Kuna tatizo kubwa la umeme wilaya ya chunya umeme ni mdogo sana. Hili tatizo limekaa muda sasa zaidi ya miezi miwili.
Mahitaji ya umeme kwenye uendeshaji wa shughuli za kila siku za madini ni...
Kuna Hospitali moja tu ya kumbukumbu ya GENTAMYCINE upande mkubwa wa nchi na hakuna Hospitali ya kumbukumbu ya GENTAMYCINE ule upande wa Kisiwani ambao unaunganisha nchi moja nzuri na Kubwa...
Full name: Arsenal Football Club
Nickname(s): The Gunners
Founded: 1 December 1886
League: Premier League
Website: arsenal.com
Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
Kuna tabia ya watu kuinua mikono juu wakati wa sala ya baba yetu. Si sawa ile mi kwa ajili ya makuhani tu . Eleweni. Kwa muktadha zaidi nimewawekea link...
Mwili wa Hafidh Ameir Hassan, mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, unatarajiwa kuzikwa leo, Septemba 7, 2026, Kizimkazi, Zanzibar.
Hafidh Ameir amefariki dunia...
Mwanamke wa ndoto yako , ambaye amefika umri wa ndoa, miaka 26- kuendelea, ukimvisha pete na ukamshika kama huyu mwanangu alivyofanya , hakika , hutokaa kuachika, Furaha ya mwanamke ni ndoa !
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Afrika kusini wamekimbiza wahamiaji haramu, waliopitiliza vibali, waii, majambazi na wadaa poa , wanao jiuza kama ajira.
Uganda wakafuata kufukuza wageni wa namna hiyo na sasa Kenya kuaznia leo...
Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba amepata changamoto ya kiafya wakati akihutubia katika mkutano ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) chenye wanachama wanaojumuisha CCM, CHAUMA, ACT...
hii jamii ina umimi na usisi mnoo
roho mbaya wizi utapeli ikitokea Raisi akawa mtu wa Kilimanjaro Tanzania itakumbwa na ufisadi, ukatili na ubabe ambao haitawahi kutokea hadi dunia inaisha😁😁...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.