Habar za muda huu ndugu wanajamii
Sote tunafahamu ya kwamba Kuna chama kilijinadi kuwa kitatoa elimu Bure kuanzia elimu ya Msingi Hadi Sekondari kwenye campeni za uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020...
Haraka haraka twendeni kwenye hoja,
LATRA wamepandisha bei za mabasi kwa wastani wa TZS 15 kwa Kila kilometa hasa kwa safari za Mikoani,
Mfano kutoka Dar es Salaam mpaka Bukoba ni sawa na...
Viongozi wengi kama sio wote wa Dunia watashiriki Mkutano huo wa COP28.
========
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini kwenda Dubai kushiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa...
Habari zenu wadau.
Karibuni tufanye biashara ya Aluminum na accessories zake. Details zake ni kama ifuatavyo.
Aluminum Profile
1. Size ya upana ni 10 CM (100 mm)
2. Profile thickness yaani...
Jeshi la kigaidi la Marekani limeamua kuinyang'anya Ukraine Vifaru vyake alivyompa chapa M1 Abrams baada yakuona Makomando wa Russia Spetnaz wanaviwinda kama Simba wenye njaa Kali ili wavibebe...
Yaani natumika sana na watu wanaokuwa na ukaribu na mimi wakihitaji msaada wa kifedha au kihisia
Kwa sasa naweza sema ukiacha ndugu zangu, watu wote waliobaki wana ji attach kwangu tuu wakiwa na...
WanaJF,
Wakati tunaendelea kumshukuru Mh. Rais wetu, Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa Bi. Titi Mohamed najua tuna viongozi wengi ambao sisi vijana wa miaka ya 1990s au kabla hatuwajui...
Habari humu ndani,
Naitwa James naishi Kunduchi, natafuta coaster kwa ajil ya kusafirisha abiria moshi to Dar. Kazi nina uzoefu nayo sana. Hesabu ni laki tatu kila nkirud Dar kwa mwenye gari...
Mechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL ukisahau kuwa hata Weekend...
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu...