Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguzwe kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je Kodi ya bandarini...
4 Reactions
42 Replies
902 Views
Habari, Niko nataka nianzishe chanell youtube. Natafuta mtu wa kupartner kuanzisha kufanya kazi. Video editing sifa Awe hana kazi Kama ana kazi bas asiwe bize sana kiasi cha kukwamisha hii...
0 Reactions
1 Replies
9 Views
Wajumbe wawili wa Bunge la Israel(Knesset) wametambulisha muswada ambao ukiidhinishwa itakuwa ni kinyume cha sheria kuwaambia watu habari za Yesu kwenye Taifa la Israel na hukumu itakuwa kifungo...
2 Reactions
53 Replies
825 Views
Masharti: Unajaza fomu kisha inapelekwa Marekani halafu process zingine zinaendelea na wana muongozo kabisa ambao upo Wizara ya Afya. Hii imekaaje Wakuu!
0 Reactions
63 Replies
970 Views
Mwaka jana wizara ya uvuvi kwenye bajeti ilitenga pesa kwa ajili ya kusaidia uvuvi , na likatoka tangazo la watu wanaotaka mikopo kwa ajili ya uvuvi waandike majina yaende Makao Makuu Dodoma...
1 Reactions
1 Replies
44 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
234 Reactions
133K Replies
3M Views
Wasaalam! Kwa fikra pana sana na hofu ya Mungu iliotukuka ningependa kulileta suala hili mbele yenu tulijadili kwa mapana zaidi bila ya chuki za ukanda wala ukabila. Kwanini mbuga ya Serengeti...
2 Reactions
46 Replies
748 Views
Ni kwa maneno na kauli yake mwenyewe Lissu!,kupitia mahojiano na na Clouds360. Kwamba masaa mawili kabla ya shambulio lake huko Dodoma,amemtuhumu aliyekuwa Rais wa awamu ya tano. Marehemu John...
3 Reactions
46 Replies
1K Views
Wakuu habari za mapumziko ya mwisho wa juma? Na kwaresima na Ramadhan zenu natumai zinakwenda swadakta. Kwa uweza wa Mungu kesho nitakuwa safarini kuelekea Dongobesh wilayani Mbulu. Kwa yeyote...
6 Reactions
311 Replies
13K Views
  • Sticky
Salaam Wakuu, Natumai nyote mpo salama. Nimeleta uzi huu kama sehemu ya kujihamasisha mimi na kuwahamasisha wengine kufanya mazoezi Soma: Umuhimu wa kufanya mazoezi Natambau wengi wetu...
3 Reactions
21 Replies
798 Views

FORUM STATS

Threads
1,732,509
Posts
45,281,989
Members
631,478
Latest member
Isangya
Top Bottom