Kuna tofauti kati ya kwa wanadamu wenye maumbile na jinsia ya kike, na kuwa mwanamke mwenye sifa, tabia, mtazamo na utayari wa kuingia katika maisha ya ndoa.
Watu wengi wamekuwa na tabia ya kulalamikia tabia na mienendo ya wanawake wa siku hizi, katika maisha ya kawaida na hasa katika maisha ya...
MWANAMKE HAWEZI KUWA MTIIFU KWA MWANAUME BWEGE, ASIYEJIELEWA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Vijana lazima mjue hili. Mkijizama data mtajua wenyewe.
Hakuna mwanamke aliyezaliwa mtiifu. Huyo mwanamke hayupo.
Utiifu umeamrishwa kwenye Dini na tamaduni kwa sababu sio jambo la asili...
Ndio maana wengi utawakuta wakisifu wanawake wa zamani walikuwa wife material lakini ukiangalia kwa ndani wanawake hao walifunzwa au walilazimika kuwa submissive kwa wanaume wao.
Mwanaume hasa kijana ambae yupo mwanzo wa ndoa anapenda kunyenyekewa, ndicho kitu humvuruga akili kuzidi hata game...
Kumekuwa na ongezeko la watoto wa kike ambao wanakataa kuingia kwenye mahusiano kwa visingizio kadhaa ikiwemo wana focus na uchaji Mungu huku wakisubiri mtu sahihi,ambaye kwao ni mwanaume mwenye utajiri.
Hawa watu wanaishi kwa pesa za kudanga kwani watu wengi huwa wanajipata wakiwa tayari na...
Mwanadada Eliza ametoa Siri ambayo inawezekana wanaume wengi hawajui.
Eliza akiongea na mwandishi, ameulizwa swali ni kitu gani ambacho wanaume hawajui kuhusu wanawake? Eliza amejibu hivi.
"Kitu Ambacho wanaume hawajui ni kuwa, tukienda magetoni kuwatembelea halafu wasionyeshe hata dalili ya...
Kozi ya nesi kwa Tanzania ni dhahabu mno , diploma RN wa nesi na degree , acha upumbavu wa kukaa kifala , wewe ni dhahabu mno kwenye huu ulimwengu.
C.c Kiranga
Mwana Mitindo , Jasinta makwabe ame washauri wanaume ambao wana hisi kuwa na maumbile madogo ya kiume (KIBAMIA) ni ulemavu, Waanze Kujiamini Kwa sababu hakuna kitu ambacho MUNGU ana kiumba bila sababu za msingi.
Hata uwe na Kibamia lazima Kuna mwanamke wako Atakupenda na Kibamia Chako na...
Hii ni sababu kuu kwanini singo maza wanaongezeka kila kukicha hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu atakubali kutawaliwa na mwanamke
Wanawake wa sasa wanataka watupindue wao ndio wawe vichwa vya familia afu sisi wanaume tuwe kama watoto .
Wapo wanawake wengine wanafika mbali wanaroga...
Kwa mwanamke kipi afadhali kati ya kuwa single mother wa mwanaume tajiri/ kigogo/ mwenye uwezo wa kuhudumia mtoto wake mahitaji yote kuanzia bima ya afya ya maana hadi shule za level ya Feza au ndoa ya kudumu na mwanaume wa kawaida, masikini, kapuku, mbangaizaji ambaye watoto watasoma St Kayumba...
Unaweza kuchukulia poa huu msemo
Labda ukaona umekaa secular sana
Ila mwanamke yoyote alie katika household ambayo kuna ukata mara nyingi ni mtu wa kuvuta vuta mdomo sana, alafu itokee bwana ake amemuudhi, bwana nae kapiga pini, alafu mdada akutane na vijana wa crown wenye uwezo wa kukidhi...
Mwanamuziki nguli wa nyimbo za asili nchini, Saida Karoli, amewashangaza na kuwagusa wengi baada ya kufunguka kwa uwazi kuhusu maisha yake ya uzazi, mahusiano, na sababu zilizomfanya apate watoto na wanaume tofauti tofauti.
Akizungumza katika mahojiano maalum, nguli huyo aliyewahi kutamba na...
Ngoja nikwambie mambo ambayo huko Mwanza ulikuwa ukiyafanya unaonekana wa ajabu...!
1. Mwanaume kula viazi mchana kama chakula... mwanaume kama alikuwa anakula viazi basi viwe vimechomwa 😂
2. Kupika dagaa wana vichwa..
3. Kwenye msiba watu kula majurijuri... majurijuri ni wale watoto wa...
Ukiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako .
WEwe jua wewe ni maskini .
Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo...
Kuna vitu vinashangaza sana na sijui ni wasomi kuwa wengi au hata sijui tu.
Sisi tumezaliwa na kukua tunalala pamoja tena pasina hata kujua kuna kulawitiana nk
Tukaenda shule maghetoni Bado tutakutana na watu Si ndg zetu tunaungana wawili Hadi watatu geto Moja tunalala na maisha ya naenda...
Wakuu,
Kidume kizima unakuwa na nguo maalumu za kulalia? Yaani ukitoka kwenye mihangaiko yako ya kimaisha.
Baada ya kupata dinner unaoga kisha unavaa nguo maalumu za kulalia ili iweje?
Je! Nguo maalumu za kulalia zina nini cha ziada tofauti na hizi za kawaida Kwa kidume?
Kwa mtoto wa kike...
Wakati wa sasa ni watu wengi sana wanafahamu habari ya maandiko kutoka kwenye vitabu vya dini. Jamii ya kiswahili inafahamu uwepo wa dini nyingi na hasa dini mbili uislamu na ukristo.
Watu wa zamani pamoja na mambo yote walielewa uwepo wa nguvu za aina mbili katika uwepo, yaani uwepo wa nguvu...
Binafsi nimekuzwa na kulelewa na mzazi mmoja ambaye ni mama, sijawahi pata hata mapenzi ya baba nilipokuwa mwana.
Kulea mtoto binafsi bila msaada wowote ilikua ngumu sana kwa mzazi wangu lakini alijifunga shuka kiunoni na kutosalimu amri ya uvivu.
Kwakweli malezi ya mzazi mmoja pekee yana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.