Habari wakuu, majuzi nikiwa naperuzi insta nilikutana na tangazo la dalali la apartment ya AirBnB. Nilikuwa tayari nimeshapita, lakini nikastuka baada ya kugundua kuwa jengo lile ni la mradi wa...
Shahidi wa nne katika kesi ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama...
Usalama wa mtandao wa JamiiForums (JF) kwa wakosoaji wa serikali na wanaharakati una pande mbili: nia na ulinzi wa kidijitali unaotolewa na jukwaa lenyewe, pamoja na mbinu binafsi anazotumia...
Mwenendo na kauli pamoja na vitendo vya Aliyekuwa RC wa Tabora, ndugu Paulo Chacha, havionyeshi kama mtu huyo anazo akili timamu
Amefanya madudu mengi mno, lakini hill la kumshitaki Msichana kwa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa, amepinga dhana kwamba ni lazima kuwepo na wasimamizi au wasuluhishi kutoka nje ili kufikia maridhiano ya kisiasa yenye tija...
Hi taarifa mpaka Leo haijatolewa ufafanuzi kuhusu MTANZANIA MWENZETU, alifahamika Kwa jina fredy, ALIE ULIWA na boss wake COMORRO, inasemekana alizikwa huko huko lakini mpaka Leo ubalozi wa tz...
YAFUATAYO NI MAWAZO MGANDO YA WANAUME WENGI MABWEGE na WENYE AKILI DUNI.
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli.
Yule Shujaa.
Moja ya mambo yaliyonifanya nisipende kukaa vijiweni na kuwaelewa wazazi...
Habari wa ndugu ....
Iko hivi ...
Nilipata ruhusa ya kwenda chuo nje ya nchi ila mkurugenzi wangu aligoma kunisainia barua.
Nikaondoka bila ruhusa yake.
Nikiwa huko masomoni nikapigwa SP ""Stop...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.