Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama mnavojua kwenye jamii yetu wanawake huoelewa wakiwa tayari na mtu yoyote ambae kwa wakati huo anajitokeza.. mara nyingi wanakuwa ni wale watu ambao tuna waweka pending huku tukiwasikilizia...
4 Reactions
17 Replies
79 Views
Note: kama huwezi kuweka maoni yako bila matusi, just skip this thread/post and forge ahead. Niliandika hapa kuhusu character assassination tuliyoshuhudia wakati wa kampeni....... it is still...
4 Reactions
74 Replies
1K Views
Unaambiwa mwaka 1941 uto alichezea kipigo cha mbwa koko. Hii rekodi hawatokuja kuisahau
0 Reactions
17 Replies
126 Views
Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za...
1 Reactions
23 Replies
164 Views
Mechi ilikuwa nzuri Nampongeza coach wa JKT Tanzania ametupa mechi nzuri Hii inathibitisha ubora wa ligi Nampongeza mwamzi Arajiga, ameonyesha tofauti na waamzi wengine Coach hakuifanyia...
11 Reactions
68 Replies
1K Views
Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri. Sina kazi, Sina pesa, Sina anipendaye. Sasa Duniani nafanya nini? Leo tarehe 10/02/2025 Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki. Napambana naona nimefika...
23 Reactions
296 Replies
3K Views
Wakuu kwema.. Nimekuja kuamini sometimes expectations zetu ndio hupelekea disappointment. Unaweza kuwekeza muda mwingi, hata budget ili kufukuzia mtoto mkali from the head to the toe ukaweza hata...
15 Reactions
72 Replies
1K Views
Naam Kwa Wale Wapenzi Wa Simulizi Mtumzi Wetu EDGAR MBOGO ametuandalia Kigongo Kingine Hichi Sio Cha Kukikosa Kitakujia Hapa Hapa Jamii Forums, Kwa Wale Ambao Wamesoma Simulizi Ya (Asali...
5 Reactions
612 Replies
56K Views
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota, pamoja na Mnec, Mwita Gachuma, wamejeruhiwa baada ya Gari waliyokuwa wamepanda wakielekea Kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Steven Wasira, Eneo...
1 Reactions
3 Replies
12 Views
Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa" Ktk uandishi wa habari, heading hio inamaana ya kwamba Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
0 Reactions
6 Replies
60 Views

FORUM STATS

Threads
1,939,463
Posts
52,197,610
Back
Top Bottom