Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kipindi vita vya iran vinaanza tulishangilia sana, niliamini, sisi hatuhusiki, kumbe ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji. Ona sasa achana na bei ya mafuta kupanda, Kuna hii timua timua...
1 Reactions
6 Replies
17 Views
Jamani mapenzi 🙌🙌🙌 Kila mtu ana ile siku yake ya kukumbukwa a fantastic day ✨ Siku ambayo akili ilitulia kwa asilimia 💯 Mwili ukapokea hisia tofauti kabisa, ukahisi msisimko wa ajabu ❤️ Ukahisi...
13 Reactions
157 Replies
690 Views
Ikiwa yuko mtu ana specific details, naomba msaada tafadhari. Ndoa ni ya Kikristo, muhusika anahitaji kuvunja na kuendelea na maisha mengine. Kuna sababu za kuvunja, sasa naomba kujua mchakato wake.
0 Reactions
12 Replies
61 Views
Asharose Migiro tumemzoea na nywele zake nyeusi cha kuchana(Mchicha) Tangu akiwa binti. Lakini Mzanzibar alipompa chao cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Asharose Migiro kaanza Kuvalishwa mahijabu. Na siku...
29 Reactions
163 Replies
2K Views
Jana nililewa kwa stress za kupoteza pesa kama milioni 40 kizembe kwa kumwamini ndugu kijinga sana Kwenye reply zangu za jana nilikosea sana ni ulevi tu Kweli nisameheni wale nilio wakera🙏
16 Reactions
110 Replies
454 Views
"Ukistaajabu ya Mussa, Utayaona ya Firahuni" wahenga wetu waliyasema haya! Ndugu zangu mlistaajabia ya Urusi (Mussa) kule Ukraine, leo hii mnayaona ya Marekani (Firahuni) kule Iran. Mambo...
18 Reactions
84 Replies
2K Views
Step by step atanifahamu mrembo huyu na ipo siku atafungua prime minister (PM) yake. Sikati tamaa
18 Reactions
270 Replies
1K Views
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni...
6 Reactions
14 Replies
170 Views
Nashangaa kuona chadema wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii, Nauliza chadema mnafanya mkutano kwa faida...
1 Reactions
33 Replies
225 Views

FORUM STATS

Threads
2,056,505
Posts
55,349,540
Back
Top Bottom