Habari.
Kumekuwa na changamoto ya watu kulalamika maisha magumu.
Ila yote juu ya haya kama mzazi unamtoto jitahidi sana uweke ubahili pembenj pelekeni watoto wenu English medium.
Leo hii kwenye...
Hello mabibi na mabwana.
Serikali imesisitiza kwama Mazao ya Wakulima ni Mali Yao na Waachwe Wauze Popote kwenye soko.
Waziri wa Kilimo amesema kulikuwa na dhana kwamba mazao ya Mkulima ni Mali...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Habari wanajukwaa,
Haya masuala ya kuuliza makabila ya watu kwenye ofisi za umma yanakera sana na yanachochea ubaguzi wa kikabila, nafikiri ni muda sahihi sasa wa kuyapiga marufuku hasa...
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri...
Mimi nawaza humu sijui nani anawaambia eti wanawake wa JF ni wana sura ya kutisha?
Niambieni. Wanaume wa humu mliojificha kwenye avatar mie tokea niwafahamu watu wa humu wanaume wa JF wanasura...
Wakuu mambo vipi, leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyochomoka Nyumbani kwao.. Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.
Janga hili...
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amesema Jumatano kwamba serikali yake haijaondoa uwezekano msaada wa kijeshi kwa Ukraine.
Awali, Israeli ilisisitiza kuwa itatoa msaada wa kibinadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.