Wandewa, faragha sio uwanja wa mapambano ya ngumi au mbio za mita mia!
Ule ni mchezo wa bao la kete—unataka akili, subira, na kucheza kwa kunyata sana.
Unalivaa futa utadhani unakamata mwizi wa...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Hili ni tatizo kubwa sana na kikwazo kwa nchi
Kuna badhi ya wapinzani wamekasirika baada ya kama nchi kuamua kujenga refinery Tanga
Dangote kwenda kujenga mombasa crude oil watu wameponda...
Wanabodi,
Naomba kulianza bandiko hili kwa kutoa elimu kwa umma,kuhusu gender differences betwen ME na KE,
sio vile viungo vya uzazi, ni uwezo wa kufikiri, thinking ability, na kufikia maamuzi...
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 50, Nina watoto 1, kazi ni mfanyabiashara, dini ni Mkristo.
Natafuta mke mwenye miaka 25 mpaka 40. Awe Mkristo. Kama upo serious njoo in box tuyajenge
CHADEMA Marathon 334 ninini?
CHADEMA Marathon 334 ni kampeni maalum ya kuchangisha fedha iliyozinduliwa na chama kikuu cha upinzani nchini Tanganyika.
Lengo kuu la kampeni hii ni kukusanya...
Sina Nia mbaya kwenu ila Kuna Taarifa Nimepata kuwa kuna Nyumba IMEPANGISHWA but ndani Wamefanya Kiwanda Bubu cha Kutengeneza Pombe kali
Jina la Pombe inaitwa "RISASI GIN", awali Iyo Nyumba...
Kuna msemo unaosemwa sana baada ya mtu kufanikiwa: "Yule alianza tu kama utani." Lakini mara nyingi huo si ukweli. Ukweli ni kwamba aliyeanza ndiye anayejua uzito wa dhamira aliyokuwa nayo tangu...
Leo Agosti 6, 2026 nilikuwa na safari ya kutoka Dar kwenda Mwanza, kupitia usafiri wa ndege ya ATCL, nilifika Airport na kukamilisha taratibu zote za 'Check-in' kabla ya safari iliyotakiwa kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.