Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Si semi kwa kumchukia inawezekana serikali inamkamata mtu aliye kuwa na kasoro kwenye akili. ,Utaalamu wa kidaktari unakubali kuwa kila binadamu ana uwendawazimu kwa kiasi fulani,hakuna asiekuwa...
1 Reactions
31 Replies
411 Views
Jana hapa mtaani kwetu tumemzika mmama mmoja mwenye miaka 35 baada ya kujaribu kutoa mimba. Ni hivi huyu mama alikuwa na mme wake ambaye ni raia wa uganda sasa mme wa huyo dada akaondoka...
5 Reactions
22 Replies
275 Views
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo: ▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
10 Reactions
1K Replies
19K Views
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine. Mfano 'tail bone' /...
26 Reactions
415 Replies
35K Views
Hii kada ndio ilikuwa chaguo No.1 kwa mwanangu nyuma ya TPA na Jeshi la Wananchi kwa pass ya Division 2 ya Point 19, Intake ya mwaka 2023 Ila kwa hali ya nchi inakoelekea sihitaji mwanangu...
19 Reactions
58 Replies
839 Views
Wakati wa kuhitimisha mjadala wa leo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema kuna ombi la Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo anataka kusema jambo. Amesema kwa kutumia kanuni namba 70 ya kanuni...
4 Reactions
48 Replies
2K Views
Mh. Bashe ujumbe wako kwa mataifa ya Afrika Kusini na Malawi naukubali sana. Hawa jamaa wanatuchezea. Nisichokubaliana nawe Bashe ni vazi ulilovaa ukitoa tamko la Serikali. Vazi linaashiria udini...
2 Reactions
15 Replies
500 Views
Hamkani hali sio shwari. Hatua ya waziri Bashe imeibua hisia kali za wamalawi dhidi ya tanzania. Ikitajwa kuwa inafanya bullying...
1 Reactions
15 Replies
342 Views

FORUM STATS

Threads
1,962,251
Posts
52,915,586
Back
Top Bottom