Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Anasema kweli At a press conference held in Washington, at the White House, Trump made profound statements against African leaders. *Donald Trump explains his statements against Africans: 1...
9 Reactions
26 Replies
707 Views
Wemefariki wakiwa wanaitetea Goma. M23 walijaribu kuwafanyia mashambulizi kwa siku 2 ila hawakufanikiwa kusogea zaidi. Hongera na rest in peace kwa mashujaa hawa
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki wa Rhumba hasa kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, bila shaka utakuwa umewahi kumsikia sana ‘pedeshee’ Eric Mandala. Lakini je, unamjua huyo Mandala...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kisa Changu Kiko hivi, Kuna mzungu aliniomba urafiki Facebook baada ya kumkubalia akaniomba namba ya Whatsapp. Tukaanza kuwasiliana ndani ya siku mbili tatu akaahidi kunitumia mzigo ambao ni simu...
24 Reactions
61 Replies
489 Views
nywele zako,mchanga wa unyayo wako,kucha,Jina lako,manii,mkojo ,picha yako au kipande cha nguo yako, kinaweza kuchukuliwa na adui ili kukutawala, au kulipiza kisasi kwako kwa kuharibu furaha yako...
4 Reactions
54 Replies
767 Views
Mwenye direct connection amfikishie mama SSH ujumbe huu, atuondolee huyu MTU hapa dsm, ampeleke Rauha akalinde wanyama, hafai kuwa kiongozi
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Nimekuwa nikishangaa mnoo mara kwa mara kusikia mijadala ya kujadili namna ya kuwarejesha au kuwakataa wabunge wa Covid 19, Mchungaji Msigwa na Dr. Slaa. Hizi hoja zilishika kasi kipindi cha...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika. Sababu kuu mbili zilizonifanya nifurahie uamuzi wa Trump ni hizi; 1. Hii misaada tumeanza...
9 Reactions
48 Replies
905 Views
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa na mpendwa wako Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama motisha wa kufanya vizuri zaidi Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa...
6 Reactions
21 Replies
236 Views
Naam, hili wala halina ubishi. Katika watu ambao hawawezi kukwepa lawama katika kuvuruga chama cha Mapinduzi na hatimaye kuiweka nchi katika sintofahamu na kupelekea nchi kukosa muelekeo ni huyu...
16 Reactions
46 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,934,802
Posts
52,033,312
Back
Top Bottom