Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Major General Peter NKUBA CHIRIMWAMI, mkuu wa jeshi na mkuu wa mkoa wa Kivu Kasikazini, jana tarehe 23 Januari 2025, majira ya saa moja na dakika 44 usiku,alipokuwa amewatembelea wanajeshi wake...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
1. Mara ni kitivo cha uongozi. Mwl Nyerere, Jaji Warioba, Jenerali Msuguri, IGP (Mstaafu) Sirro ndio waliopotokea. 2. Tunawakaribisha viongozi wetu hapa airport Musoma tarehe 30/03/2025. Saa 5...
2 Reactions
24 Replies
794 Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye hekima Fuatilia kwa wataalamu wa tiba utathibitisha Poleni mlioumizwa
8 Reactions
44 Replies
826 Views
"Based on a True Story " SEHEMU YA 1 "Tina! twende baba yangu amekuja" Haya ni maneno ya rafiki yangu Emmy mchana ya Siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi. "Mmh! Wewe nenda ukirudi utanikuta"...
20 Reactions
230 Replies
6K Views
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe Esther Mahawe amefariki Dunia katika Hospitali ya KCMC Mkoani Kilimanjaro kwa mujibu ya taarifa za awali zilizotolewa na ndugu wake wa karibu. RAIS SAMIA...
9 Reactions
92 Replies
5K Views
Naombeni msaada wa namna ya kufanya Booking ya ndege : Precision Air au ATCL, Sababu baada ya kuchagua tarehe ya safari wakati wa kufanya Booking sioni sehemu ya kubonyeza ili niende katika hatua...
2 Reactions
17 Replies
331 Views
Wakuu salama? Kuna watu ni wa ajabu sana. Sijui wanajikutaga akina nani vile. Unakuta jitu limekuja sehemu aidha dukani au popote pale, limekukuta likakupita tu. Limemkosa linaemtafuta halafu...
6 Reactions
21 Replies
273 Views
SEASON-1 EPISODE 01 Ilikuwa ni siku ya furaha kwa kila mmoja wetu kwa kufika hatua hiyo ya kumaliza elimu ya upili baada ya kumaliza mitihani ya kidato cha sita. Kilichobaki kwa wakati huo...
2 Reactions
37 Replies
926 Views
Minara 42 ya Mawasiliano kati ya Minara 107 inayojengwa kanda ya nyanda za juu Kusini na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote imekamilika Akizunģumza kupitia kipindi cha #Checkpoint, Mkuu wa Mfuko wa...
1 Reactions
2 Replies
43 Views

FORUM STATS

Threads
1,934,448
Posts
52,021,833
Back
Top Bottom