Nilikuwa naangalia picha za nyuma za huyu mzee wetu Joseph Sinde Warioba mwenye busara, huruma na upendo alikuwa mwembamba sana.
Na huu wembamba wake ameumaintain tangu udogoni na umemsaidia hadi...
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
Kikawaida kwenye maisha watu tunategemeana
Iwe kwenye afya au ugonjwa, kuna muda kila mmoja wetu huhitaji watu. Kuna msemo unasema watu ni mtaji
Lakini utakuta wengine wanasema, Mimi nipo...
Shikamoon wakubwa zangu wote
Kwanza nitashukuru baadhi ya watu humu Kwa comment na mchango yao mizuri kifupi huwa nafarijika Kwa namna fulani.
Lakini kuna watu ni wa ajabu,hawaelewi Kwa mtu...
Wakuu
Kuna hii tabia ya baadhi ya watu kuingia kwenye usafiri wa umma nyakati za jioni wakiwa wanatoka mazoezini bila kuoga, wananuka jasho na kwa kweli huwa wanakwaza sana abiria wengine...
Jamani mapenzi 🙌🙌🙌
Kila mtu ana ile siku yake ya kukumbukwa a fantastic day ✨
Siku ambayo akili ilitulia kwa asilimia 💯
Mwili ukapokea hisia tofauti kabisa, ukahisi msisimko wa ajabu ❤️
Ukahisi...
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo:
▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
Tuwe wa kweli mazingira yetu ya bongo pamoja na kuwa na technology zinazoweza kuact kama catalyst ya maendeleo yetu ni ngumu sana kwa sisi kufanikiwa.
Nime realize wabongo wengi hujifanya wajuaji...
Angola wamezeza kujenga oil refinery.
Kwa namna hayati aliweza kudhibiti pesa za ndani zikafanya maendeleo makubwa kama kujenga bwa kama JNHEPP asingeshindwa kujenga oil refinery.
Sasa hivi kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.