Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kelele za ndege wenye njaa kutoka msimbazi zimekuwa nyingi sana hadi sasa. Mara hoo Daima Mbele Nyuma Mwiko Yanga SC wananunua mechi, yani hapo bado amjabwatuka wa puuzi! Sasa Mei 3...
0 Reactions
1 Replies
26 Views
Tanzania born British self made billionaire almaarufu kama mzee wa madungu jeshi Chris Lukosi kafurahia masahibu yanayomkuta waziri na mbunge wa zamani Hamis Kigwangalla. Mfanyabiashara huyo...
26 Reactions
68 Replies
1K Views
Dakawa mzani Basi la happy nation namba T 452 EDW limelala. Sababu ni mvua. Kama ulikuwa unamsubiri ndugu yako pole sana. Mtandao haushiki na mazingira ni mabaya.. Waruguru wametoa macho kama...
4 Reactions
6 Replies
7 Views
Mara zote huwa kunakua na furaha mioyo mwa divorcee women pale mwanamke mwenzao anapoachika kwenye ndoa yake. Wahenga walisema "msiba wa wengi ni sherehe" . Hii ndio sababu divorcee women huwa...
29 Reactions
73 Replies
660 Views
Wanaukumbi. 🇮🇷 IRAN IMEMKEMEA TRUMP KWA UKALI "Tangu vita hivi vianze, dunia imezama katika uvumi na kauli za kipuuzi. Viongozi huzungumza kwa uhuru, wengine kwa ukweli, wengine bila. Tuweke...
8 Reactions
62 Replies
456 Views
Tangu utotoni nasikia tu Miss World, why sisikii Mr World? Kunahitajika kuwepo kwa Mr World ili dunia ijue kua wanaume wazuri/handsome wapo na mchango wao katika maisha. Kama ikiwezekana tuanze...
0 Reactions
23 Replies
94 Views
Mnaoenda na wake zenu kwa waganga asilimia kubwa wake zenu wanawazunguka mkiwa hampo majumbani wanaenda kuwatengeneza ili muwanyenyekee akiomba kitu au kukwambia kitu chochote usipinge ukubaliane...
0 Reactions
12 Replies
51 Views
Ni kweli maisha ni magumu lakini nini kinakupa furaha atleast. Me;
8 Reactions
120 Replies
745 Views
Tuhuma bila ithibati Utani wenye uhalisia Wivu wa kijinga Shuku kisa chitchat Maskhara yanapogeuka ugomvi Umbea kwa usiyemjua vema Mas nitch Hisia zilizotafsiriwa kinyume!🤔😫😷
4 Reactions
40 Replies
150 Views
Jamani kuna jambo linahitaji majibu ya wazi. Mwaka jana TCRA waliifungia JamiiForums kwa takriban siku 90, wakisema ni adhabu. Sawa, adhabu ikaisha. Lakini mpaka leo, ili kuingia kwenye hii...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
2,052,253
Posts
55,250,749
Back
Top Bottom