Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno. Pamoja...
194 Reactions
29K Replies
3M Views
Nimeona kuna idadi kubwa sana ya watumishi wa umma wanbet. Nini kimetokea wakuu?
2 Reactions
6 Replies
48 Views
John Wegesa Heche ni mwanasiasa mashuhuri nchini Tanzania na sasa anahudumu kama Makamu Mwenyekiti (Bara) wa chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA. Anajulikana sana kwa hotuba zake zenye...
9 Reactions
48 Replies
491 Views
Kwanza ni muhimu tuelewe maana ya Demokrasia kabla ya kuutaka kujenga mfumo wa utawala ambao unakidhi matumaini yetu badala ya matakwa ya Demokrasia yenyewe. Kwanza Demokrasia ni nini? Imeelezwa...
2 Reactions
10 Replies
84 Views
Watu wawili wamefariki dunia baada ya ndege ndogo inayomilikiwa na Kenya School of Flying kuanguka eneo la Kipeto, katika Jimbo la Uchaguzi la Kajiado Magharibi. Ndege hiyo ilianguka karibu na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Maneno ya Biblia takatifu yanatuasa tulinde vinywa vyetu kuliko kitu kingine kile... Maana yake ni kwamba maneno ni kama risasi hayana rivasi.. Ni vema sana kuwa na tafakuri kuu kabla ya kutamka...
13 Reactions
34 Replies
358 Views
Vijana wanaomaliza mafunzo JKT (service persons) wamejirekodi kwenye video na kusema wakikutana na mtu anayeandamana wanamtoa kinyesi, na kuwa ili wawe salama basi wahakikishe wawe na Tsh...
19 Reactions
162 Replies
2K Views
Yani mm kila nnapokuwa nyumban ama hata nikawasiliana na wazazi wangu. neno mwali unaleta nn ndio imekuwa kama salamu.hata saiv sina taimu nao maana...
1 Reactions
2 Replies
12 Views
Hapo VIP! Unajua yanga ni club inayoafanya maandalizi kwa kutumia mbinu nyiingi sana ,hususana akiwa Na match Na mtani wake Simba sc,yanga yupo tayari kutumia mbinu yeyote zagizani au...
2 Reactions
13 Replies
179 Views
10: Kagera 9: Geita 8: Mara 7: Mwanza 6: Katavi 5: Tqbora 4: Simiyu 3: Shinyanga 2: Kigoma 1: Rukwa Maoni yangu 1: Kanda ya ziwa yote ni masikini kuliko hatwas wawili. Kusin kwa waswahili. 2...
9 Reactions
66 Replies
836 Views

FORUM STATS

Threads
2,091,300
Posts
56,179,009
Back
Top Bottom