Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani. Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi...
36 Reactions
230 Replies
5K Views
Bila Shaka mu wazima wa Afya. Mungu mkubwa. Mpaka wakati huu naandika 'Post' hii, nimekuwa natafakari nilichoota usiku wa kuamkia leo. Si ndoto ya kutisha, La hasha, lakini imefanya nitafakari...
1 Reactions
21 Replies
208 Views
Nianze kwa kusema hata mimi nauona mwanga kwenye kuwekeza kwenye kilimo chenye tija kutokana na ukubwa wa nchi yetu yenye kila kitu kinachofaa kwa kilimo, ufugaji na uvuvi. Hofu yangu kuu kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Hivi inawezekana mwanaume kubakwa na mwanamke? Kwa njia gani? Na mpaka mwanaume ana simamisha, si ina maana yeye ameridhia mwenyewe? Hili swali limekuwa gumu sana kwangu naomba majibu yenu.
4 Reactions
32 Replies
499 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo hizileta kwa mfumo wa swali fikirishi na mimi kutoa tuu maoni yangu lakini kukupa wewe...
4 Reactions
20 Replies
51 Views
Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu. Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo...
7 Reactions
73 Replies
2K Views
Habari za asubuhi Wana JF, Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa...
3 Reactions
21 Replies
225 Views
Kinga iliyonayo nchi ya Tanzania dhidi ya Majanga ni kali sana, hakuna nchi ya kulinganisha nayo hapa Afrika mashariki. Haijalishi janga liwe limetokea kiasili au limesababishwa na mwanadamu...
1 Reactions
12 Replies
55 Views
Mlipuko wa Arab Spring ilianza kama masikhara nchini Tunisia baada kijana mmoja mhitimu wa Chuo Kikuu aliyekosa kazi na kuamua kuuza matunda kwa kutumia toroli mitaani. Lakini alipokatiza mbele ya...
7 Reactions
52 Replies
2K Views
Habari za humu! Naukubali sana utaratibu wa wenzetu wa dini tofauti. Kwao unaweza kuoa na kuingiza mke kwa 200k au hata 100k. Niliwahi kuwa mshenga, kuna dogo alitoa 50k akachukua mke mapema...
2 Reactions
38 Replies
384 Views

FORUM STATS

Threads
1,730,500
Posts
45,203,562
Members
630,826
Latest member
kohe kambi
Top Bottom