Aliwezaje kukubali Tanganyika, ambayo ni kubwa kuliko Zanzibar kwa zaidi ya mara 350, ifutwe kabisa ili iungane na Zanzibar, huku akikubali Zanzibar iendelee kuwa nchi na nusu ndani ya Muungano ...
Mama mmoja, kwa jina la Kalie Robins, ameibua wasiwasi kuhusu namna tool ya Meta AI inavyoweza kutumia taarifa zilizowahi kuchapishwa mtandaoni kukusanya na kuhusisha taarifa binafsi.
Kwenye...
Kwanza niwashukuru kaka zangu kwa ushauri mzuri mlonipa kwenye uzi wangu kuikataa misri ya u singo maza.
Pili naomba niwape mrejesho au matokeo mazuri ya ushauri wenu.Yote mlonishauri ambayo ni...
Wakuu, leo September 9 Apple wamezindua simu zao mpya iPhone 17 series pamoja na bidhaa nyingine kama airpods na Apple watch matoleo mapya.
Kwa kuanza na iPhone, jumla ya simu nne zimezinduliwa...
Jana niliona post, Mzungu aliuliza vijana wa Kenya kama wanamwamini Mungu. Vijana walimjibu kuwa hawamwamini Mungu ambaye anayekaa mbinguni, wala dini ya Ukristo wala uislamu bali wanamwamini...
Wadau nataka kucreat account Katika mfumo wa E-Ardhi ila niliweka NIN na Namba ya simu sehemu ya ENDELEA haipo active nawezaje kusolve hili?.
Lengo ni kusajili DEEP POOL.
Ni nani unaye crush naye hapa jukwaani? 😄
Hapa jukwaani pamekuwa sehemu ya enjoyment kwa baadhi ya watu, darasa kwa wengine, na sehemu ya kujifunza, kubadilishana mawazo na kufahamiana.
Sasa...
Hellow wana JF.
Watu wengi wanahofu dhidi ya matangazo mbalimbali yanayo endelea huko mitandaoni kuhusu majanga ya asili yanayoweza kutokea wakati wa mvua za El nino.
Naomba kuwatoa hofu...
Mbele ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bwana Chalamila, kuna kituo cha mwendokasi na ukivuka barabara kuna barabara inayoelekea Keko, Temeke na n.k. Barabara hiyo pia kuna mkunjo kwenye...
Nimeyaona sehemu yapo Kwa wingi. Nahitaji mtu aliye serious na uhakika tutete naye.
Ni hayo mekundu hako kengine kana mng'ao sana zaidi ya shaba na ulanga.
Mimi nimebobea kwenye dhahabu na shaba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.