Kama kichwa kinavyojieleza. Ikatokea nchi zote duniani kuanzia bara la Ulaya, Afrika, Asia yote tukaungana kumpiga mmarekani. Si tutamshinda asubuhi mapema? La sivyo ataendelea kuisumbua hii...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Tumeshuhudia kesi nyingi kabla hata ya lissu za uhaini kwa wanasiasa wa upinzani pekee mwisho wa siku kunakuwa kumbe hakuna kesi yoyote wala hatuoni chochote jambo hili limekuwa kama mchezo wa...
Wakuu,
Kuna jambo nilikuwa naangalia hapa jukwaani kwenye uzi wa siku ya kusaini kanuni za maadili, si ndio nikaona kale ka alama kuonesha video imeondolewa bana, kufika utube wanakwambia sorry...
Mtu mwenye line atakua analipa sh 1000 kwa mwezi na sh 12000 kwa mwaka kama income tax
Hatakama watu wanaiba fedha haitaondoa ukweli bado makusanyo yetu ni madogo sana...
Humu kila kukicha watu wanalia na mapenzi, wenzetu huko kunakowafanya mkose raha, kulalamika, kuvurugwa huwa mnapewa nini?
Inawezekana labda sie hatujakutana navyo ndio maana haivitusumbui, labda...
Shalom, Salam alaikum.
Baada ya kusoma Biblia kuanzia Genesis Hadi Revelation nikaamua kuanza kusoma pia Quran (Mwaka huu).
Ila Huwa napenda kufahamu chanzo, uandishi Hadi uwasilishaji wa...
1. Mwl. Nyerere alitaka nchi iwe ya Kijamaa yenye uchumi utakaotufanya tujitegemee. Njia zote kuu za uchumi zimilikiwe na Umma.Tuliyaishi hayo hadi late 80's.
2. Mzee Mkapa alitaka tuwe na soko...
Habari wanajamii humu A short while back nilikuja humu nikiwanatafuta kazi kutokana na feedback nikashawishika kutumia ujuzi na fani yangu kujitafutia ridhiki hivyo basi kwa muhitaji wa website...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.