Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ilikua safari nzuri na ya kuvutia sana unforgettable moment. Nilipanda kama mtalii tulipandika njia ya the Northern circuit 10 day tunashukia mweka gate. Labda nikupe hints kidogo ya zone za...
11 Reactions
55 Replies
397 Views
Habari wote. Wafanyakazi wa RITA mliomo humu eleweni na muwafahamishe pia na wenzenu kuwa jina la babu sio jina la ukoo. Mfano mimi naitwa John Julius Kipingo, cha kushangaza ukimuombea...
11 Reactions
28 Replies
230 Views
humu jukwaani kuna member wame potoka na wengine walipaswa wawe kwenye uangalizi wa afya ya akili. Jukwaa hili watu hupenda kuja kupata maarifa lakini kinachoshangaza ni kuwa kuna watu hujiita...
3 Reactions
24 Replies
32 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
162 Reactions
644K Replies
40M Views
McLaren
PostGE2025 
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Aprili 21, 2026, wakati akifungua Kongamano la Kitaifa la Mamalishe na Babalishe, Rais Samia wafanyabiashara wadogo wa chakula, maarufu kama Mamalishe na...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Tunatambua changamoto zenu mbalimbali lakini pengine hamna pa kuzisemea Msiwe introvert sana.. Kuna tiba kwenye kuongea .. Ongeeni Story za kawaida Yatokanayo Yasemwayo Ya afya ya mwili Ya afya...
6 Reactions
30 Replies
88 Views
Habari za mda huu wanajamvi Huyu wangu tuliokotana mwaka jana mwezi WA 3 Aisee nakajihisi nimepata Ila baada ya siku kuenda Aisee naona hafai na nilipatikana mbona wanawake wa kipare huwa...
10 Reactions
160 Replies
910 Views
Nimewamiss wanajukwaa. Njooni tubadilishane mawili matatu, jichagulie swali hapo chini tupige story! Je wajua kwamba wanawake wana kiungo kimoja mwilini ambacho kazi yake ni kusikia raha tu na...
14 Reactions
557 Replies
3K Views
Jinsi walivyo pendeza na kujikwatua utadhani hawana shida mguse sasa uone list ya bills atakazokupa utakimbia NB, mke mmoja hatoshi
18 Reactions
127 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayejua ufumbuzi wa changamoto yangu hii aniambie maana naenda kupotea.
1 Reactions
26 Replies
107 Views

FORUM STATS

Threads
2,052,754
Posts
55,263,057
Back
Top Bottom