Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Leo Zanibar kabla y jua kuelekea Magharibi kutakuwepo na ibada ya mazishi ya Mume wa Rais. Viongozi wakuu wastaafu na waandamizi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano na mapinduzi ya Zanzibar...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia. Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia...
35 Reactions
452 Replies
8K Views
hii jamii ina umimi na usisi mnoo roho mbaya wizi utapeli ikitokea Raisi akawa mtu wa Kilimanjaro Tanzania itakumbwa na ufisadi, ukatili na ubabe ambao haitawahi kutokea hadi dunia inaisha😁😁...
3 Reactions
9 Replies
10 Views
Habari ndugu, jamaa, rafiki na wote kwa ujumla. Tunasikitika kuwatangazia taarifa ya msiba wa ndugu yetu mpendwa, GODFREY MAHUNDI, aliyefariki dunia akiwa Songea usiku wa kuamkia tarehe 5...
5 Reactions
26 Replies
267 Views
Kuna Hospitali moja tu ya kumbukumbu ya GENTAMYCINE upande mkubwa wa nchi na hakuna Hospitali ya kumbukumbu ya GENTAMYCINE ule upande wa Kisiwani ambao unaunganisha nchi moja nzuri na Kubwa...
6 Reactions
25 Replies
229 Views
Single mother wote wakiingia kwenye mahusiano mapya huwa hawawaongelei vizuri wazazi wenzao. Hauwezi kusikia anasema "baba mtoto yupo anampenda na kumjali sana mwanae" . Mara zote utasikia "hata...
48 Reactions
311 Replies
4K Views
Nchi hii tulipofika lolote anaweza kufanyiwa. Kama hatumuoni Nchimbi, Yuko wapi Nchimbi? One has a justified suspicion of who might be behind this! The culprits! Why not Warioba kumfanyia...
6 Reactions
15 Replies
114 Views
Israeli inajiandaa kwa uwezekano wa vita vingine vya kushtukiza, wakati huu katika nyanja nyingi. Mkuu wa jeshi Eyal Zamir alisimamia zoezi la utayari wa kushtukiza lililobuniwa kulingana na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hapo VIP! Hili swali huwa sipendi ambao wachagga wengi wanapenda kuiliza.Eti Wewe ni kabila gani? Hawa jamaa wanamambo ya Kipuuzi sana..nadhani kwasababu wanaukabila sana ndio maana wanapenda sana...
7 Reactions
36 Replies
168 Views
  • Featured
Akizungumza leo Septemba 7, 2026, kwenye Mkutano wa wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa Nchini uliondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Jaji Mstaafu, Joseph Sinde Warioba amesema...
7 Reactions
13 Replies
176 Views

FORUM STATS

Threads
2,088,058
Posts
56,104,845
Back
Top Bottom