Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani...
5 Reactions
54 Replies
12K Views
Ifahamike CV ya Elimu ya Kassim Majaliwa ni hovyo na ya kuunga unga tu kwahio sio ajabu kutoa wazo hilo kuhusu wahitimu wa shahada za vyuo vikuu kwenda VETA. Kujadili ushauri wa kipuuzi na wa...
16 Reactions
50 Replies
2K Views
01.Nimekuja Dar es Salaam kupambana sina hata ndugu wa kuniwekea dhamana, kama itatokea shida. Nina Imani kupitia mke wangu yeye ndio atakuwa dhamana yangu namba moja. 02.Kazi yangu ni bodaboda...
14 Reactions
80 Replies
961 Views
Itazame hii video halafu jiulize maswali 5 kisha uyatafutie majibu wewe mwenyewe. Serikali inawajibu wa kutoa ajira kwa vijana wote. Ajira kwenye taasisi za kiserikali. Ajira kwenye sekta binafsi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakati Waziri wa Mambo ya Nje Thabit Mohammed Kombo alipomtambulisha Dr Janabi kwa Rais Emerson Mnangagwa. Taarifa ya ukurasa wake wa Facebook iliutambua ugeni huo kama wa kutoka Jamhuri ya...
38 Reactions
217 Replies
6K Views
Siwezi shangaa kuona bajeti kubwa ikitengwa kwa watu wa programmer ambao wanashindana na idara kubwa za hisabati na mainjinia wa ovyo pamoja waziri mkuu wetu naye kuwepo ufikiri ni VETA...
4 Reactions
8 Replies
208 Views
Ajali inapotokea huwa inasikitisha sana na kuumiza sana! Lakini upande wa pili huwa inafungua ukurasa mpya wa kujadili! Mungu aliumba mitume na manabii ili kuzisaidia mamlaka za utawala katika...
17 Reactions
66 Replies
1K Views
Kupiga kura ni haki ya kikatiba hakuna chama kinachoweza mzuia mtu asipige kura uchaguzi ukiitishwa Vitisho vya kusema kuna mtu au kikundi au chama kitazuia watu wanaotaka kupiga kura wasipige...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Wakuu heshma kwenu. Habari za jioni. Nimeona ni vyema kuwa update kuhusu mwenendo wa suala ambalo nilileta hapa jukwaani siku ya jumatatu katika uzi huu...
180 Reactions
739 Replies
23K Views

FORUM STATS

Threads
1,950,796
Posts
52,554,699
Back
Top Bottom