Rais ni Comforter-in-Chief hatakiwi kuonyesha upendeleo kwa wananchi wake anaowaongoza kwa namna yeyote ile.
Hivi karibuni tumeanza kuona kujengeka kwa tabia ya Rais kutojali madhila ya watu...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Waziri wa Ujenzi wa Tanzania Innocent Bashungwa ametoa ushauri wa Mamlaka husika kuruhusu barabara zinazotumiwa na Mabasi ya ‘Mwendokasi’ ziwe zinatumika na magari binafsi hususani wakati wa...
Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu.
1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo.
2...
Wakuu,
Mambo hayo, angalia mwenyewe baadhi ya maeneo idadi ya watu walioandikishwa wamezidi idadi ya watu waliohesabiwa tena pakubwa! Mchengerwa safari hii lazima badamu bachuruzike!
Dar es...
Wadau hamjamboni nyote?
Hezbollah yacharuka na kujibu mapigo kibabe kwa kushambulia makao makuu ya idara ya ujasusi ya IDF iliyopo Tel Aviv
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
October 23...
Jumatatu 30/09/2024 Rais Samia Suluhu Hassan alizindua kitabu kipya cha tawasifu ya Edward Moringe Sokoine.
Kitabu hiki cha aina yake kina dosari lukuki.
Inafikirisha sana ikitiliwa maanani kama...
Habari zenu wakurungwa..!!
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi nipo wilaya X , jiji la Mwanza, nimehamasika sana kuandaa mashindano ya marathon ila tatizo linakuja kwamba. hakuna...
Wakuu nimepata wasaa wa kusikiliza nyimbo nyingi za BANDO MC kwa umakini nikagundua kuwa jamaa hajui ku stick kwenya mada hadi akaeleweka, anachojua ni kutamka maneno yanayochekesha watu hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.