Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mahakama ya Juu kabisaAfrika Kusini imeamua kuwa Bunge lilivunja Katiba mwaka 2022 lilipozuia jitihada za kumwondoa Rais Ramaphosa madarakani (impeachment). Wakati huo, chama chake cha ANC...
0 Reactions
1 Replies
11 Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwenyekiti wa CCM huko Kilimanjaro (Chugga) amemrubuni mke wa mtu na kumuoa (bibi harusi). Kufuatia kadhia hiyo, wananchi wa eneo hilo wamecharuka vibaya sana...
0 Reactions
1 Replies
20 Views
Hali inatisha jamani sijui kam taifa tunaelekea wapi kila kitu ni feki kila kitu Ukienda kununua dawa kwenye haya mapharmacy dawa nyingi ni feki hasa tunaopenda dawa za bei rahisi ila ubaya...
10 Reactions
33 Replies
213 Views
Watoto wa kiafrica ni kama vichaa utakuta wamefanya destructions za kutisha.
10 Reactions
39 Replies
326 Views
Kwema wakuu.. Kama umebahatika kupita miji mikubwa Dar Es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya na miji mingine hasa mijini, ni dhahiri frame za biashara ni nyingi sana na zimesongamana sana. Yaani fremu...
26 Reactions
87 Replies
502 Views
Wanaukumbi. Shirika la kimataifa la masuala ya bahari la Umoja wa Mataifa (IMO) limesema takribani meli 1,500 pamoja na mabaharia zaidi ya 20,000 wamekwama katika eneo la Ghuba ya Uajemi kutokana...
0 Reactions
18 Replies
76 Views
Tuseme dereva A anaendesha coaster transmission manual ambayo ni daladala route ni Mbezi to Mnazi Mmoja dereva B anaendesha Special hire gari ni Ile Ile kakodiwa kuwapeleka abiria Arusha kwenye...
0 Reactions
4 Replies
24 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
162 Reactions
649K Replies
40M Views
Habari wakuu, Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, maeneo ya Afrikana, mbuyuni, Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe kwasasa kumejengeka...
15 Reactions
160 Replies
12K Views
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Everine Munisi amesema taifa ni kubwa kuliko tofauti zozote zilizopo. Dkt. Munisi amesema masilahi ya wananchi...
0 Reactions
1 Replies
8 Views

FORUM STATS

Threads
2,056,039
Posts
55,336,141
Back
Top Bottom