Irene, Miaka 10 ya Vibes, Ngoma na Mwisho wa Soko la "Scraps"
Wakuu, leo nataka niwape hii simulizi ya kweli kabisa ya mdada mmoja anaitwa Irene wa hapa mtaani namfahamu vizuri sana miaka.
Hili...
Ndugu zangu wana Jf habari zenu.
Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
Leo Wekend nilipata wasaa wa kukutana na mtu wangu wa idara za juu, katika maongezi kanihabarusha jambo la ajabu sana kuhusu Lisu, kwamba swala la Lisu lina shinikizo kubwa sana la Kisiasa, kuna...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Hii inathibitisha kuwa hii nchi imewashinda hawa walio madarakani.
Hivi kweli ingekuwa hao ni wanaojitambulisha kuwa ni waandamanaji, je wasingekamatwa?
Huyu anayeitwa IGP nadhani ni bosheni tu...
Kuna kila dalili na uwezekano mkubwa sana wa kutokea mivutano ya kikatiba na kupelekea timbwili baya sana litakalo vuruga na kuchochea mkutano wa Baraza kuu la chadema taifa kuvunjika bila muafaka...
Mwenyekiti wa Mufindi Environmental Transformation, Godfrey Mosha, amesema madai kuhusu kuwepo kwa matukio ya utekaji nchini ni ya uongo, akidai yanalenga kueneza hofu na kuidhoofisha Tanzania...
Israel imeishirikisha Marekani taarifa za kiintelijensia zinazoonyesha kuwa Iran imesuka mpango mpya na mahususi wa kutaka kumuua Rais Donald Trump.
Ingawa Marekani imekuwa ikifuatilia vitisho...
Nimeona habari ya kuzomea zomea ikisambazwa mitandaoni na kuchukuliwa kanakwamba ni jambo kubwa sana, au jambo jipya sana au jambo la kushangaza sana.
Nadhani sote ni mashahidi kwamba, ikiwa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.