Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakubwa mi nimeishi Dar, Kibaha na sasa Mbeya (mjini). Aisee hapa Mbeya wadada wengi ni bed to bed midfielder. Labda kwasababu mgeni sielewi sana maeneo, ila wadada wengi ukitongoza mmekutana...
4 Reactions
60 Replies
845 Views
Huu mfumo wa mapato kupelekwa yote serikali kuu halafu watu flani ndio wanaamua wapi wajenge, ni mfumo ulipitwa na wakati, Centralization system haijali kabisa kuweka fungu la maendeleo kulingana...
2 Reactions
5 Replies
36 Views
  • Sticky
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu. Tunawaomba mzingatie...
93 Reactions
15K Replies
2M Views
Heee kumekucha! Wameanza kuchomeana mingo zao Kazi ipo mbona, acha nikae siti ya mbele kabisa! =============== Basi la abiria aina ya Yutong linalomilikiwa na kampuni ya Abood, lenye namba ya...
7 Reactions
29 Replies
306 Views
Mi ni Mwanaume mwenye umri wa kati wa 4th floor. Katika kupambana na maisha miaka ya nyuma, niliishi mkoa mmoja kanda ya ziwa. Kutokana na mihangaiko, nikajikuta nimempa mimba binti mmoja ambaye...
50 Reactions
193 Replies
3K Views
KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL Tatizo kubwa la Marekani ni kibri. Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo. Hata hapa walipofikishwa...
13 Reactions
98 Replies
760 Views
Ni ngumu sana kumsikiliza Samia kwa dakika 20-30 bila kutoa boko kwenye hotuba zake Ni ngumu kumsikiliza bila kuchukia Na ni ngumu sana amalize kuhutubia bila kuja kutetewa au maneno yake...
8 Reactions
26 Replies
129 Views
  • Featured
Siku chache baada ya taarifa ya Tume ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kuongezewa muda kwa mara ya pili, baadhi ya wadau wa masuala ya...
4 Reactions
12 Replies
535 Views
Baada ya kutoka German kuja kusalimu wazee Tanzania nikiwa nimepanda public transport kwa mara ya kwanza nikamuona mwana-jf akiperuzi. Nilimuangalia nikatafakari sana. Huyu atakuwa nani...
18 Reactions
142 Replies
2K Views
Ukiangalia kuna chaneli kama makundi matatu hivi juu ya uandishi wa neno LIVE kwa Kiswahili sanifu Kuna wanaoandika MBASHARA mfano TBC. Hawa jamaa mwanzoni nilidhani wamekosea tu katika typing...
2 Reactions
11 Replies
77 Views

FORUM STATS

Threads
2,051,421
Posts
55,231,709
Back
Top Bottom