Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Rais ni Comforter-in-Chief hatakiwi kuonyesha upendeleo kwa wananchi wake anaowaongoza kwa namna yeyote ile. Hivi karibuni tumeanza kuona kujengeka kwa tabia ya Rais kutojali madhila ya watu...
9 Reactions
31 Replies
943 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
140 Reactions
554K Replies
32M Views
Waziri wa Ujenzi wa Tanzania Innocent Bashungwa ametoa ushauri wa Mamlaka husika kuruhusu barabara zinazotumiwa na Mabasi ya ‘Mwendokasi’ ziwe zinatumika na magari binafsi hususani wakati wa...
1 Reactions
23 Replies
242 Views
Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu. 1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo. 2...
9 Reactions
111 Replies
578 Views
Wakuu, Mambo hayo, angalia mwenyewe baadhi ya maeneo idadi ya watu walioandikishwa wamezidi idadi ya watu waliohesabiwa tena pakubwa! Mchengerwa safari hii lazima badamu bachuruzike! Dar es...
8 Reactions
72 Replies
1K Views
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
26 Reactions
2K Replies
74K Views
Wadau hamjamboni nyote? Hezbollah yacharuka na kujibu mapigo kibabe kwa kushambulia makao makuu ya idara ya ujasusi ya IDF iliyopo Tel Aviv Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: October 23...
1 Reactions
7 Replies
139 Views
Jumatatu 30/09/2024 Rais Samia Suluhu Hassan alizindua kitabu kipya cha tawasifu ya Edward Moringe Sokoine. Kitabu hiki cha aina yake kina dosari lukuki. Inafikirisha sana ikitiliwa maanani kama...
6 Reactions
6 Replies
60 Views
Habari zenu wakurungwa..!! Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, Mimi nipo wilaya X , jiji la Mwanza, nimehamasika sana kuandaa mashindano ya marathon ila tatizo linakuja kwamba. hakuna...
0 Reactions
14 Replies
67 Views
Wakuu nimepata wasaa wa kusikiliza nyimbo nyingi za BANDO MC kwa umakini nikagundua kuwa jamaa hajui ku stick kwenya mada hadi akaeleweka, anachojua ni kutamka maneno yanayochekesha watu hasa...
10 Reactions
157 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,906,009
Posts
51,151,629
Back
Top Bottom