Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nyota wa Kimataifa Kutoka Tanzania Clara Luvanga ametangazwa kuwa mchezaji mpya wa Washington Spirit inayishiriki Ligi Kuu ya Marekani akitokea Al Nassr ya Saudi ArabiaClara; amesaini mkataba wa...
6 Reactions
29 Replies
353 Views
"huyu zuchu kajifungua Kwa Upasuaji kama Wema, Leo hii anakata mauno na watu hawaulizi kuhusu mshono, ila Kwa Wema kipindi kile kucheza tu na kupokea Wageni watu walikuwa wakiongea sana mara oooh...
3 Reactions
7 Replies
45 Views
Kuna taarifa zinatembea chini kwa chini kuwa huenda mtume Boneface Mwamposa akanyanganywa madhabahu ya Kawe baada ya kilio cha muda mrefu cha wananchi kuhusu namna anavyowatendea waumini wanaotoka...
3 Reactions
9 Replies
55 Views
NB: Nina Akili Ndogo Sana. I'm just asking out of curiosity, kwanini hakuna madiwani wa kuteuliwa na Rais/Makamu wa Rais/Waziri mkuu/mkuu wa mkoa?? Tunaona wabunge wa kuteuliwa ila madiwani wa...
0 Reactions
7 Replies
32 Views
Simu, tablet, au laptop unayotumia kusoma ujumbe huu hivi sasa. Betri yake inayowaka hapo ndani haingeweza kufanya kazi bila madini mawili ya ajabu: Cobalt na Coltan. Zaidi ya 70% ya madini yote...
7 Reactions
28 Replies
278 Views
Wasalaam! Je, una wazo zuri la biashara lakini huna mtaji wa kuanzisha? Hii ni fursa yako. Nina mtaji wa TSh Milioni 10 na kutokana na majukumu mengi ya Kigalinashindwa kujigawa, ninatafuta...
6 Reactions
12 Replies
31 Views
Hello members Naomba kushare nafasi mbalimbali za kazi ninazokutana nazo huko mitandaoni, sihusiki directly ila naona wahitaji ni wengi na mnaoniulizia ni wengi pia. I hope hii itawasaidia...
42 Reactions
2K Replies
36K Views
Kwa wale wapenzi wa muziki mzuri, Nafikiri mnamjua Mariah Carey Ni moja kati ya wasanii, hatari sana asiye imbwa ila ana vocals ambazo Sidhani kama kuna msanii anayeweza kumpiku, kwa hii...
7 Reactions
75 Replies
389 Views
Nimemaliza. Lisu hujawahi kwenda kumuona. Au??? mara moja!
14 Reactions
131 Replies
1K Views
Kumekua na wimbi la wadanganyika wakiamini kuwa AZUMA ( Azithromycin ) ni dawa za kutibu UTI . Hii kitu imesambaa sana kiasi cha wimbi kubwa la watu wakizibugia kama pipi , huku wakiamini...
8 Reactions
38 Replies
171 Views

FORUM STATS

Threads
2,089,276
Posts
56,131,413
Back
Top Bottom