Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa misingi ya Sheria Chini ya Katiba ya JMT Tanzania haina kifungu cha Katiba wala Sheria kinachoruhusu MTU au Kikundi Cha Watu kuzuia Uchaguzi mkuu Msikubali...
17 Reactions
115 Replies
2K Views
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (kwa Vice, mnadani). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo...
1 Reactions
6 Replies
16 Views
Body languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema. Lakini pia jana pale...
2 Reactions
48 Replies
534 Views
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Kwa Mara nyingine narudi kwenu wana jf, naombeni mnisaidie kazi yoyote ile ya halali. Nina shahada ya mambo ya uchumi na mahesabu pia. Lakini nipo...
0 Reactions
4 Replies
37 Views
Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika maarufu (AUC). Katika Uchaguzi ambao ulikuwa nchini Ethiopia Mahamoud...
4 Reactions
153 Replies
5K Views
Nyie ndo walinzi wa taifa hili. Sio CCM Nafahamu mnaona kwa namna gani CCM wanalipeleka Taifa hili pabaya. Nafahamu mnajua namna ya Viongozi wa CCM wanavyolifisadi hili Taifa kwa wizi wa kutisha...
13 Reactions
50 Replies
737 Views
Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza...
10 Reactions
43 Replies
599 Views
Ni weekend nyingine ya mwezi wa pili mwaka 2025 inaishia.. Wenye kazi zao wako kwenye maandalizi ya kuwahi kesho kazini.. Tusio na kazi kesho ni siku nyingine ya upweke na simanzi nyingine..😪...
7 Reactions
18 Replies
93 Views
Dalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
2 Reactions
3 Replies
63 Views

FORUM STATS

Threads
1,941,185
Posts
52,254,703
Back
Top Bottom