Miongoni mwa habari ambazo zimeshtua baadhi ya wadau wa soka nchini ni habari inayohusiana na kutoalikwa kwa klabu ya Yanga katika Mkutano Mkuu wa Kawaida wa 44 wa CAF uliofanyika jijini Arusha na...
Huku Tanzania ikitoka kupokea ugeni mkubwa wa Rais wa Shirikisho la mpira duniani FIFA, Ndg. Gianni Infantino pamoja na Rais wa CAF Bw. Motsepe, ni Karia ndie anaenekana shujaa wa kuuleta ugeni...
Nimebaki na butwaa baada ya kumsikiliza uyu mama anayesema kwamba mwanaume kamili ni lazima uwe na mke zaidi ya mmoja
Kwa upande wangu naunga mkono hoja yake
Mpaka sasa najiuliza kapata wapi...
Kiwanja kinauzwa mbagala rangi Tatu umbali wa mita 200 tokea Kilwa road. Kina sqm 221.Kina Leseni ya makazi(Hati za Manispaa).Eneo Kuzunguka limejengwa.
Nicheki chap kwa 0677089280.
Kimsingi Chadema Katika uchaguzi wa 2015 waliandaa utaratibu kama huu wa Kenya wa kujumlisha kura zao zote kabla hazijawa verified na NEC lakini vijana wao wa IT wakakamatwa
Hata maalim Seif...
Tufanye jpm hakuamrisha shambulio la lissu.
Tufanye jpm hakuhusika na upoteaji wa Ben saanane.
Tufanye jpm hakupokonya watu pesa zao kinguvu kwenye akaunti zao.
Tufanye hakuna familia...
Wadau nirukie moja kwa moja kwenye mada.
Nina mke na watoto wadogo. Nikiwa Home namsaidia mke wangu kazi mbalimbali, kama kupika, kuogesha watoto, kusimamia Home Work za shule, etc
Lakini mambo...
Kwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.
Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au...
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea.
Tuambiane;
- Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako?
- Ni ya aina gani...