Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
162 Reactions
644K Replies
40M Views
Habari za muda huu wadau. Kuna habari nimeona mitandaoni ikanifikirisha kidogo nikaona niilete jukwaani tupate mitazamo ya wengine. Ni kwamba Inasemekana ya kwamba watu wote waliokunywa kikombe...
1 Reactions
17 Replies
137 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
305 Reactions
177K Replies
6M Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
122 Reactions
409K Replies
15M Views
Tuhuma bila ithibati! Utani wenye uhalisia.! Wivu wa kijinga! Shuku kisa chitchat! Maskhara yanapogeuka ugomvi. Umbea kwa usiyemjua vema..! Ma snitch! Hisia zilizotafsiriwa kinyume!🤔😫😷
21 Reactions
395 Replies
3K Views
Habari ndugu... Nakumbuka huko Nyuma niliwaletea mirejesho ya MKE wangu kama mnakumbuka.. Sasa MKE wangu baada ya kusikia namtafuta kweli alirudi baada ya kwenda kwa wazazi wangu na baadae...
7 Reactions
82 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Habari za furahi day? Okay, mimi kama mpenzi wa movie hua napenda kuhakikisha hakuna kinachonipita hata sentensi moja na ndio maana hua napenda kuangalia movies zenye subs. Huwa...
16 Reactions
863 Replies
93K Views
  • Sticky
Full name: Chelsea Football Club Nickname(s): The Blues, The Pensioners Founded: 10 March 1905 League: Premier League Website: ChelseaFC.com Ground: Stamford Bridge, (Capacity...
158 Reactions
131K Replies
8M Views
Mwanzo 2:2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. Hii ina maana gani, ni kwamba Mungu kile kitu...
0 Reactions
1 Replies
7 Views
Sina mengi ya kusema Ila Mungu yupo na atendelea kuwepo. Mla Tamu na chungu pia hula. Usikate tamaa siku yako inakuja ukijuma katika Mishe zako.
0 Reactions
4 Replies
19 Views

FORUM STATS

Threads
2,052,666
Posts
55,261,186
Back
Top Bottom