Kwa wanaume wenzangu habari za muda huu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika kama nilivyoitambulisha hapo juu. Ikiwa una familia au unaishi bachelor tafadhali zingatia hili linakihusu...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza kima cha chini cha mishahara kwa sekta binafsi, kikipanda kutoka Sh300,000 hadi kufika Sh347,000.
Akitangaza viwango hivyo jana, Waziri wa Nchi Ofisi...
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya...
Nimeamua sasa rasmi.
Kunikamata hawatoweza milele na nasema wazi kuanzia sasa sitolipa tena kodi wala tra hawatoniona tena kwenye makadirio.
Kwa sisi mabingwa uhangaikie kodi ulipe halafu watu...
1st Portion:
Kama ilivyo kwa wazazi wengine, wazazi wangu pia walikuwa wanatamani sana kijana wao nisome shule. Kile kitendo cha kuishia njiani, kwa upande wao hakikuleta taswira nzuri. Pamoja na...
Hlw Habari wakuu,
Naitwa khalfan ni mkaz wa Mkoa wa simiyu mjini bariadi. Nawaza kuanza biashara ya kukusanya kuku vijijini na kuwatafutia soko mwanza kwenye mahotel makubwa.
Shida connection...
Samahanini sana kwa kuleta nyuzi nyingi. Nimeanza kuishi pamoja na mke wangu mtarajiwa. Nimegundua anani cheat na jamaa mcheza pool flani ambaye yy anadai ni rafiki tu.
Huyu jamaa kuna siku juzi...
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya.
Twitter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.