Mahakama ya Juu kabisaAfrika Kusini imeamua kuwa Bunge lilivunja Katiba mwaka 2022 lilipozuia jitihada za kumwondoa Rais Ramaphosa madarakani (impeachment). Wakati huo, chama chake cha ANC...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwenyekiti wa CCM huko Kilimanjaro (Chugga) amemrubuni mke wa mtu na kumuoa (bibi harusi). Kufuatia kadhia hiyo, wananchi wa eneo hilo wamecharuka vibaya sana...
Hali inatisha jamani sijui kam taifa tunaelekea wapi kila kitu ni feki kila kitu
Ukienda kununua dawa kwenye haya mapharmacy dawa nyingi ni feki hasa tunaopenda dawa za bei rahisi ila ubaya...
Kwema wakuu..
Kama umebahatika kupita miji mikubwa Dar Es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya na miji mingine hasa mijini, ni dhahiri frame za biashara ni nyingi sana na zimesongamana sana. Yaani fremu...
Wanaukumbi.
Shirika la kimataifa la masuala ya bahari la Umoja wa Mataifa (IMO) limesema takribani meli 1,500 pamoja na mabaharia zaidi ya 20,000 wamekwama katika eneo la Ghuba ya Uajemi kutokana...
Tuseme dereva A anaendesha coaster transmission manual ambayo ni daladala route ni Mbezi to Mnazi Mmoja dereva B anaendesha Special hire gari ni Ile Ile kakodiwa kuwapeleka abiria Arusha kwenye...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Habari wakuu,
Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, maeneo ya Afrikana, mbuyuni, Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe kwasasa kumejengeka...
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Everine Munisi amesema taifa ni kubwa kuliko tofauti zozote zilizopo. Dkt. Munisi amesema masilahi ya wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.