Leo nimelewa nampigia b mkubwa kilevi levi , anacheka cheka tu , nakunipa maneno ya baraka za kutosha .
Hakuna mwanamke atakupa attention bila pesa wewe kijana mpumbavu 😅😅
Ndugu zangu Watanzania,
Kiufupi Ni Kuwa Rais Samia Anakesha anafanya kazi , anashinda kutwa nzima anafanya kazi, anasafiri na kufanya kazi hadi akiwa angani ndani ya ndege . Rais Samia anafanya...
Km Trump asingekuwa mwoga wa Vita utawala wa kigaidi wa Iran ungeshaanguka mpaka Sasa
Sasa Trump anapigana Vita vya sitaki nataka
Iran ikipokea kipigo kidogo tu ikiomba ceasefire naye anajaa...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo vya visa dhidi ya zaidi ya maafisa 100 wa Nicaragua na familia zao kufuatia kifo cha Brooklyn Rivera, kiongozi wa kiasili wa watu wa Miskito aliyekuwa...
Akizungumza na wananchi mkoani Mbeya, Jacob amedai chama tawala cha CCM kimeweka mbele chuki na maslahi ya kisiasa na ya mtu binafsi kuliko ustawi wa nchi, akidai kuwa wako tayari kuona nchi...
Sijui vizuri mambo ya upangiliaji wa mikoa ila nahisi Kahama ina uwezekano mkubwa wa kuwa mkoa
Ni maendeo gani mengine unayaona yana uwezekano mkubwa wa kuwa mikoa
Jana jumapili kuna sehemu ilikuwa inafanyika hii misa ambapo wanajenga vituo ambapo hiyo ekaristi takatifu inazungushwa na kupigiwa magoti, kwa waliowahi kuiona bila shaka watakuwa wananielewa...
Kwa namna mchakato unavyoendeshwa unaonekana ni mzuri sana na wanaosaka ajira baadhi Yao wanakiri kabisa kuwa mchakato unatenda haki.
Kinachohitajika katika mchakato wa kutafuta waajiriwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.