Wakuu Baada ya msoto wa miaka kadhaa bila michongo inayoeleweka
Nimeamua kuweka pembeni vyeti vyangu vyangu.
Sasa wakuu naomba msaada nitapata wapi Chuo kizuri wanachofundisha focal lift?
Ada...
Wakuu,
Kuna jambo linapikwa hapa
Akizungumza na wanahabari hivi, karibuni askari mmoja wa JKT amejitokeza na kusema kuwa alipigiwa simu na mtu asiyemfahamu na kupewa ofa ya kiasi cha pesa...
Huenda ni malezi niliyokulia maana sikuwahi kabisa kumuona mzee wangu akivaa sare na mama yangu.
Ziwe sare za kanisani ama popote pale kwakweli sijawahi Ona hadi sasa wana zaidi ya miaka80...
IDF imedondosha vipeperushi mashariki mwa Shajaiyah (kaskazini mwa Gaza), ikiwataka wakaazi kuhama:
"Uko katika eneo hatari la mapigano Ondoka mara moja na ukae mbali iwezekanavyo."
Hii ndio miradi tuliyokuwa tunasifiana awamu zilizopita.
Bora hizi hela zingenda kwenye Kilimo na kuwapa watu Ajira.
Bilioni 50 zimetumika, lakini ghorofa mbili ziko tupu! Stendi ya Magufuli...
Wakuu
Katika kusheherekea na kuadhimisha miaka minne ya utumishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia tangu alipoingia madarakani Samia 4x4 wakiongozwa na Mtangazaji Salim...
Hii sio habari njema sana. Watanzania wenzetu walioko Zambia hasa maeneo ya kaskazini wameanza kulalamikiwa kwa kufungua kwa wingi biashara mbalimbali hasa maduka. Wazawa wanaitupia lawama idara...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Shauku na hamasa kubwa waliyonayo wananchi wa jiji la Dar es salaam wa kuitikia wito wa Tume Huru ya Uchaguzi wa kujiandikisha kwa wale ambao wametimiza sifa, lakini pia kuboresha taarifa zao kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.