Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naona Neema inazidi kumwagwa Dar. My Take: Hii sio sawa yaani Bil.800 Kwa Dar pekee? Bil. 800 ndio Bajeti ya Tarura ya Mwaka mzima. ==== Katika jitihada za kuboresha miundombinu mbalimbali ya...
2 Reactions
173 Replies
3K Views
SEKTA YA ELIMU KATIKA JIMBO LA MUFINDI KASKAZINI Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe, (Naibu Waziri Uwekezaji, Viwanda na Biashara) tarehe 28, Mei, 2023 amekagua...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari wana Jf,Simba Viatu tunajihusisha na uuzaji wa Viatu vya Mtumba (Raba na Mokaz) pia tunauza mapochi ya kike,Walet pamoja na mabegi ya mtumba Grade A Nb: Free derivery arround Dar Es salaam...
0 Reactions
36 Replies
1K Views
Habari za jioni. Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa. Niende kwenye mada. Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume (my first born). Sikuamini...
32 Reactions
346 Replies
8K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
238 Reactions
138K Replies
3M Views
Habari za muda huu ndugu zangu Msema Kweli ni mpenzi wa Mungu, Ndugu zangu mimi ni kijana ambae sijaoa na wala sina mtoto kabisa ila nimevutiwa sana na huyu bi dada anaeitwa financial services...
11 Reactions
176 Replies
2K Views
Tunakumbushana tu kwa sababu Shujaa Magufuli ni kama Maji ulivyo umuhimu wake Yule Mwamba alikuwa ni Nabii bila shaka Mungu wa mbinguni amrehemu!
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza...
2 Reactions
5 Replies
117 Views
Inaskitisha tukio la mwanafunzi wa shule secondari ya Kivule kijinyoga, kitoto kizuri cha kike. Wazazi msiwaachie watoto kuishi na bibi au Shangazi, wanashindwa kueleza wanaopitia. Maskini...
0 Reactions
8 Replies
172 Views
Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini? Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka. Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa...
3 Reactions
57 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,753,132
Posts
46,082,707
Members
637,425
Latest member
Tripple MM
Back
Top Bottom