Ndio maana wengi utawakuta wakisifu wanawake wa zamani walikuwa wife material lakini ukiangalia kwa ndani wanawake hao walifunzwa au walilazimika kuwa submissive kwa wanaume wao.
Mwanaume hasa...
It is true that democratic freedom is an engine of national and individual wealth and prosperity. Hardly known, however, is that freedom also saves millions of lives from famine, disease, war...
Nipo Kiwanja kimoja hapa mtaani naona wamesema Wasafi TV wanashuhudia tukio la 40 ya Sandrah mtoto wa Diamond
Kuna jambo nimekuona siyo la kawaida, jukwaani yupo Mzee Yusuph na Zuchu wanaimba...
Mtandaoni wana-hubiri fedha ila ukija kwenye maisha ya kawaida mambo ni tofauti sana
👇👇👇
Ukienda uswahilini utashangaa watu wanamaisha magumu na bado wake zao hawawakimbii ukija mtandaoni...
Hii dawa ya poweref (Ceftriaxone) kuna uwezekano mkubwa huko mbeleni ikashindwa kufanya kazi.
Hii dawa ni strong antibiotic yani ni kali sana na mara nyingi hutumika dawa zingine (first line...
Mimi ni shabiki wa Yanga ila sijafurahia kitendo hiki ambacho kwa karne hii ya leo watu wamestarabika.
Huwezi kumshambulia mtu kwa ngumi hadharani bila ya kosa lolote mpia umeisha na timu...
Kwenye dini ya Kiislamu hakuna 40 baada ya msiba au mtoto kuzaliwa, hili ni jambo ambalo Waswahili wamejiongeza kuipimp dini!
Kwa nini huwa ni lazima kufanya 40 baada ya msiba wa Kiislamu ikiwa...
Dada Mange na Dada Maria wameendelea kuandika kwamba Mwigulu hatakiwi kabisa kuvuka kuelekea 2030.
Lakini nyuma ya kauli hizo kuna swali kubwa zaidi:
Kwa nini jina la Mwigulu linaonekana kuwapa...
Katika maisha kuna muda unafikia a point of no return..
Ndugu zangu, niwaweke tu wazi ya kuwa am now saying a final farewell to y'all..
JF has been a wonderful place,
Sincerely speaking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.