Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Sticky
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea. Tuambiane; - Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako? - Ni ya aina gani...
45 Reactions
19K Replies
1M Views
Nawashangaa sana mashabiki wasiojitambua wala kujielewa na wasioitambua sayansi ya mpira wa miguu. Simba kapigwa 3 mzuka na Raja nongwa na jumba bovu wanaangushiwa Onyango, Mkude, Manula na Nyoni...
2 Reactions
1 Replies
25 Views
Afande Kagame siku nyingine najua unapitia pitia mitandao ya kijamii ya watanzania iliyoandikwa kwa lugha za kiswahili ama kingereza kama jamii forum na kadhalika.Afande najua hupendi kuulizwa...
0 Reactions
2 Replies
7 Views
Yani wamempiga Premio yake mpya kabisa mzigo number EAD anaangalia. Ukiona kuna raia mgeni anatengeneza mahusiano na wewe kwa speed kuwa makini. Story iko kwa Millard AYo ila kwa ufupi.
8 Reactions
66 Replies
2K Views
Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔 Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi 😤🙌
20 Reactions
182 Replies
4K Views
Kuna watu wamedandia mtumbwi wa vibwengo[emoji84][emoji84][emoji83][emoji83][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uchambuzi utafata baadae Stay...
18 Reactions
480 Replies
13K Views
Ni kauli fupi sana lakini nzito kwelikweli. Akionyesha kukerwa na majizi Rais Samia aliitoa kauli hii. Majizi yote hakuna linalolala kwenye vitanda viwili, vyumba viwili wala kula sahani mbili za...
12 Reactions
55 Replies
1K Views
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi, nanukuu, "Usishindane na aliyejaaliwa," mwisho wa kunukuu. Freeman Mbowe ni mtu aliyejaaliwa karama ya kupendwa, hili wahafidhina mnatakiwa mlijue, mtake...
28 Reactions
67 Replies
2K Views
WanaJf, Salaam! Zipo dalili nyingi za mtawala wa milele ndani ya CHADEMA kuhamia CCM. Dalili hizi ni: (a). Mbowe kukubali msamaha wa kuachiwa huru baada ya kupiga magoti CCM - alifutiwa...
2 Reactions
33 Replies
627 Views
Upi mtazamo wako kwa yale yanayoendelea hapa nchini? Je, endapo itamlazimu kiongozi wa serikali kuondoka ipi itakuwa njia sahihi? Ndani ya miaka hii miwili watanzania wameshuhudia na kupitia...
22 Reactions
132 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,733,931
Posts
45,330,944
Members
631,870
Latest member
Fanani wa kwanza
Top Bottom