Nimeshangazwa sana na waziri mkuu kushangazwa na wanaoajiriwa kwenye ndege za mashirika ya kimataifa kwa ajili ya kuzungumza kiswahili sio watanzania.
Kwa mtazamo wangu nilidhani waziri mkuu...
Protase Kardinali Rugambwa tayari ametua Vatican kwa ajili ya mchakato wa Papa Mpya. Anatajwa kumrithi Papa Francis. Tunamuombea apeperushe Bendera ya Tanzania Kimataifa.
**Huu ni mwaka wetu...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika ninamshukuru Sana Mwenyezi Mungu kwa Kupata Bahati ya kipekee na adimu ya kuongozwa na Rais Samia Akiwa ni Rais Wa Nchi ,Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi...
Sio Kila mtu ana kumbukumbu nzuri za utoto wake. Wengine tumepitia life gum Sana utotoni.
lakini hata hivyo hatukosi Jambo la kutufurahisha Kila tukumbukapo maisha ya utoto tukiwa shule.
Jambo...
Tusimumunye Maneno: Rais Samia ndiyo kawaweka gerezani Lissu na Heche. Tusije kujidanganya sijui vyomba vya usalama sijui nini ukweli ndiyo huo. Tofauti na Magufuli ni kwamba huyu Mama anajificha...
Huwa nawaonea huruma kuwapigania Watanzania wapumbavu hii ni sadaka kubwa wanajitoa chadema
Nina uhakika mtoto wa Lissu haki chini
Mke wa Lema hakosi matibabi ya kujifungua
Heche hakosi maji ya...
22 April 2025
Ouagadougou, Burkina Faso
Communique /Taarifa kwa Umma, serikali imenasa mawasiliano ya kundi lililopanga kupindua serikali
Vyombo vya usalama Burkina vimeweza kubaini na kuvunja...
Wamekosa watu huko, mwembe yanga, wakatuhumu watanzania ni wa Hovyo, eti wanapenda sana simba na yanga!,
Hawa watu ni wajinga kiasi gani, kwani wanashindwa kutofautisha ya kwamba kuna wakati wa...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.