Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Aliwezaje kukubali Tanganyika, ambayo ni kubwa kuliko Zanzibar kwa zaidi ya mara 350, ifutwe kabisa ili iungane na Zanzibar, huku akikubali Zanzibar iendelee kuwa nchi na nusu ndani ya Muungano ...
22 Reactions
75 Replies
2K Views
Mama mmoja, kwa jina la Kalie Robins, ameibua wasiwasi kuhusu namna tool ya Meta AI inavyoweza kutumia taarifa zilizowahi kuchapishwa mtandaoni kukusanya na kuhusisha taarifa binafsi. Kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwanza niwashukuru kaka zangu kwa ushauri mzuri mlonipa kwenye uzi wangu kuikataa misri ya u singo maza. Pili naomba niwape mrejesho au matokeo mazuri ya ushauri wenu.Yote mlonishauri ambayo ni...
19 Reactions
221 Replies
1K Views
  • Featured
Wakuu, leo September 9 Apple wamezindua simu zao mpya iPhone 17 series pamoja na bidhaa nyingine kama airpods na Apple watch matoleo mapya. Kwa kuanza na iPhone, jumla ya simu nne zimezinduliwa...
20 Reactions
194 Replies
8K Views
Jana niliona post, Mzungu aliuliza vijana wa Kenya kama wanamwamini Mungu. Vijana walimjibu kuwa hawamwamini Mungu ambaye anayekaa mbinguni, wala dini ya Ukristo wala uislamu bali wanamwamini...
1 Reactions
5 Replies
29 Views
Wadau nataka kucreat account Katika mfumo wa E-Ardhi ila niliweka NIN na Namba ya simu sehemu ya ENDELEA haipo active nawezaje kusolve hili?. Lengo ni kusajili DEEP POOL.
0 Reactions
1 Replies
4 Views
Ni nani unaye crush naye hapa jukwaani? 😄 Hapa jukwaani pamekuwa sehemu ya enjoyment kwa baadhi ya watu, darasa kwa wengine, na sehemu ya kujifunza, kubadilishana mawazo na kufahamiana. Sasa...
37 Reactions
1K Replies
11K Views
Hellow wana JF. Watu wengi wanahofu dhidi ya matangazo mbalimbali yanayo endelea huko mitandaoni kuhusu majanga ya asili yanayoweza kutokea wakati wa mvua za El nino. Naomba kuwatoa hofu...
0 Reactions
2 Replies
12 Views
Anonymous
KERO 
Mbele ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bwana Chalamila, kuna kituo cha mwendokasi na ukivuka barabara kuna barabara inayoelekea Keko, Temeke na n.k. Barabara hiyo pia kuna mkunjo kwenye...
0 Reactions
7 Replies
71 Views
Nimeyaona sehemu yapo Kwa wingi. Nahitaji mtu aliye serious na uhakika tutete naye. Ni hayo mekundu hako kengine kana mng'ao sana zaidi ya shaba na ulanga. Mimi nimebobea kwenye dhahabu na shaba...
3 Reactions
25 Replies
222 Views

FORUM STATS

Threads
2,087,521
Posts
56,090,818
Back
Top Bottom