Jiunge na UVCCM tawi lolote, nunua miwani yenye rangi nyeusi na muda wote uwe umekaza sura (umenuna mnuno fulani hivi amazing).
Hapo wataku recruit fasta tu hata kama akili yako sio nzuri sana.
Mfanyakazi wa Idara ya Habari ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Kinyagulo Tuzo, maarufu King Kinya, amefariki dunia leo, Septemba 17, 2026 baada ya kuugua kwa kipindi kifupi...
Wizara ya Miundombinu ya Ukraine imesema kuwa shambulio la ndege isiyo na rubani ya Urusi dhidi ya meli yenye bendera ya Tanzania, iliyokuwa ikielekea bandari ya Ukraine, limesababisha kifo cha...
Kafulila amrejea Mwalimu Nyerere kuhusu MDGs na SDGs.
Arusha TICD, Akizungumza na wanazuoni wa Tengeru Institute of Community Development (TICD), Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC)...
Wakuu kama tunavyojua TMA walitabiri kuwa mwaka huu Oktaba mpaka Desemba pia inaweza kuendelea mpaka February 2027 mvua kubwa za msimu wa vuli zitanyesha kupita kiasi (Super Elnino).
Kanda ya...
Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (JKUAT) imesema Kimilili MP Didmus Barasa hakuwa mwanafunzi wake, na certificate inayodai kuwa Bachelor of Electrical and Electronic...
Unajua tena nilikuwa mamkoa .
Kijiji chote wanajua nzee nimetoka Dar.
Basi nilibadilisha mpaka tembea yangu,
Maisha yalikuwa mazuri kila ntu anataka kuwa karibu na nzee wa Dar.
Huku na kule...
Ika pisi za kibongo bwana..
Unakuta kimeweka bio ya kumcha Mungu..
Una ki DM kina respond kwa kuchelewa makusudi kionekane kiko on demand.
Then unakivumilia hivyo hivyo..
Basi nacho unaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.