Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Imagine humu Kuna wana member walitabiri ya magu na kuanzisha nyuzi kuhusiana na yatakayotokea ,na kweli Sasa imebaki stories... La zaidi ni hili la recently kuhusiana na kujiuzulu kwa...
23 Reactions
172 Replies
1K Views
Kuna kisa kimetokea manyuzi tu na kimenifanya lile wazo langu la kuoa mwanamke asiye mwafrika kuzidi kukomaa... (Sidhani kama Nitakuja kuoa mbongo au mwafrika) Unajua nini, ukweli usemwe tu...
10 Reactions
163 Replies
1K Views
Tuhuma hizo kazitoa dakika kama 18 zilipita kupitia mtandao wa X akidai kuwa Lema hatuko nae tena(sio mwenzetu). Hiyo clip ina tuhuma nyingi na zinazogusa watu wengne kwahiyo siwezi kuiweka hapa...
14 Reactions
102 Replies
2K Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
71 Reactions
69K Replies
5M Views
https://www.youtube.com/live/98jEfK7jGzk?si=bb1XzVr-LAZ-EwRF LIVE: Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Septemba 15, 2026 anazungumza na wananchi wa Jimbo la Bariadi Vijijini, Mkoani Simiyu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Itafikia kipindi itakuwa ngumu sana hata viongozi wanaotokea Uchagani wenye uzalendo na msimamo kupata wakati mgumu kukubalika. Kila unakoenda unakutana na comment juu ya wachaga kufika bei kila...
5 Reactions
54 Replies
367 Views
  • Sticky
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea. Tuambiane; - Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako? - Ni ya aina gani...
59 Reactions
25K Replies
2M Views
Na Martin Maranja Masese Taarifa za kibenki za mteja zina ulinzi mkali wa siri za wateja, kuzingatia kanuni ya Usiri wa Kibenki (Bank Secrecy and Confidentiality Principle). Nguzo kuu inayojenga...
39 Reactions
173 Replies
2K Views
Wakuu habari, Ijumaa iliyopita nilikuwa nimejichokea zangu kutokana na hekaheka za hapa mjini za kujitafutia mlo wa kila siku. Nikapata wazo, ili nikae sawa inabidi nitafute sehemu ya kwenda...
6 Reactions
19 Replies
101 Views
Kafulila amrejea Mwalimu Nyerere kuhusu MDGs na SDGs. Arusha TICD, Akizungumza na wanazuoni wa Tengeru Institute of Community Development (TICD), Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC)...
1 Reactions
7 Replies
13 Views

FORUM STATS

Threads
2,090,203
Posts
56,153,941
Back
Top Bottom