Mnamo mwaka 1987 Nchini uingereza kuliibuka tetesi kwamba Idara ya ujajusi wa ndani MI15 kupitia kwa maafisa wake walihusika katika mpango wa kumdhoofisha aliekuwa waziri mkuu "Harold Wilson", na...
Katika maisha kuna muda unafikia a point of no return..
Ndugu zangu, niwaweke tu wazi ya kuwa am now saying a final farewell to y'all..
JF has been a wonderful place,
Sincerely speaking...
Dada Mange na Dada Maria wameendelea kuandika kwamba Mwigulu hatakiwi kabisa kuvuka kuelekea 2030.
Lakini nyuma ya kauli hizo kuna swali kubwa zaidi:
Kwa nini jina la Mwigulu linaonekana kuwapa...
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?
Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la kumtafakari Mungu, kuna maswali nimekuwa najiuliza kumhusu huyu Mungu wa Wakristo na Waislamu ambaye ni Mungu Mmoja,Mungu wa Ibrahimu na wanae Ismail na Isaka,na...
Habari za jioni wana jamiiforum.
Kwa mwenye ushauri na njia za kumfanya mwalimu huyu aondokane na KERO inayomtesa atoe ushauri hapa.
Kuna mwalimu mmoja pale Kilindi Tanga alikwenda kumripoti...
Nazungumzia dunia ya uhai? dunia inayoongelewa kwenye vitabu vyetu vya dini!
Tumekuwa na mada ihusuyo bustani ya Eden kimsingi binafsi imenisaidia kuongeza ufahamu.
Ni katika mada hiyo nimegundua...
Wakuu!
Niliingia humu mida fulani nikakutana na uzi wa Dada yangu Binti wa zamani akihoji hizi notifications za 🤬🤮 inakuwaje ?
Na wadau wakamlenga moja kwa moja kwamba huyu Member wa kuitwa PSL...
Hili tukio la kumshambulia Kocha wa Timu Gaborone sidhani kama Timu yetu ya Yanga itapona mbele ya panga kali la CAF.
Hizi tabia za kijinga washabiki wataacha lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.