Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii haishii tu kwa wanaume hata kwa upande wa wanawake.Kwanini wanawake wenye tabia nzuri sana huishia mikononi mwa wanaume wasiokuwa na nia njema . Ujumbe huu utakuletea mwanga kuelewa undani wa...
4 Reactions
16 Replies
347 Views
Hatuwezi kufanana, mwenye maneno atasuka sentensi zake, mwenye gari atatumia lifti, mkaanga chips atapooza njaa, n.k. Utanashati una uzito kiasi gani kwenye mvuto
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Hiyo ndio mechi ya ndugu wawili mechi mbovu kuwahi kushuhudiwa mechi ya mipango mpira unapigwa wanaurudisha kwa mfungaji kipa anajirusha ushahidi bila...krosi inapigwa mabeki wanajitenga mfungaji...
8 Reactions
51 Replies
520 Views
Ok wana jamvi twende kazi KATI YA MAREKANI NA CHINA Naona hapa nchi zote hizo zina moto yani 🔥🔥🔥 Haya wataalamu wa uchumi na kujitafuta na pia wale waliofika au wanaishi katika izo nchi tajwa...
3 Reactions
15 Replies
355 Views
Ni kati ya mechi za hovyo sana kuwahi kushuhudia kwenye ligi yetu.Timu inaongozwa 2:1,dakika zimeisha,mnapata faulo mnapoteza muda nyie wenyewe?.Pale wangekuwa wanacheza na Simba Singida wote...
3 Reactions
5 Replies
6 Views
Ili kukabiliana na gharama kubwa ya huduma ya dialisisi kwa wagonjwa wa figo, Serikali imeingiza nchini mashine mpya aina ya SWS 6000 ambazo zimewezesha zishuke kutoka Sh250,000 mpaka Sh150,000...
2 Reactions
15 Replies
232 Views
Kadri ninavyoendelea kukua ndiyo naelewa kwanini watu wanaogopa kutaja umri wao halisi. Muda ni kitu cha thamani sana na pia kama kijana ukishajua unachokitaka hapa dunia kujishusha ni mbinu wala...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Nauliza swali tu wanaume . Nani anawaambia kuwa mimi ni wakuzalishwa bila ndoa naninataka kupunguziwa haja na mtu ?? Jueni hili miaka yenu yote mie nilionwa sifai nanyie nikazoeaa . Halafu kila...
13 Reactions
53 Replies
678 Views
Habari , Nimepata taarifa kuwa, T.RA inawatangazia Watu kuwa Kuna mfumo mpya unatakiwa kuanza matumizi mwezi February 2025, Mfumo huu unampa access ya Moja Kwa Moja mteja mwenye tin namba kuweza...
0 Reactions
22 Replies
754 Views
Watanzania wa asili – Hawa ni watu wa makabila ya kienyeji ya Tanzania kama Wanyamwezi, Wazaramo, Wasukuma, Wachaga, Wahaya, n.k. Hili suala halina chembe yoyote ya kikabila maana ni uhalisia...
7 Reactions
55 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,941,629
Posts
52,264,452
Back
Top Bottom