Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Leo nimelewa nampigia b mkubwa kilevi levi , anacheka cheka tu , nakunipa maneno ya baraka za kutosha . Hakuna mwanamke atakupa attention bila pesa wewe kijana mpumbavu 😅😅
14 Reactions
44 Replies
199 Views
Vijana wanakimbilia humo kama sifa vile. Haifai hata kidogo. Utuvwa mwanaume upo wapi?
4 Reactions
68 Replies
601 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kiufupi Ni Kuwa Rais Samia Anakesha anafanya kazi , anashinda kutwa nzima anafanya kazi, anasafiri na kufanya kazi hadi akiwa angani ndani ya ndege . Rais Samia anafanya...
0 Reactions
1 Replies
8 Views
Km Trump asingekuwa mwoga wa Vita utawala wa kigaidi wa Iran ungeshaanguka mpaka Sasa Sasa Trump anapigana Vita vya sitaki nataka Iran ikipokea kipigo kidogo tu ikiomba ceasefire naye anajaa...
0 Reactions
0 Replies
4 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
164 Reactions
657K Replies
41M Views
Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo vya visa dhidi ya zaidi ya maafisa 100 wa Nicaragua na familia zao kufuatia kifo cha Brooklyn Rivera, kiongozi wa kiasili wa watu wa Miskito aliyekuwa...
1 Reactions
4 Replies
51 Views
Akizungumza na wananchi mkoani Mbeya, Jacob amedai chama tawala cha CCM kimeweka mbele chuki na maslahi ya kisiasa na ya mtu binafsi kuliko ustawi wa nchi, akidai kuwa wako tayari kuona nchi...
1 Reactions
4 Replies
55 Views
Sijui vizuri mambo ya upangiliaji wa mikoa ila nahisi Kahama ina uwezekano mkubwa wa kuwa mkoa Ni maendeo gani mengine unayaona yana uwezekano mkubwa wa kuwa mikoa
1 Reactions
4 Replies
58 Views
Jana jumapili kuna sehemu ilikuwa inafanyika hii misa ambapo wanajenga vituo ambapo hiyo ekaristi takatifu inazungushwa na kupigiwa magoti, kwa waliowahi kuiona bila shaka watakuwa wananielewa...
0 Reactions
19 Replies
69 Views
Kwa namna mchakato unavyoendeshwa unaonekana ni mzuri sana na wanaosaka ajira baadhi Yao wanakiri kabisa kuwa mchakato unatenda haki. Kinachohitajika katika mchakato wa kutafuta waajiriwa ni...
5 Reactions
49 Replies
219 Views

FORUM STATS

Threads
2,062,859
Posts
55,508,475
Back
Top Bottom