Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu, Eti wanataka tuache kuibagaza ripoti yao ushuzi tuhamie kwenye jambo jingine, lakini wanatia petroli kwenye moto🤣🤣 yaani ndo wameona Kizigha atazima hii, kabisaaaa? Haya wacha tuendelee...
3 Reactions
22 Replies
233 Views
Wakuu naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Yafuatayo ni mambo nyeti ambayo tume ya uchunguzi wa mauaji ya MO29 imeyaepuka kwa sababu ambazo wanazijua wao wenyewe: 1...
28 Reactions
62 Replies
1K Views
Habari za mda huu wanajamvi Huyu wangu tuliokotana mwaka jana mwezi WA 3 Aisee nakajihisi nimepata Ila baada ya siku kuenda Aisee naona hafai na nilipatikana mbona wanawake wa kipare huwa...
16 Reactions
228 Replies
2K Views
Ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es...
0 Reactions
7 Replies
157 Views
Makampuni mengi ya kutengeneza magari yameingia kwenye production ya EVs, magari ya umeme. Changamoto wanayokutana nayo ni kwamba tayari China's EV industry imesha-set standards. Inachofanya...
3 Reactions
9 Replies
51 Views
Zamani tulikuwa tukijenga nyumba zetu, tutaweka bustani ndogo ndogo za mbogamboga na mtunda, mabanda ya mifugo midogo midogo ili utakapo hitaji chochote iwe ni rahisi kupata hapo ulipo. Nyakati...
8 Reactions
73 Replies
257 Views
Leo nimerusha vaibu kwa demu nnayemmaind.kanichenjia kinoma ameniambia nimkome. hata nashindwa ni kiherehe gani ilinipeka kwake.saiv kan...
0 Reactions
2 Replies
19 Views
Wanabodi, Mimi mwanabodi mwenzenu, Paskali ni Mzee wa Masauti humu jf, nikisikia sauti, nasema nilichosikia. Leo nilikuwa nasoma bandiko hili humu, Psychoanalysis: Superiority Complex ni Dalili...
50 Reactions
118 Replies
8K Views
Wanabodi, Jana nilipandisha bandiko hili humu jukwaani Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu...
6 Reactions
19 Replies
991 Views
Najjiuliza ni genetics, diet,? Ama nini? kwa maana wadada wenye mishepu inazidi kuwa kwa kasi kulko miaka ya 90, 2000 huko
0 Reactions
11 Replies
56 Views

FORUM STATS

Threads
2,053,461
Posts
55,276,647
Back
Top Bottom