Mtaani kwetu hapa Kimara Mwisho karibu na Ukumbi maarufu wa Noble kuna ghorofa ambalo limetelekezwa na sasa lina dalili ya kuanguka.
Tumeshawahi kuripoti katika Serikali ya Mtaa walifika na...
Mimi mpaka leo naamini Princess DIana aliuliwa na British Royal Family
Ile ajali haikuwa ya kawaida kabisa.
Mwaka 1996, Diana aliandika barua akihofia kuwa aliyekuwa mumewe (Charles) alipanga...
Kama mtu amepata vijipesa vyake visivyo na makandokando je anaweza fanya ujenzi kwenye underground ya eneo lake(nyumba binafsi yakuishi au hotel,packing au banker)
Mahali popote ulikuta wanaume wanajali mwanamke wa kuoa kama mwanamke ni bikira au single mother basi utakuta na wanaume masikini, wa kawaida(average/ beta males) au wa Bara.
Ni nadra kukuta...
Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) wamejikuta wakisubiri kwa saa kadhaa huku safari za ndege zikichelewa kutokana na go-slow ya wafanyakazi wa anga.
Video...
Tukikubali ku normalize binadamu kupotea kama vile mtu unavyopoteza funguo au goroli, halafu kunakuwa hakuna outrage kwenye jamii, tutakuwa tunawapa ushindi mkubwa sana Samia na hao watu wake...
Kuna huyu mdau wa hapa jamiiforums anapenda sana kutumia neno MTIBELI, utasikia "sheria za kitibeli ni ngumu sana haiwezekani kwa mtu wa kawaida sijui na uongo gani mwingine huko😂"
Binafsi...
Mwanamke wa ndoto yako , ambaye amefika umri wa ndoa, miaka 26- kuendelea, ukimvisha pete na ukamshika kama huyu mwanangu alivyofanya , hakika , hutokaa kuachika, Furaha ya mwanamke ni ndoa !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.