Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu. Mtungi mdogo nilikua nanunua 24,000/= Tsh sahivi napiga simu niletewe naambiwa 28,000/= Jamaa anasema imepanda. Oyaaah! Kama kweli nitapikia kuni aisee.
4 Reactions
7 Replies
10 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
163 Reactions
650K Replies
40M Views
Msikilize mwenyewe. https://youtube.com/watch?v=jVs4NBoHZic&si=JzFKdd-vhBYoxp9O
0 Reactions
2 Replies
4 Views
Mwanasiasa Jacob Samwel Malate wa Ilala Dar es Salaam amemshutumu Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa kusababisha taharuki na kuchochea mzozo katika jamii kufuatia kauli alizotoa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
HOTUBA YA MHE. JAJI MKUU MSTAAFU MOHAMED CHANDE OTHMAN, MWENYEKITI WA TUME YA RAIS YA KUCHUNGUZA MATUKIO YA GHASIA NA UVUNJIFU WA AMANI YALIYOTOKEA WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA...
1 Reactions
3 Replies
28 Views
Unakaa kwa utu na utulivu miaka na miaka, siku unasema sasa nimechoka, nichepuke ndio na yeye anabadilika:rolleyes:.
5 Reactions
50 Replies
321 Views
Maisha ni muvi. Mtaa niliokuwa nimepanga classmate ndio amekuwa amejenga nyumba. Siku wahi kujua alipata wapi pesa za maana hivi ila nachojua ni mrembo sana na ana makebo makubwa. Kipindi...
3 Reactions
30 Replies
154 Views
Salaam JamiiForums. Hope mko poa. Mimi Daniel au Myahudi (Jewish)kama wengi wanavyoniita mtaani ,Niko fresh,Niko poa bado na survive naendelea kusifu ukuu wa MUNGU kuna vitu sitaweza vimaliza...
24 Reactions
216 Replies
1K Views
Mnamo mwaka jana 2025 mwanzoni, serikali ilitangaza kuboresha barabara ya kinondoni kuanzia Wakulima road (usalama) mpaka barabara ya Binti Matola kuelekea V Ways kwa kiwango cha lami. Viongozi...
1 Reactions
4 Replies
22 Views

FORUM STATS

Threads
2,057,020
Posts
55,361,035
Back
Top Bottom