Naona Neema inazidi kumwagwa Dar.
My Take: Hii sio sawa yaani Bil.800 Kwa Dar pekee? Bil. 800 ndio Bajeti ya Tarura ya Mwaka mzima.
====
Katika jitihada za kuboresha miundombinu mbalimbali ya...
SEKTA YA ELIMU KATIKA JIMBO LA MUFINDI KASKAZINI
Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe, (Naibu Waziri Uwekezaji, Viwanda na Biashara) tarehe 28, Mei, 2023 amekagua...
Habari wana Jf,Simba Viatu tunajihusisha na uuzaji wa Viatu vya Mtumba (Raba na Mokaz) pia tunauza mapochi ya kike,Walet pamoja na mabegi ya mtumba Grade A
Nb: Free derivery arround Dar Es salaam...
Habari za jioni.
Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.
Niende kwenye mada.
Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume (my first born). Sikuamini...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Habari za muda huu ndugu zangu
Msema Kweli ni mpenzi wa Mungu,
Ndugu zangu mimi ni kijana ambae sijaoa na wala sina mtoto kabisa ila nimevutiwa sana na huyu bi dada anaeitwa financial services...
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza...
Inaskitisha tukio la mwanafunzi wa shule secondari ya Kivule kijinyoga, kitoto kizuri cha kike. Wazazi msiwaachie watoto kuishi na bibi au Shangazi, wanashindwa kueleza wanaopitia.
Maskini...
Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini?
Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka.
Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa...