Maisha ni safari ndefu na changamoto nyingi..!Hofu nyingi na kukata tamaa kwingi..!
Na ni jambo la kawaida kibinadamu kukumbana na nyakati ambapo imani ya maneno haitoshelezi kukabiliana na hofu...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali atoa ufafanuzi kuhusu nafasi ya Makamu wa Rais
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu lini nafasi ya Makamu wa Rais inakuwa...
Mshindi wa nafasi ya U-Raisi anapata kura asili mia 98, toka kwa waTanzania milioni 31 waliojitokeza kupiga kura. Sijui hiyo asili mia mbili ilipotelea wapi. Inawezekana ni kura zilizoharibika...
Sidhaniii kama yeye alichukua fomu na kutafta WADHAMINI ili agombee Urais, yeye hakupitia HATUA hii, amdhaka yake yatakumbukwamaisha yetu sote.
Je walio mpitisha kinyume katiba Yao ndo...
Tukijipumzisha kidogo na haya yanayo tokea nchini hebu tujadili hii issue kama kutafsiri kile kinacho endelea.
Katika kukuwa nilikuwa naskia huyu kijana, au huyu mtoto lazima aje aibadilishe hii...
Meli inayodaiwa kuwa ya kubeba mafuta imewaka moto katika Bandari ya Kigoma, iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa za awali, moto huo umezuka usiku huu wa Agosti...
Si mbaya nikiamini kwamba ktk miaka 10 ijayo issue ya Tanzania ya viwanda itakuwa sawa na kilimo kwanza. Sababu nitazianika hapa km Mungu atasaidia nifikie hiyo miaka nikiwa hai. For the moment...
Kwa mara ya kwanza Tanzania imepata Rais mwanamke tangu nchi ipate uhuru.
Katika hali ya kawaida kabisa ungetarajia wanawakewote wasomi na wajinga wangemuunga mkono mwanamke mwenzao kwa kuwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Hata Hayati Baba Wa Taifa Amewahi kusema na kuandika katika kitabu chake cha Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania cha Mwaka 1994 ya kuwa Ukimtikisa Rais Wa Nchi unakuwa...
Kabla ya kuanza kampeni, Nchimbi alifika ghafla hapa nyumbani.
Nikatoka kutazama amefuata nini
Nikaona padre wa Kikristu alikuwa ameitwa hapa kumbariki Nchimbi.
Yule padre akafanya maombi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.