Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huyu jamaa naona uchawa ndio kageuza ajira yake Rasmi. Inasikitisha namna mtu anavyojidhalilisha kusifia binadamu wengine. Naamini hata Mungu mwenyewe hapendi. Napenda kumshauri huyu ndugu...
3 Reactions
52 Replies
694 Views
Kuna picha nyingi hivi sasa kwenye social media wamama na wadada wakifanya hivi 👇 je mnamaanisha nini?
0 Reactions
2 Replies
21 Views
Siasa ni mazungumzo kati ya pande mbili zenye mirengo inayokinzana, kwa lengo la kutafuta masuala kadhaa ya kuwaunganisha pamoja na hivyo kutatua migogoro. Tanzania hakuna vikundi vya watu...
4 Reactions
5 Replies
185 Views
Jenerali MASUNZU, siku za nyuma alipewa uongozi wa kanda ya 3 ya kijeshi, ambayo inaundwa na mikoa ifuatayo: Kivu Kaskazini, Kivu kusini, Ituri, Haut-Uélé na Tshopo, amesalimika baada ya kuundiwa...
1 Reactions
5 Replies
87 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania jasiri Muongoza Njia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ndio Kinara wa kupigania Nishati Safi...
1 Reactions
74 Replies
613 Views
Wakuu Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi. I'm very sad
8 Reactions
51 Replies
642 Views
Watu wengi wana ndoto za kuwa matajiri. Wanafanya kazi kwa bidii usiku na mchana ili wawe matajiri. Hata hivyo ni wachache wanaofanikiwa kuupata utajiri. Leo nakutajia baadhi ya mbinu muhimu za...
5 Reactions
42 Replies
756 Views
Yani hawa Wajerumani si ndio walikuwa upfront kuwapokea kwa wingi ngoja waendeleee kuona moto. Mara ya mwisho kuna mmoja alifanya hivi hivi sasa leo tuna mwingine kafanya yake, kuendesha gari na...
4 Reactions
38 Replies
878 Views
Majuzi nimekaa kwenye bwalo la halmashauri ya mbeya vijijini nikishuhudia machozi ya vijana wasomi wa kitanzania wakimwaga machozi baada ya kuonekana hawajapita kwenye interview ya kishenzi...
27 Reactions
215 Replies
3K Views
Najaribu kuwaza: Haya Magoli 1000 ambayo nimekua nikiyasikia toka midomoni mwa Kaka zetu, wajomba pengine wazee na vikongwe kuhusu Pele na Magoli yake 1000 ni Chai kongwe kuwahi kutokea kwenye...
9 Reactions
117 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,940,772
Posts
52,239,367
Back
Top Bottom