kuomba

  1. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Breakdown anaombea ajali, wenye hosptali tuumwe, wale wa Sinza tukimbie ndoa zetu, garage gari ziharibike, acha kuomba uone list wanaotuombea mabaya

    Ukiambi wa Sali Sali kweli Hapo juu n list chache tu na wao wakiamka wanaombea wateja wao ukiwemo wewe Hapo sijataja wazee wapale mahakaman aka mawakili, yaan pigana na maombi dunian Mungu pekee anajua Kikibaya unakuta mzee wako anaombea ajali brkdown zake zifanyekazi Mjomba ana garage wewe...
  2. Mama Edina

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwenye ess kuomba mkopo

    Nikifika hatua ya mwisho napata ujumbe huu, na nimefanya kila kitu kujaribujaribu bado ujumbe ni ule ule Nimewasiliana na benk wanaelekeza na nafanya marekebisho wapi. Nionacho wataalaam wa IT wanisaidie hili jambo
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO OTP kutoka HESLB inasubiriwa kwa Saa 72 kabla ya kuomba nyingine, kama haijafika kwa mdhamini

    Kipengele Cha Mdhamini kwenye mfumo wa kufanya application kwa mikopo wanafunzi wa Vyuo. Kuna utaratbu wa kutumiwa OTP kwa namba ya simu ya mdhamini kisha ijazwe kwenye mfumo wa maombi ya mkopo. OTP haifiki kwa kwa mdhamini na wanaonkupa MASAA 72 Ili kuomba OTP nyingne. Hii inakwamisha zoezi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Unatoa wapi ujasiri wa Kuomba mtu kiasi Cha shilingi 100,000

    Leo katika mizinguko yangu nikajikuta nimefika huko uswahilini ukonga mombasa jilani na kikosi Cha kutuliza ghasia (ffu) basi nikapaki gari yangu land cruiser lc 300 zx Basi nikashuka kwenye gari nikakatuna na mama muuza dagaa nikamsalimia na kuanza kuongea nae na kumuuliza biashara yake jinsi...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ombi la kuomba msaada wa huduma ya maji mtaani terrynite street, Segerea Magereza

    OMBI LA KUOMBA MSAADA WA HUDUMA YA MAJI MTAANI TERRYNITE STREET, SEGEREA MAGEREZA. Sisi wakazi wa Mtaa wa Terrynite Street, Segerea Magereza, tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu upatikanaji wa maji. Tatizo: Kwa muda mrefu tumekuwa tukipata maji mara moja tu kwa wiki, siku ya Alhamisi...
  6. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Kuomba na kunyimwa?

    Umewahi kuomba jambo fulani ukanyimwa, ilhali unajua kabisa yule mtu alikuwa nalo ila akaamua tu kutokukupa? (wengine husema akakaza ,akadinda) Kuomba aibu no uno Kunyimwa aibu no two kutangazwa aibu no 3 Kuomba halafu ukanyimwa ni aibu 🤣🤣 Ni kama umejidhalilisha halafu bado husaidiki...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Makonda alivyoshuka Jukwaani na kwenda kuomba Picha na Chole wa Serengeti Boys

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda baada ya timu vijana ya Serengeti Boys kupoteza fainali ya AFCON U17 mbele ya Senegal
  8. K

    JamiiForums Tanzania Stori zingine bwana, eti mwanamke hatakiwi ajue kama una hela benki, au umewekeza pahali fulani sababu anaweza kukuua au kuomba taraka mgawane mali

    1. Nimezikuta hizi stori mahali fulani, yaani mwanamke hatakiwi kujua chochote kuhusu mali zako 2 .Ukizeeka atakuacha hapo nyumbani aende kuishi Kwa watoto wake 3. Ukifikisha miaka hamsini usijihangaishe kujenga kama ulishajenga Nyumba Moja yatosha. Hifadhi fedha yako benki harafu uwe...
  9. Insidious

    JamiiForums Tanzania Unahitaji siku ngapi kuomba kibali kabla ya kusafiri nje ya nchi kama Mtumishi?

    Habari wanaforum! Je inahitaji siku ngapi kabla ya safari yako kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi kama mtumishi kwenye mfumo wa e-vibali? Na documents gani zinahitajika?
  10. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Nauza laptop kwa lengo la kujipatia mtaji

    Habari zenu Natarajia kupata mkopo wa 2.5m so nasubiria , nimesimama kuuza laptop kwa kutegemea huo mkopo, M/Mungu awaongoze wakopeshaji wanipe pesa hiyo kwa mkopo AMEEEN 🙏🏾 Asanteni sana
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuomba uhamisho Halmashauri ya Handeni ni kama umetangaza vita na mabosi

    Kero yangu ni suala la uhamisho Halmashauri ya Mji Handeni limekuwa kama vita, maboss wanakalia barua za Watumishi za uhamisho kuhama imekuwa kipengele kikubwa hapo.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Taarifa Hizi Wakati wa kuomba leseni ya biashara

    Habari mjasiriamali kama wewe umesajiki biashara au Kampuni Brela unahitaji Taarifa Hizi kuomba leseni halmashauri/tausi. 1. TIN Unahitaji TIN number ambayo utaitumia kufungulia akaunti tausi 2. Mkataba wa upangishaji, unaweza kuwa wa ofisi au wa nyumbani kwako. 3. Certificate of...
  13. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Safari ya Trump china kwenda kuomba huruma ya vita

    Je unahisi hapa Raisi Jinping anafikiria nini hapa baada ya kutembelewa na Trump
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ongeza thamani yako; Sio unahangaika kuomba kazi kumbe kazi yenyewe hata ukipata utaishia kulipwa laki 3

    ONGEZA THAMANI YAKO; SIO UNAHANGAIKA KUOMBA KAZI, KUMBE KAZI YENYEWE HATA UKIIPATA UTAISHIA KULIPWA LAKI 3. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Binti na kijana wangu. Umri wa miaka 10-25 ni umri wa kujijenga hasa kiujuzi, kielimu, kiuzoefu na kimaarifa. 2. Umri wa kuongeza value yako. Utu...
  15. Zekoddo

    JamiiForums Tanzania Kuomba uhamisho kwa barua kwa case maalum

    Nataka nijue kama Utumishi wanapokea na kutoa uhamisho kwa watu wenye case maalum, Yaan kama mtu ana barua tayari ya kupata nafasi ya kuhamia Taasisi fulani ila akiomba kwenye mfumo kunazingua maana unakuta mtu anakotoka wamempa kibali na baraka zote za kuhama na kule aendako wamekubali na yuko...
  16. Last_Born

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kwa mwanaume kuomba posa kwa mkopo?

    Wapo wanaume wanaokopa fedha ili kufanikisha harusi. Je, hiyo ni busara au ni presha?
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Katavi: Askari Polisi ashtakiwa kwa kuomba na kupokea Rushwa ili awaachie waliokutwa na gunia 10 za bangi

    Mei 04, 2026: Imefunguliwa kesi ya Jinai Namba CC. 9474/2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Mlele mbele ya Mhe. Kibona. F, Jamhuri dhidi ya RABIEL ROBERT KAAYA, askari wa Jeshi la Polisi mwenye Namba za Kijeshi H. 3083 mkazi wa Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi. Hati ya Mashtaka imesomwa na...
  18. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Watu hudhania kila mzee ni wa kuomba ushauri na guidance, wengi wao wanaweza kuchefuka na hatua kubwa uliyopiga ambayo wao katika umri huo hawakugusa

    Roho mbaya ikizeeka haikauki. Anaweza tu kukuona umewazidi maendeleo watoto wake haina budi kukuelekeza shimoni.
  19. J

    JamiiForums Tanzania Yesu Alipopanda Mlimani Kuomba kwa Nini Alitokewa na Musa na Eliya?

    Yesu Alipopanda Mlimani Kuomba kwa Nini Alitokewa na Musa na Eliya? Katika ule mlima mrefu, aliopanda Yesu na wanafunzi wake kuomba, kwa nini atokewe na Musa na Eliya na siyo manabii wengine, kama vile Isaya au Samweli? au Ezekieli? Kutokewa na wale watu halikuwa kwa lengo lake. Bali lilikuwa...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Imefikia pabaya sana. Mnakaa mitaani na kuomba viongozi wenu wauliwe kama wale wa Iran!

    Naona mmewachoka na mnawachukia sana. Mnakaa vijiweni na kuomba walipuliwe kama Ayatollah na jopo lake alivyouwawa. Hii ni sababu ya nini? Cake ya taifa?
Back
Top Bottom