Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
313 Reactions
184K Replies
7M Views
Huenda nisieleweke, lakini ujumbe wangu wa wazi kwa dada yangu Rais Samia, kwa maslahi ya amani ya moyo wake akiwa Mtawala ni muhimu azungumze na Chadema na waelewane Pamoja na kwamba dada Samia...
5 Reactions
11 Replies
161 Views
Kijana ambao tunaitafuta 40 na wale ambao wapo kuanzia 40 ..na tayari upo kwenye ndoa au unaishi na mwanamke kama familia na mna watoto jifunze kuelewa kwamba age kama hiyo kufanya divorce ni...
22 Reactions
115 Replies
1K Views
Kwakweli hili swali limejibiwa vizuri na Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika. Lissu: Kuna kosa mtu akisema, “Msimamo huu unaashiria uasi”? Mnyika: Sioni kosa, kwa sababu nilishawahi kuona nukuu...
21 Reactions
14 Replies
370 Views
Huruma siyo malezi 1.unamlea mtoto au wew ndo unaendeshwa na mtoto? Unamlea siyo kwa misingi ya dunia unafanya vitu ili upendwe na mtoto mwisho wa siku anakudharau hata kama nikifanya hivi...
3 Reactions
3 Replies
56 Views
Super star big Brand, Megan alipo kuwa anahojiwa kwanini mahusiano yake na mchezaji mkubwa wa kandanda, romeru lukaku hayakudumu. Megan alijibu kifupi tu"nilichukua chumba cha hoteli, nilipo...
7 Reactions
35 Replies
462 Views
Kijana aliyejitambulisha ni Ishengoma Mtembe kama Katibu wa CHADEMA Kata ya Mikocheni amesema matukio yaliyotokea Oktoba 29,2025 yalipangwa na wao na kueleza yale waliyokusudia kuyafanya mengine...
0 Reactions
43 Replies
579 Views
Sikiliza, moja ya sifa ya mwanamke ni wana hisia sana kuliko wanaume. Nikisema neno hisia linamaana pana sana unapaswa kufikiri kwa kina. Intuition, beauty, mwanamke ndio chanzo cha uzuri ndani ya...
6 Reactions
27 Replies
147 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
129 Reactions
422K Replies
16M Views
16 Julai 2026 Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), S.L.P 944 Dar es Salaam. Ndugu CPA, Dkt. Habibu J. Suluo YAH: MAOMBI YA KUFUNGUA NA KUSAJILI NJIA MPYA YA DALADALA...
3 Reactions
18 Replies
224 Views

FORUM STATS

Threads
2,086,129
Posts
56,060,040
Back
Top Bottom