Ajali imetokea maeneo ya Kisumo( katikati ya Gongo la mboto na Pugu)
Daladala( minibus) la Chanika to Machinga Complex laacha njia ( inasemekana lilikuwa linatanua) na kugongana uso kwa uso na...
Klabu yenu imesajiliwa kucheza soka,hamuwezi kuendekeza fikra za kishamba na kizamani kuleta figisu kwa timu mnazoziogopa kwa visingizio eti walikuja na wazee!
Kwa hiyo kama mliona wazee,kwenu...
Asalaam Aleykum ndugu zangu wote katika imani,
Kuelekea mfungo mtukufu wa mwezi wa Ramadhan, waislamu wote ninawaomba tukutane humu ili tuelimishane mawili matatu kuhusu mwezi huu.
Lengo kuu ni...
That's why the book was moving very slowly. Nilisha soma kama page 10 za kitabu chake.
Mwanasaikolojia anae heshimika kama huyu anajiua?
What pushed him that low?
Moral of the story:
Tuache...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Anthony Kasore amesema kuwa sio tu wenye Shahada ya Awali, hata wenye elimu za juu zaidi kama vile Shahada ya Uzamivu (PhD)...
Akizungumza na Wasafi Radio kupitia kipindi cha goodmorning mhariri wa gazeti la Radar aliyejitambulisha kwa jina la Mjema ameeleza kuwa waziri anayejifanya mzalendo kwa kuvaa hadi mavazi yenye...
Hakika Tanzania,Afrika na Dunia haitoacha kukumbuka mazuri yako.
Leo hii Marekani inapiga vita dhidi ya ushoga,vita visivyo na tija,NGO s uchwara zinazoneemesha wachache kwa kisingizio cha huduma...
Full name: Liverpool Football Club
Nickname(s): The Reds
Founded: 3 June 1892
League: Premier League
Website: LiverpoolFC.com
Ground: Anfield, (Capacity: 61,276) - Pitch 105m x 68m...
Kule marekani huwa wanaitwa donors, mtu anajiandikisha kwenye orodha maalum ambapo anatoa ridhaa yake mwenyewe kwamba pindi atakapofariki basi immediately viungo vya mwili wake kama ini, moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.