Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Taarifa zilizopo ni kwamba tangu jana asubuhi wanajeshi walishalipwa mishahara yao ya mwezi April huku watumishi wengine mpaka leo bado. Binafsi nafikiri hili haijakaa vizuri na ni bora...
31 Reactions
228 Replies
7K Views
Maana huo muunganiko wa hasira na chuki za ghafla hivi miongoni mwa viongozi wakristo hususani wakatoliki vimetoka wapi hasa? Je, hakuna kweli msukumo wa kimaslahi binafsi kutoka nje ya nchi...
0 Reactions
38 Replies
391 Views
Prof.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry
45 Reactions
159 Replies
6K Views
Dini ya kweli ni Dini inayosimamia kweli na haki. Dini ya kweli ni dini inayosema kweli haijalishi kweli hiyo inaumiza au inafurahisha. Viongozi wa Dini wa kweli ni Viongozi wanaosema ukweli wa...
3 Reactions
17 Replies
242 Views
CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: KULAANI KITENDO CHA UDHALILISHAJI NA SHAMBULIZI LILILOHUSISHA WANAFUNZI Dar es Salaam, 20 Aprili 2025 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam...
10 Reactions
100 Replies
3K Views
Asikuambie mtu kwenye ndoa kipindi cha Amani, huwa kimejawa na furaha na mshawasha wakutosha. Hasa ukute umeoa/kuolewa na rafiki yako, mnapatana. Unajikuta unatamani kuwa karibu na mke/mume wako...
11 Reactions
65 Replies
599 Views
Hongera Kanisa la Sabato analosali Heche makamu mwenyekiti CHADEMA taifa kwa kutotoa tamko lolote la kisiasa kwenye ibada zenu zote za Sabato
12 Reactions
68 Replies
2K Views
Nadhani Chadema wanashindwa kutofautisha Kati ya Haki na Utawala wa Sheria Dunia haitoi Haki Bali hutoa Utawala wa Sheria Haki hutolewa na Mungu wa mbinguni mwenyewe aliyeumba mbingu na dunia...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Hivi wakati Lulu anatembea na kanumba serikali ilikuwa haioni uchafu kama huu ? Lulu mwaka huu kafikisha 30th Na wakati kanumba anakufa alikuwa na 17 yrs Je kanumba uchafu wa kutembea na binti...
2 Reactions
10 Replies
130 Views

FORUM STATS

Threads
1,961,187
Posts
52,880,203
Back
Top Bottom