Hili kundi ni below standard ya maisha ya mwanadamu wapo kwa kudra za mwenyezi Mungu tu ila ukweli ni kundi la ajabu saana. Imagine watumishi wa kada zingine wanaomba mpaka likizo isiyo na malipo...
Za masiku! Mimi naona sisi ma brother tunakosea pakubwa mno kuwashauri hawa madogo zetu waache punyeto... najua wanaume wengi hasa marijali tumepita huko, na baadhi tunashtua japo siyo kama...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Chakula cha Usiku na Timu ya Yanga kwa ajili ya kuwapongeza kwa hatua waliyofikia ya kucheza Fainali ya Kombe la...
Niende kwenye mda wakuu binafsi kuna mambo yananichanganya
Tangu nimefikisha umri wa miaka 34 nilinotice kitu huwa natizamwa sana na watu wazima mpaka vibibi kwa ujumla wamama watu wazma kwa...
Kutokana na vijana kukumbwa na kitu kinaitwa illussion Au kuzidanganya hisia unakuta kijana Anatumia pesa kubwa kuhangaikia ngono Ambayo inamletea ufakiri. Style zote za ngono Zipo kumfurahisha...
Hivi kuipa heshima Taifa la Tanzania ni kurudi na medani ya CAFCC tu? kwamba hata waliofika robo fainali CAFCL kombe la wakubwa huku wakiwa Visit Tanzania hakuonekana kuitangaza na kuiletea...
THE WEALTH OF RAPTA RUINS
(Get Rich or Die Tryin)
Msimuliaji: LUDOVIC MASSAWE
NB: SIMULIZI HII IMEAMBATANISHWA NA BAADHI YA PICHA ZINAZOTUMIKA KUELEZEA MATUKIO, HURUSIWI KUTUMIA PICHA HIZO...
Huko Afrika Kusini. Mpelelezi wa Kesi ya Thabo Bester ashapewa chuma na wahuni (wasiojulikana). Hii kesi itaisha kimafia. Na hakuna atakayefungwa Bali vifo kadhaa vitatokea. Huyo Bester ni suala...