Majini ni mithali na hadithi zinazopatikana katika tamaduni mbalimbali duniani. Wengi wa watu hupenda kusikiliza na kusimulia hadithi za majini, ambazo mara nyingi zinahusishwa na viumbe wa ajabu...
Nimeleta huu uzi ili tupate kidogo maarifa na tunaweza kusaidiana kimawazo
Mimi ni mzaliwa wa kanda ya ziwa huko ila nimebahatika kusoma chuo Dar moja ya chuo maarufu mjini Dar n hata baada ya...
kitovu cha mtoto kimeharibu ndoa
Kaka angu magical power, nimeamua kuikimbia ndoa ili nimuokoe mwanangu naona walikuwa na nia mbaya juu ya mtoto. Kaka hata kujifungua tu kidogo nifie hospital...
Wakuu habari za Leo! Naomba niwashirikishe sakata la kungolewa Mita/ Dira za Maji na Koki lililotokea usiku wa kuamkia Leo huku kwetu Kiluvya Madukani/Almaarufu kwa Omari, Makurunge Jirani na...
Mlima Kilimanjaro
Kilimanjaro ni jina la mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huo uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340).
Hali halisi...
hi naitwa intelli, waweza niita raisi wa ma jobless pro max.
"Looking for a genuine connection to a certain genuine Lady to build a meaningful relationship with"
Kiumri nina miaka 25, Mimi ni...
Hili ni jambo lililowashangaza wengi, Idadi ya wajumbe kutoka UN, EU, BALOZI ZA ULAYA na AMERICA, ni rekodi ya Africa.
Ushahidi huu hapa
Kama unabisha nionyeshe watu kama hawa waliohudhuria...
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.
Ni wazi na ukweli...
Makada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) George Sanga, Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela walivyopokelewa kwa shangwe na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Mlimani City Dar Es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.