Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu...
Binafsi, je naenda kukutana na nani?
Hilò ndio swali namba 1. Swali namba mbili huwa je anajua nini kwenye mitindo na fashion?
Basi napenda vitu unique, yaani niwe wa kipekee ndio maana...
Nimejaribu kumsikiliza na kumsoma alichoongea Mkurugenzi wa Bandari. Kwa maelezo yale Mnunuzi wa Bandari yetu ni Paul Kagame. Angalia huu mtiririko.
1. 2013 anasema angekuwa mmiliki wa Bandari...
Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika...
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
Walinda amani wa Tanzania kurejeshwa nyumbani kutokana na madai ya utovu wa nidhamu CAR
9 Juni 2023Haki za binadamu
Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati...
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na...
Mmiliki wa Shirika la Ndege Nchini Tanzania la Precision Air, Michael Ngaleku Shirima, ameaga dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AgaKhan, Jijini Dar es Salaam
Taarifa zaidi...