Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Swali tu wananchi wanaomba sana uwajibikaji katika kila sekta, je inaweza tokea makamu wa rais akajiuzulu? Uwajibikaji si dalili ya udhaifu, bali ni hatua ya kwanza ya upendo baada ya kushindwa...
33 Reactions
138 Replies
6K Views
Uwaanja wetu wa ndege uko mbioni kuuzwa kwa mwekezaji wa India 🇮🇳. Miaka michache nyuma, serikali ya mama Samia, iliingia mkataba wa ajabu kabisa na mwekezaji wa DP WORLD kutoka Dubai. Mama...
13 Reactions
68 Replies
639 Views
Nakumbuka Hayati John Magufuli kipindi cha mchakato wa uchaguzi 2015 alikuja nyumbani kwangu Oysterbay aliniambia anataka kujiondoa kwenye mizunguko ya kutafuta wadhamini alisema hana pesa kabisa...
4 Reactions
12 Replies
98 Views
Ipyana malelela yupo wapi Leo. Huyu ipyana aligombea iliwahi gombea na nchimbi UVCCM na Nchimbi yupo wapi Leo Kihongosi na happy kuweni Makini Jamaa ni mtu hatari sana huyu
0 Reactions
14 Replies
363 Views
Sote ni mashahidi kwamba, Dr Samia Suluhu Hassan, alipokea nchi katika mazingira magumu ya kiuchumi katikati ya janga la COVID-19 na katika hali ya majonzi, masikitiko makubwa na huzuni ya kitaifa...
1 Reactions
12 Replies
39 Views
Salamu ndugu wanajukwaa, najua tuna mambo mengi muhimu ya kufanya, ila kuna jambo nimeona kwenye hii video hapa chini limeniacha bumbuwazi kuhusu wanawake Wanawake, hata kama ni maelekezo ya...
1 Reactions
11 Replies
46 Views
Salamu kwa maveteran wote back in 20 years mlitumia teknolojia gani kuandika mabandiko marefu? 1.Nyuzi zenu hazichoshi kuzisoma 2.Nyuzi zenu zimejaa logical consistency 3.Nyuzi zenu zina...
5 Reactions
8 Replies
55 Views
Hi guys, Nawezaje kupata watoto mapacha?, ikiwa kuna mtu ana uelewa juu ya jambo hili naomba kufahamishwa tafadhali. Najua humu jukwaani kuna ma great thinkers wa kutosha. Naomba kuwasilisha.
1 Reactions
7 Replies
28 Views
Nakumbuka miaka ya nyuma mahubiri kuhusu Mpinga Kristo, alama ya mnyama (666) na kitabu cha Ufunuo yalikuwa kawaida sana kuyasikia kuanzia makanisa ya kilokole vijijini huko hadi yale makubwa ya...
7 Reactions
81 Replies
906 Views
Tunaomba,serikali ituambie imepata faida na hasara kiasi gani kwa ndege zetu kwenda urusi! Combo na Saa100 ni kutokea upande ule wenye watu wasio tumia akili, na hawana akili kabisa! Hakuna kosa...
0 Reactions
2 Replies
20 Views

FORUM STATS

Threads
2,087,195
Posts
56,083,598
Back
Top Bottom