Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bado unalalamika???au ushakubaliana na mpango wa kuja VETA We njoo VETA ila jua kuwa 1.tunawahi namba,ukichelewa Kuna adhabu Kali sana sio poa 2.Hatutongozani,mambo ya maboyfriend na...
0 Reactions
2 Replies
9 Views
Nimekuwa nikifuatilia mahojiano kadhaa yanayofanywa na viongozi mbalimbali wa taasisi za Serikali na Wana habari, ila kilichonisikitisha ni kuona mwanahabari anahoji swali ambalo hata uelewa wa...
2 Reactions
27 Replies
341 Views
Najiuliza kwanini? Yaani anaweza kuwa mwaminifu mwanzoni, ukampa Kila kitu na bado wanapigwa na watu. KULIKONI?
6 Reactions
109 Replies
9K Views
Hapa ndipo vita vilipofikia. Baada ya askari wa Ukraine walioingia eneo la Kursk mwaka jana kuzingirwa na kuwa karibu na kifo,raisi wa Marekani amewaombea huruma askari hao kutoka kwa raisi wa...
0 Reactions
6 Replies
125 Views
Wadau wa Jamiiforums, poleni na mihangaiko ya kutafuta tonge! Kama hujawahi kupigwa kwenye biashara, basi ama wewe ni mjuzi wa hali ya juu, ama bado hujaingia kwa kina kwenye soko la Bongo! Wale...
4 Reactions
10 Replies
239 Views
Sijui kama wake zenu wana tabia kama ya mke wangu. Yaani huyu bibie kila tukio analohudhuria lazima alipost kwenye WhatsApp, Instagram, au Facebook. Pia, anapenda kujipiga picha na kujipost...
9 Reactions
50 Replies
442 Views
Wanasema tembea uone Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia Ukerewe ni Moja ya wilaya za mkoa wa Mwanza...
5 Reactions
9 Replies
165 Views
Haina haja ya salamu watu tupo busy. Mwaka huu sehemu flani katika mizunguko yangu nilikutana na dada mmoja mzuri sana kwa sura na figure. actually nilikutana naye kwenye Dispensary yake yeye ni...
19 Reactions
96 Replies
2K Views
Wakuu Mbunge wa Karagwe, Innocent Bashungwa, ameonyesha moyo wa huruma kwa kusaidia mtoto mdogo kumtwisha dumu la maji kichwani baada ya kumkuta akichota maji. Tukio hilo lilitokea wakati...
1 Reactions
12 Replies
141 Views
Salam zenu ninyi mnaoishi ndoto zangu. Nitakuja kuishi siku moja tuwe majiranj😎
3 Reactions
14 Replies
151 Views

FORUM STATS

Threads
1,949,497
Posts
52,516,561
Back
Top Bottom