Kipindi vita vya iran vinaanza tulishangilia sana, niliamini, sisi hatuhusiki, kumbe ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji.
Ona sasa achana na bei ya mafuta kupanda, Kuna hii timua timua...
Jamani mapenzi 🙌🙌🙌
Kila mtu ana ile siku yake ya kukumbukwa a fantastic day ✨
Siku ambayo akili ilitulia kwa asilimia 💯
Mwili ukapokea hisia tofauti kabisa, ukahisi msisimko wa ajabu ❤️
Ukahisi...
Ikiwa yuko mtu ana specific details, naomba msaada tafadhari.
Ndoa ni ya Kikristo, muhusika anahitaji kuvunja na kuendelea na maisha mengine.
Kuna sababu za kuvunja, sasa naomba kujua mchakato wake.
Asharose Migiro tumemzoea na nywele zake nyeusi cha kuchana(Mchicha) Tangu akiwa binti.
Lakini Mzanzibar alipompa chao cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Asharose Migiro kaanza Kuvalishwa mahijabu. Na siku...
Jana nililewa kwa stress za kupoteza pesa kama milioni 40 kizembe kwa kumwamini ndugu kijinga sana
Kwenye reply zangu za jana nilikosea sana ni ulevi tu
Kweli nisameheni wale nilio wakera🙏
"Ukistaajabu ya Mussa, Utayaona ya Firahuni" wahenga wetu waliyasema haya!
Ndugu zangu mlistaajabia ya Urusi (Mussa) kule Ukraine, leo hii mnayaona ya Marekani (Firahuni) kule Iran. Mambo...
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni...
Nashangaa kuona chadema wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii,
Nauliza chadema mnafanya mkutano kwa faida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.