Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu zangu hizi habari ni kweli na hakika japo nimeona niziweke kama tetesi. Kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe baada ya tathmini yao ya kina wamegundua kwamba Mbowe hana uwezo wa kumshinda Tundu...
10 Reactions
57 Replies
1K Views
Wasalaam, (Maalumu kwa kijana wa kiume kati ya umri wa miaka 20-30) Kwako mpendwa kijana wa kiume. Inaweza hii ikawa si mara ya kwanza kuona nyuzi za namna hii au zenye kufanana na hii...
19 Reactions
72 Replies
559 Views
Godbless Lema wiki hii ametamba kwamba anaweza kuitisha press conference hata usiku wa manane kukanusha na kuelezea mambo mbalimbali. Katika mambo ambayo Lemma katuhumiwa muda mrefu ni wizi wa...
11 Reactions
65 Replies
534 Views
Tuuze na kununua hapa, sema unataka nini na bajeti yako ikoje pia wewe unayeuza toa taarifa za unachouza kwa ushahidi na useme wewe ni dalali au mmiliki wa unachouzwa. Tuuze kuanzia nafaka...
3 Reactions
11 Replies
141 Views
Wanaukumbi. ⚡️🇺🇸🇮🇱JUST IN: Journalist Lior Kordner said in a podcast for Haaretz newspaper: Trump intervened forcefully to end the war, and all the right-wing supporters were living in a dream...
6 Reactions
74 Replies
746 Views
  • Poll
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
86 Reactions
7K Replies
304K Views
Juzi alikuwa akipiga simu kwa jamaa yangu naye wa kitengo akiomba angalau naye amsaidie nauli atajipambania kwa kulala akienda Dodoma. Jamaa yangu alipomaliza kuongea naye ndo akasema huyu dogo...
9 Reactions
23 Replies
393 Views
Baada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo...
16 Reactions
60 Replies
1K Views
Wandugu Habarini... Nimepata Tashtwiti Ya Kuandika Leo Juu Ya Humphrey Polepole Baada Ya Kutafakari Kwa Kina. Ni Wazi Hakuna Mpenzi Wa Siasa Za Tanzania Asiyemjua Huyu Jamaa. Naweza Sema Kwa...
2 Reactions
5 Replies
67 Views
Wakuu habari zenu. Baada ya kuwa nje kwa muda kidogo, nilipata bahati yalikizo kurudi nyumbani kwaajili ya sherehe za X-mass na mwaka mpya. Nilirudi nyumbani tarehe 10 mwezi ulioisha nakumbuka...
26 Reactions
193 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,932,186
Posts
51,944,411
Back
Top Bottom