Odemba: Tarehe 29 Oktoba mwaka 2025 Tanzania ilifanya uchaguzi, uchaguzi ambao uligubikwa na fujo, uharibifu wa mali na mauaji ya raia ambayo haijawahi kutokea katika historia ya taifa hili tangu...
Sisi wapori Pori huku tunapambana na Jembe la mkono, tumepata mauzo ya mazao yetu.
Sasa nataka kurelax kidogo na kutoa ushamba, nasikia huko Dar kuna vyumba vya kufanyiwa maseji ya mwili mzima...
Huyu amesahaulika haraka zaidi kuliko Polepole.
Hakuna sauti za kuuliza TU wapi Makamu wetu,au Free him,kama ilivyokua Kwa wengine,mfano Malisa.
Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4-9-2026 Kuna...
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
Mimi kama... 🤔
Nilimchukia baba yangu baada ya kuniambia, "Mimi kama baba yako nina wajibu wa kukupa adhabu ukikosea...", mimi nikadhani labda yeye si baba yangu wa kweli.
Leo asubuhi, baada ya...
UNAPODATE MWANAMKE AMBAYE NI ASSET KWENYE MAISHA YAKO ,
Utakuwa unapata message za aina hizi. 😂😂
(1) Habari za asubuhi mpenzi. Nafurahi ulilala salama. Ukoje leo? Amka ujiandae kwenda kazini...
Kwanza kabisa nianze kusema hakuna kitu kinaumiza Kama kukosa mchongo
Ni nadra Sana hasa kwa mtoto wa kiume kuwa SAWA endapo Hana mishe inayoeleweka yakumpatia hela .
Juzi kati kuna mtu alileta...
Kauli ya kusema vyombo vya ulinzi na usalama vijiandae na uchaguzi October 29 hiii kauli ilitakiwa kutosha kufunga mijadala kuhusu kilichotokea October 29 ...
Haya majanga sasa yapo hata kwa watu wasafi tena wakishua ni vigumu kukwepa hadi kufikia miaka 45 yaani hata U.T.I itakuonja tu kwasababu ya ngono (MSHUKURU MUNGU KAMA HUJAWAI PATWA NA GONJWA LA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.