Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Maana ya mshua ni nini wakuu?....kila angle ninayopita naitwa mshua, au ninaonekana njaa kali...
6 Reactions
31 Replies
210 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
681K Replies
43M Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Mbuyuni-Salasala, Dar es Salaam. Kuna baa mpya imeanzishwa takribani miezi miwili na nusu iliyopita, ikiwa kwenye ghorofa, na imekuwa kero kubwa kwa wakazi wa maeneo ya jirani...
0 Reactions
1 Replies
6 Views
Jamaa amekabidhiwa chama majuzi tu lakini kimeshinda yeye siasa kwake ni kurumisha mitusi mwanzo mwisho. Kwake hakina pont of consensus hata kidogo. Inawezekana ana akili ya darasani ili hekima...
0 Reactions
6 Replies
12 Views
Mtu aneshapatikana na hatia lakini wao bado wanajibu utoto mahakamani. Baadaye wataanza kulia ooohh mahakama, mahakama, mahakama. Kama mahakama haina haki kwa wapinzani kwanini mlipeleka mawakili...
3 Reactions
22 Replies
110 Views
Mzozo wa barabarani umejitokeza baada ya dereva wa pikipiki ya miguu mitatu (Toyo) kugonga gari la kifahari, kisha kuomba apelekwe kituo cha polisi kuliko kutakiwa kulipa gharama za matengenezo...
2 Reactions
5 Replies
141 Views
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda, amesema Serikali inatarajia kuongeza wanafunzi wengine 150 watakaonufaika na programu ya Samia Scholarship...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kesi ya Uhaini ya Lissu inaendelea huku John Heche akitarajiwa kuendelea kutoa ushahidi Mahakamani Sept. 11. 2026 ambapo jana Septemba 10 Mahakama Kuu ilikataa ombi la mshtakiwa Tundu Lissu la...
16 Reactions
217 Replies
5K Views
Kuna haka ka Tabia ka kubeza nguvu na sacrifice za watu! Hasa jasho kwenye vyama! Naona CHADEMA mmeanza kujisahau kisa tu mtu mmoja ambaye anataka ambition zake zitimie Mimi ni CCM mfu niwe wazi...
25 Reactions
31 Replies
717 Views
Huyo mwanamke unaemuamini sana, unampenda sana na anakupenda sana huyo huyo lazima anae mchepuko wake. (Ukibisha haibadili ukweli) kiasili mwanamke sio mtiifu ni muasi ndio maana unaona Eva...
41 Reactions
221 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
2,089,340
Posts
56,132,655
Back
Top Bottom