Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jamani watu wamezaliwa mambo safi wakalelewa mambosafi wakakulia mambo safi hadi wanakufa au mpaka wanakufa mambo_safi Donald Trump & Stephen Wasira. Sasa mimi nakwama wapi?
3 Reactions
28 Replies
61 Views
STORY: IDAIWE MAITI YANGU MWANDISHI: FEBIANI BABUYA STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER WHATSAPP: 0621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ ******************** SEHEMU YA KWANZA ANZA...
6 Reactions
167 Replies
19K Views
Habari wadau Tafadhari naomba uzoefu kwa mtu amewahi kumiliki ama yupo familiar na Volvo V40 (hasa ya 2012-2019). Ningependa kujua juu ya reliability, common issues, fuel consumption na...
3 Reactions
7 Replies
86 Views
Lovely scenes at the nation’s capital. Sublime peaceful transfer of power. The outgoing vice president welcoming the incoming vice president.
5 Reactions
47 Replies
612 Views
Kiongozi mwandamizi wa Chadema Mh Mdude Nyagali ameshangaa vikosi Vya polisi kujazana Kwenye Mkutano wao Mlimani City Mdude anasema 2019 shujaa Magufuli aliwaacha Wajichague Kwa Amani na Haki...
1 Reactions
8 Replies
9 Views
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo Hii...
4 Reactions
59 Replies
584 Views
Mgombea Uenyekiti BAVICHA Masoud Mambo akifunguka A to Z kilichotokea kwenye Uchaguzi BAVICHA baada ya wakubwa kuingilia kati. Source: East Africa Radio My take: Usafi wa Heche na Lissu uko...
4 Reactions
25 Replies
738 Views
Kwa mara ya kwanza nafika nilifurahia mazingira mazuri, ukijani mwingi na Hali ya hewa tulivu kabisaaa ikiambatana na mvua hasa nyakati za asubuhi. Baadhi ya Maeneo yana muonekano mzuri wa ziwa...
102 Reactions
369 Replies
12K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
144 Reactions
569K Replies
33M Views
Zamani mimi nilikuwa najua neno tia linatumika bandarani tu(kutia nanga), baadaye nikaja kujua linatumika kama matusi pia, lakini kadri muda ulivyoenda nikaja kujua linatumika sana hasa na watu...
6 Reactions
30 Replies
224 Views

FORUM STATS

Threads
1,932,995
Posts
51,971,861
Back
Top Bottom