Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli Nimeumizwa Sana na Kifo cha Mume wa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Hii ni Kwa Sababu...
Wakili wa kujitegemea, Jebra Kambole, amepinga uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuwakataa baadhi ya mashahidi waliopendekezwa na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, katika kesi ya uhaini inayomkabili...
Familia ya Shaban Maulid Songela, mwenye umri wa miaka 40 na mkazi wa Mimani City, Kata ya Ng’ambo, Manispaa ya Tabora, inaendelea kumtafuta baada ya kutoweka na kutopatikana kwa zaidi ya siku 10...
Habari za wakati huu wapendwa katika Bwana,
Nichukue nafasi hii kutoa pongezi kwa hii mifumo miwili ambayo imerahisisha sana ununuzi wa Ardhi na kuwasilisha maombi ya Hati bila usumbufu...
The Supreme Commander of the Malawian Armed Forces Summus Dux Exercitus Malaviensis was placed under custodia militaris on the very day of comitia the Election.
Intra castra, there was a...
Kwa nini wanaomini mbinguni na peponi kupo wanaogopa kufa?
Kama una uhakika kuna mbingu, peponi, Jannah Firdausi ambapo watu wanaomuamini mungu wakifa wanaenda unapaswa kutamani kufa mapema...
Mkataba wa Ujenzi wa Meli Tatu za Bahari Kuu: Tanzania Yafungua Mlango Mpya wa Uchumi wa Buluu na Ajira kwa Vijana
Na GULATONE MASIGA
Bahari ya Tanzania ni rasilimali kubwa ya kiuchumi ambayo...
Mapigano makubwa ya ardhini yamekuwa yakiendelea kusini-magharibi mwa Yemen baada ya Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran kuanzisha mashambulizi yao makubwa zaidi ya eneo tangu makubaliano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.