Hatua hiyo itasaidi pakubwa kuimarisha demokrasia, uwazi, utawala bora na utawala wa sheria nchini.
Kufutwa kwa Chadema kama chama cha siasa itakua ni ni fursa muhimu kwa vyama vingine vya siasa...
Wakuu,
Ukisikia kuahibika ndo leo. Niko kwa mgahawa hapa, nishaagiza chakula nataka kulipia kwa MPesa mtandao haushiki! Na huko iko hivyo au ni kwangu tu?
Ukisikia kwenda kuosha vyombo ndo leo...
Achana na ujinga wa kuamini picha za wadada wa hili jukwaa na kuweka hitimisho kuwa ni wazuri .
Sio kwamba kila mdada akiposti picha yake ni m baya .
Kuna pisi kali mno JF ila selfika...
Uchaguzi wa 2030 huo ndo utakua hatari zaidi ya October 29 wananchi wa sasa wanajua sio wajinga Magufuli aliwahi kusema watanzania sio wajinga kama watu wanavyodhania...
Kichwa cha habari kiko wazi. Kwanini Mungu ambaye haonekani wala hana uhitaji asanye sadaka? Tuzinduke.
Nawasilisha. Kama wahusika hawaibi wala kula sadaka, huu utajiri wanaupata wapi na lini...
Wakuu
Mjasiriamali maarufu wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo, anayejulikana pia kama Sir Wicknell, amemtembelea Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, Ikulu kwa ajili ya kumpa pole baada ya kufiwa na Mume...
Hawa NCCR-MAGEUZI nimewashangaa.. Wamelaaniwa na wameanza kuchanganyikiwa.
Wakati wanaongea na Vyombo vya habari leo, wwamesema kuna Kiongozi wa dini ya Kikristo, na Mwananchi aitwaye Joseph...
Pakistan: Takriban watu 31 wamepoteza maisha, wakiwemo maafisa 16 wa polisi na majeruhi wasiopungui 100, katika shambulio la kujitoa mhanga kwa gari lililokuwa na vilipuzi kwenye msikiti ulioko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.