Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Je Kuna kosa gan kutaka kumtafuta ex girlfriend wako, Kwa amani tu Kwa lengo la kumsalimia baada ya yy kukuacha kwa Muda mrefu????
1 Reactions
14 Replies
127 Views
The speech of Madam president today has given new hope of abiding to the rule of law and good governance which activists were clamouring for years. We are beginning to see commitment to the rule...
44 Reactions
14K Replies
246K Views
Wiki iliyopita nilisoma jarada moja la habari iliyokuwa ikihusu "meya fulani kutoka mkoa wa dar es salaam anapambana na dada wanaofanya biashara yakuuza miili yao alimaarufu Kama machangudoa au...
15 Reactions
69 Replies
4K Views
Mimi naanza na Doto James Mghosha. Huyu alikuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha, alilitumikia Taifa lwa uzalendo mkubwa sana. Kwasasa simsikii kabisa sijui yuko wapi?
2 Reactions
36 Replies
339 Views
Huyu ni mwanasiasa mwenye tabia ya kubadilika kama Kinyonga abadilivyo rangi yake. Watu wa upinzani, hasa Chadema wawe naye makini sana. Wasimkubali tu ghafla na kumpa nafasi kwani atawavuruga...
4 Reactions
9 Replies
272 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wazazi na Walezi kuwalea Watoto na Vijana kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini...
1 Reactions
5 Replies
39 Views
Ni wapi Julius Nyerere aliwazidi "ujanja" wazee wa mjini,born town na Watoto wa K'koo? Wazee wake na gwiji wetu wa historia Mohamed Said Ukifuatilia historia na harakati za Uhuru,unaona kuwa huyu...
16 Reactions
381 Replies
8K Views
Nawasalimu wote kwa jina la Upendo. Amani, baraka na neema za Mwenyezi Mungu ziwe pamoja nanyi. Kwa wakristu, hongereni kwa kuingia nusu ya pili ya mfungo wenu. Pia, nawatakia ndugu zangu waislam...
46 Reactions
98 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu, Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa. Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni...
16 Reactions
341 Replies
34K Views
Huko barabarani siku hizi madereva wa magari ya serikali wamekuwa wababe kupitiliza! Nchi inaongozwa kwa sheria na taratibu! Usalama barabarani unaongozwa na sheria za usalama barabarani...
7 Reactions
22 Replies
620 Views

FORUM STATS

Threads
1,731,280
Posts
45,232,380
Members
631,054
Latest member
vedastina
Top Bottom