mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Masweeter

    Ni sahihi kwa mwanaume kutongoza mwanamke kwa kutumia Pesa?

    Ni sahihi mwanaume kutongoza kwa show off ? Je hata ukimkubalia atakuwa na upendo wa kweli ? Au atakuwa anaona kama vile we ni wa kununuliwa tu?
  2. kamdinyo

    gari za kuendesha mwanaume kwa mazingira ya nchi yetu.

    1) ford ranger 2) jeep wranger 3) toyota prado GXR 4) toyota randcruser VXR 5)vorkswagen Amarok 6) subaru e- boxer 7) landrover dicovery 4/5 8) range rover outobiograph 9) nissan patrol 2025 10) mercedes G class mimi ni binti nipo hapo namba saba.sijahongwa nimenunua mwenyewe kwa jasho langu...
  3. Tuagize

    Je ni kweli mwanaume anaejielewa lazima awe bahili? Toa maoni yako

  4. Fbn

    Mwanaume mwenzangu ukiona haya mambo umeshindwa kutimiza achana na kuoa au kuweka mwanamke ndani

    Ijalishi ni tajiri au maskini ila haya ndio mambo ambayo unatakiwa kujua mapema. 1.MUDA Wanaume tumekuwa tukitumia mda mwingi kupambania maisha yetu na mda mwengine kupumzika kwa kuburudika bar,kuangalia mpira au safari za utafutaji.Hapa usitegemee mwanamke kukuvumilia kama mda wako ukikosekana...
  5. Chizi Maarifa

    Joto telezi ni muhimu sana wakati wa tendo ili mwanaume asikie raha kamili

    Kuna dada mmoja alikuwa akijisifia mbele yangu pasipo kujua kuwa anajiharibia. Kuwa yeye kipapiro chake aka papuchi yake ni dry... Siyo kama za mademu wengine zina mimaji. Akawa anataka nione niingize hata key Dole. Nilikuwa namcheck.... Nasema Hiiiiiiii... Kiukweli kama mwanamke ni mkavu...
  6. Mwizukulu mgikuru

    Ni kwanini mwanaume anapozidi kuwa mtu mzima busara na hekima huongezeka na vise vesa......?

    Hata ukihitaji ushauri mtafute mzee mtu mzima zaidi, lakini mwanamke mtu mzima zaidi utaambulia pumba na mashudu...
  7. Eli Cohen

    Navyozidi kuwa mtu mzima nagundua kuwa mapepo huwa yapo katika jamii duni, ukishafanikiwa utayaita afya ya akili

    UKishafanikiwa utayaita afya ya akili. Utamwaisha mtoto wako milembe mapema mnooo Ukifika kule utagundua afya ya akili ya mwananadamu ni uwanda mpana sanaa wakati huku mtaani afya ya akili inapimwa kwa kiwango cha kuokota makopo na kukimbia sokoni matako wazi.
  8. M

    Mwanaume rijali yupo tayari kusamehe chochote isipokua kushea tunda la kati, hata kama ndoa itaendelea things will never be the same again

    Ni mapicha picha kama haya ndio hufanya iwe ngumu kusamehe
  9. Marry Diana

    Nahitaji kampani Leo, nani yupo tutokee viwanja

    Niko bored, Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo. Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane...
  10. Troll JF

    Kuna Mwanaume Katoka Leo kuendelea na Mikutano ya kisiasa? Baada la Katazo la Waziri wa Mambo ya Ndani?

    Vyanzo vyangu vya Taarifa vimejihakikishia hakuna Kunguni yoyote aliyetoka leo baada ya Katazo la Waziri wa Mambo ya Ndani Mheshimiwa sana Patrobas Katambi. Mikutano ya Chuki, Matusi, Uzandiki na Uchochezi hatimaye imekwisha kabisa. Kama ulikua hujui hiyo ndiyo Serikali.
  11. Nomadiq

    Je ni kweli mwanaume anatakiwa kumzidi mwanamke vitu hivi ili mahusiano yadumu?

    Wasalaam wakuu Kuna hili jambo nimelisikia kwa muda sasa kuwa ili mwanamke amtii mwanaume kwenye mahusiano; iwe ni urafiki wa mwanzo,uchumba ama ndoa inabidi mwanaume amzidi mwanamke hivi vitu;- UMRI PESA ELIMU/AKILI
  12. F

    Nini husababisha mwanaume kunenepa makalio na mapaja na si misuli?

    Nikiona wanaume wenye makalio makubwa na mapaja mapana kama wanawake kama Bashiti, siishi kujiuliza kunani au kuna namna. Wenye kujua hali au ugonjwa huu wanielimishe. Naogopa kuwahukumu wenye makalio makubwa au mabashiti bila kujua sababu za hali hii.
  13. haszu

    Kwanini wanaume wanaona ugumu kumsifia mwanaume mwezie kama kapendeza au ni mzuri?

    Yani kazini wadada wananiambia, we mzuri au umependeza sana n.k lakini sijawai kuona jamaa wakisema kama ata ile ya kiume kua " aah mwanangu umetokelezea kinoma" kwanini? ni roho ya kwanini au ni nini? zaidi naona kama wengine wananionea wivu namna ninavyoshombokewa na watu. kwanini?
  14. Marry Diana

    Heshima Kwa mwanaume uliyezaa naye ni muhimu

    Shikamoon wakubwa wadogo zangu hamjambo. Suala la Sisi wanawake kumzalia mtu si la bahati mbaya, yaani ukiona tu nimebeba ujauzito ujue kabisa muhusika nimempenda, kubwa zaidi huwa ni Sura na mwonekano wake pamoja na huduma zake. Lakini sasa inapofikia mnakosana,hamuwezi kuishi pamoja,haina...
  15. Vulmeko

    Huyu ndiye Mwanaume bora wa mwaka 2026

    Nimeipenda sana kauli yake. Wakati anatangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu, amesema anaenda kufanya kazi muhimu zaidi: "Kuwa mume bora kwa mke wangu mzuri... na kuwa baba bora zaidi kwa watoto wangu wazuri...," Wewe vipi, una mawazo au nia kama hiyo kwa mke wako na watoto wako?. Kama unawaza kumwacha...
  16. M

    Mwanaume ameumbwa kiasili kukubali kushea mwanaume na wenzake tofauti na sisi Wanaume ukindua unachapiwa roho inakaribia kuchomoka.

    Ndio maana hata sheria ya ndoa ya Tanzania inatambua ndoa ya mume mwenye wanawake wengi lakini sio ndoa ya mwanamke mwenye waume wengi. Hii ni kwa sababu wao wameumbwa kukubali kushea mwanaume. Tofauti na wanaume.
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Wanaume tuelewe: Kama sisi hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja. Vivyohivyo kwa wanawake. Hakuna mwanamke anayeridhika na mwanaume mmoja!

    Habari za Sabato! Saikolojia iko hivyo. Kihisia na kiakili mwanaume na mwanamke hawana tofauti yoyote ile. Wanawake wana wivu kama tulivyo wanaume. Wanawake wanatamaa ya ngono kama tulivyo wanaume. Jinsi mwanaume ukikutana na mwanamke mwenye mvuto unamtamani licha ya kuwa una mke na watoto...
  18. Jack Daniel

    Ukweli mchungu mwanaume, machozi yako na hisia zako havitathaminiwa popote

    Ni lini machozi ya mwanaume yaliwahi kuthaminiwa? Ni mwanaume gani anahisi au anawaza kuwa tegemezi? Hivi unajua ,unathaminiwa na kuhurumiwa ukiwa mtoto tu,lakini baada ya hapo lazima ustruggle? Hivi mnajua mwanaume hupaswi kudeka,kuringa wala kutaka kuonewa huruma? Iko...
  19. Papillon 1906

    Kama mwanaume anaweza kumuacha mwanamke baada ya mimba, sioni tatizo mwanamke kumuacha mwanaume fukara

    Kama mwanaume anaweza kumuacha mwanamke baada ya kumtia mimba, Sioni tatizo mwanamke akimuacha mwanaume aliye poteza Kazi, Ajira au Fukara
  20. Yofav

    Ufupi na urefu wa mwanaume ni upi?

    Tukiachana na hizi trends za tall dark/white handsome na kila mwanamke kudai kuwa na ndoto ya kudate na mwanaume mrefu. Even though kuna wanaume ambao unakuta tunawaweka kwenye kundi la wafupi lakini utakuta bado wanawazidi wanawake wengi kwa urefu lakini chaajabu wanawake hao bado huwaita...
Back
Top Bottom