Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
22 Reactions
29K Replies
1M Views
Kwa wanaume wenzangu habari za muda huu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika kama nilivyoitambulisha hapo juu. Ikiwa una familia au unaishi bachelor tafadhali zingatia hili linakihusu...
5 Reactions
22 Replies
182 Views
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza kima cha chini cha mishahara kwa sekta binafsi, kikipanda kutoka Sh300,000 hadi kufika Sh347,000. Akitangaza viwango hivyo jana, Waziri wa Nchi Ofisi...
0 Reactions
7 Replies
203 Views
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya...
18 Reactions
165 Replies
5K Views
Nimeamua sasa rasmi. Kunikamata hawatoweza milele na nasema wazi kuanzia sasa sitolipa tena kodi wala tra hawatoniona tena kwenye makadirio. Kwa sisi mabingwa uhangaikie kodi ulipe halafu watu...
6 Reactions
13 Replies
69 Views
1st Portion: Kama ilivyo kwa wazazi wengine, wazazi wangu pia walikuwa wanatamani sana kijana wao nisome shule. Kile kitendo cha kuishia njiani, kwa upande wao hakikuleta taswira nzuri. Pamoja na...
55 Reactions
550 Replies
34K Views
Wabunge waliopita bila kupingwa (2020) na majimbo yao kwenye mabano. 1. Hamis Kigwangalla (Nzega Vijijini) 2. Kassim Majaliwa (Ruangwa) 3. Nape Nnauye (Mtama) 4. Vita Kawawa (Namtumbo) 5. Sagini...
2 Reactions
15 Replies
142 Views
Hlw Habari wakuu, Naitwa khalfan ni mkaz wa Mkoa wa simiyu mjini bariadi. Nawaza kuanza biashara ya kukusanya kuku vijijini na kuwatafutia soko mwanza kwenye mahotel makubwa. Shida connection...
0 Reactions
10 Replies
459 Views
Samahanini sana kwa kuleta nyuzi nyingi. Nimeanza kuishi pamoja na mke wangu mtarajiwa. Nimegundua anani cheat na jamaa mcheza pool flani ambaye yy anadai ni rafiki tu. Huyu jamaa kuna siku juzi...
1 Reactions
73 Replies
1K Views
Ni masaa Sasa yamepita toka report ya CAG isomwe mbele ya Rais na kuibua madudu kibao lakini mpaka Sasa wanaojiita wachambuzi na wapinga ufisadi wa serikali ya awamu ya tano wako kimya. Twitter...
3 Reactions
60 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,733,353
Posts
45,309,116
Members
631,700
Latest member
Prezzoh_breezy
Top Bottom