Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Baada ya jana kutoa tangazo la kuzuia meli zote zinazoelekea Israeli Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu aliwasiliana na marekani na kuwaeleza kuwa kama hawatachukua hatua basi Israeli...
10 Reactions
92 Replies
2K Views
Mimi naamini kati ya mtihani mkubwa ambao mungu amewapa wanawake ni kusubiri atongozwe,maana yake ili kumpata unayemtaka inabidi utongozwe Sana vinginevyo inabidi ukubaliane na yoyte hata kama...
1 Reactions
18 Replies
513 Views
Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais...
5 Reactions
79 Replies
4K Views
karibu ujipatie tofali za holili tofali za mwamba zenye ubora mara 5 zaidi ya tofali za kawaida
4 Reactions
29 Replies
718 Views
Huyu Bilal, dogo muarabu ambaye alikua mateka wa HAMAS, anaeleza jinsi walikamatwa mateka na namna walijaribu kujitetea kuwa wao ni waarabu, ila HAMAS hawakujali, walimkamata yeye na dadake Aisha...
1 Reactions
8 Replies
102 Views
Dalali, Msomi na Kada Maarufu Mr Dotto Magari Kizimkazi ameonyesha nia ya kugombea Ubunge Kinondoni na wajumbe kwa kauli moja tumeamua kumkabidhi Jimbo.
0 Reactions
5 Replies
308 Views
Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho. Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa...
27 Reactions
113 Replies
5K Views
Asema Gaza imefutwa, imerudishwa nyuma miaka 200, hamna kitu pale hata watu wakirudi, amekiri lilikua kosa kubwa sana na kwamba uongozi wa HAMAS ni machizi wasiojielewa wala kuelewa chochote...
1 Reactions
99 Replies
489 Views
Na. ili Kutuzuga zaidi Waafrika anatafutwa Mtu kisha anazusha Jambo fulani la taharuki hasa la Ugonjwa au Kifo ili Waafrika tuweke huko Akili zetu na tusijue kuwa kutokana na nchi za Afrika...
2 Reactions
9 Replies
116 Views
Habari! Nataka kufikisha kero hii kwa niaba ya wasafiri wanaoingia na kutoka katika Stand Kuu ya Mabasi, Dosoma. Kila mtu anajua kuwa ni wajibu wa raia kulipa kodi, lakini ni lazima kuwe na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,810,446
Posts
48,131,036
Members
654,877
Latest member
Mfupa mwiko
Back
Top Bottom