Mshana - huyu nimekuwa nikimfatilia Sana naona ni mtu smart Sana , kwakuwa anaitazama Tanzania kwa picha ya ukubwa , kuna thread zake za ubunifu zina content kubwa endapo serikali ikiamua kuweka...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
#UPDATES : Bodi ya ligi kuu nchini Tanzania (TPLB) chini ya mwenyekiti wake Steven Mguto imeiomba klabu ya Young Africans Sports Club kusitisha harakati za kufungua kesi katika mahakama ya masuala...
Natumaini ni kwema wakuu.
Kwa mujibu wa ripoti mpya ya orodha ya nchi zenye furaha duniani, Tanzania(136) tumepitwa mpaka na Somalia(122).
Imesikitisha sana hii habari ni kana kwamba naishi...
Wakuu nipokisiwani ukanda wa ujitani,naomba nikili wazi kwa bongo bongo kama hujawai umana na penzi la kijita wewe Bado sana,wakuu hizi jita's ladies ni mtu na nusu,zinajua si kitoto
Wakuu...
Ni ushauri tu Kwamba wamiliki wa zile plot za ufukweni waziendeleze
Pale Pwani wako akina Abdulahman, Sykes, Kigoda, Wasomali nk
Mzee Mohamed Said wakumbushe akina Sykes wajenge Ili Amani irejee...
Ukitoa wanaofanya kazi kwenye kada zifuafazo
Udaktari
Ufundi kama tanesco
Walimu wa vyuo vikuu na shule ya msingi
Polisi
Wanajeshi
Hawa wanatakiwa waendelee kuajiriwa kwa mfumo wa sasa kwa...
Huenda Misri inaweza kubadili msimamo wake wa muda mrefu wa kukataa wakimbizi wa Kipalestina kutoka Gaza. Kwa mujibu wa Al Akhbar, Rais Abdel Fattah El-Sisi anafikiria kuruhusu hadi Wapalestina...
SIKU YA KWANZA KWENDA KUBEBA ZEGE HOSTEL ZA MAGUFULI. MOTO ULIWAKA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Nipo zangu likizo wakati nasoma, basi Taikon nikaenda Tandale kwa Mshikaji wangu, Classmate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.