Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nyakati ambazo kwa kawaida wanaume wengi wanaoa kwa mara ya kwanza ni pale kwenye 30's, kwa sababu 20's ni kipindi ambacho mwanaume bado anajitafuta, sasa utakapoingia hapo third floor na kuona...
23 Reactions
100 Replies
787 Views
Yaani inasikitisha na inahitaji uvumilivu,Tumeowana kama miaka 20 iliyopita tuna mtoto mmoja na mmoja alifariki. Kama miaka 4 iliyopita hivi ndivyo mwenzangu alipoanza kupitia changamoto za...
9 Reactions
60 Replies
652 Views
Zamani miaka ya nyuma Msiba ulikuwa unatumia Mwezi mzima . Ila jambo ambalo huwa nalitafakari ni kuhusu "the power of connectivity" Yaani kuna wale ndugu zetu walikuwa wakitoka Bukoba na kwenda...
3 Reactions
4 Replies
26 Views
Ukimuangalia estim akijenga gorofa na ukimuona engineer mwingine akijenga gorofa utaona kuna tofauti moja kubwa sana huyu kwenye zege anatumia mbao ilihali mwingine anatumia chuma (formwork na...
3 Reactions
37 Replies
380 Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Nabii Mkuu na maarufu Afrika Mashariki na Kati, Nabii GeoDavie, kwa mara ya kwanza ameipinga biblia hadharani kama unavyoweza kumsikiliza kwenye video ifuatayo...
9 Reactions
41 Replies
470 Views
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
37 Reactions
3K Replies
117K Views
Kwa ufupi ni kwamba huyu binti tumejuana miaka kumi na moja imepita, Mimi nilikua advance yeye alikua madarasa ya chini, offcourse tumepitia vingi sana kuzinguana hapa na pale, kuna kipindi hapo...
8 Reactions
34 Replies
563 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mara kimewasilisha ripoti maalum kwa Kanisa Katoliki, ikielezea matukio ya watu waliouawa au kupotea katika mkoa huo. Sambamba na hilo, chama...
0 Reactions
13 Replies
218 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
149 Reactions
580K Replies
34M Views

FORUM STATS

Threads
1,951,847
Posts
52,586,355
Back
Top Bottom