mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Consigliere

    JamiiForums Tanzania Si Kila Mwanamke Ni Wa Kuolewa, Wala Si Kila Mwanaume Ni Wa Kuoa

    Kuna tofauti kati ya kwa wanadamu wenye maumbile na jinsia ya kike, na kuwa mwanamke mwenye sifa, tabia, mtazamo na utayari wa kuingia katika maisha ya ndoa. Watu wengi wamekuwa na tabia ya kulalamikia tabia na mienendo ya wanawake wa siku hizi, katika maisha ya kawaida na hasa katika maisha ya...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mwanamke hawezi kuwa mtiifu kwa Mwanaume Bwege, asiyejielewa.

    MWANAMKE HAWEZI KUWA MTIIFU KWA MWANAUME BWEGE, ASIYEJIELEWA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Vijana lazima mjue hili. Mkijizama data mtajua wenyewe. Hakuna mwanamke aliyezaliwa mtiifu. Huyo mwanamke hayupo. Utiifu umeamrishwa kwenye Dini na tamaduni kwa sababu sio jambo la asili...
  3. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Wanaume kama mabinti! Konda wa daladala akiuliza iwapo kuna mtu anataka kushuka kituo kinachofuata, utasikia mwanaume mzima anasema, 'SHUSHAAA!' 🤮

    Mwanaume unashindana na wananawake kutamka neno, SHUSHAAA! Kwenye daladala? Si useme tu, mimi nashuka hapo mbele. Wanaume kama Jamila bhana!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ndoto ya kila mwanaume ni kuwa na mke submissive, hio ndio nature yetu haijalishi tunapindisha ukweli kiasi gani

    Ndio maana wengi utawakuta wakisifu wanawake wa zamani walikuwa wife material lakini ukiangalia kwa ndani wanawake hao walifunzwa au walilazimika kuwa submissive kwa wanaume wao. Mwanaume hasa kijana ambae yupo mwanzo wa ndoa anapenda kunyenyekewa, ndicho kitu humvuruga akili kuzidi hata game...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Wadada wanaosema hawako katika mahusiano na mwanaume yeyote ni hatari kwani wanajiuza

    Kumekuwa na ongezeko la watoto wa kike ambao wanakataa kuingia kwenye mahusiano kwa visingizio kadhaa ikiwemo wana focus na uchaji Mungu huku wakisubiri mtu sahihi,ambaye kwao ni mwanaume mwenye utajiri. Hawa watu wanaishi kwa pesa za kudanga kwani watu wengi huwa wanajipata wakiwa tayari na...
  6. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Kuna shida gani mwanaume kupiga magoti mbele ya mke wake kwa ajili ya kumuomba msamaha wa jambo ambalo liko sensitive sana

  7. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Eliza; wanawake tukienda geto kwa mwanaume, asipoonyesha kukuhitaji kimwili huwa tunarudi na stress

    Mwanadada Eliza ametoa Siri ambayo inawezekana wanaume wengi hawajui. Eliza akiongea na mwandishi, ameulizwa swali ni kitu gani ambacho wanaume hawajui kuhusu wanawake? Eliza amejibu hivi. "Kitu Ambacho wanaume hawajui ni kuwa, tukienda magetoni kuwatembelea halafu wasionyeshe hata dalili ya...
  8. min -me

    JamiiForums Tanzania Mwanaume anaesomea nursing na ukunga ndio mtu shujaa sasa kwa Tanzania

    Kozi ya nesi kwa Tanzania ni dhahabu mno , diploma RN wa nesi na degree , acha upumbavu wa kukaa kifala , wewe ni dhahabu mno kwenye huu ulimwengu. C.c Kiranga
  9. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Yasinta; Mwanaume hata kama una kibamia jiamini, yupo mwanamke atakupenda na kibamia chako

    Mwana Mitindo , Jasinta makwabe ame washauri wanaume ambao wana hisi kuwa na maumbile madogo ya kiume (KIBAMIA) ni ulemavu, Waanze Kujiamini Kwa sababu hakuna kitu ambacho MUNGU ana kiumba bila sababu za msingi. Hata uwe na Kibamia lazima Kuna mwanamke wako Atakupenda na Kibamia Chako na...
  10. Think2

    JamiiForums Tanzania Kila mwanamke ana ndoto za kumtawala mwanaume

    Hii ni sababu kuu kwanini singo maza wanaongezeka kila kukicha hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu atakubali kutawaliwa na mwanamke Wanawake wa sasa wanataka watupindue wao ndio wawe vichwa vya familia afu sisi wanaume tuwe kama watoto . Wapo wanawake wengine wanafika mbali wanaroga...
  11. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wanawake, Kipi afadhali kati ya kuwa single mother wa tajiri au ndoa na mwanaume mbangaizaji?

    Kwa mwanamke kipi afadhali kati ya kuwa single mother wa mwanaume tajiri/ kigogo/ mwenye uwezo wa kuhudumia mtoto wake mahitaji yote kuanzia bima ya afya ya maana hadi shule za level ya Feza au ndoa ya kudumu na mwanaume wa kawaida, masikini, kapuku, mbangaizaji ambaye watoto watasoma St Kayumba...
  12. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu aliwahi kusema kuwa mwanamke akikasirika basi mwanaume ampe pesa na mwanaume akikasirika basi mwanamke ampe good sex

    Unaweza kuchukulia poa huu msemo Labda ukaona umekaa secular sana Ila mwanamke yoyote alie katika household ambayo kuna ukata mara nyingi ni mtu wa kuvuta vuta mdomo sana, alafu itokee bwana ake amemuudhi, bwana nae kapiga pini, alafu mdada akutane na vijana wa crown wenye uwezo wa kukidhi...
  13. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania SAIDA KAROLI : “Sizalii Mwanaume, Kila Mtoto Wangu Ana Baba Yake”

    Mwanamuziki nguli wa nyimbo za asili nchini, Saida Karoli, amewashangaza na kuwagusa wengi baada ya kufunguka kwa uwazi kuhusu maisha yake ya uzazi, mahusiano, na sababu zilizomfanya apate watoto na wanaume tofauti tofauti. Akizungumza katika mahojiano maalum, nguli huyo aliyewahi kutamba na...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Mambo ambayo mwanaume akifanya Mwanza/ Usukumani, jamii yote itamshangaa

    Ngoja nikwambie mambo ambayo huko Mwanza ulikuwa ukiyafanya unaonekana wa ajabu...! 1. Mwanaume kula viazi mchana kama chakula... mwanaume kama alikuwa anakula viazi basi viwe vimechomwa 😂 2. Kupika dagaa wana vichwa.. 3. Kwenye msiba watu kula majurijuri... majurijuri ni wale watoto wa...
  15. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Ukiona unahangaika sana na mapenzi yakujionyesha kuwa unaweza kufanya jamboo kwa mpenzi wako . WEwe jua wewe ni maskini . Eti mtu unajifanya uko updated eti maji nimelipa babe eti umeme nimeweka dstv nimelipa nimekununulia simu huo ni ujinga . Hayo ni maisha ya wanaume wa Dar na wa chuo...
  16. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Hivi kuanzia lini na wapi ngozi ya mwanaume Kwa mwanaume inakuwa na hisia/ msisimko hasa wa kingono?

    Kuna vitu vinashangaza sana na sijui ni wasomi kuwa wengi au hata sijui tu. Sisi tumezaliwa na kukua tunalala pamoja tena pasina hata kujua kuna kulawitiana nk Tukaenda shule maghetoni Bado tutakutana na watu Si ndg zetu tunaungana wawili Hadi watatu geto Moja tunalala na maisha ya naenda...
  17. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Mwanaume unanunua nguo maalumu za kulalia ili iweje?

    Wakuu, Kidume kizima unakuwa na nguo maalumu za kulalia? Yaani ukitoka kwenye mihangaiko yako ya kimaisha. Baada ya kupata dinner unaoga kisha unavaa nguo maalumu za kulalia ili iweje? Je! Nguo maalumu za kulalia zina nini cha ziada tofauti na hizi za kawaida Kwa kidume? Kwa mtoto wa kike...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wa watu zamani kwa mwanaume na mwanamke hata kiroho

    Wakati wa sasa ni watu wengi sana wanafahamu habari ya maandiko kutoka kwenye vitabu vya dini. Jamii ya kiswahili inafahamu uwepo wa dini nyingi na hasa dini mbili uislamu na ukristo. Watu wa zamani pamoja na mambo yote walielewa uwepo wa nguvu za aina mbili katika uwepo, yaani uwepo wa nguvu...
  19. RaiaMbishi

    JamiiForums Tanzania Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Binafsi nimekuzwa na kulelewa na mzazi mmoja ambaye ni mama, sijawahi pata hata mapenzi ya baba nilipokuwa mwana. Kulea mtoto binafsi bila msaada wowote ilikua ngumu sana kwa mzazi wangu lakini alijifunga shuka kiunoni na kutosalimu amri ya uvivu. Kwakweli malezi ya mzazi mmoja pekee yana...
Back
Top Bottom