Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwanza kabisa nipende kuweka angalizo... Haya ni maoni yangu, sio fundamental kwa watu wengine. Humu hakuna kitu cha kujifunza, kumejawa na watu feki. Sio kwa ubaya ila hizi ID fake zina haribu...
16 Reactions
176 Replies
1K Views
Ni Viongozi wa Kata ya Kunduchi, Kanda ya Pwani. Tunatarajia watapewa kesi ya Uhaini siku yoyote Hapa ndipo nchi yetu ilipofikishwa NAKULILIA TANGANYIKA
3 Reactions
11 Replies
256 Views
Hello jamii intelligence 👋 Wakuu hii habari ya uchawi nadhani sio jambo geni Uchawi ulitajwa kwenye vitabu vya dini hasa hivi maarufu Bible&Qur'an Kwa bible mfano Kutoka 22:18 inasema...
33 Reactions
564 Replies
5K Views
  • Featured
Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, Dk Conrad Agonza Kahyoza amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Dar es Salaam, leo Septemba 10...
8 Reactions
71 Replies
538 Views
Mashahidi wa Mh. Lissu wanakiri kuwa Lissu amewaita majaji maCCM. Kauli hii ni mbaya sana kwa utawala wa sheria kwakuwa inahimiza watu wake na watu wengine wasioipenda CCM wasiende mahakamani...
2 Reactions
99 Replies
922 Views
Habari wadau, Binafsi huwa najiuliza sana kuhusu biblia na sisi waafrica, mfano mimi mmasai je barua ya wakorintho inanihusu nini mimi mmasai ? Barua ya wafilipi inanihusu nini ? Fikiria...
10 Reactions
36 Replies
306 Views
Habari Wakuu Leo tarehe 10.09.2026 majira mchana mtuhumiwa aliyeshambuliana na askari traffic maeneo ya Mwnge jijini Dar, atafikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni, Dar es Salaam...
4 Reactions
64 Replies
609 Views
Limpopo, Afrika Kusini — Mchungaji Christ Penelope, mwanzilishi wa Seven Fold Holy Spirit Ministries, amekuwa gumzo baada ya kuhusishwa na njia isiyo ya kawaida ya kuwaombea waumini wanaotafuta...
5 Reactions
40 Replies
446 Views
Ndugu yangu ameomba mkopo bank moja hapa nchi, kwakuwa ni mfanyakazi mshahara unapita bank hiyo na ni kwa muda wa miezi 72. Mkopo anaopewa ni mil 35 na atakatwa zaidi ya laki 7 na nusu kwa mwezi...
2 Reactions
10 Replies
47 Views
Tanzania imewakamata raia 134 wa Burundi kwa madai ya kuingia nchini kinyume cha sheria, huku hatua za kudhibiti uhamiaji zikizidi kuimarika Afrika Mashariki. Mamlaka nchini Tanzania katika Mkoa...
2 Reactions
14 Replies
134 Views

FORUM STATS

Threads
2,089,021
Posts
56,124,071
Back
Top Bottom