Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Huenda nisieleweke, lakini ujumbe wangu wa wazi kwa dada yangu Rais Samia, kwa maslahi ya amani ya moyo wake akiwa Mtawala ni muhimu azungumze na Chadema na waelewane
Pamoja na kwamba dada Samia...
Kijana ambao tunaitafuta 40 na wale ambao wapo kuanzia 40 ..na tayari upo kwenye ndoa au unaishi na mwanamke kama familia na mna watoto jifunze kuelewa kwamba age kama hiyo kufanya divorce ni...
Kwakweli hili swali limejibiwa vizuri na Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika.
Lissu: Kuna kosa mtu akisema, “Msimamo huu unaashiria uasi”?
Mnyika: Sioni kosa, kwa sababu nilishawahi kuona nukuu...
Huruma siyo malezi
1.unamlea mtoto au wew ndo unaendeshwa na mtoto? Unamlea siyo kwa misingi ya dunia unafanya vitu ili upendwe na mtoto mwisho wa siku anakudharau hata kama nikifanya hivi...
Super star big Brand, Megan alipo kuwa anahojiwa kwanini mahusiano yake na mchezaji mkubwa wa kandanda, romeru lukaku hayakudumu.
Megan alijibu kifupi tu"nilichukua chumba cha hoteli, nilipo...
Kijana aliyejitambulisha ni Ishengoma Mtembe kama Katibu wa CHADEMA Kata ya Mikocheni amesema matukio yaliyotokea Oktoba 29,2025 yalipangwa na wao na kueleza yale waliyokusudia kuyafanya mengine...
Sikiliza, moja ya sifa ya mwanamke ni wana hisia sana kuliko wanaume.
Nikisema neno hisia linamaana pana sana unapaswa kufikiri kwa kina.
Intuition, beauty, mwanamke ndio chanzo cha uzuri ndani ya...
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
16 Julai 2026
Mkurugenzi Mkuu,
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA),
S.L.P 944
Dar es Salaam.
Ndugu CPA, Dkt. Habibu J. Suluo
YAH: MAOMBI YA KUFUNGUA NA KUSAJILI NJIA MPYA YA DALADALA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.