Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Habari,
Karibuni kwenye hii thread , ntakua na share products za umeme nnazouza , Ofisi yetu iko Msasani karibu na Hospital ya CCBRT
Tunauza kwa jumla na rejareja, kwa wateja wanaopenda...
Kuna kila dalili kuwa maamuzi ya kutoa sadaka Bandari yetu yalishafanyika kwa mujibu wa maelezo ya Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa kupitia BBC kwa madai "hatuna fedha Trilioni 4 kujenga gati...
NALIA NGWENA niliona aibu Mimi kitendo cha Bernard Morrison kumpora pesa waziri wa sanaa na michezo Mhe. Chana.
Kwa haraka haraka ni kama kitendo cha kuchekesha lakini kwa NALIA NGWENA the great...
Habari,
Kwa mahitaji ya vifaa vya umeme, tunapokea order za wateja wetu, tunahakikisha mteja wetu anapata huduma ya uhakika na kwa muda muafaka, kupitia thread hii ntashare products mbali...
Kuna kelele nyingi kua bandari yetu ya dar imeuzwa kwa waarabu kwa kipindi cha miaka mia ooh my God, kama ni kweli imeuzwa nitumie nafasi hii kumuomba msamaha aliye kua spika wa bunge mzee wangu...
Ubinafiswaji kwangu naichukulia kama tabia ya wavivu.
Bandari tuwape JKT waiendeshe.
Kweli hatujui source of income kwetu ni ipi? Dah
Mwafrica ni hasara kwa Mungu nahisi!! Miaka 60 ya uhuru...
Ni dhahiri wa shahiri kuwa watanzania wengi hawana uelewa wa mambo mengi, na kwamba wako tayari kuchukua upande mmoja pindi itokeapo hoja yoyote ya nchi, haijalishi ina maslahi au haina maslahi...
Mkataba Kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DPW ya Emirates Dubai umeacha maswali mengi na kuamsha hisia za kudai Katiba mpya kwa nguvu zote.
Ni mkataba ambao ulisainiwa kwa mwendokasi...