amani zaidi.
Miaka ya 1990 Simba walikuja na Nick name ya Simba TAIFA KUBWA na ikahit...
Nasumbuliwa na muwasho sugu sehemu za Siri kwa muda mrefu na nimetumia dawa nyingi sana sijapona muwasho upo mpaka sehemu ya aja kubwa.
Nikitembea ni kama mtu ananichana chana kwenye korodani...
Kuna kipindi sisi wanaume huwa tunajipalilia maanguko yetu sisi wenyewe. Haijalishi umempenda mtu kiasi gani, ikifikia wakati upendo ukaisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee...
Niliposomea Graphics Design lile Neno linasomeka hivi,
"TVisit Tanzania"
Na
Sio
Visit Tanzania [emoji1
241]
[emoji846]
Wataalam wenzangu wa IT Njooni tuwaelimishe hawa Graphics Designers wa Makolo Fc
Preamble:
I thought it important to bring this paper to the attention of the doubting Thomases and sleeping masses.Most people still believe that what we used to call natural disasters are "still...
Inakuaje brothers and sisters,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Leo ndio siku ya mwisho waliopewa waasi wa Congo ili kusalimisha silaha zao kwa serikali, kinyume na hapo hatua...
Waislamu ninyi hua mnanielewesha vizuri kabisa maswali yangu.
Naomba mnipe tofauti kati ya sunni na sh’ia na mnielezee nini kimesababisha tofauti hizo ziwepo na je hua kuna migongano baina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.