Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwangu mimi mzee Stephen Wassira namuona kama ni muimba mapambio na mtu wa kusifu zaidi bila kuweka hoja mezani. Kila kitu kwake ni propaganda kuliko uhalisia. Kuna mambo mbayo hayahitaji...
1 Reactions
32 Replies
1K Views
Gusa. Achia. Twenda kwao. Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi. Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina...
22 Reactions
302 Replies
4K Views
Kwanza kabisaa usiamini story zote humu utakuwa mjinga sana humu kuamini kila story na kuanza kumdefine mtu kulingana na story alioleta… visa vingi ni uongo uongo Hii tabia imekuwa kero sana kwa...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Catherine Ruge ambaye alikuwa anawania ukatibu mkuu wa BAWACHA Taifa amepigwa chini na Pamela Maassay. Ruge alikuwa anamuunga mkono Mwamba. Uchaguzi umekamilika kwa nafasi zote za BAWACHA ambapo...
3 Reactions
9 Replies
440 Views
Leo nimeboeka nikasema niende Temeke nikatembee mida ya sa5 usiku, kuna bar nikaingia nikawa nakunywa wine palikua panapigwa miziki ya bongo flava, lakini ilivyofika saa 6 usiku wakaingia VIJANA...
67 Reactions
259 Replies
16K Views
Aiseh kweli soka la wezetu limeendelea, uki angalia kikosi chote cha kwanza cha MC Alger wote ni wazawa hata walioko subs 2 tu na ni wa Ivory Coast 🇨🇮 wote!!
1 Reactions
2 Replies
3 Views
1. Burkina Faso's GDP grew from approximately $18.8 billion to $22.1 billion. 2. He has rejected loans from the International Monetary Fund (IMF) and the World Bank. He said, "Africa doesn't need...
4 Reactions
7 Replies
175 Views
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa...
10 Reactions
146 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,932,259
Posts
51,946,830
Back
Top Bottom