Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) limetangaza kurejesha safari zake za Dar es Salaam-Moscow kuanzia Septemba 7, saa chache baada ya kutangaza kuzisitisha kutokana na wasiwasi wa kiusalama...
1 Reactions
7 Replies
25 Views
Tayari mshtakiwa Tundu Lissu ameshawasili mahakamani na anauliza leo vipi leo wako wapi ? Anajibiwa wanakuja Kaa tayari kwa updates Shahidi Aman Golugwa nae ameshafika ======== Leo...
15 Reactions
204 Replies
4K Views
🏪 BIASHARA YA STATIONERY 1. 📚 Nini maana ya biashara ya stationery? Biashara ya stationery ni biashara inayohusika na uuzaji wa vifaa vya shule, ofisi na uchapishaji, pamoja na kutoa huduma...
2 Reactions
12 Replies
95 Views
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu. Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya...
95 Reactions
955 Replies
24K Views
Mgomo wa wauguzi na wakunga nchini Kenya umeendelea kuathiri huduma katika hospitali za umma huku kukiwa na ripoti za vifo vya kina mama na watoto. Kulingana na taarifa kutoka kwa mashirika ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwanza niwashukuru kaka zangu kwa ushauri mzuri mlonipa kwenye uzi wangu kuikataa misri ya u singo maza. Pili naomba niwape mrejesho au matokeo mazuri ya ushauri wenu.Yote mlonishauri ambayo ni...
16 Reactions
184 Replies
1K Views
Mambo mazuri yanagharama tatizo letu waafrika na watanzania tunataka mambo mazuri ila hatutaki kuingia gharama Kwenye huu uzi tutumie dsm kama case study maeneo yafuatayo Serikali itakua inanunua...
5 Reactions
27 Replies
131 Views
Huyu demu anasema kabla ya kwenda chuo ndoto yake ilikuwa ni kuolewa na mwanaume ambaye walipendana sana na wakati huo Huyo demu alikua anajishughulisha na biashara ya miamala Sasa anasema...
4 Reactions
28 Replies
265 Views
Habari JF ,Ligi kuu Uingereza na JamiiForums fantasy premier league zimerudi , jiunge sasa kupitia Code wemf7z au autojoin kupitia https://fantasy.premierleague.com/leagues/auto-join/wemf7z...
2 Reactions
7 Replies
76 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
680K Replies
43M Views

FORUM STATS

Threads
2,087,358
Posts
56,086,223
Back
Top Bottom