Kwa minajili ya Wikipedia, active personell wa JWTZ ni 28,000 sasa ukizingatia wanajeshi wa Urusi wameuawa 127,000 hiyo ni mara nne ya JWTZ, au kama vipi hapo ina maana wamefyekwa idadi ya...
Tarehe 31/1/2023 Mhe. Rais Dr. Samia aliunda Tume maalum itakayo chunguza mfumo mzima wa Haki jinai yaani; Polisi, Magereza, Mahakama pamoja na vyombo vingine.
Kwakuwa lengo la tume hii ni...
Wakati Mkijitahidi kuchafua image Ya JPM, bila Vielelezo wala Ushahidi! Na bila Mafanikio!
Luhaga Mpina yeye amekuja na Ushahidi na vielelezo, Awamu ya Sita inalea wizi!
Kamponi hii, "CCE"...
Hili amelisema leo katika Uzinduzi wa Haki Jinai huko Dodoma , kwamba baadhi ya watu wa kitengo cha Madawa ya kulevya wanaweka mzigo kwa mtu waliyepanga kumshughulikia , na baada ya muda mfupi...
Huu ndio ukweli halisi!
Mheshimiwa Luhaga Mpina,mbunge wa Jimbo la kisesa,alijitoa kafara,bila kupepesa macho bungeni,na kuichana Live,serikali ya chama chake cha CCM.
Akatohoa kila kitu kutokana...
Wakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33.
Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na...
GAMBO UMENISHANGAZA
Nimemsikiliza Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Mashaka Gambo bungeni akichangia hoja ya kupanda Kwa Bei ya bidhaa.
Gambo amelalamikia Bei ya mchele Kilimanjaro kuwa 3,500/=...
Wanawake tupinge na kukataa mateso ya ngono toka Kwa wanaume. Kifo cha Mende kinatosha kabisa. Mambo ya kuikalia sijui na kuturusharusha vichura hatutaki. Kutubenua na kuchungulia matundu yote...
Salaam kwenu wana MUNGU,
Kuna hii nyimbo ya gospel inaitwa maneno mazuri yakwake japhet wa zabron singers ft ambwene mwasongwe, hainichoshi jamani! Naisikiliza tena na tena, tena na tena, nyimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.