Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
973 Reactions
1M Replies
47M Views
Waislamu wao wakifika peponi Allah amewaofa mabikira 72 kwa kila mwanaume halafu wakaongezewa na pombe. Upande wetu wakristo kwa madhehebu yetu yote tunaamini huko mbinguni hakuna koa wala...
8 Reactions
302 Replies
2K Views
Kwanini Yanga wajivunie fiston Mayele Kuanzia hatua za awali Fiston Mayele kawafungia magoli 8 Pyramids katika michuano hii ya Caf. Mayele aling'alishwa nyota yake alipokuwa Yanga kiasi Kwamba...
3 Reactions
6 Replies
73 Views
Huyo ndugu yangu kafaulu vzr kidato cha nne akiwa na B kwenye masomo yake ya ufundi kasomea electronics and communication engineering(B) , engineering science (B) na masomo yote ya science ana A...
0 Reactions
2 Replies
57 Views
Trump amesema "Netanyahu anaweza kuingia vitani na Iran. Ikiwa hatutafikia makubaliano na yeye nitaongoza kipigo hicho!! Katika mahojiano na jarida la Time linaloadhimisha siku 100 tangu arejee...
5 Reactions
73 Replies
991 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
149 Reactions
588K Replies
35M Views
Hii hapa taarifa Rasmi Tanzania imekuwa na uhusiano mzuri wa kibiashara na Malawi katika biashara ya bidhaa mbalimbali za kilimo. Biashara hii ya kikanda na kimataifa inaongozwa na miongozo...
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Uwanja wa Kimataifa wa ndege wa Bagamoyo (Sanzale) utaongeza idadi ya watalii wanaotembelea Saadani, Selous, Mikumi na Bagamoyo.
1 Reactions
22 Replies
513 Views
Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Milwaukee, Hannah Dugan, alikamatwa na FBI tarehe 25 Aprili 2025 kwa madai ya kumsaidia mshukiwa kukwepa maafisa wa Uhamiaji na Forodha (ICE) wa Marekani. Tukio hilo...
1 Reactions
3 Replies
40 Views
Habari za jioni. Nimeshindwa kupata usingizi kutokana na wimbi la mawazo. Wakuu Take home yangu 613K Mimi ajira mpya mwaka jana ila nimekuwa na wimbi la mawazo na kuona kama sitaweza kutoboa...
16 Reactions
109 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,962,896
Posts
52,933,466
Back
Top Bottom