Watanzania hawajui wanataka nini yaani hawana malengo. Narudia tena ikiwa jambo kubwa lililopo mbele yetu ni kumtoa LISU je baada ya kumtoa mpo tayari kuridhiana ili tujenge nchi moja? Au mtakuwa...
Maisha ya Binadamu ni mafupi sana,kila kiumbe chenye uhai kitaonja umauti,hakuna atakaye ishi milele,walikuwepo watu kabla yetu na watakuja wengine baada yetu,
Wapo watu walioifanya hii Dunia kua...
Baada ya kusogea na kuhamia nje ya mji kidogo nimeishi kwa amani na furaha sana , eneo langu ni almost kama heka moja hivi ,eneo nililojenga nyumba pako jirani na mtu mwingine, ujirani huo ndio...
Habari, kuna vijana wanaofanya kazi ya kununua mpunga kutoka kwa wakulima katika maeneo mbalimbali kama Morogoro, Mbeya na Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kiwanda cha mchele cha Wilmar Rice Tanzania...
Jamaa aliingilia msafara wa Mwenge huko Bariadi, Simiyu, Kijiji cha Nkololo. Hivi ndugu zetu baadhi ya askari na mgambo, mbona mna roho ngumu hivi? Haya maisha hamuwazi kwamba nafasi zenu...
Lissu kwa ushawishi alionao kwenye uwanja wa sheria katiba ikiruhusu nafasi za ujaji kutangazwa na kuomba na kupigiwa kura na wanasheria hiwe TLS ndo wawe wasimamizi Lissu anakua Jaji mkuu mapema...
Tarehe 11/12/2014
Pale Mwitongo walikuwapo watu kwa kikao cha Siri hasa Mzee Mkapa ndo alishnikiza kikao kufanyika, nakumbuka tulikuwa watu saba!
Kulikuwa na Threat ndani ya CCM yaan Lowassa, na...
Unawezaje kuhandle situation ya kuwa na ugomvi ndani ya nyumba kama familia ikapita wiki 2 bila kuongeleshana wala kusemeshana.
Sababu ya msingi Hamna hasa kwa mwanamke.
Mimi kama mwanaume...
Huku mitaani kuna watu wananunua unit za umeme takribani sh. 350 kwa unit 1, na wengine bei ipo chini zaidi kwa unit 1.
TANESCO, Naomba kujua tofauti hizi za bei zinatokana na nini?
Kwa ambaye hajafika Arusha kwa miaka mitatu iliyopita akienda kwa sasa lazima ashangae kila kitu. Hapa namaanisha mkoa mzima wa Arusha yaani kuanzia Arusha jiji hadi huko wilayani. Yaani mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.