Taarifa zilizopo ni kwamba tangu jana asubuhi wanajeshi walishalipwa mishahara yao ya mwezi April huku watumishi wengine mpaka leo bado.
Binafsi nafikiri hili haijakaa vizuri na ni bora...
Maana huo muunganiko wa hasira na chuki za ghafla hivi miongoni mwa viongozi wakristo hususani wakatoliki vimetoka wapi hasa? Je, hakuna kweli msukumo wa kimaslahi binafsi kutoka nje ya nchi...
Dini ya kweli ni Dini inayosimamia kweli na haki.
Dini ya kweli ni dini inayosema kweli haijalishi kweli hiyo inaumiza au inafurahisha.
Viongozi wa Dini wa kweli ni Viongozi wanaosema ukweli wa...
CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: KULAANI KITENDO CHA UDHALILISHAJI NA SHAMBULIZI LILILOHUSISHA WANAFUNZI
Dar es Salaam, 20 Aprili 2025
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam...
Asikuambie mtu kwenye ndoa kipindi cha Amani, huwa kimejawa na furaha na mshawasha wakutosha.
Hasa ukute umeoa/kuolewa na rafiki yako, mnapatana.
Unajikuta unatamani kuwa karibu na mke/mume wako...
Nadhani Chadema wanashindwa kutofautisha Kati ya Haki na Utawala wa Sheria
Dunia haitoi Haki Bali hutoa Utawala wa Sheria
Haki hutolewa na Mungu wa mbinguni mwenyewe aliyeumba mbingu na dunia...
Hivi wakati Lulu anatembea na kanumba serikali ilikuwa haioni uchafu kama huu ?
Lulu mwaka huu kafikisha 30th
Na wakati kanumba anakufa alikuwa na 17 yrs
Je kanumba uchafu wa kutembea na binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.