Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Baada ya mwanajamvi kuendelea na kisa chake cha kusisimua nimeingia youtube na kupiga screen shots na video mbili na kushare na nyinyi. Napiga picha mazingira magumu mtu wetu alivyopitia hapo...
Hili jambo kwa kweli haliko sawa. Imefika mahali image ya mtu inachange kabisa.
Yaani ukiwa mkereketwa kijana wa CCM hata ukajitetea vipi kwamba jamani na mimi niko kwa maslahi ya Taifa bado...
Yaani Unaacha Kupumzika Kwako na Kucheza na Wajukuu zako Kibao ( Wengi ) bado tu unapenda Mambo ya Vijana na unataka Kulazimisha kuwa Wewe bado hujawa Mzee na unaweza Kujichanganya katika Kumbi za...
Habari.
Mimi ni mzee na mgeni humu JamiiForums, mtoto wangu amenifungulia akaunti. Nina humli wa miaka 79 na nina nguvu za kunitosha.
Nina mke wangu ana miaka 23 na nimemwowa mwaka wa tano...
Hili swali mkinijibu naacha kuingia jamiiforum, mnasema Hakuna Mungu ila mnaamn kwenye dhambi ikiwemo Kuuwa, umalaya, uchawi na kumuingilia mwanaume mwenzako kinyume na maumbile.
Sasa kama ni...
CHANZO CHA UMASIKINI KAGERA KWA MAWAZO YANGU NI TOFAUTI NA WATAWALA WANAOWAZA KISIASA.
Kinachonisikitisha ni kwamba kila anayepanda jukwaa kuelezea kinachoitwa umaskini wa Mkoa wa Kagera anakuja...
Ukiusikia usemi wa watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa basi sasa ndio amini kuwa usemi huo upo na unafanya kazi.
Jumapili iliyopita nilimsindikiza mpwa wangu ( mtoto wa dada yangu...
Ndugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.